ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
NILIMKABIDHI MAGUFULI MRADI WA SGR
แชร์
ฝัง
ขนาดวิดีโอ:
- เผยแพร่เมื่อ 24 มิ.ย. 2024
- 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
ความคิดเห็น • 72
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVATRC RELI TV
มุมมอง 23K
MAGUFULI'S LAST POWERFUL SPEECH AS TANZANIAN PRESIDENT!! #RIPMAGUFULIKenya Digital News
มุมมอง 91K
Friends make memories together | Trà Đặng #short #bestfriend #bff @dudufamily3003pnctTrà Đặng Official
มุมมอง 5M
Tom&Jerry🥰Real funny Twist 🤣 #shorts #shortvideoKrishna Avyu
มุมมอง 27M
สุดดยอดการ์ตูนช่อง 9 ที่พลาดไม่ได้ของ ชาโม่คุงOnline Station
มุมมอง 249K
കത്തുന്ന ബ്രിട്ടന് | UK sees worst riots in 13 years, fueled by 'false rumours' | Out Of FocusMediaoneTV Live
มุมมอง 269K
Kim Jong un drives Putin during state visit to North KoreaThe Times and The Sunday Times
มุมมอง 6M
HAKUNA KILICHOSIMAMA!!! DARAJA LA JP MAGUFULI KIGONGO-BUSISI KUKAMILIKA DESEMBA 30 MWAKA HUUWizara ya Ujenzi
มุมมอง 13K
ROBOTI KUBWA LILIVYOMPELEKEA RAIS SAMIA KIFURUSHI CHA 5GWasafi Media
มุมมอง 391K
വാളും ബൈബിളും വെച്ച് നടത്തിയ കൂട്ടക്കൊല! | Balachandran Chullikkadu | The SignatureThe Signature
มุมมอง 17K
Harley Quinn's desire to win!!!#Harley Quinn #jokerHarley Quinn with the Joker
มุมมอง 1.9M
เหนื่อยหน่อยนะ (SOMEONE LIKE ME) - GEMINI Prod. by URBOYTJ [ OFFICIAL MV ]RISER MUSIC
มุมมอง 140K
ถือของห้ามปล่อย 10 นาที ได้ 500 บาท #aum_ccp #shortsAUM_CCP
มุมมอง 24K
หนุ่มส่งเอกสารเมาอาละวาด ถูกวิสามัญดับ | ข่าวเที่ยงช่องวัน | สำนักข่าววันนิวส์ข่าวช่องวัน
มุมมอง 611K
ลูกชิ้นทอดเจ๊ซิมจักรวรรดิ เหลาปลาร้ากุ้งสด ใครจะอดใจไหว!! | BB MemoryBB Memory
มุมมอง 193K
Huyu mzee wakti mwengine anazingua sana.
Sio kuwa ananzingua, ni mnafiki
Legacy inatengenezwa, haizungumzwi. VIVA MAGUFULI
Na mji wake wa kingamboni upo wapi 😂😂😂 mzee anapenda kick za bure
Huna cha kujiproud kwa watanzania live jpm legacy
Huyu mzee sindiyo alishindwa kuwadhibiti tanesco daaah nakumbuka tuliteseka sana umeme enzi zake
Mzee ukiwa unafanya mambo Yako, Jaribu kuwa unatukumbuka na watanzania wenzako wa hari yachini Mzee..
Ulitujengea daraja la kulipia pale kigamboni. Tunateseka sana pale Mzee Kikwete.
Mzee tunateseka kulipia pale. Ni watanzania walewale tunaotumia Lile daraja ndiyo tunaouumia Mzee.
Jaribu kutupndolea hiyo shida.
Nakushauri chukua fungu mara moja ukalipe Hilo deni ili tupite Bure pale Mzee.
Kumbuka kwamba nchi hii miundombinu mingi nchi hii inajengwa kwa pesa za walipa Kodi wote bila kujari ukanda....
Hivi ulifikiria nn Mzee mpaka ukaaamua pale tuwe tunalipia ili Hali madaraja mengine tunapita Bure???
Huyu mzee mwongo sana
TANZANIA NZIMA LINAKOMBA MABILIONI YA WANYONGE LINAKURA YEYE NA FAMILIA YAKE
WEWE MZEE NI MUUNGO SANA MZEE MZIMA
Na BRT, TERMINAL 3 Dar ni miradi ya JK. Sisi hatuna kumbukumbu za kuku kama wewe.
