nyie mawaziri msimgombanishe rais samia na wananchi kwakudhani labda anawatuma mnapotaja miradi aliyoinzisha magufuri bila kumtaja kwa kumtaja bado rais samia alikuwa makamu wake hivi mnajua wananchi hawapendi mnavyojipendeza
@@ahmedronga7583Haikatazwi Rais wa Sasa kutajwa kwa mambo yake, lkn kama Kweli we ni raia wa Tanzania kinachofanyika Sasa ni kama Rais wa Awamu ya tano alikuja na akaondoka tu. Ziko juhudi za dhati na za makusudi wataje mambo yaliyofanywa na Marais wote waliopita lkn ya Magufuli hayatajwi kabisaaa, yanatajwa kwa jina la Rais aliyepo Sasa. Kwani wewe hilo hulioni ndugu???
Haswaa, Samia ameendeleza tu. Kama siyo kifo Cha Magufuli, hiyo treni ingeanza kazi kitambo na maendeleo mengine yangefikiwa. Hayati Rais JPM alikuwa na uchu wa maendeleo ya Tanzania🇹🇿 na mzalendo haswaaa, RIP🇹🇿🙏
Hongereni TRC ila tunawaomba sana sana msituwekee manyimbo ya ovyo ovyo kama yaliyopo Kwenye mabasi, manyimbo hayo ya watu hawajavaa nguo, wanaimba matusi tu yanaharibu vizazi. Ndio maana vijana wa leo hawana umakini. Chonde chonde TRC Tunawapa mawazo kama mtaweka TV humo wekeni MAKALA mbalimbali za wanyama na nyingine nyingi za uzalendo.
Hii ni hoja ya msingi sana. Izingatiwe! TV zioneshe mbuga za wanyama, maendeleo ya miradi yetu mbali mbali, mipango ya nchi na mambo mengine ya kujenga nchi ma jamii. Sio filamu za kichawi, mapenzi na mabongo fleva
Humo msiweke miziki na nyimbo za kupotisha vijana wetu wekeni mbuga za wanyama bs watu wasngalie msiwrje nyimbo kama kwenye mabadi wengine hatupendi hiyo miziki
Tumrekebishe ndugu masanja kidogo. Guinea Bisau iko West Afrika. Haiko Sadc. na Wanaongea Kireno sio Kifaransa. Guineas iliyo walau karibu na sisi ni Equatorial Guinea. Wao wanaongea Kispanyola. 😇
Labda we ndio tukurekebishe.. maana masanja hajasema unachotuambia.... kasema lengo la serikali ni SGR ifike mpaka mataifa ya jirani ya sadc.. Wala hajasema kuhusu eti guinea IPO sadc.. hapo umemsingizia..
Naomba usimamizi uwe makini sana sana ili hii reli ya gharama kubwa sana iweze kudumu kwani tumeona si muda mrefu mradi wa mabasi ya mwendo kasi (BRT) uko hoi bin taabani kutokana na usimamizi na kutojali kutunza mali ya umma kunakpsababushwa na waliopewa dhamana kufanya kazi kwa mazoea na kulewa sifa. Ni hilo tu. Mungu ibariki sgr na Tanzania
Hayati magufuli azungumzwe kwenye hili pia maana yeye ndy alie Anza.... Msimpuuze
Yani magu ndo wakutajwa na sio alie sasa
nyie mawaziri msimgombanishe rais samia na wananchi kwakudhani labda anawatuma mnapotaja miradi aliyoinzisha magufuri bila kumtaja kwa kumtaja bado rais samia alikuwa makamu wake hivi mnajua wananchi hawapendi mnavyojipendeza
@@ahmedronga7583Haikatazwi Rais wa Sasa kutajwa kwa mambo yake, lkn kama Kweli we ni raia wa Tanzania kinachofanyika Sasa ni kama Rais wa Awamu ya tano alikuja na akaondoka tu. Ziko juhudi za dhati na za makusudi wataje mambo yaliyofanywa na Marais wote waliopita lkn ya Magufuli hayatajwi kabisaaa, yanatajwa kwa jina la Rais aliyepo Sasa. Kwani wewe hilo hulioni ndugu???
