WHO wahaha baada ya TRUMP kutangaza Marekani kujiondoa, Ujerumani wampigia magoti

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 147

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 11 วันที่ผ่านมา +8

    Trump ni magufuliiii aliyefufukaaaa anayeishi marekani

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 11 วันที่ผ่านมา +8

    Mungu atusaidie maana waafrika pia tuwe kitu kimoja

  • @LoneWolf-ng8yg
    @LoneWolf-ng8yg 10 วันที่ผ่านมา +6

    WHO ndo sources ya magojwa mengi duniani ,ndo wafanya biashara wazuri sana za afya za binadamu "problem creator pretend to be problem solver",tunakutengenezea ugojwa alaf tunakupa tiba ,ila serikali zetu bado zimelala na ujinga ndo unatutawala.

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 11 วันที่ผ่านมา +27

    ni vizuri tu wao ndio wanaleta magonjwa

    • @obestone1188
      @obestone1188 11 วันที่ผ่านมา +1

      Una ushahid? Tup ushahid wa kuthibitish manen uako

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@obestone1188we hujui kua tatizo la kujiondoa ni sababu ya Corona? Hao ndio walisababisha Trump kupigwa chini baada ya kukataa chanjo ya Corona na hao ndio wanaweka cansa mwenye vyakula sasahivi ili kuua watu

    • @LoneWolf-ng8yg
      @LoneWolf-ng8yg 10 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@obestone1188we naye huelewi nini sasa hapo wafrica bwana

    • @KhadijaMwenda
      @KhadijaMwenda 10 วันที่ผ่านมา

      Wewe ni wakala shetan mtachomwa vibaya sana​@@obestone1188

    • @nelsonnyizi9798
      @nelsonnyizi9798 10 วันที่ผ่านมา

      Wanajeshi wote wa marecan waliokataa kunywa chanjo covid 19 walifukuzwa​ ila trump kawaludisha. Hilo shilika linatumiwa na watu ambao wanaajenda ya kupunguza idadi ya watu duniani.
      @@obestone1188

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji 11 วันที่ผ่านมา +3

    Kazi nzuri trump

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 11 วันที่ผ่านมา +3

    Tujiandae na maradhi makubwa kama marekani imejiondoa hapo kuna jambo linaandaliwa

    • @icadimplez3563
      @icadimplez3563 10 วันที่ผ่านมา +1

      bora ata ww umewaza kama mimi aisee

  • @Younomane
    @Younomane 2 วันที่ผ่านมา

    Kwani kunamtu arikuwa hajui kwamba Trup angeyafanya haya namateso ario yapitia mrikuwa mnategemeya nini baada yakumchagua namritaka kumuuwa

  • @MarthaStephen-m3m
    @MarthaStephen-m3m 3 วันที่ผ่านมา

    Si mnasemaga kuna urusi na china wakowapi sasa

  • @EvodusKaganda
    @EvodusKaganda 11 วันที่ผ่านมา +6

    Ajiondoe tu ili kila mtu apambane na nchi yake maan hil rishilika linatumika vibaya vibaya sana na nchi wanao zisimamia na kiwap fedha

  • @PabloDallas255
    @PabloDallas255 11 วันที่ผ่านมา +17

    Trump asibadiri msimamo haya mashirika ya kidunia hayana efficiciency wala mchango wowote kwa sasa .....kwa zamani yalikuwa na umuhimu mkubwa kwa sababu nchi nyingi duniani hasa hasa za Africa na bara la Asia zilikuwa duni sana lakini kwa sasa nchi zimeendelea yaani zimepiga hatua kiuchumi,teknolojia,viwanda n.k na bado haya mashirika yanakusanya pesa kwa kusingizia kutoa misaada instead wanajikuta na pesa nyingi wakila wenyewe na kuingia vishawishi vya kutekeleza agenda zingine(ambazo ni story nyingine)....hivyo basi kwa wenye akili timamu kama trump wameliona hilo na mimi napigilia msumari Trump kaza baba hakuna janja janja tena za hawa watu.....Naomba kuwasilisha!.

