Asante sister kwa mafunzo yako barka inshallah . mm naomba unisaidie hapa kidogo kwa mfano nikitumia maziwa Lita 3 nataka kutumia yogurt badala ya culture je natakiwa kuweka saizi gani ya yogurt ?? Na pia naweza kutumia yogurt za dukani zile za paketi? Tafadhali naomba unijibu sister nataka kujaribu
Wow nitajaribu hii. Mama yangu hapa kaipenda sana hii Video. Ps;- unatumia standi gani kuweka kamera au simu yako wakati wa kurekodia? Na kama ulinunulia moshi naomba uniambie wapi dear.
Yaani hapa lazima mtu upate kitu kipya kila wakati, hongera sana my dear👌👌👌
Asante dear 🥰🥰🥰🥰
Simple and clear. 😙
Well explained, nashukuru...yaweza kufanywa mzito zaidi by adding corn_flour/corn_starch
❤ very good 👍👍👍
❤❤ Asante Kwa mafunzo je culture naipataje au naweza ulizia maduka gani labda Nika pata napatikana Kilimanjaro
Asante sana kwa haya mafunzo. Nime tizama hi vidio yako kutoka Soroti Uganda. Mara nyingi na vutiwa na lugha la Kiswahili.
Karibu nikufundishe kiswahili, ninatoka Tanzania (Tz)
Asante sister kwa mafunzo yako barka inshallah . mm naomba unisaidie hapa kidogo kwa mfano nikitumia maziwa Lita 3 nataka kutumia yogurt badala ya culture je natakiwa kuweka saizi gani ya yogurt ?? Na pia naweza kutumia yogurt za dukani zile za paketi? Tafadhali naomba unijibu sister nataka kujaribu
Shukran Ika kwa hayo mafunzo...naanzisha biashara ya kuuza yoghurt...nahitaji mafunzo zaidi...
Waooo🥰🥰thank you....tufundishe basi kupika Maqbool kama wajua
Darasa zuri.. Hongera.. Ila naomba kujua naipataje iyo Culture..
Kuna duka Keekorok rd in Nairobi town huuza
Chemistry done 💃💃💃
🥰🥰🥰🥰🥰
Ika what is it that you cannot make? Hahah Ma shaa Allah good job najifunza mengi tu hapa ♥️
Kenyan's are you with Ika ?🇰🇪🤗🤗🤗😍
Oh yes definitely 😋💃💃💃💃
Yeah we here
Tupo ndani sisi 🇰🇪
Yeah niko hapa🇰🇪🇰🇪mtu anaweza tengeneza ya kuuza ?
Yeah..all the way❤
I love this
Ika you are the best😘254
Mob love..... you're the best teacher 🥰🥰
Wow🤗 thank you dear🌹
🥰🥰
Asante kwa recipe🥰
1.Unaweza kutumia maziwa yaliokua yamehifadhiwa kwenye fridge kutengenezea yogurt?
Nice dear
Easy and doable😄
Cultur n bei gan
Asante kwa elimu
Keep it up .
Thank You
Mashallah Hongera Sana 😘😘😘😘😘unatusaidia sana kipenz
Shukran pia
Wow I ❤️ it 🥰🥰🥰
mashaallah
Mpaka nimetamani ningeangalia Mida ya futari maana 🤤
🥰🥰🥰🥰🥰
I will use the second method, maana culture siijui
Me too don’t know what culture is
Ahsante dada
Perfect Ika. Kazi nzuri mrembo
Asntey
Plz nitaipata wapi culture ya yogurt?jina lake rami na wapi nitaipata dada blessed one.
Plz tueleze inapatikana wp
Munasaid Mbarak industrial area mombasa road
Mashallah 🤩
Ahh kiswahili kizuri, love it🥰
Mashallah congratulations Ika may God bless you 🇰🇪👌😍😍😍🤗🤗🤗😍🤗
Amen
@@ikamalle is very nice
Ika Malle welcome 💖💖🤗
😲 wow
First here today...❤❤❤
🥰🥰🥰🥰
@@ikamalle dada iyo culture naipataje
@mziwanda_bakers (instagram)
But where do I buy the culture🇰🇪🇰🇪
hiyo culture do mahlab au ??n guys pia my madam anatumia vinegar.. but sio coloured.. inatoa yoghurt smart pia
Nice one.... Where do I get the manufactured culture and what's the ratio per litre...plz
Luv u gal..umenielimisha Kwa vitu vingi.thanks
Subscribed 👍👍
Welcome 🥰
Kindly share contacts za wanao uza culture
Barikiwa sana
Thanks dear
Simple thank you
Masha Allah kwa upishi wako👍🙏
Hiyo culture napata wapi??