@@bakarijumakupaza4351 HAWAZI KUJUA MASKNI ZAO NI CHUKI TU, FLYOVER YA UBUNGI NA TAZARA MKATABA ULIINGIWA WAKAT WA JK NDIO MAANA ALIPOINGIA TU JPM AKAANZA NAO, MKOPO ALIOMBA LINI, TENDA ALITANGAZA LINI, SO WATU WENYE CHUKI NI CHUKI TU KAKA, MROGANZILA, BARABARA KIBAO MIKOANI, SECONDARI NCHINZIMA NA MSINGI, RAIS KWEMWE UWELEWA UWA ANAANZA NA VITU MUHIMU KWENYE TAIFA SIO KUKURUPUKA
Acha uongo mzee relie yako ilikua Ile ya kawaida yy akasema hapana anajenga ya umeme na wewe uliwai kukiri
Bongo kwa ubishi bwana, mbona hili hata halija jificha, tena mbali na mradi kuanzwa na Jakaya pia aliweza pata mkopo bora wa ujenzi ambao Magu alizingua mpaka tuka kopa ndani
Ila pia Magufuli ndio aliye lazimisha iwe ya umeme, jambo litakalo tunufaisha wote
Huyu mzee ndo anatuharibia nchi, sijui mnamhoji wa nn, anazingua Sana.
LINAPENDA KURA MAISHA YEYE NA FAMILIA YAKE TOKA HAPA MUONGO MKUBWA.WEWE SASA KUNAMITANDAO UNAYOSEMA YAKO KATIKA KUMBUKUMBU
Hawezi kumfikia Magufuli magu ni mashine ya kazi
Magufuli kakuta mradi wa BRT na Terminal 3 .
Nani alikua waziri wa ujenzi
@@dominic4727 Waziri wa ujenzi sio planner. Master plan alikua Kikwete, na ndie aliyeenda IMF na world Bank. Waziri wa ujenzi hajulikani nje ya nchi kuomba mikopo.
Hata bandari ya bagamoyo nayo ulimkabidhi... JPM... Hata sisi tunajua
Rais wangu Mpendwa Jk .sikuoingi lkn wewe ulikuwa Rais wa mipango lkn hukuwa na uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa.Uliacha mipango ya umeme wa gesi lkn hatukkuona, hiyo reli hukufhubutu, kuhamia dodoma hukuweza, meli mv bukoba ulituahidi 2005 hukuweza,,Bwawa la Nyerere hukuweza,kuhamia dodoma hukuweza,hata daraja la kwenu wami hukuweza,fryover hukuweza,Kila kitu wewe ilikuwa ni mipango tu, ATCL uliacha ndege moja tu lkn ulikuwa na mipango,mipango, mipango tuuuu??! Tunakushukuru Kwa UDOM, MLONGANZILA na taasisi ya moyo ya JK.WEWE Mzee wangu uliweza sana diplomasia,Kwa kweli hapo hakuna ubishi lkn mambo mazito mazito Mwamba wa chato JPM alikuwa na kifua kipana..hakwepeki❤❤
Huyu mzee si ndio alishindwa fikisha maji hata kwa watu wake wa Chalinze?
Unakumbuka alisema atajenga jiji jipya kingamboni , lipo wapi ?😂😂😂😂
Unafiki ni kitu kibaya sana.
Hapo kaongea ukweli wewe ndio ulete unafiki
@@birianination7097 kweli kabisa
Mzee JK kaongea vzr sana, kampa maua JPM na kanena vzr👏👏
Huyu ndo mshenz mwenyewe, akifa huyu nchi itakaa sawa
Huyu Mzee alitakiwa awe mganga wakienyeji maana ni muongo na munafiki haijawahi kutokea
Standard gauge Iko kwenye VISION 2025 ya Mkapa. Huyu alitaka avenge kwa mkopo wa Wachina kama Kenya tena iwe ya diesel. Alivyokuja Magufuli akawakataa Wachina na akaenda kwa Waturuki na akasema hajengi reli ya diesel, atajenga reli ya umeme na atapata umeme kwa kujenga bwawa la Umeme RUFIJI na Umeme wa Gesi Kinyerezi
Mzee mnafki mipango simatumizi
Kwa upole wakiunafiki wa huyu mzee unaweza kufikiria kondoo kumbe mbwa mwitu.