  • @MahamuduAbasi-o1n
    @MahamuduAbasi-o1n 11 วันที่ผ่านมา +2

    Vizuli sana Tramp anajuwa mengi,watengeneza ugonjwa WHO kutangaza ma amuzi yakijinga

    • @JCMaxima
      @JCMaxima 11 วันที่ผ่านมา +1

      WHO imekuwa Shirika binafsi la kibiashara... Bill Gates owns 30/100 of the shares, by himself... Kazi zao ni kutengeneza magonjwa tu na kufanya biashara za matibabu na chanjo... Trump ameliona hilo! 😅😅

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646 4 วันที่ผ่านมา

    Wafrica tengenezeni Dawa zenu tulizarau vya kwetu sasa tunaisoma namba MUNGU tusaidie

  • @SerwaLeina
    @SerwaLeina 10 วันที่ผ่านมา +2

    Bora watoke maana limekiwa likisambaza magonjwa kijanja na hii ni mpango ili wakubali matakwa ya mmarekani

  • @SileselemanIsmail
    @SileselemanIsmail 8 วันที่ผ่านมา

    Wanajiandaa kutengeneza magonjwa mengine

  • @elesianakabuje5832
    @elesianakabuje5832 11 วันที่ผ่านมา

    Na atanyoosha uyo mzee anamisimamo htr

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 11 วันที่ผ่านมา +31

    WHO ni shirika la ovyo kwa Africa walituchosha na kufanya Africa kama panya wa majaribio

    • @donking-d4t
      @donking-d4t 11 วันที่ผ่านมา +4

      Mazuri yao ni mengi kuliko mabaya yao kwa africa,,,

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@donking-d4t
      Onesha ulivyo pima

    • @EvodusKaganda
      @EvodusKaganda 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@donking-d4tmazur yapi ww labd kufany afrika kam sehemu ya majaribio ya madawa yao.alf n ukumbuke hakuna misaada ya bure huo ulikuwa ni upotoshaji na uwongo wa hali ya juu.ukitak kuamin anza kufatilia ss kam WHO inafany kaz kweny mataifa matajili??

    • @OnesmoEphrata
      @OnesmoEphrata 11 วันที่ผ่านมา +2

      KWANINI mungu Ali WEZESHA mzungu kuwa na uwezo kuliko mu Africa kwann muafrika asiwe na uwezo ili amnyanyase mzungu? Mungu siyo mjinga Uki Fuatilia undani wa hospital kubwa hapa tz zipo mikononi mwa hao jamaa hivi wa Africa wanae hospital huko USA kweli??? Vionjo vya Majibu Toka kwako Mzee wa ikulu ni mahali patakatfu

    • @daprince7545
      @daprince7545 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@OnesmoEphratambona mnakosa fikra, wazungu wamegandamiza mifumo mingi ya Africa, elimu, matibabu, vyakula vya kupanda, vyakula vya kuuza inchi zao, siasa, kuunda serikali, kila kitu toka ukoloni mpaka saii wanatumia system kututawala. Kiongozi yoyote atakae jaribu kuleta twasira nzuri Africa utaskia ni dictator

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 11 วันที่ผ่านมา +2

    Afadhali hicho kitu nilikuwa nakitaka kila siku hili shirika ni NATO nyingine

  • @DaudFataki
    @DaudFataki 11 วันที่ผ่านมา +19

    Sawa tu kila nnchi iauwezo wakupambania dawazake kuiko kutoapesa watu wanakula na familiazao

    • @ZuhuraMarande-fl2zw
      @ZuhuraMarande-fl2zw 11 วันที่ผ่านมา

      Uwiii dawa za ukimwi tutapata wapi chanjo za watoto tutapata wapi

    • @anny19988
      @anny19988 11 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@ZuhuraMarande-fl2zwTutafute😂😂. Mungu katupa kila kitu tuache kuwa ombaomba.

