RAIS EMBALO ATINGA TRENI YA SGR ALICHOKIKUTA HIKI HAPA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 มิ.ย. 2024
- DAR ES SALAAM: Rais wa Guinea-Bissau Umbaro Sissoco amesema yapo mengi ya kujifunza nchini Tanzania haswa katika suala la maendeleo ya Miundombinu.
Sissoco ameyasema hayo wakati akitembelea Reli ya Kisasa SGR ambayo imemfikisha Pugu kutokea Stesheni jijini DSM.
Akiwa ndani ya Treni hiyo ambayo imempeleka hadi kituo cha Pugu na kurejea amemweleza mwenyeji wake umuhimu wa kutembelea nchi ya Tanzania.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya ziara hiyo Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amewataka watanzania kujivunia mazuri yanayotekelezwa na viongozi wao, huku Mkurugenzi Mkuu wa TRC Masanja Kadogosa akieleza namna Reli hiyo inaumuhimu kwa mataifa hayo mawili katika kukuza uchumi. - บันเทิง
Gone but never be forgotten, Keep on sleeping True son of Mama Africa JJPM
Magufuli alibezwa wakati anaazisha ujenzi.
One men must be remembered, king JPM, well done rest in peace,,
Magufuri aliona mbali vizuri huwa havidumu
Wachumi kupamba watu sijui mradi ulianza mbali no tunaemjue siye Ni Dr John Pombe Magufuri yeye ndiye muhasisi wa mradi mpeni mtu kongore zake
Hakika umeongea, JPM atabaki kuwa Muasisi wa SGR hamna na wala hatatokea mwingine.
Rest In Peace Papa.
RIP JPM 😭😭😭
JPM Mungu akulaze Mahalo panapokustahili kwa maono yako nitakukumbuka maisha yangu yote natamani ungekuwepo na mengine ungeyaanzisha hongera piano mama kwa kuyaendeleza
Magufuli alisema mpaka wazungu waje kungalia kazi anayo fanya
Gone but not forgotten
Rest easy jpm
Ulikua na maono
Hatukusahau kwa alama hi
Mama samia kazi iendelee
Kazi mzuri mama Tanzania. Kwanza namsifu JPM kwa maono yake mazuri. Hadi alipotuacha alikuwa ameacha reli ya SGR katika vipande (lots) tatu; Dar - Moro, Moro - Dom na Mwanza - Isaka (stage ya mwanzo). Lakini SSH alipoingia madarakani siyo tu alisinzia bali kasi ya ujenzi iliongezeka ktk lots hizo. Lkn pia alianzisha lots zingine kama; Dom - Tabora, Tabora - Isaka, Tabora - Kigoma na Kigoma (Uvinza) - Msongati (Burundi). Ukiangalia utaona SSH amepiga kazi zaidi. Viongozi wote wanastahili pongezi. Big Up.
RIP JPM
Muendeleze sio wanakujakuwatembelea arafu baadae hao hao wanakuja kuwapita kimaendeleo kwani yametokea hayo , fanyeni kwa vitendo zaidi ya hapo, manake wabongo maneno mengi vitendo sifuri
R.I.P.JPM
Rip mzee wangu Magufuli😢😢😢
Mbeba maono ni Magufuli,
Mbeba maono ni Kikwete na Jpm msisahau, halafu mtekelezaji ni Magufuli
Hongera sana Mama SAmia kwa kuendeleza maono ya JPM na kuyafikisha mahali pake. You are supper woman! Tunakupenda sana. Endelea kuwasweka ndani wala rushwa na wanaotaka kuturudisha nyuma.