HUYU MZEE ANAPENDA SIFA HATA AMBAZO HANA😂😂😂
Wewe unaweka mataluma wenzako wanaleta kitu cha mchongoko huyu mzee bhana
Maneno meeengu. Vitendo hamna
Ni bora angekaa kimya tu
KWELI UKIWAMZEE UNAKUWA KAMA MTOTO
PUMBAVU LIUJUMU UCHUMI
UTAIACHA MIBILIONI PUMBAVU
HAYO MAWANI ALIOVAA UYU JAMBAZI MUUAJI NI YANAMAFINI YA TANZANITE HICHO NDICHO ANACHOKIPENDA
Ohh leo acha niwe first to comment hapa
liangalie linanuka damu za jpm na mawaziri
Mhhh kazi kweli kweli
Sijui kwanini huyu mzee watu wanamponda sana wakati amefanya mengi sana,nahisi wengi ni vijana wadogo,ameongeza shule za kata,ameongeza mtandao wa barabara nchini,amejenga mwendokasi,ameongeza vyuo vikuu tanzania,aliajiri watumishi wengi,aliongeza mishahara kutoka hali ya chini sana kufikia angalau,alijenga daraja la malagarasi,kigamboni,na tazara ambalo alilifungua hayati magufuli,hata mradi wa reli alikuwa akiuzungumza wakati wa utawala wake,ifike wakati vyombo vya habari vioneshe kazi zilizofanyika tawala zilizopita ili vizazi vya sasa vijue,vingine tutakuwa tunafuata mkumbo na kuharibu sifa za watu.
“Dead men tells no tell” 😢R.I.P Magufuli🕊️
LINAKUONGOPEA JIZI LINA MADA KESI ZA MAUAJI JPM NA MAWAZIRI
😂😂😂 dah aisee am speechless
Hacha story zako hakuna anaye jua hayo maana wote wameshafariki lakin nakupa big up pia ulifanya yako mazuri pia
Kwann mnamuita mzee muongo while yeye ndie alikua mwenyekiti wa chama,na magufuli alitekeleza ilani aliyopewwa na ccm ambae bosi alikua Jakaya??
Acheni kutokana viongozi wenu
HAPO NDO NACHEKA ETI ANAKUULIZA SWALI KISHA ANAKUJIBIA MWENYEWE ALIYEULIZA 😂😂😂MANIPULATOR [ VIVA MAGU FIRE VIVA ]
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
LINABADILISHA HISTORI YAKE ALIOSEMA WAKATI JPM YUPO DONIANI UNAONA TUMESAAU NINI
Mmefuta comments
UTAWALA WAKO UNACHOCHOTE ULICHOKIFANYA ZAIDI YA WIZI NA UJAMBAZI
Huna baya, ishi daima
Sisemi kitu, maana nitatukana tu. Hali za Watanzania ni duni hata kuliko Wacomoro, Wamalawi au Wamsumbiji....pamoja na mipesa mingi mliochukua. Ubinafsi, kusafiri....hmna huruma hata kidogo na Watanzania nyie...pam acha nisitukane!
Kwenda huko wewe mzeee na acha uongo wako , wewe na kundi lako mlimchukia magufuli saaana labda watoto wadogo ndiyo utawadanganya voetsek
Ukweli ni kwamba wazo la SGR lilibuniwa na kutayrishwa katika kipindi cha awamu ya nne, serikali ya awamu ya sita ikaanza utekelezaji. Serikali hizi huwa zinapokezana kijiti
..........sorry, awamu ya tano wakaanza utekelezaji
Muongo wewe baba nchi ilikuwa corrupted during your time
Kwani lazima kumusema magufuli?
Ili zee bwabwa kweli sijui kwanini liko hai
Muongo muongo sana uyu mzee
HUYU MJINGA WA MAWAZO UUZEE UNAKUTIA UJINGA
SISI WATANZANIA HATUJISHUGHULISHI NA UTAFITI NA HATA KUJISOMEA,NA TUNAENDESHWA NA HISIA,HATUELEWI NAMNA SERIKALI INAVYOENDESHWA.
MNAFIKIRI KUNA CCM MBILI?KWA NN UKAE MTANDAONI UKIUMIZA KICHWA CHAKO ETI HUU MRADI NI WA KIKWETE AU MAGUFULI,HUKU UKIJUA WAZI KUWA SERIKALI NI HIYO HIYO MOJA YA CCM?