    • @svt3
      @svt3 11 วันที่ผ่านมา

      ​@ZuhuraMarande-fl2zw : mumeumbwa na akili, mikono, miguu, macho .....kwa nini dawa chakula.....mtegemee kupewa🤫🤫🤔🤔

    • @ramgainmkubila1213
      @ramgainmkubila1213 10 วันที่ผ่านมา

      Bibi yako alichanjwa??​@@ZuhuraMarande-fl2zw

    • @JomoKilawe
      @JomoKilawe 10 วันที่ผ่านมา +1

      Mtegemea Cha Ndugu...

  • @ayk20
    @ayk20 10 วันที่ผ่านมา

    Wajiondoe tuu ili Africa tujifunze kujitegemea

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx 11 วันที่ผ่านมา +3

    Hio ndio imeisha

    • @Maya-bm9bu
      @Maya-bm9bu 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns 11 วันที่ผ่านมา +2

    Bora iwe hivyo ili Tanzania irudi kwenye miti shamba iliyodharauliwa kwa muda mrefu

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 11 วันที่ผ่านมา +7

    Ajiondoe kbs ili mataifa yajitegemee ata miti shamba tutakunywa...Trump simamia hapo hapo

  • @mdl6463
    @mdl6463 3 วันที่ผ่านมา

    Kama huna hela Kwa sasa unakufa vyema kabisa serikali iingilie kati kuhusu dawa walau hata wa sample dawa za kijadi ili kuwe na uangalau wa bei poa za dawa TANZANIA ni yetu kuwe na future kubwa sana tusipende pesa

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 9 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂

  • @RutiMasaryk
    @RutiMasaryk 6 วันที่ผ่านมา

    WHO toeni hizo dawa za ukimwi unazo na sio kama simekoseka but coz mnataka kupiga hela hamuwezi toa.

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa dabiliuhechio ndio wanaleta maradhi yoteduniani!!!

  • @suleislim4519
    @suleislim4519 11 วันที่ผ่านมา +1

    Vita afya inataka kuanzishwa

  • @aqthamsalim6775
    @aqthamsalim6775 10 วันที่ผ่านมา

    Wanatutia imani potofu tu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 11 วันที่ผ่านมา +7

    Mama Samia Tanzania pia tujitoe

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 11 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂labda angekua Magu

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂labda angekua Magu

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 10 วันที่ผ่านมา

      @israelmwasota Akuna mtu anae nufaika wananufaika viongozi wetu walafi Bora alivyo jitoa

  • @goodluckmsoka3660
    @goodluckmsoka3660 11 วันที่ผ่านมา

    Mm nataka wajiondoe na kwenye mashirika mengine

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 10 วันที่ผ่านมา +1

    Kaz ya who ni kula rushwa ili ithibitishe dawa za makampuni ya wazungu mtu mweusi akigundua dawa akisema tu anatumiwa watu wanampiiga kansa anakufa kama dr seby hata hio HIV wanafaidika kama ingekua inawaumiza wangezisapot maabara kubwa za watafit wa madawa ila hawataki dawa ipatikane ili waendelee kufanya watakavyo

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 11 วันที่ผ่านมา

    N funzo,msijisahau waafrica,jitafuteni wenyewe

  • @SidBrand
    @SidBrand 11 วันที่ผ่านมา +1

    TRUMP GUSA ACHIA TWENDE KAZI🎉🎉🎉❤

  • @MoodtzJuma
    @MoodtzJuma 11 วันที่ผ่านมา +5

    Trump inatakiwa awape funzo viongozi wa africa maana wamezoea kuomba

  • @hassanmkangwa2062
    @hassanmkangwa2062 10 วันที่ผ่านมา

    Dunia haimtegemei Marekani

    • @PaulNdauka
      @PaulNdauka 10 วันที่ผ่านมา

      Fikiria mara mbili jombaa

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 10 วันที่ผ่านมา

    Waafrika tutakoma . Hospital zitakuwa na bei kama hotel zakitalii

  • @RichardBundala-q7b
    @RichardBundala-q7b 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mpaka waseme

