HII HAPA SAFARI SGR DAR HADI MORO, NDANI YA TRENI YA SGR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 มิ.ย. 2024
  • HII HAPA SAFARI KWA KWANZA DAR MORO

ความคิดเห็น • 96

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 12 วันที่ผ่านมา +16

    Magufuri alikuwa ni raisi mwenye maamuzi magumu na maono ya mbali ,,angekuwepo angeshaanzisha kitu kingine unique kabisa .R.I.P ancle

  • @yesesalambwe9420
    @yesesalambwe9420 12 วันที่ผ่านมา +13

    Hongereni sana kwa kufanikisha safari hii! ila mjipange, maana hiyo idadi ya watu itaongezeka mara dufu zaidi!

  • @chumamasunga8855
    @chumamasunga8855 12 วันที่ผ่านมา +12

    Huku ndo pakusafiria sasa, hakuna wapiga debe huku💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 12 วันที่ผ่านมา +14

    Mshukuruni sana hata kama alikuwa dikteta ayati Magufuli, zaidi na zaidi mama Samia Suluhu Hassan kaweza kukamilisha....Ukipenda maendeleo jinyime raha kwanza....

    • @vt-kn6qf
      @vt-kn6qf 12 วันที่ผ่านมา

      What is the meaning of "dictator "

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 12 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂 dah Uongozi ni kazi saana haya ndugu tunakushukuru kwa Maoni

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 9 วันที่ผ่านมา

      Unaujua udikteta vizur wewe

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 11 วันที่ผ่านมา +2

    Jpm mwamba wa miundo mbinu Tanzania ulale salama chato.Hongera pia serikali ya TZ kwa kazi hii nzuri.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 12 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera sana kwa nchi yangu Tanzania ila ongezeni mabehewa mpige hela haraka tuludishe mikopo ya watu.

  • @joshuachimwejo5892
    @joshuachimwejo5892 12 วันที่ผ่านมา +5

    Pongezi nyingi kwa serikali ya awamu ya 5 na 6 na Watanzania wote kwa ujumla. Kwakweli kazi imefanyika.
    Ombi langu kwa TRC ni kujitahidi kusimamia viwango vya huduma h ambayo tumeviona siku ya kwanza viendelee siku zote, tujitahidi tusije tukawa kama BRT, ilianza vizuri sana, lakini katikati ya safari mambo yakawa tofauti!
    Watanzania pia, tuipende, tuilinde, tuitunze, tuwe uchungu na tuwawajibishe wale wote watakakuwa na nia ovu ya kutaka kuharibu miundombinu yetu. Kitunze kidumu!

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 12 วันที่ผ่านมา +9

    Kutengenezwa parking za kulipia. Mtu anaacha gari anaenda Dar akirudi anachukua gari anaondoka.

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 3 วันที่ผ่านมา

      Ninakiwanja kikubwa jirani wako kwenye michoro ya parking ndio biashara nayotarajia mpendwa

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 12 วันที่ผ่านมา +7

    ... Mimi yoo mimi yooooo KIMBINYIKO bai bai... Bado nakuoenda ABOOD, NEW FORCE bai bai.. narudi kwa BABA na MAMA KATARAMA bau bai .....

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 12 วันที่ผ่านมา +3

    Kiongozi SGR inafanya kazi kubwa kwani kutakuwa na utalii kila weekend Dar to Moro Kwa hiyo hongera sanaa

  • @niolaussdavid
    @niolaussdavid 12 วันที่ผ่านมา +6

    kuna vitu kama kuku na vitu vya kunuka nuka viachwe ule utamaduni wa zamani uishe

  • @henrynyanswi2132
    @henrynyanswi2132 11 วันที่ผ่านมา +3

    Jambo la maana ungekuwa safari zinaanzia Morogoro kwenda Dar, ili wafanya biashara wawahi kufika Dar kufunga mizigo na wengine kuuza bidhaa sasa ratiba ya sasa ni kama inawanufaisha watu fulani

  • @MM-oe2eo
    @MM-oe2eo 12 วันที่ผ่านมา +4

    Kadogosa, one of the best CEO. Ila yote kwa yote tumshukuru sana yule mzee amelala pale Chato, na Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan kwa kumalizia. Najua figisu figisu nchi hii ni nyingi mno, ila maza amekomaa. Hapa kwa kweli na ubishi wangu, nasema MITANO TENA😂😂😂😂

