TRUMP: TUTAKUWA NA JINSIA MBILI TU MAREKANI, RUSSIA YATOA KAULI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Moscow. Uamuzi wa Rais wa Marekani kutangaza kuwa kuanzia sasa Marekani kutakuwa na Jinsia mbili pekee ambazo ni mwanamke na mwanamme, umeliibua taifa la Russia.
    Trump alitangaza uamuzi wa kuwepo jinsia mbili pekee nchini Marekani, juzi Jumatatu Januari 20,2025, muda mfupi baada ya kuapishwa kuwa Rais wa 47 wa taifa hilo huku akisema lengo lake ni kuondoa kinachoitwa utofauti wa kijinsia kwa alichodai Mungu aliumba jinsia mbili pekee.
    Trump pia amesaini masharti ya kuondoa aina nyingine za jinsia zilizoibuka nchini humo na kuwaondolea kinga watakaobainika kuwa wamebadilisha jinsia nchini humo.
    Kwa mujibu wa Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, wakati umefika wa kuwakomesha na kukomesha vitendo vinavyoitwa uwepo wa jinsia mbalimbali uliotangazwa kwa miaka kadhaa ulimwenguni.
    Imeandaliwa na Mgongo Kaitira

ความคิดเห็น •

  • @suleimanroba5896
    @suleimanroba5896 11 วันที่ผ่านมา +2

    Kabisa haki !jinsia moja ambao mungu anajua ni mbili peke .mungu akuhifadhi kwa kuondoa hio maneno

  • @kungurutai
    @kungurutai 14 วันที่ผ่านมา +2

    Ombi langu mungu amelisikia asante yesu sasa mr.trampo chapa kazi tata..

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 17 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu ambariki sana Riis wa awamu hii teketeza uovu huu. Mmbaya mashoga na waliokubali ushoga wateketer wote ni Mungu anawaangamiza.

  • @RojasKamfune
    @RojasKamfune 9 วันที่ผ่านมา

    Kweli uo ni upumbafu bora likomeshwe ilo swara la kubadili jinsia fanya kazi tramp mungu akusimamie

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano 10 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa sana mteule wa MUNGU.

  • @ramadhaniOsujacki
    @ramadhaniOsujacki 16 วันที่ผ่านมา

    Wanatakiwa wale woote wanaokataa kupingwa kwa trump wanao kuwa na mahusiano ya jinsi moja pengine nawao inaweza kuwa nawao wapo kwenye mahusiano hayo hasa viongozi wanaoshikiza kuendelea kuwa na tabia hiyo asante kwa habari nzuri

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu akucmamie ktk yote TRUMP🙏🙏🙏

  • @BeatriceLyatuu-w8j
    @BeatriceLyatuu-w8j 9 วันที่ผ่านมา

    Nakuuunga mkono mtumishi na kiongozi mkuu uliyeweza kusimama na kusema kwa sauti kuu na Dunia yote isikieeee Trump hii naamini ndiyo Kazi Mungu aliyokuitiaa nami anasema jinsia mwanaume na mwanamke tuuu jike na dume

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 10 วันที่ผ่านมา

    Safi sana Trump

  • @DodiKabasele-d8v
    @DodiKabasele-d8v 17 วันที่ผ่านมา +2

    Hiyi ime onesha kampene ya mungu nashetani kama vile mwimbaji bukuku ali imba na ni sherti mwanga ushinde giza

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 12 วันที่ผ่านมา

    Thank you God for this man Trump

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 17 วันที่ผ่านมา +3

    Mama Samia atupe rungu na hawa mashoga wa tanzania tuwaue tu

    • @AsheriChonya
      @AsheriChonya 17 วันที่ผ่านมา

      ndio

    • @basharahamtzhalisi6871
      @basharahamtzhalisi6871 16 วันที่ผ่านมา

      Kabisaaa! Wanaleta laana ulimwenguni.

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 11 วันที่ผ่านมา

      Magufuli alilikemea hili swala la Mashoga wakamuona hafai leo waliokuwa wanampinga Magufuli watoke tena wampinge na huyu

  • @NiniOman-lx5lg
    @NiniOman-lx5lg 16 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 17 วันที่ผ่านมา +3

    MUNGU am baliki

  • @Nimrathshirima
    @Nimrathshirima 4 วันที่ผ่านมา

    Good

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 17 วันที่ผ่านมา +2

    MUNGU akubariki Trump Mtu wa maana kabisa wewe

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama 17 วันที่ผ่านมา

      Hapo nimekukubali futa mashoga wote mungu Alisha walaani mashoga duniani futa kabisa upumbavu huo

  • @JaneMushi-w8s
    @JaneMushi-w8s 6 วันที่ผ่านมา

    Trump yupo vizur kwenye ushoga jaman

  • @SaidiRajabu-u1m
    @SaidiRajabu-u1m 14 วันที่ผ่านมา

    Nikwe mungukaleta jinsi ya moja ongelais wamarekan ❤😢

  • @DeusRobart
    @DeusRobart 17 วันที่ผ่านมา +1

    Taifa la hovyo

  • @geneskimario8839
    @geneskimario8839 13 วันที่ผ่านมา

    President trump God be with you

  • @RahelKiswaga
    @RahelKiswaga 11 วันที่ผ่านมา

    Well

  • @AsheriChonya
    @AsheriChonya 17 วันที่ผ่านมา +2

    viva Russia viva Trump

  • @LupakisyoKandonga
    @LupakisyoKandonga 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mutawaripa wario haribikiwa navijana wao haki zabinadamu zikowapi wajibishe ili wasiji wakaludi tena

  • @annasitaziakamtewe
    @annasitaziakamtewe 16 วันที่ผ่านมา

    Tz hawawezi kupinga ushoga,makamu wa rais marekani alikuja tz akashinikiza,ushoga lkn tz mpaka sasa hawajatoka hadharani,nakupinga.

  • @kipurdakatobenjamin1230
    @kipurdakatobenjamin1230 15 วันที่ผ่านมา

    Our life we must surrender to GOD

  • @SultanAlly-nz4mz
    @SultanAlly-nz4mz 17 วันที่ผ่านมา +1

    Ushoga mh wamecherewa usikute marekan wote wakabaki aslimia3 kati ya aslimia100 nahao asilimia 3 asilimia 2nanusu niwaislam zilizobak wakristo wasio kuwa nadin wamemalizika.

    • @SylvesterKameo
      @SylvesterKameo 16 วันที่ผ่านมา

      Akili ndogo, kwani huyo Trump ni mwislamu?

    • @LORDRICKNKYA
      @LORDRICKNKYA 16 วันที่ผ่านมา

      Dah hata sijui nikuambie nini Ukristo umehusika vp

    • @aishafadhili2321
      @aishafadhili2321 16 วันที่ผ่านมา

      Acha udini

    • @SultanAlly-nz4mz
      @SultanAlly-nz4mz 16 วันที่ผ่านมา

      @@aishafadhili2321 umesoma au umekurupuka.

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 17 วันที่ผ่านมา +2

    Wanajuwa kuzichezea akili za wajinga waliona wanachukiwa wameamua kutengua kaulizao lakini kemwe msizani niwema

  • @annasitaziakamtewe
    @annasitaziakamtewe 16 วันที่ผ่านมา

    Samia hana nguvu yakupinga ushoga.