Ni kweli kabisa mungu ndiye kila kitu na ndugu wa damu awezi kukusaidia ila mtu baki ana weza kukusaidia na kufika mbali yani sister umeni gusa maisha yangu sana kwani wali mwengu awa ishiwi maneno na Kani fundisha kupigana zaidi kimaisha na ku songa mbele na kushinda kila aina ya vikwazo na majani na ku jiamini zaidi kwa kile unachofanya Hongera sana siste
Safi sana mdada. Unajielewa sana Dada. Na warembo wengine kama wewe, waige mfano wako. Naamini utazidi kufanikiwa na unautumia urembo wako vizuri. Mungu akubariki kwenye shughuli yako.
Sasa kwa mtu ambae hafahamu hiyo triple seven iko maeneo gani, unamwelekezaje? Siwezi kuambia mgeni wangu nenda triple seven na akajua moja kwa moja ni wapi. Hapa mngelichukua hiyo nafasi kumtangaza kimapana.
Haha, Mrs haroub vizur Sana mimi ndo napenda mtafutaj kama uyo dada na napenda biashara ta juis Sana hata home rafiki yangu alikuwa anauza Mim mwenyew nilisema nataman badaye niuze
Kuna juis nilikuwa, naona resta nilivyokuwa nafanya kazi nilikuwa, naona, juis nzur ya tikiti na nanasi nzur Sana. Hata shangazi yangu alikuwa anaenda Kwa wahind wakawa wanafundisha juis nzur akawa anauza
Kama Karen gadina anajitaidi mwenyew nashangaa Kuna watu wanacheka alisema wanamwambia anauza juis kafulia yani hawo watu wanamwambia hivyo hawajui maisha kwel. Tandale ndio vitu vingi
Thank you for inspiring me as I start my hawking business you are beautiful, and I know am also beautiful I can do anything through Christ who strengthens me
+Mnzava Chris hahahahhaha wewe tu yaa' uyu mdada kama wakitokea wadada wengne wakifanya ici itakua poa tu sanaaa maana tuache kulalamika hall ngumu wakat atujishughulish
Lela Mohamed na kwa kweli huyu jamaa tunamuona mpuuzi,hatupendi.,lakini ndo anatubdilisha.,na tutbdilika iwe kwa nmn yyte ile. Swali la kizushi.,unfny shughuli ghan mwenzngu? 🙈
MashaAllah Big Up Sasa Dada.... Mwanamke anafaa kuchangamka kwa vyovyotr vile ilimradi anajipatia Pesa zake za Halali.. hii ndio Ndoto yangu na mimi nije kuwa na Fruit Parlour yangu Binafsi niwe na Bakery yangu maana nimesomea Baker nije kuwa na Caffee yangu... naamini ipo siku Ndoto yangu itatimia In Shaa Allah..
Well hata mimi namaliza degree yangu ya kwanza but target yangu ni kubobea kwenye biashara ya Chakula and I believe I will make it asante sana dada umenimotivate and I won't give up
Nimekuelewa sana dada but the issue hapa kwenye mtaji w elf tano mi nawaza hio blenda naipata vipi,Hilo frij nalipataje ofcoz wengine family zetu ni duni. Ko hio elfu tano hapoo
hahahaa unaanza kudepreciate please don't say that again. I just love the way you express yourself... the way you know things... they say it will come to time when the learner will inherit the world while the learned ones will find themselves beautiful equipped with the world no longer exists.
Ooooh no.... My sister umenigusa sehemu flani ya umaskini... Uko tu the same na mm...sipendi I don't like... Umaskini... Tupilia mbali... Usipende kuajariwa pamba na nguvu yako hapo ndio utajiri wako... So everybody don't give up...
Natamani wote tungekua hivi.... Tembelea Instagram page ya vifaa_ice cream kwa maitaji ya * Machines za ice cream * Ladha *Chokstic na jinsi ya kutengeneza #0759666773. Dar es salaam.. mikoani tunatuma...
Nakupenda bure dada
Thanks for inspiring slayqueens
Wafanyekazi kuomoka n polepole 😂 wakenya🇰🇪 mpooooo pitia hapo na like tukingoja kuomoka😜😜😂
Mwanamke Mkakamavu, safi sana, very proud of you. Umeongea ukweli mtupu.