    • @bonosaugustine6545
      @bonosaugustine6545 12 วันที่ผ่านมา +2

      😂😅 mm mwenyew na sapoti mitano tena Maza kakomaa kwelikweli

    • @johanesbina1302
      @johanesbina1302 12 วันที่ผ่านมา +2

      🤣 🤣 🤣 Mm sitaki hata mitano

  • @GodlivenMaximillian-ot7mg
    @GodlivenMaximillian-ot7mg 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mpendwa Mkurugenzi watanzania sio wanapenda usafiri wa treni , wanapenda usafiri wa haraka - watu hawataki kuchelewa sasa hivi

  • @lakasid3860
    @lakasid3860 10 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania yetu 👏🇹🇿

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 วันที่ผ่านมา

    Jpm Mungu akuweke mahali panapostahili

  • @DeodatusiLyaruuu
    @DeodatusiLyaruuu 12 วันที่ผ่านมา +3

    Pongezi Kwa uwongozi Kwa kukamilisha hadi hapa walipo fika mm kwangu najisijia raha Sana maana nipo dar ila nalima mrogoro kwaiyo imenirahisishia Sana weekend moro jumapil nalud

  • @saimzmuiruri
    @saimzmuiruri 5 วันที่ผ่านมา +1

    Congratulations, Tanzanians, on the maiden SGR trip. 🇰🇪

  • @cmantz8837
    @cmantz8837 12 วันที่ผ่านมา +5

    Ila naye masanja kadogosa ni mtu nanusu anaiweza leli

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct 12 วันที่ผ่านมา

      mpambanaji jamaa......hana longolongo

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 11 วันที่ผ่านมา +1

      Wasukuma watu wa kazi…siyo MIDEBWEDO ya Pwani

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 11 วันที่ผ่านมา +1

    Daah watu wanaanza kukimbizana wasije kubanwa na milango😂😂😂watanzania bwana sijui tutaendelea lini!

  • @HudahDidas
    @HudahDidas 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ratiba ya safari

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 12 วันที่ผ่านมา +3

    Nchi yetu imebarikiwa

  • @liberatedpeople6054
    @liberatedpeople6054 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu waziri mnafiki kweli anaiga kama Magufuli 😂 eti anajua idadi ya mifugo nchini

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 12 วันที่ผ่านมา +4

    Pongezi kwa Awamu ya 6 inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Pongezi kwa Wizara ya Uchukuzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿

  • @paskalilameki9568
    @paskalilameki9568 12 วันที่ผ่านมา +2

    Ongela.tanzania

  • @DeodatusiLyaruuu
    @DeodatusiLyaruuu 12 วันที่ผ่านมา +1

    Pongezi Kwa uwongozi Kwa kukamilisha hadi hapa walipo fika mm kwangu najisijia raha Sana maana nipo dar ila nalima mrogoro kwaiyo imenirahisishia Sana weekend moro jumapil nalud Dar kazin

  • @henrynyanswi2132
    @henrynyanswi2132 11 วันที่ผ่านมา +1

    Ratiba yake inawakwepa wafanya biashara, wafanyakazi na Abiria nk kutoka Morogoro kwa asubuhi na jioni/ usiku

  • @noelswai2660
    @noelswai2660 11 วันที่ผ่านมา

    Tanzania nchi yangu 💙🇹🇿🙏

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 12 วันที่ผ่านมา +1

    Usafi na mapato ya hii biashara kutokwenda mfukon mwa wajanja ndo jambo la msingi pili serikali kuwa makin na wachezea mifumo na wahalibifu wa miundombinu watu hao kesi yao iwe miaka 40 jera

  • @paulgitau6055
    @paulgitau6055 7 วันที่ผ่านมา

    Treni ipo sasa, safari ya kulipa loan sasa imeanza.

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 12 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani ni raha

  • @gwakisamwakilema
    @gwakisamwakilema 12 วันที่ผ่านมา +4

    Pongezi kwa hatua hii.