  • @FahmiNassor
    @FahmiNassor 11 วันที่ผ่านมา +2

    Hao ndio marekani wauwaji namba moja duniani ukiina jambo wanalivaa ujue wana maslahi nalo

    • @PaulNdauka
      @PaulNdauka 10 วันที่ผ่านมา

      Ume Elewa mada au unakurupuka tu!?

    • @deogratiusprosper4796
      @deogratiusprosper4796 10 วันที่ผ่านมา

      Hawez elewa akili ndogo huyo mana Trump kasema wazi kbs China inachangia dola million 39 wkt ina idadi ya watu 1.4 billion Marekani ina watu 325 million inachangia dola 500 million ansema hakuna usawa hapo anasema dunia imeifanya marekani shamba la bibi

  • @piussogoye
    @piussogoye 11 วันที่ผ่านมา +2

    who wa hovyo sana, ni wahuni, waliikubari covid19 na kupendekeza lockdown

  • @olivazaituni2440
    @olivazaituni2440 11 วันที่ผ่านมา

    😂Hivi kweli MamaTz atapata mwaliko huko kwa Trump

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 11 วันที่ผ่านมา +1

      Sisi hatutak ata huo mualiko tunatak msimamo huo huo wa trump ili tujitegemee miti shamba ipo tutakunywa na sisi ni tajir labda wakenya

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 11 วันที่ผ่านมา +6

    Nilisema huyu atanyoosha wangese wote

  • @YamunguMatamya
    @YamunguMatamya 11 วันที่ผ่านมา

    Ubaya ubwela umeanza kufanya kazi kwa upande wa WHO😂😂

  • @amaniamosi2603
    @amaniamosi2603 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa WHO na sera yao ya population control acha kiwalambe kwanza

  • @JohndMbila
    @JohndMbila 11 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa nilishamuelewa kitambo toka alivyo Rais USA 🇺🇸

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 11 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂kafanya vema kuwakomowa,hawawezi kubali marekani ijitowe vikao vitakuwa vingi ni hela nyingi inayo taka kupoteya kyenyeji hawata kubali,marekani kujiondowa.

  • @patrickkatana8823
    @patrickkatana8823 11 วันที่ผ่านมา

    Watakula wapi sasa kama sio WHO?

  • @AdamuMohd-vl2nk
    @AdamuMohd-vl2nk 11 วันที่ผ่านมา

    Kiumbe kaingia lazima dunia ipige kelele tu

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 10 วันที่ผ่านมา

    Arv waziache watu wasife

    • @icadimplez3563
      @icadimplez3563 10 วันที่ผ่านมา

      au ndo watakufa kwa kukosa hizo arv

  • @Sarah-e1o9k
    @Sarah-e1o9k 10 วันที่ผ่านมา

    Who ni shirika la wapigaji tu wala hawashughuliki na majanga ila kazi yao ni kututengenezea magonjwa ili wapige pesa waizi tu wacha kiwarambe

  • @mutatashanny1
    @mutatashanny1 10 วันที่ผ่านมา

    UN ni takataka,Trump kupitia Marekani hawapati faida nyuma ya ushenzi shirika hilo kama kawaida yaliyoko nyuma ya pazia ya matumizi ya shirika hilo unaotendeka kupitia wadhamini wake.

