ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

NILIMKABIDHI MAGUFULI MRADI WA SGR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 มิ.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 72

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 หลายเดือนก่อน +16

    Huyu mzee wakti mwengine anazingua sana.

    • @malcomx4067
      @malcomx4067 หลายเดือนก่อน +1

      Sio kuwa ananzingua, ni mnafiki

  • @ReachOut3004
    @ReachOut3004 หลายเดือนก่อน +7

    Legacy inatengenezwa, haizungumzwi. VIVA MAGUFULI

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 หลายเดือนก่อน +1

      Na mji wake wa kingamboni upo wapi 😂😂😂 mzee anapenda kick za bure

  • @MembeMohamed
    @MembeMohamed หลายเดือนก่อน +6

    Huna cha kujiproud kwa watanzania live jpm legacy

  • @Anza_tz
    @Anza_tz หลายเดือนก่อน +5

    Huyu mzee sindiyo alishindwa kuwadhibiti tanesco daaah nakumbuka tuliteseka sana umeme enzi zake

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 หลายเดือนก่อน +7

    Mzee ukiwa unafanya mambo Yako, Jaribu kuwa unatukumbuka na watanzania wenzako wa hari yachini Mzee..
    Ulitujengea daraja la kulipia pale kigamboni. Tunateseka sana pale Mzee Kikwete.
    Mzee tunateseka kulipia pale. Ni watanzania walewale tunaotumia Lile daraja ndiyo tunaouumia Mzee.
    Jaribu kutupndolea hiyo shida.
    Nakushauri chukua fungu mara moja ukalipe Hilo deni ili tupite Bure pale Mzee.
    Kumbuka kwamba nchi hii miundombinu mingi nchi hii inajengwa kwa pesa za walipa Kodi wote bila kujari ukanda....
    Hivi ulifikiria nn Mzee mpaka ukaaamua pale tuwe tunalipia ili Hali madaraja mengine tunapita Bure???

  • @philipombwambo1980
    @philipombwambo1980 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu mzee mwongo sana

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน +4

    TANZANIA NZIMA LINAKOMBA MABILIONI YA WANYONGE LINAKURA YEYE NA FAMILIA YAKE

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน +8

    WEWE MZEE NI MUUNGO SANA MZEE MZIMA

    • @bakarijumakupaza4351
      @bakarijumakupaza4351 หลายเดือนก่อน

      Na BRT, TERMINAL 3 Dar ni miradi ya JK. Sisi hatuna kumbukumbu za kuku kama wewe.

    • @hajimgwami5224
      @hajimgwami5224 หลายเดือนก่อน

      ​@@bakarijumakupaza4351 HAWAZI KUJUA MASKNI ZAO NI CHUKI TU, FLYOVER YA UBUNGI NA TAZARA MKATABA ULIINGIWA WAKAT WA JK NDIO MAANA ALIPOINGIA TU JPM AKAANZA NAO, MKOPO ALIOMBA LINI, TENDA ALITANGAZA LINI, SO WATU WENYE CHUKI NI CHUKI TU KAKA, MROGANZILA, BARABARA KIBAO MIKOANI, SECONDARI NCHINZIMA NA MSINGI, RAIS KWEMWE UWELEWA UWA ANAANZA NA VITU MUHIMU KWENYE TAIFA SIO KUKURUPUKA

  • @user-qx4pc3rx8g
    @user-qx4pc3rx8g หลายเดือนก่อน +7

    Acha uongo mzee relie yako ilikua Ile ya kawaida yy akasema hapana anajenga ya umeme na wewe uliwai kukiri

    • @birianination7097
      @birianination7097 หลายเดือนก่อน

      Bongo kwa ubishi bwana, mbona hili hata halija jificha, tena mbali na mradi kuanzwa na Jakaya pia aliweza pata mkopo bora wa ujenzi ambao Magu alizingua mpaka tuka kopa ndani

    • @birianination7097
      @birianination7097 หลายเดือนก่อน +1

      Ila pia Magufuli ndio aliye lazimisha iwe ya umeme, jambo litakalo tunufaisha wote

  • @user-sr6tr7ko7w
    @user-sr6tr7ko7w หลายเดือนก่อน +5

    Huyu mzee ndo anatuharibia nchi, sijui mnamhoji wa nn, anazingua Sana.

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน +3

    LINAPENDA KURA MAISHA YEYE NA FAMILIA YAKE TOKA HAPA MUONGO MKUBWA.WEWE SASA KUNAMITANDAO UNAYOSEMA YAKO KATIKA KUMBUKUMBU

  • @dominic4727
    @dominic4727 หลายเดือนก่อน +4

    Hawezi kumfikia Magufuli magu ni mashine ya kazi

    • @bakarijumakupaza4351
      @bakarijumakupaza4351 หลายเดือนก่อน +1

      Magufuli kakuta mradi wa BRT na Terminal 3 .