  • @zephaniaernestmagoma5521
    @zephaniaernestmagoma5521 12 วันที่ผ่านมา +2

    Nice

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 12 วันที่ผ่านมา +2

    Ilikuwa na kichwa mchongoko

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 12 วันที่ผ่านมา +1

    MINA SEMA UO MWENDO MZUR SANA WAKISEMA WETEMBEE ULE MWENDO MALA MBUU AKUNA NAE TOKA APO BOLA MWENDO UO UO KWAKWERRRR LADI WATU WAFIKE SALAMA

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 11 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa mbon tren haifiki tabora kilamara ni dar na dodom

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 9 วันที่ผ่านมา

    Hata kukuza miji na bashara viwanda kilimo bustani za matunda na vegetables

  • @amirjuma9395
    @amirjuma9395 12 วันที่ผ่านมา +1

    Nashauri viongozi msiwe mnapanda chombo wote kama mlivyo fanya ikitokea limetokea la kutokea nani atasema 😅😅 mpeane majukumu mgurugezi kapanda naibu kapanda katibu kapanda sio kweli

  • @bangarocky8925
    @bangarocky8925 9 วันที่ผ่านมา

    nashauli treni ingeanzia moro saa 12 kwenda daa kwakua abilia wengi wanatoka moro asubuhi wanafata biashala jioni wanarudi moro

  • @EliSimwela
    @EliSimwela 9 วันที่ผ่านมา

    Ni fahari kubwa kwa Watanzania wote

  • @trueexplorer894
    @trueexplorer894 12 วันที่ผ่านมา +1

    Wee mtoto wa kihindi umefikaje fasta wakati bado upo safarini?

  • @jworld1480
    @jworld1480 12 วันที่ผ่านมา +1

    r.i.p jpm tutakuku,buka umeacha alama vizazi na vizazi umekuwa kama wakoloni walivyojenga reli ya 1909

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 11 วันที่ผ่านมา

    The camera ain't clear, plz make some adjustment

  • @SelemaniChanzi
    @SelemaniChanzi 11 วันที่ผ่านมา +1

    Tupeni ratiba za safali na muda

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 12 วันที่ผ่านมา +1

    Hizo ngazi vipi......

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 12 วันที่ผ่านมา +1

    Umasikini unatuletea maajabu ya wasomi wetu ktk uchawa, Badala ya kusimamia kile ambacho unacho ktk Elimu yenu, Mnakuwa chawa wa watawala!

  • @doniciancalist164
    @doniciancalist164 12 วันที่ผ่านมา +1

    Sema station ya DSM kwa nje inaonekana chafu mavumbi mengi kwenye vioo atafutwe service provider anayeweza kukidhi kutoa huduma kwa machine za kisasa kwenye usafi

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct 12 วันที่ผ่านมา

      kwa nje kweli.....Ndani ni nyingine kabisa

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 9 วันที่ผ่านมา

    Huku ndo kuzuri sasa hakuna wapiga debe😂😂

  • @ghottaman2570
    @ghottaman2570 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kaka Kado, kwa akili zangu za kipuuzi nahona chuma iko sawa ila chini kuna sehemu kama reli aiko sawa kuna mitikisiko flani ivi bahazi ya sehemu au mshika kamera ana kimue ume cha safari nini?!!

    • @wilsondaudjackson7996
      @wilsondaudjackson7996 12 วันที่ผ่านมา

      Hiyo ni kosa la Camera man. Treni haiyumbi hata kidogo

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n 12 วันที่ผ่านมา +3

    wakenya vipi kuhusu hili mwageni commmets zenu

    • @MARK-nh4hx
      @MARK-nh4hx 12 วันที่ผ่านมา

      Tushakubali, hapo Kwa traini hatukaribiii hata kidogo😂 ..kongolee..majirani..au mahaters wetu

    • @kingjoshuamhuamk2559
      @kingjoshuamhuamk2559 12 วันที่ผ่านมา

      Traini zimo sawa sioni rire ribaya kama mkenya

    • @t1910j
      @t1910j 12 วันที่ผ่านมา +1

      Achana na Wakenya. Uchokozi huo

  • @nzigeprofilelives6259
    @nzigeprofilelives6259 12 วันที่ผ่านมา +1

    Tunataka kuona utekerezaji na sio maneno mengi , baada ya miaka 5 shirika life

    • @user-ej5ir5pu7r
      @user-ej5ir5pu7r 12 วันที่ผ่านมา

      Majungu tu!ndoishakua ss kafe sasa

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 5 วันที่ผ่านมา

    Dodoma bado

  • @stevenmlingi9687
    @stevenmlingi9687 8 วันที่ผ่านมา

    muda gani kutoka dar to moro

  • @mosesmasanja8295
    @mosesmasanja8295 12 วันที่ผ่านมา +1

    INATUMIA MUDA GANI KUFIKA? PIA INASIMAMA VITUO GANI?