  • @muscato50
    @muscato50 11 วันที่ผ่านมา +6

    Tutamkumbuka JPM alivyowaumbuaga WHO. Wenye akili Kama Trump na washauri wake walikuwa makini na sasa wanafanya maamuzi magumu. Tutajua mengi tuwe na subira tu

    • @WilbertMalula-vv7ml
      @WilbertMalula-vv7ml 11 วันที่ผ่านมา

      NCHI ZA KIAFRICA ZITATESEKA MNO HIZO HUDUMA ZA WANAWAKE WATOTO NA WAZEE ZA BURE NDIO MWISHO MAANA MAREKANI NI TEGEMEWA MNO

    • @hosnakamees5454
      @hosnakamees5454 11 วันที่ผ่านมา

      Nani ka kwambia kua hizo huduma zina tolewa bure?​@@WilbertMalula-vv7ml

    • @Soviewsmadeli
      @Soviewsmadeli 11 วันที่ผ่านมา

      Bure uko ulipo ndgu ila ukweli ukiwa na mgonjwa Mzee , mma na mtto nenda hospital yyote hpa tz bila pesa mkononi atakufia unamuona kwa macho yko makavu

    • @gracenbarnes5254
      @gracenbarnes5254 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@WilbertMalula-vv7mllabda dawa za makali ya ukimwi itakua ndo basi

    • @chazy7ya216
      @chazy7ya216 10 วันที่ผ่านมา

      ​@tujifunze kujitegemea na malisetu tuache ujinga kuteseka kupotuu ata tukiwategemeaWilbertMalula-vv7ml

  • @chazy7ya216
    @chazy7ya216 10 วันที่ผ่านมา

    Utaskia mtu anasema Arv kwani Tanzania haina uwezo wakutengeneza izo Arv tena ni fursa wauze nanchi jirani watanunuatuu

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 11 วันที่ผ่านมา

    Piga wimbo wa afande sele
    Inawezekana kuishi bila marekani

  • @c.r.mtechnology2322
    @c.r.mtechnology2322 11 วันที่ผ่านมา

    Kila mtu apambane na Hali yake

  • @FxL_87
    @FxL_87 11 วันที่ผ่านมา

    Bado NATO japo ni ngumu kujitoa

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal9061 11 วันที่ผ่านมา +5

    Mama nayy asome hapa..na SS twende Sawa

    • @WireTv7
      @WireTv7 11 วันที่ผ่านมา

      Marekani anatoa Hela who wewe mtanzania unapokea kutoka who.

    • @godcompeter9844
      @godcompeter9844 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 wabongo wajinga sana awajui Chochote ​@@WireTv7

  • @ThisboyisgreatThisboyisg-in4gx
    @ThisboyisgreatThisboyisg-in4gx 11 วันที่ผ่านมา +1

    Hii dunia tuna ishi kivyake kila mutu ana hustle pekeake ili aishi maisha mazuli na anavyo taka ukiwa hufanyi kazi utakiona chamoto , Donald Trump kama namelewa hivi kila mtu adili na chsngamoto na maisha yake na kila Country idili na shida zake . Jaama tutakuja kumu elewa badae kama wew una penda kujipambania utampenda jaama ,sio tuletewe chanjo ambazo zinakuwa na ma gonjwa ndani yake hayo magonjwa yanakuja kuibuka mbeleni , mbona wazee wetu waliishi vizuli na miti shamba kulikuwepo magonjwa kibao mbona walipamvana sana mpaka waliazibiti sasa dunia yaleo tuna pangiwa na watu wachache ndo wanatupq madawa wanatulisha navitu vingi tuna pangiwa nawatu wasio zid hata 20 ukikataa una letewa zengwe Donald Trump yuko sawa

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 11 วันที่ผ่านมา

    Afadhali hili genge nalo liondike tuu

  • @EliaMnyanyi
    @EliaMnyanyi 11 วันที่ผ่านมา

    MAGA

  • @sophiahmedza929
    @sophiahmedza929 11 วันที่ผ่านมา +1

    Trump kanyaga shingo bado wanapumua. Hawa watu waliticheza sana na chanjo zao za covid na lockdown😂😂😂