ZERO TO HERO ,uoga wako ndiyo umaskini wako ,congrats!
chapamtu kironge kweki kabisaa 😃
wajina angu upovizuriiiiii barikiwa
ex
b
umenitia moyo kweli......video ya maana kweli,Mungu akuzidishie dadangu
Jawabu ya kwanza mausiana ni Sina Mume, angekuwa mwanamke cheap angejibu sina boyfriend
Woow asante ,,,kila kitu.kinawezekana ni ukweli sitakata tamaa niko nyuma nakuja Mungu niwezeshe
Great ideas thanks
Yaani kanitia moyo Mungu ni mwema
Chapa kazi Dada. Nilichokipenda kwako tu ni kwamba unaonekana dharau hauna na uzuri wako ndo umeufanya kuwa mtaji wako.Congrats.
barikiwa dada angu aisee mungu azidi kukupigania AMEEN
Hassanova junior ameen
azh zha yassin pamoja Sana wa mie
azh zha yassin p
Eliza Apend P
Ulianzaje na 5000 na blenda ulipataje
nimekupenda bure dada hauko tofauti na mm sipendi vya kupewa
Masha Allah mola awepamoja nawe kipenzi ailinde biashara yako nawenye husdha chachu
Ni kweli kabisa mungu ndiye kila kitu na ndugu wa damu awezi kukusaidia ila mtu baki ana weza kukusaidia na kufika mbali yani sister umeni gusa maisha yangu sana kwani wali mwengu awa ishiwi maneno na Kani fundisha kupigana zaidi kimaisha na ku songa mbele na kushinda kila aina ya vikwazo na majani na ku jiamini zaidi kwa kile unachofanya Hongera sana siste
daah nimekukubali Dada yangu
Nimekupenda sana dada naomba nitundishe na mimi japo aina moja tu hajui
Mhhh mtaj wa elf tan na matunda hayo ulisagia wp???
hard working pay dada
hili ni somo kwetu sis wanawake hongera sana dada
Safi sana mdada. Unajielewa sana Dada. Na warembo wengine kama wewe, waige mfano wako. Naamini utazidi kufanikiwa na unautumia urembo wako vizuri.
Mungu akubariki kwenye shughuli yako.
Mashallah mungu akuzidishie mrembo nmeipenda sanaa kazi yako
nimekupenda bure. mungu akubariki dada
Na mbona hamkutuambia hii place iko wapi?
Damaris Zuckschwert tripple seven
Sasa kwa mtu ambae hafahamu hiyo triple seven iko maeneo gani, unamwelekezaje? Siwezi kuambia mgeni wangu nenda triple seven na akajua moja kwa moja ni wapi. Hapa mngelichukua hiyo nafasi kumtangaza kimapana.
Damaris Zuckschwert naaam haaahaa
HII SEHEMU IKO TRIPLE 7 MIKOCHENI
dhaa asante sana nimejifuza mengi sana ubarikiwe sana
umenizindua siku mtanikuta barabarani mniunge mkono BC...😘😘😘
Ucjar
Haha, Mrs haroub vizur Sana mimi ndo napenda mtafutaj kama uyo dada na napenda biashara ta juis Sana hata home rafiki yangu alikuwa anauza Mim mwenyew nilisema nataman badaye niuze
Kuna juis nilikuwa, naona resta nilivyokuwa nafanya kazi nilikuwa, naona, juis nzur ya tikiti na nanasi nzur Sana. Hata shangazi yangu alikuwa anaenda Kwa wahind wakawa wanafundisha juis nzur akawa anauza
Hata baba anapenda kujiajil na aneshazoea kazi za kujiajil
Kama Karen gadina anajitaidi mwenyew nashangaa Kuna watu wanacheka alisema wanamwambia anauza juis kafulia yani hawo watu wanamwambia hivyo hawajui maisha kwel. Tandale ndio vitu vingi
Hongera mi mwenyewe ndio nimeanza juzi tu na mtaji huohuo ila matunda ghali
Lenga matunda ambayo muda huu yapo mengi saga peshei kama zipo weka na maziwa ya unga
You one in a million..., great job
mashaallah na ss wengine tujifunze
Zanana nimekupenda bure hakika umenishawishi sana
Me nimependa kazi yko na mm nataka nijifunze
Welldone Natalia. you courageous and good example
Hongera sana Natalia! ujasiri wako ndiyo mtaji wako!
Hakuna wadada wanaojituma Siku hizi hWapo Lakini Huyu dada nitafute
Uko vizuri dada, ila kujieleza bado, kabisa, haunyooshi Maelezo.. ila big up.kila kitu taratib
Doricy Audax Tunamuelewa zaid kwa kile anachofanya maelezo ni ziada tu
Asante kwa kunitia Moyo stay blessed keep moving.
