KAZI IMEPAMBA MOTO SGR MWANZA - ISAKA, RELI YAPITISHA KIBERENGE SHINYANGA - SIMIYU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 มี.ค. 2024

ความคิดเห็น • 44

  • @explorewithbertin
    @explorewithbertin 3 หลายเดือนก่อน +13

    Can't wait to travel with electric train from Dar to mwanza

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 3 หลายเดือนก่อน +1

      Why ?😂 it seems you will not be alive by next year 😂

    • @HeradiusG
      @HeradiusG 3 หลายเดือนก่อน +1

      @Bertin... I am eager to get there too! Thanks for your channel which help us tonget up dates...!
      Pamoja!😂

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution หลายเดือนก่อน

    Hongereni sana kwa kazi nzuri

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 หลายเดือนก่อน +2

    SAF SANA N KWEL MAPUNGUFU HAYAKOS ILA MNAJITAHID GOD BLESS

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hakuna kusifia kwani snalipwa pesa defu haya ya kusifia ndio wanasababisha kuharibu KAZI nchi za wenzitu wanasema amefanya nyanayostahili hizi za blabla sio Kazi hao wachina wanafanya KAZI hawana maneno maneno

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 3 หลายเดือนก่อน +1

      Siyo kama Waturuki, Dr-Morogoro mpaka sasa kila siku tunaambiwa mara asilimia 90 mara 98 mara 96 sasa tunashindwa kelewa ni nini maana yake ama ndiyo fuzzy maths?

  • @birianination7097
    @birianination7097 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hii nikubwa sana

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 3 หลายเดือนก่อน +5

    Wangepewa mradi mzima hawa jamaa, maana Waturuki imebakia ni bla bla tuu. Dar-Moro imekuwa ni kizungumkuti!

  • @starjay3052
    @starjay3052 3 หลายเดือนก่อน +2

    mchina arembagi kazi kaka

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri katika kipande hiki kina chonachojengwa na Wachina lakini kwa kipande no 3 na no4 vinavyojengwa na Waturuki kazi siyo nzuri kabisa na Serikali inabidi ifuatilie kwa karibu sana.

    • @michaelrweyemamu1068
      @michaelrweyemamu1068 3 หลายเดือนก่อน +1

      Lot 3&4 maokoto ya kulipa shida

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 3 หลายเดือนก่อน

      Mnachuki na waturuki... tunajua sababu

    • @255kwetu8
      @255kwetu8 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mturuki kampuni yake mwenyewe inashindwa kujiendesha baada ya mmiliki kuaga Dunia(Kuna mgogoro)Ila serikali inatoa fedha kama inavyofanya kwa CCECC

    • @255kwetu8
      @255kwetu8 3 หลายเดือนก่อน +1

      Na habari njema ni kuwa hicho kipande Cha 4 kipo mbioni kupewa mchina

  • @donaldmartin-ps2ig
    @donaldmartin-ps2ig 3 หลายเดือนก่อน

    Sait kwangu kabisa hapo

  • @salvatorybakilana2378
    @salvatorybakilana2378 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hiii reli inaisha lini mazee

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 3 หลายเดือนก่อน

      Miradi mikubwa hiyo huwa aishi mapema kwa sababu kila siku inaanza tena

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa Wachina wako fasta sana aisee

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 3 หลายเดือนก่อน

    MBONA ISAKA HAIPITI TENA RELI HII YA SGR????? WACHINA WAMEKATAA KUPITIA ISAKA KWA AJILI MKUNJO WA NJIA YA ISAKA.

  • @user-yr3yi2yr6i
    @user-yr3yi2yr6i 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wachina wako fasta kuliko hao waturuki

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 2 หลายเดือนก่อน

      Hao waturuki kutoka moro kwenda makutopora wamejenga haraka kuliko kutoka dar kwenda moro

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 3 หลายเดือนก่อน

    Watz wasomi wajifunze kupitia mradi huu

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mkandarasi ana uwezo apewe reli yote

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo treni miakia 4 Sasa kipande Cha Moro dar teyari mbona hatu pandi

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 3 หลายเดือนก่อน

      Sehemu ni fupi mpaka pakamilike Dodoma 😂

  • @profAKILI
    @profAKILI 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tuwache kuzungumza bila vitendo.... Hii reli bado haibebi abiria...kujeni kenya muone reli ya kisasa

    • @mkutamajuto1549
      @mkutamajuto1549 3 หลายเดือนก่อน

      Ili itusaidie Nini? Nyinyi bakini na reli yenu na sisi hii ndy yetu

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 3 หลายเดือนก่อน

      Reli yenu ya diesel au! Pereka ushubwada wako huko

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 3 หลายเดือนก่อน

      Hatuna cha kujifunza kwenye hiyo treni yenu ya zilipendwa😂

    • @marcominja8850
      @marcominja8850 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa si bado ipo kwenye ujenzi, wanaanzaje kubeba abiria?

    • @harounzuberi8179
      @harounzuberi8179 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nyie na hiyo SGR au Gari moshi halafu kumbuka urefu wa hii SGR ya Tz ni ndefu mara tano ya hicho kimstari chenu kisichotumia umeme weeee Kenge Mkenya

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 3 หลายเดือนก่อน

    Majaribio hoeeee🤣🤣