RAIS WA JAMHURI YA GUINEA - BISSAU ASAFIRI KWA SGR, DAR - PUGU, AIPA HEKO TANZANIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 37

  • @mkutamajuto1549
    @mkutamajuto1549 21 วันที่ผ่านมา +17

    Hayati magufuli azungumzwe kwenye hili pia maana yeye ndy alie Anza.... Msimpuuze

    • @ahmedronga7583
      @ahmedronga7583 21 วันที่ผ่านมา +1

      Yani magu ndo wakutajwa na sio alie sasa

    • @fransicmushenyera9302
      @fransicmushenyera9302 21 วันที่ผ่านมา +1

      nyie mawaziri msimgombanishe rais samia na wananchi kwakudhani labda anawatuma mnapotaja miradi aliyoinzisha magufuri bila kumtaja kwa kumtaja bado rais samia alikuwa makamu wake hivi mnajua wananchi hawapendi mnavyojipendeza

    • @katemachanda7035
      @katemachanda7035 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@ahmedronga7583Haikatazwi Rais wa Sasa kutajwa kwa mambo yake, lkn kama Kweli we ni raia wa Tanzania kinachofanyika Sasa ni kama Rais wa Awamu ya tano alikuja na akaondoka tu. Ziko juhudi za dhati na za makusudi wataje mambo yaliyofanywa na Marais wote waliopita lkn ya Magufuli hayatajwi kabisaaa, yanatajwa kwa jina la Rais aliyepo Sasa. Kwani wewe hilo hulioni ndugu???

    • @josephambrose2215
      @josephambrose2215 20 วันที่ผ่านมา

      Haswaa, Samia ameendeleza tu. Kama siyo kifo Cha Magufuli, hiyo treni ingeanza kazi kitambo na maendeleo mengine yangefikiwa. Hayati Rais JPM alikuwa na uchu wa maendeleo ya Tanzania🇹🇿 na mzalendo haswaaa, RIP🇹🇿🙏

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 20 วันที่ผ่านมา +6

    Sema John Joseph pombe magufuli ❤ ukweri utabaki parepare

  • @GodlivenMaximillian-ot7mg
    @GodlivenMaximillian-ot7mg 21 วันที่ผ่านมา +11

    Hongereni TRC ila tunawaomba sana sana msituwekee manyimbo ya ovyo ovyo kama yaliyopo Kwenye mabasi, manyimbo hayo ya watu hawajavaa nguo, wanaimba matusi tu yanaharibu vizazi. Ndio maana vijana wa leo hawana umakini. Chonde chonde TRC
    Tunawapa mawazo kama mtaweka TV humo wekeni MAKALA mbalimbali za wanyama na nyingine nyingi za uzalendo.

    • @yesesalambwe9420
      @yesesalambwe9420 21 วันที่ผ่านมา +3

      Hii ni hoja ya msingi sana. Izingatiwe! TV zioneshe mbuga za wanyama, maendeleo ya miradi yetu mbali mbali, mipango ya nchi na mambo mengine ya kujenga nchi ma jamii. Sio filamu za kichawi, mapenzi na mabongo fleva

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 10 วันที่ผ่านมา +1

      naongezeee hususani na nyimbo za uzalendo na vidio za tanzania kuchangia ktk ukombozi wa bara la africaaaa

  • @abasiabdallah6067
    @abasiabdallah6067 20 วันที่ผ่านมา +3

    That's the real meaning of Magufulification of Africa.