+Joyce Blessed bless
Huyu dada kaniliza kwa kweli...!! Nimependa sana aseeh mwili unasisismka kiukweli,HONGERA KWA ULIPOFIKIA
asante da nataria nimejifunza vtu vingi kutoka kwako
Judi Oman 👌👌👌
nisiwe mnafiki natamani mpenzi wangu angekuwa na akili kam yakwako dah kila nikimfugulia biashara ana filisi
Johnson King pole sana
Mengi Maximillian. asante dada yangu
nitumiye gmail yakio
Subra baba🤣🤣🤣
Bu Khaled subra naaa lkn hjui.biashara
Nimekupenda Dada unamsimamo mnzuri sanaaa Good speach
Wewe ndio huwataki..acha urongo..huna mume,huna boyfriend??..uctuambie bado ubikra
Dah ww dada mungu akubarikiiii
Love you strong girl
Ofisiyako ikowapi sister nijenikuchangie ninywe juice nimependa bure maongezi yako mungu akubariki ufikie malengo yako
Tunafatilia interview ya Natalia 2022 gonga like ...
nimeipendeza dada nimekubali wewe ni milionea BABA MUNGU abaliki kazi ya mikono yako
Nice Dada natalia umenifungua akil sana, na nyie muwe mnafupisha matangazo cz matangazo yenu yanachosha kiukwel
Thank you for inspiring me as I start my hawking business you are beautiful, and I know am also beautiful I can do anything through Christ who strengthens me
Waoo nice sanaa tuko pamoja
mme wake yuko kenya
Wasichana wengi Warembo hawapendi kujituma kanzi kudanga big up
Ur the very professional speaker congrats ww ni mfano mzurii wa kuigwa
yaan hawa ndo wadada wa kuigwa wallah
Lela Mohamed na kuoa
+Mnzava Chris hahahahhaha wewe tu yaa' uyu mdada kama wakitokea wadada wengne wakifanya ici itakua poa tu sanaaa maana tuache kulalamika hall ngumu wakat atujishughulish
Lela Mohamed na kwa kweli huyu jamaa tunamuona mpuuzi,hatupendi.,lakini ndo anatubdilisha.,na tutbdilika iwe kwa nmn yyte ile.
Swali la kizushi.,unfny shughuli ghan mwenzngu? 🙈
+Mnzava Chris mimi niko dubai nafanya kaz duka la nguo
hongera.,kumbe na wewe kama yeye.,tsaafi!
elfu tano ulikuwa mbali mi nilianza na 1800 mpaka sasa Nina miliki mzogo wa maana
so keep it up Lady's
+Steven Daud ::::haiitaji hasira broooo....
Dr Tinny
Planning to do so please any idea
naomba msaada wa ushaur wako mpendwa 0687054058
Mashallah
Nimekupenda sana hongera
huyu dada anajielewa mno, ame ni inspire mno
Hasa nyie ambao mna unlike ni wivu tu km unao saanaa fanya chako tuone alaf tukusifu maana ushamba huo wakuto like maendeleo
Sometm aelew jins ya kulike wasamehe
Nimekupenda madam, hata me nauza juice natamani sikumoja kua kama we mwanamke mwenzangu
MashaAllah Big Up Sasa Dada.... Mwanamke anafaa kuchangamka kwa vyovyotr vile ilimradi anajipatia Pesa zake za Halali.. hii ndio Ndoto yangu na mimi nije kuwa na Fruit Parlour yangu Binafsi niwe na Bakery yangu maana nimesomea Baker nije kuwa na Caffee yangu... naamini ipo siku Ndoto yangu itatimia In Shaa Allah..
Jaman dad hngr sana na mm nahtj kupmbn na hiy kazi naomb unisapot kw ushaur wako
Ubarikiwe dada Mungu aendeleye kuku ongezea
naipenda pia mpo wap ,,naomba ajira kwako nina faham kutengezea kidg
Well hata mimi namaliza degree yangu ya kwanza but target yangu ni kubobea kwenye biashara ya Chakula and I believe I will make it asante sana dada umenimotivate and I won't give up
This lady is open..i like making friends with people who are real like her...most people fake alot
Daaah had ninelia hakika ckati tamaa kamwe nitazid kupambana naamin ipo cku namm ntakuwa kama ww 🙏🙏
Nimependa kz yako dada naomba darasa la juice
Thank you so very much.. I'll thank you again and again.. You made me believe that I will soon make it!