Haswaa, Samia ameendeleza tu. Kama siyo kifo Cha Magufuli, hiyo treni ingeanza kazi kitambo na maendeleo mengine yangefikiwa. Hayati Rais JPM alikuwa na uchu wa maendeleo ya Tanzania🇹🇿 na mzalendo haswaaa, RIP🇹🇿🙏
Sema John Joseph pombe magufuli ❤ ukweri utabaki parepare
Hongereni TRC ila tunawaomba sana sana msituwekee manyimbo ya ovyo ovyo kama yaliyopo Kwenye mabasi, manyimbo hayo ya watu hawajavaa nguo, wanaimba matusi tu yanaharibu vizazi. Ndio maana vijana wa leo hawana umakini. Chonde chonde TRC
Tunawapa mawazo kama mtaweka TV humo wekeni MAKALA mbalimbali za wanyama na nyingine nyingi za uzalendo.
Hii ni hoja ya msingi sana. Izingatiwe! TV zioneshe mbuga za wanyama, maendeleo ya miradi yetu mbali mbali, mipango ya nchi na mambo mengine ya kujenga nchi ma jamii. Sio filamu za kichawi, mapenzi na mabongo fleva
naongezeee hususani na nyimbo za uzalendo na vidio za tanzania kuchangia ktk ukombozi wa bara la africaaaa
That's the real meaning of Magufulification of Africa.
Kongole kwa babu wetu JPM
Jpm uliona mbali Baba Mungu akurehemu
Humo msiweke miziki na nyimbo za kupotisha vijana wetu wekeni mbuga za wanyama bs watu wasngalie msiwrje nyimbo kama kwenye mabadi wengine hatupendi hiyo miziki
Mashaa-Allah Refu saaana
Mungu wangu, nakuomba endelea kuibariki Tanzania
Fikra na alama za jpm pumzi kwa amani jpm tutakumbuka daima
Tumrekebishe ndugu masanja kidogo. Guinea Bisau iko West Afrika. Haiko Sadc. na Wanaongea Kireno sio Kifaransa. Guineas iliyo walau karibu na sisi ni Equatorial Guinea. Wao wanaongea Kispanyola. 😇
Guinea Bissau,Guinea Conakry na equatorial Guinea
Labda we ndio tukurekebishe.. maana masanja hajasema unachotuambia.... kasema lengo la serikali ni SGR ifike mpaka mataifa ya jirani ya sadc.. Wala hajasema kuhusu eti guinea IPO sadc.. hapo umemsingizia..
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹👏
Mnh. Huko nje mama anakubalika sana . Hongera sana mama. Mungu akupe nguvu zaidi.na sisi ndani wengi tunakukubali.❤❤❤
Mama gani wewe fara
TV za train wekeni wanyama wa mbuga zetu
Mimi nadhani tujipongeze watanzania wote mana tunalipa kodi
Kenya 🇰🇪 mpoo
Wanajiona,hawaoni
Naomba usimamizi uwe makini sana sana ili hii reli ya gharama kubwa sana iweze kudumu kwani tumeona si muda mrefu mradi wa mabasi ya mwendo kasi (BRT) uko hoi bin taabani kutokana na usimamizi na kutojali kutunza mali ya umma kunakpsababushwa na waliopewa dhamana kufanya kazi kwa mazoea na kulewa sifa. Ni hilo tu. Mungu ibariki sgr na Tanzania
Kongole TZ
Mchongoko lini jamn
Mbona hamjampa nafasi Mheshimiwa Rais kuzungumza tukamsikia?!
JPM ndo wakupongezwa
Magufuli oyee ndiye alifanya haya
KWAKWEL ALIPO KANYAGIA MAGUFURI NI PAZURI ,,MAGUFURI MITANO TENA MIE NITAMPIGIA KURA MAGUFURI...KATUTOA GZAN SANA
Ruache Porojo naupumbavu wa maneno mengi na Media kusifia ujinga Inatakiwa tutunze malizetu vizur kwa maendeleo Shenzi
sasa kilicho kukasirisha hapa ni kipi ? au ulimbukeni ndo unakusumbua
wavita bang kama WEW n hasara KWA taifa
kazi ya magufuli matapeli nyie