  • @ahmedronga7583
    @ahmedronga7583 21 วันที่ผ่านมา +2

    Kongole kwa babu wetu JPM

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 7 วันที่ผ่านมา

    Jpm uliona mbali Baba Mungu akurehemu

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 19 วันที่ผ่านมา

    Humo msiweke miziki na nyimbo za kupotisha vijana wetu wekeni mbuga za wanyama bs watu wasngalie msiwrje nyimbo kama kwenye mabadi wengine hatupendi hiyo miziki

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 20 วันที่ผ่านมา

    Mashaa-Allah Refu saaana

  • @athumaniabdi4122
    @athumaniabdi4122 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu wangu, nakuomba endelea kuibariki Tanzania

  • @KamardinTebe
    @KamardinTebe 21 วันที่ผ่านมา +8

    Fikra na alama za jpm pumzi kwa amani jpm tutakumbuka daima

  • @emmalexrelaxingsounds7403
    @emmalexrelaxingsounds7403 20 วันที่ผ่านมา +2

    Tumrekebishe ndugu masanja kidogo. Guinea Bisau iko West Afrika. Haiko Sadc. na Wanaongea Kireno sio Kifaransa. Guineas iliyo walau karibu na sisi ni Equatorial Guinea. Wao wanaongea Kispanyola. 😇

    • @jebace
      @jebace 20 วันที่ผ่านมา

      Guinea Bissau,Guinea Conakry na equatorial Guinea

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 13 วันที่ผ่านมา

      Labda we ndio tukurekebishe.. maana masanja hajasema unachotuambia.... kasema lengo la serikali ni SGR ifike mpaka mataifa ya jirani ya sadc.. Wala hajasema kuhusu eti guinea IPO sadc.. hapo umemsingizia..

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 21 วันที่ผ่านมา +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹👏

  • @border2bordercuisine168
    @border2bordercuisine168 21 วันที่ผ่านมา +2

    Mnh. Huko nje mama anakubalika sana . Hongera sana mama. Mungu akupe nguvu zaidi.na sisi ndani wengi tunakukubali.❤❤❤

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 21 วันที่ผ่านมา +1

    TV za train wekeni wanyama wa mbuga zetu

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi nadhani tujipongeze watanzania wote mana tunalipa kodi

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala9955 21 วันที่ผ่านมา

    Kenya 🇰🇪 mpoo

  • @piusmapunda5900
    @piusmapunda5900 20 วันที่ผ่านมา

    Naomba usimamizi uwe makini sana sana ili hii reli ya gharama kubwa sana iweze kudumu kwani tumeona si muda mrefu mradi wa mabasi ya mwendo kasi (BRT) uko hoi bin taabani kutokana na usimamizi na kutojali kutunza mali ya umma kunakpsababushwa na waliopewa dhamana kufanya kazi kwa mazoea na kulewa sifa. Ni hilo tu. Mungu ibariki sgr na Tanzania

  • @jameskapele441
    @jameskapele441 21 วันที่ผ่านมา

    Kongole TZ

  • @mohamediomari1614
    @mohamediomari1614 21 วันที่ผ่านมา

    Mchongoko lini jamn

  • @ulimbombonaulindi5088
    @ulimbombonaulindi5088 21 วันที่ผ่านมา

    Mbona hamjampa nafasi Mheshimiwa Rais kuzungumza tukamsikia?!

  • @DeodatusiLyaruuu
    @DeodatusiLyaruuu 19 วันที่ผ่านมา

    JPM ndo wakupongezwa

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 20 วันที่ผ่านมา

    Magufuli oyee ndiye alifanya haya

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 20 วันที่ผ่านมา

    KWAKWEL ALIPO KANYAGIA MAGUFURI NI PAZURI ,,MAGUFURI MITANO TENA MIE NITAMPIGIA KURA MAGUFURI...KATUTOA GZAN SANA

  • @HansChuma
    @HansChuma 21 วันที่ผ่านมา

    Ruache Porojo naupumbavu wa maneno mengi na Media kusifia ujinga Inatakiwa tutunze malizetu vizur kwa maendeleo Shenzi

    • @killy_hoffman2698
      @killy_hoffman2698 21 วันที่ผ่านมา

      sasa kilicho kukasirisha hapa ni kipi ? au ulimbukeni ndo unakusumbua

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 21 วันที่ผ่านมา

      wavita bang kama WEW n hasara KWA taifa

  • @raymondmichael8805
    @raymondmichael8805 11 วันที่ผ่านมา

    kazi ya magufuli matapeli nyie