Naweza kufika ofcn kwako nami nijifunze dadaangu nipo Tanga
Ni mrembo na unafanya kitu kizuri. But unatakiwa kujifunza jinsi ya kuongea ili ulete radha kamili ya maneno. Speech ina matter dear.
Dorice Ukwama unakunywa maneno unakunywa juice?? wabongo banaa.
Dorice Ukwama ilikuwa mahojiano sio speech kunatofauti sasa wewe ndio unatakiwa kujifunza
kibongo bongo achen kuigiza mbona anaongea vzur
Shariph Kasweha hata mimi namuelewa simpingi ila nampinga mwenye comment ya mwanzo anaemponda anavojieleza
we vp Kwan tunafanya mashindano ya kuongea au tunapata inspiration...wivu umeona lzm umtoe kasoro..wasichana huwa ampendani na wakaka wasemeje?
Asante Dada nimejifunza kitu
👍
love you mamy! i like the way you are
shukrani dada mim naomba niwemwanafuzi wako unipemarekezo
Hongera Natalia uko vizuri sana
Asante sana dada umenifungua niwe jasiri
I really like this lady 😍 congrats my dear..... life is not easy it's all about fighting & struggling and also your so inspiring ❤️ God bless u more 💕
Naomba mawasilian ya mremb huyu tafadhali
Nimekuelewa sana dada but the issue hapa kwenye mtaji w elf tano mi nawaza hio blenda naipata vipi,Hilo frij nalipataje ofcoz wengine family zetu ni duni. Ko hio elfu tano hapoo
Kabisa
you are my hero stand strong
Kabisa umaskin ni kitu kibaya Sana ngoja tupambane
What a touching and motivating story .May Allah bless your work.
I just love her😍💖💖
hahahaa unaanza kudepreciate please don't say that again.
I just love the way you express yourself...
the way you know things...
they say
it will come to time when the learner will inherit the world while the learned ones will find themselves beautiful equipped with the world no longer exists.
woooooh nimependa xana
Anajiamin xana nimempenda
MUNGU aendelee kumpigania
Umenitia nguvu my sister God bless you alot
kutoka leo you are my role model...I have learnt alot from you😘😘
mary mulusha .me too.nimemkubali sana
dah najifunza kupitia wewe dada yangu
Jamani nakupahongela sana dada yangu mahana unafanya kazi ninayoipenda hata mm natumaini nitafi ofic kwako
Daah your very strong I like many things from u
Daaa adi nimelia..big up sana zanana umenifanya niamke nlipolala
Real inspiration 👍
Una ajili we binti hongera sana
Umefnya kitu mioyoni mwetu ...
Ipo sku ntakufikia ingawa ndo naanza sjui hzo challenges ntazkwepa maana mmmh
Utakwepa tu mumy kila kitu nikupambana
Wooooh beauty with the brain , Big up , i learn a lot .
una akili wewe masha Allah usiseme mtaji wako maana TRA wanakukodolea macho watakufilisi.😂😂
hahahaha ulipo nipo
Ooooh no.... My sister umenigusa sehemu flani ya umaskini... Uko tu the same na mm...sipendi I don't like... Umaskini... Tupilia mbali... Usipende kuajariwa pamba na nguvu yako hapo ndio utajiri wako... So everybody don't give up...
Natamani wote tungekua hivi.... Tembelea Instagram page ya vifaa_ice cream kwa maitaji ya
* Machines za ice cream
* Ladha
*Chokstic na jinsi ya kutengeneza
#0759666773. Dar es salaam.. mikoani tunatuma...
Sister imenitouch story yako Ya maisha .Mwenyezi Mungu azidi kukubariki 🙏
Hujaweka na blender kama mtaji
Watching it in 2019...uyu Dada anantia hasira ya kutafuta pesa
Msichana mwenye busara.
Hakika Umetishaa sana .
good jobs msomi mkakamavu
Good job....uv got such a strong spirit..big up
Yn dada umenikosh sn honger sn
MUNGU AKUBARIKI SANA DADA
ASANTE KWA KUTUSAIDIA PIA
uyo mwanaume unaemtafuta ni mimi. hahahaha
guuuuud sana my dada utabarikiwa sana kwakujitambua vizuri mno ukiwa mzuri lazima ujiheshimu
Masha allah
Utafika mbali Sana, nimejifunza ki2 kwako sister thank you