  • @AmaniMathod
    @AmaniMathod 10 วันที่ผ่านมา

    WHO....KISINGIZIO MAREKANI YEYE NANI HATUTAKI KUISIKIA MAREKANI..... WAZIRI WA UJERUMANI TULIA KIWALAMBE.....MBWA NYNYI MAGHARIBI..... TRUMP ATAKI KUICHANGIA HIYO WHO ....ACHENI KUKUMBATIA UMASIKINI

  • @ahmedAwesu-g8o
    @ahmedAwesu-g8o 11 วันที่ผ่านมา +7

    Eti yy ndio mwenye dunia, hemu sikiliza aya hiii.
    Ama ADI amestakabari katika ardhi na akasema ni nani mwenye nguvu kuliko sisi? Kwani haoni kua Allah ambaye amewaumba wao kua ndio mwenye nguvu zaidi ya wao, na wakawa ishara zetu wanazipinga.

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 11 วันที่ผ่านมา +1

      We endelea mwamba unaleta hadithi za vitabu vya kale wenzako wanaleta uhalisia wa sasa

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 11 วันที่ผ่านมา +1

      Huyo Allah unamjua wewe,

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 11 วันที่ผ่านมา +1

      Mjomba ndugu zako huko ndio wahanga wakuu we leta tu story hapa

    • @AhmedAhmed-gf1rd
      @AhmedAhmed-gf1rd 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@Oldskulgemini9991NDUGU IZO AYA NI ZA KWELI KABISA NA KUFAHAMU HILO QUR AN IMESHUKA KARNE 14 ZILIZOPITA ILA MPKA HAINA KASORO HATA MOJA
      ILA ZAID BINAADAMU NI MBISHI SO TUTAONANA BAADA YA KUFA

    • @AhmedAhmed-gf1rd
      @AhmedAhmed-gf1rd 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@vincentcharles4385ndio anamjuwa na ww Iko siku utamjuwa big

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 11 วันที่ผ่านมา

    trump ananyoosha jaman🙆🏻‍♀️

  • @EmmanuelMlowe-u1v
    @EmmanuelMlowe-u1v 11 วันที่ผ่านมา

    Kongo Amani itapatikana Kama UN wataondoka kongo.Majeshi ya Africa yatengeneze jeshi la kulinda kongo. UN ndio M23. Kuluna wako chin ya wazungu, Haki zabinadamu wamewekwa na wazungu kwa ajili ya kuwatetea wahalifu walio waweka. Ndio maana hata wazungu wamarekani wamekamatwa kwenye msako wa kundi la kuluna.Waafrika tujifunze tusiwe wajinga. Thanks wazungu wanatuchezea sana Afrika.

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 11 วันที่ผ่านมา

    Lengo ni kupunguza watu duniani kwa kasi ili watawale hii dunia

    • @gracenbarnes5254
      @gracenbarnes5254 11 วันที่ผ่านมา

      Watengenezaji na wasambazaji wa chanzo duniani

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf 11 วันที่ผ่านมา

    Hawa wabongo bhana hivi mnaelewa maana ya WHO na inamaana gani duniani Shule ,Maji ,Umeme Barabara zitushinda ni afya tutaweza acheni kukoment ujinga ..

    • @nightwishisthegreatestband6355
      @nightwishisthegreatestband6355 10 วันที่ผ่านมา

      Zinatushinda kwasababu ya viongozi. Tumgekuwa serrious kujitolea kujenga hivyo vitu sisi wenyewe tusingewategemea sana

  • @mwenebatuetabo5515
    @mwenebatuetabo5515 11 วันที่ผ่านมา

    Hivi east Africa inamahana gani kweli !!!! Hivi hii migogoro inayo pitikana huko Kongo kati ya rwanda na M23 kweli hivi mupo mupo tu, hayupo mzungu atakaye kuja kusuluhisha tofahuti na east Africa!!!! Vijay’s wanapoteza mahisha kwa vita vya kipumbavu tu!!!!