  • @sephaniangulo4035
    @sephaniangulo4035 11 วันที่ผ่านมา

    ❤🇹🇿❤️🇹🇿❤️🇹🇿

  • @amanzuberi2138
    @amanzuberi2138 11 วันที่ผ่านมา

    Kwnin wahudum watren wasiwe wakiume pia

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 11 วันที่ผ่านมา

    Naibu waziri ,capital na mtaji nini unaongea ?

  • @danogeto78
    @danogeto78 11 วันที่ผ่านมา

    Hongela 😂😂😂😂 Majilaniii wetu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    Tleni lenu labeba mizigo??🇹🇿

  • @MaghobaGeorge-lq4yg
    @MaghobaGeorge-lq4yg 12 วันที่ผ่านมา +1

    Dar dodoma lini?

  • @mcback4384
    @mcback4384 12 วันที่ผ่านมา +1

    Punguzeni upumbavu wa kuhoji muda wote officials tu, sasa wahoji wasafiri waseme wenyewe experience yao hao viongozi tumeshawasikia tumechoka

  • @kisutabora5914
    @kisutabora5914 12 วันที่ผ่านมา

    Online booking haifanyi kazi…

  • @EmmanuelSima-qz1gd
    @EmmanuelSima-qz1gd 12 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂 yan siasa bhn et mayai 4 b, mbn sjawaona mje kuhesabu kwangu

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw 12 วันที่ผ่านมา +1

      wamehesabu bwana ww ujaona tu😂😂

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 12 วันที่ผ่านมา

    Hayo madirisha hayafunguki ,sa tuta nunuaje mahindi, nyanya ,miwa ??

    • @emmanuelmwambona3438
      @emmanuelmwambona3438 12 วันที่ผ่านมา

      😂😂

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct 12 วันที่ผ่านมา +1

      kama unataka Mahindi nenda kwenye MGR....inaruhusiwa huku tunahitaji usafi....kulakula NO

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 12 วันที่ผ่านมา

      @@UnitedAfrica-uw9ct wamesema hii ndo itachukua nafasi ya MGR

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct 12 วันที่ผ่านมา

      @@nasibugunda7927 Hapana MGR inaendelea kama kawaida....na hata hii SGR zitakuwepo za madaraja tofauti

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 11 วันที่ผ่านมา

      Hahahaaa😂😂😂

  • @jebace
    @jebace 12 วันที่ผ่านมา +1

    mark my word after 2 yrs the whole system is failed.

    • @kombidin..2583
      @kombidin..2583 12 วันที่ผ่านมา

      Only an idiot can mark your words

    • @Nick16697
      @Nick16697 12 วันที่ผ่านมา

      Yote hio? Hizo behewa kwanza zitachafuliwa humo ndani kila mahali

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 12 วันที่ผ่านมา +2

      Dua la kuku hilo halimpati mwewe abadani

    • @giftmeela6250
      @giftmeela6250 11 วันที่ผ่านมา

      We ni mchawi nini?😅

  • @fredducaunt
    @fredducaunt 11 วันที่ผ่านมา

    😂😂 shida Tanzania hakuna value ya aesthetics (muonekano)
    Kwahiyo soon hizi treni zitachakaa kama mabasi ya mwendokasi
    Watanzania tunadamu ya kiafrika
    ...If it goes its good...😂😂
    Hatujali mwonekano wake
    Na pia hatuna uwezo wa kukimaintain kwa hiyo kitu tutakitumia mpaka kiishilie😂😂

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 4 วันที่ผ่านมา

    Sanaa hapo ni samaki na vegetable Kwa ujumla sasa Dar wanapata salad za maana 😂😂😂

  • @HudahDidas
    @HudahDidas 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Ratiba ya safari