    • @dominic4727
      @dominic4727 หลายเดือนก่อน

      Nani alikua waziri wa ujenzi

    • @bakarijumakupaza4351
      @bakarijumakupaza4351 หลายเดือนก่อน

      @@dominic4727 Waziri wa ujenzi sio planner. Master plan alikua Kikwete, na ndie aliyeenda IMF na world Bank. Waziri wa ujenzi hajulikani nje ya nchi kuomba mikopo.

  • @mangobase
    @mangobase หลายเดือนก่อน +4

    Hata bandari ya bagamoyo nayo ulimkabidhi... JPM... Hata sisi tunajua

  • @MedardMushobozi
    @MedardMushobozi หลายเดือนก่อน +1

    Rais wangu Mpendwa Jk .sikuoingi lkn wewe ulikuwa Rais wa mipango lkn hukuwa na uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa.Uliacha mipango ya umeme wa gesi lkn hatukkuona, hiyo reli hukufhubutu, kuhamia dodoma hukuweza, meli mv bukoba ulituahidi 2005 hukuweza,,Bwawa la Nyerere hukuweza,kuhamia dodoma hukuweza,hata daraja la kwenu wami hukuweza,fryover hukuweza,Kila kitu wewe ilikuwa ni mipango tu, ATCL uliacha ndege moja tu lkn ulikuwa na mipango,mipango, mipango tuuuu??! Tunakushukuru Kwa UDOM, MLONGANZILA na taasisi ya moyo ya JK.WEWE Mzee wangu uliweza sana diplomasia,Kwa kweli hapo hakuna ubishi lkn mambo mazito mazito Mwamba wa chato JPM alikuwa na kifua kipana..hakwepeki❤❤

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mzee si ndio alishindwa fikisha maji hata kwa watu wake wa Chalinze?

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 หลายเดือนก่อน

      Unakumbuka alisema atajenga jiji jipya kingamboni , lipo wapi ?😂😂😂😂

  • @melchiadmbeho8040
    @melchiadmbeho8040 หลายเดือนก่อน +4

    Unafiki ni kitu kibaya sana.

    • @birianination7097
      @birianination7097 หลายเดือนก่อน +1

      Hapo kaongea ukweli wewe ndio ulete unafiki

    • @gilbertwerema9870
      @gilbertwerema9870 หลายเดือนก่อน

      @@birianination7097 kweli kabisa

  • @michaeljpm5597
    @michaeljpm5597 หลายเดือนก่อน +4

    Mzee JK kaongea vzr sana, kampa maua JPM na kanena vzr👏👏

    • @ototek8037
      @ototek8037 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ndo mshenz mwenyewe, akifa huyu nchi itakaa sawa

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Mzee alitakiwa awe mganga wakienyeji maana ni muongo na munafiki haijawahi kutokea

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 หลายเดือนก่อน

    Standard gauge Iko kwenye VISION 2025 ya Mkapa. Huyu alitaka avenge kwa mkopo wa Wachina kama Kenya tena iwe ya diesel. Alivyokuja Magufuli akawakataa Wachina na akaenda kwa Waturuki na akasema hajengi reli ya diesel, atajenga reli ya umeme na atapata umeme kwa kujenga bwawa la Umeme RUFIJI na Umeme wa Gesi Kinyerezi

  • @KidugoRashid
    @KidugoRashid หลายเดือนก่อน +2

    Mzee mnafki mipango simatumizi

  • @malcomx4067
    @malcomx4067 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa upole wakiunafiki wa huyu mzee unaweza kufikiria kondoo kumbe mbwa mwitu.

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 หลายเดือนก่อน +2

    HUYU MZEE ANAPENDA SIFA HATA AMBAZO HANA😂😂😂

  • @liberatedpeople6054
    @liberatedpeople6054 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe unaweka mataluma wenzako wanaleta kitu cha mchongoko huyu mzee bhana