TRC mkiongozwa na mchapa kazi ndugu Masanja Kadogosa mnafanya kazi nzuri sana. I feel proud of my country. Keep it up
wasukuma wachapakazi we siunaona jpm miaka 6 tuu tanzania 🇹🇿 imeshafunguka AWAMU zingine miaka 10 hakuna lolote nilirudi bongo 2015 barabara zilikuwa kama ulimi wa nyoka hicho kilikuwa kipindi cha jakaya kikwete ilikuwa noma, Home boy we kaa nje ya Tanzania kwa miaka mingi kid0go harafu rudi bongo kabla ya kipindi cha jpm huwezi amini jinsi utakavyoiona bongo utafikiri haina viongozi bongo tupo nyuma kimaendeleo " jpm humfananishi na kiongozi yoyote waliopita hapo Tanzania labda Nyerere tuuu rais mwenye uthubutu, kikwete anasema yeye ndiyo alitoa wazo la kujenga reli ya treni ya umeme lakini hakujenga so ni alikuwa anafurahi nafsi yake lakini chuma toka chato akajenga na hskuna stori
Hongereni saana shirika la Reli
Huyu kiongozi nilijua ziro siku alipo sema system za malipo zina sumbua na kashindwa kusimamia foleni nikajua tu huu mradi kutoboa ni ngumu
Magufuli apewe maua yake huko aliko❤
Arusha To Nairobi,Dodoma Arusha Dododoma Mbeya to Tabora mikoa yote ingunanishwe na pia viwanja vya ndege vyote vikubwa itapendeza sana .
Kadogosa anachanganya Guinea Bissau (Afrika magharibi karibu na Senegal) na Equitorial Guinea (Afrika ya kati karibu na Cameroon)
Wapuuzi. Ni MAAMUZI YA MAGUFULI KUIJENGA RELI, UMEME, FLYOVERS ETC. VIVA MAGU VIVA
Magufuli - alikuwa na maono makubwa.
Mungu amlaze mahali pema peponi.
R.I.P JPM
Guinea Bissau IPO mbali sana mheshimiwa
Train aiendi mwanza tena ni kigoma😂😂😂
Viva JPM
😭😂😂😂😂😂😂 kiongozi mkubwa hajui Guinea Bissau ipo upande gan wa Afrika et Central Africa 😂😂😂😂😂 maskin Kodi zetu
Inatokea hiyo wala sio tatizo hata wao watu magharibi hawana mpango na sisi hawajui tu Tanzania ipo wapi, nilishakutana na wa cameroon zaidi ya watatu kwa wakati tofauti wananiuliza Tanzania iko wapi, mmoja alisema tumepakana na south Afrika mwengine alithubutu kusema majirani zetu ni algeria sababu accent ya lugha yetu inakaribia kama kiarabu au kifaransa mwengine aliniuliza kama tupo karibu na ethiopia at least nowadays Nigeria huitambua Tanzania ipo karibu na Kenya tena hasa sababu ya kipindi cha covid tulijulikana sana kimataifa sababu mjomba Magu, dunia iliweka brake down yeye alifungua na Kenya wakafuata hivyo wengi wakaanza kuifuatilia Tz na hasa raisi magufuli na misimamo yake, ndio maana nchi kama Jamaika wenye asili ya Afrika ila wapo bara la America waliomboleza msiba wa magufuli tena kitaifa.
@@nassercurtis9579 Lakini huyo n Msomi amesoma iweje ashindwe kutambua kitu ambacho hata Mdg Wang wa darasa la tatu anakijua 😂😂😂😂😂😂😂
Tz to guinea Bissau mbali Sana
June 2024 but still
Safi sana
Kadogosa ndugu, Guinea Bissau iko Senegal bro. Wacha usijizongeshe chungulia map kidogo
Guinea Bisau iko Senegal???? Kweli??
Sio iko karibu Burundi
Na wewe umechemsha!
Kichwa siyo kile kilichokua kinatangazwa mtandaon ap tumepigwa
Kwahiyo reli haiendi tena mwanza,? ni Tabora, kigoma hadi isaka?
Pesa zitaliwa na wafanyakazi.
Genius
Magufuli mamboyalikua bilakwenda nnchi Za nnje wala mikopo
Jina lake mbona linawakosewa ni lipi sasa? EMBARO au EMBALO??
Embalo
Yote sawa tu.
Aliyebuni huu mradi ni nani?Wanaomsema na waseme mi mtanzania namkubali kulikoni sitaki nimtaje jina najua alipo ana amami Tena kubwa aliiheshimisha nchi atakaekubali akubalianaekataa shauri yake