Ahsante dada samahani naomba kuuliza iyo kacha nitaipataje
@mziwanda_bakers (instagram)
❤
Hongera mpnz😋
Can you pre boil the milk since it's straight from the cow
Double boil
nice stuff...will definately try it soon
Hiyo culture n kama yeast madam?
Au n nn.
Thanks Mami
Thank u too 🥰
Thanks for that. Which yoghurt did you use? Plain or?
Plain
Hi Ika, where can I get the culture that you used here
Instagram (@mziwanda_bakers)
@@ikamalle thanks dear for your response
@@ikamalle hi dear natafuta culture nitapataje
Habari.mi sikuelewa ile umeweka kwenye maziwa ni amira awu nini?
Am new to your channel and i love your content, may i please know where you bought your culture, is it locally available, am from Kisumu.
yummy congrats
Asante 🥰
Da Ika nilikua naomba utuelekeze jins yakupika vileja vya mchele
Kila siku najifunza kitu kipya. Big up dada!
Thank You 😊
Ika Malle you’re welcome 😇
Thankyou
👏👏👏👏👏😋😋
Jaman nimependa sana....uko vizur unajua kuelekeza sasa naomba unisaidie kuzipata hizo culture za yogurt plz
Yummy 😋😋
What did you add sister after cooling the milk nimesikia culture ni nini inaweza patikana wapi
Nunua brand ya yoghurt yeyote. Tafuta pahali imeandikwa 'culture' ukipata you can use that kutengeneza yoghurt
Npo iringa naweza just wp naweza pata culture hyo Ili ntmie hyo njia
Laxima iwe double boiling or you can boil kawaida tu
Nice
Nisaidie kwa kuipata culture
Nataka nione hio packti ya uloweka kwa maziwa nione jina na picha yake
Culture Moshi inauzwa wapi?pls
Go ika❤️❤️👌🏾
🥰🥰🥰🥰🥰
Hio second option naeza tumia any flavor ya yoghurt ama lazima iwe plsin yoghurt kisha ntaeka skari mwisho kama option one ama
Mimi nimetumia Plain, unaweza jaribu lakini?
@ika malle vp kwa dar naweza pata wapi hiyo culture ya kutengenezea
Good
da Ika unaishi hpa daa wewe or up Arusha.
Culture Moshi inauzwa wapi
Nenda wanakotengeneza mtindi
N km sikupata maziwa y ngombe maziwa y kawaida naeza tumia n hii culture inapatikana wp
Asnte saaana kwa recipe ika
Hiyo culture tunaipatajee?
@mziwanda_bakers (instagram)
Hiyo culture inanunuliwa wapi tafhathali, Nani shilling gapi pesa ya kenya
Jmn hyo culture kwa lugha rahisi ni kitu gani
i neeed help how to create yogurts
Dia huu mtindi Unaweza kukaa Muda gn
Culture inauzwa bei gani na inakaa kwa mda gani
Iyo unayo changanyia inaitwaje
Culture inapatikana wapi
Samahan Dada hiyo culture inapatikan wap
Hi, where can I get culture in Nairobi?
Keekorok rd kuna duka ya mhindi huuza
Itadumu kwa wakati wa siku ngapi kabila haijaharibika?
Hiyo content mbona husemi ni nini..??
Kacha ndio nn ndg mtaalam?
Hi sis nlitumia mtindi bt nlifeli cjui shida nn
Where do I get the strawberry en vanilla flavor
Madukani tuu
essence ya chocolate kwani mnapata wap
vp kuhusu expire dae au haya expire
Umetumia maziwa kiasi gani
Kacha Ni nn au sijasikia vzr.
Ndio inayo tengeneza Yogurt
Iyo inayo gandisha maziwa inaitwaje
Hi where can I get the culture
You don't need to buy. You can easily make it at home. Type at the search bar "how to make yoghurt starter/culture".
Wow nitajaribu hii. Mama yangu hapa kaipenda sana hii Video. Ps;- unatumia standi gani kuweka kamera au simu yako wakati wa kurekodia? Na kama ulinunulia moshi naomba uniambie wapi dear.
Hiyo culture n kama yeast?
Au n nn?
Culture ni sh ngapi
Nlijaribu Lakini ulionja mala sijui mbona
Mbona mtu a funike na nguo ama vitambaa vizito,maana yake gani