  • @jameskenny1808
    @jameskenny1808 11 วันที่ผ่านมา

    Bado wata juta sana sisi kama raia wa USA tuna unga mkono Raisi Trump

  • @chazy7ya216
    @chazy7ya216 10 วันที่ผ่านมา +1

    Arv zitatoka wapi tena

  • @ThisboyisgreatThisboyisg-in4gx
    @ThisboyisgreatThisboyisg-in4gx 11 วันที่ผ่านมา

    Huyubmwamba anajua anachokifanya , naamin anataka kuiweka dunia free mana tumefungwa na tuna aminishwa vitu ambavyo niuongo . Siku zingine watu wakiku chukia jua una kitu unawazidi napia wanaona utavuluga mipango yao alf wanaza kuku tengenezea kampeni ili waku angushe ira mngu niwa maajabu

  • @adiaygo8546
    @adiaygo8546 11 วันที่ผ่านมา

    Huyo muertria mwizi tu katoka africa anajifanya nzungu hovyo😅😅

    • @OnesmoEphrata
      @OnesmoEphrata 11 วันที่ผ่านมา

      Bongo bahati mbaya hauwezi elewa

  • @Uesilamsiodiniyakweli
    @Uesilamsiodiniyakweli 11 วันที่ผ่านมา +1

    Wategemehe china 😂 na urusi 😂

    • @agustinokimaro1483
      @agustinokimaro1483 11 วันที่ผ่านมา

      Nakubaliana na wewe 100,,china wachukue Ilo jukum au urusi tuona kama hawajaanguka kiuchumi

    • @EvodusKaganda
      @EvodusKaganda 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@agustinokimaro1483😅😅😅😅 china na urusi hawewez kujikwez kwny hilo alf kuhusu pesa wanazo z kuendesha hilo shirika kwa maana hilo shirika mpk ss ni sehem ya biashara za watu

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 11 วันที่ผ่านมา

      Nani alikuambia wachina na warussi wanatoa Hela kwa mtu ? 😂😂😂 Thubutu hata mia hawatoi ni nchi zenye mchango mdogo sana kwenye hayo mashirika , Marekani ndio nchi inayotoa pesa nyingi, ikifuatiwa na nchi kadhaa za ulaya ,hata nchi tajiri za Kiarabu hazitoi pesa huko

    • @Uesilamsiodiniyakweli
      @Uesilamsiodiniyakweli 11 วันที่ผ่านมา

      @ watajijua wenyewe sisi wa merekani tunachotaka ni kujiondoa basi

  • @ProfitonlyIQ
    @ProfitonlyIQ 11 วันที่ผ่านมา +2

    Hamjui kama pesa za marekani ndo zinawafanya hadi nyie watanzania mnapewa misada ya madawa bure kama ARV nk

    • @brownmoses9543
      @brownmoses9543 11 วันที่ผ่านมา +2

      How did you know kama dawa serikali inapewa bure,,,amka mwafrika

    • @kingnass6410
      @kingnass6410 11 วันที่ผ่านมา +1

      Je unajua lengo la msaada huo? Tanzanian inajiweza kwa mambo mengi tu

    • @anny19988
      @anny19988 11 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna msaada, ukipewa kitu cha bure unalipa kwa namna nyingine. Serikali itafute pesa za ARVs. Yaani huwezi hata kuwapa watu wako ARVs halafu unajiita serikali.

    • @chazy7ya216
      @chazy7ya216 10 วันที่ผ่านมา

      Kila mtu anunue naela yake

  • @SalumSaid-w8i
    @SalumSaid-w8i 11 วันที่ผ่านมา

    Wajinga wanasikitka laki. Wao hawana uwezo wowote