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 หลายเดือนก่อน +1

    Maneno meeengu. Vitendo hamna

  • @willymdeka6034
    @willymdeka6034 หลายเดือนก่อน +1

    Ni bora angekaa kimya tu

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน +2

    KWELI UKIWAMZEE UNAKUWA KAMA MTOTO

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน +2

    PUMBAVU LIUJUMU UCHUMI

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน +2

    UTAIACHA MIBILIONI PUMBAVU

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน +1

    HAYO MAWANI ALIOVAA UYU JAMBAZI MUUAJI NI YANAMAFINI YA TANZANITE HICHO NDICHO ANACHOKIPENDA

  • @mrshazychannel3359
    @mrshazychannel3359 หลายเดือนก่อน +2

    Ohh leo acha niwe first to comment hapa

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน +2

    liangalie linanuka damu za jpm na mawaziri

  • @chriskudilla5355
    @chriskudilla5355 หลายเดือนก่อน

    Mhhh kazi kweli kweli

  • @omaryngitu2443
    @omaryngitu2443 หลายเดือนก่อน

    Sijui kwanini huyu mzee watu wanamponda sana wakati amefanya mengi sana,nahisi wengi ni vijana wadogo,ameongeza shule za kata,ameongeza mtandao wa barabara nchini,amejenga mwendokasi,ameongeza vyuo vikuu tanzania,aliajiri watumishi wengi,aliongeza mishahara kutoka hali ya chini sana kufikia angalau,alijenga daraja la malagarasi,kigamboni,na tazara ambalo alilifungua hayati magufuli,hata mradi wa reli alikuwa akiuzungumza wakati wa utawala wake,ifike wakati vyombo vya habari vioneshe kazi zilizofanyika tawala zilizopita ili vizazi vya sasa vijue,vingine tutakuwa tunafuata mkumbo na kuharibu sifa za watu.

  • @i_prime317
    @i_prime317 หลายเดือนก่อน

    “Dead men tells no tell” 😢R.I.P Magufuli🕊️

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน +1

    LINAKUONGOPEA JIZI LINA MADA KESI ZA MAUAJI JPM NA MAWAZIRI

  • @Loftyattorneys
    @Loftyattorneys หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 dah aisee am speechless

  • @daviddonatus8121
    @daviddonatus8121 หลายเดือนก่อน

    Hacha story zako hakuna anaye jua hayo maana wote wameshafariki lakin nakupa big up pia ulifanya yako mazuri pia

  • @user-dk8uf8ho9s
    @user-dk8uf8ho9s หลายเดือนก่อน

    Kwann mnamuita mzee muongo while yeye ndie alikua mwenyekiti wa chama,na magufuli alitekeleza ilani aliyopewwa na ccm ambae bosi alikua Jakaya??
    Acheni kutokana viongozi wenu

  • @mkalimala3564
    @mkalimala3564 หลายเดือนก่อน

    HAPO NDO NACHEKA ETI ANAKUULIZA SWALI KISHA ANAKUJIBIA MWENYEWE ALIYEULIZA 😂😂😂MANIPULATOR [ VIVA MAGU FIRE VIVA ]

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk หลายเดือนก่อน +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน

    LINABADILISHA HISTORI YAKE ALIOSEMA WAKATI JPM YUPO DONIANI UNAONA TUMESAAU NINI

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo
    @MsanangoMwalabu-rx1oo หลายเดือนก่อน

    Mmefuta comments

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน

    UTAWALA WAKO UNACHOCHOTE ULICHOKIFANYA ZAIDI YA WIZI NA UJAMBAZI

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc หลายเดือนก่อน

    Huna baya, ishi daima

  • @Nedjadist
    @Nedjadist หลายเดือนก่อน

    Sisemi kitu, maana nitatukana tu. Hali za Watanzania ni duni hata kuliko Wacomoro, Wamalawi au Wamsumbiji....pamoja na mipesa mingi mliochukua. Ubinafsi, kusafiri....hmna huruma hata kidogo na Watanzania nyie...pam acha nisitukane!

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv หลายเดือนก่อน +1

    Kwenda huko wewe mzeee na acha uongo wako , wewe na kundi lako mlimchukia magufuli saaana labda watoto wadogo ndiyo utawadanganya voetsek

    • @gilbertwerema9870
      @gilbertwerema9870 หลายเดือนก่อน +1

      Ukweli ni kwamba wazo la SGR lilibuniwa na kutayrishwa katika kipindi cha awamu ya nne, serikali ya awamu ya sita ikaanza utekelezaji. Serikali hizi huwa zinapokezana kijiti

    • @gilbertwerema9870
      @gilbertwerema9870 หลายเดือนก่อน

      ..........sorry, awamu ya tano wakaanza utekelezaji

  • @Patriot_kenyan
    @Patriot_kenyan หลายเดือนก่อน

    Muongo wewe baba nchi ilikuwa corrupted during your time

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 หลายเดือนก่อน

    Kwani lazima kumusema magufuli?

  • @jumanuru2656
    @jumanuru2656 หลายเดือนก่อน

    Ili zee bwabwa kweli sijui kwanini liko hai

  • @temekepamoja2757
    @temekepamoja2757 หลายเดือนก่อน

    Muongo muongo sana uyu mzee

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui หลายเดือนก่อน

    HUYU MJINGA WA MAWAZO UUZEE UNAKUTIA UJINGA

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe222 หลายเดือนก่อน

    SISI WATANZANIA HATUJISHUGHULISHI NA UTAFITI NA HATA KUJISOMEA,NA TUNAENDESHWA NA HISIA,HATUELEWI NAMNA SERIKALI INAVYOENDESHWA.
    MNAFIKIRI KUNA CCM MBILI?KWA NN UKAE MTANDAONI UKIUMIZA KICHWA CHAKO ETI HUU MRADI NI WA KIKWETE AU MAGUFULI,HUKU UKIJUA WAZI KUWA SERIKALI NI HIYO HIYO MOJA YA CCM?