Wanaokomenti kejeli na kuonyesha kuumia kwake ni sawa sijui ni watanzania wa wapi kweli, Nyerere hakuacha kizazi kibaya kiasi hiki. Wengine wameshafanya "conclusions" kibao polisi hawajatamka chochote. Ukimtakia mtu mabaya hata kama ni adui yako kiasi gani, yatakurudi. Mimi sio mwanasiasa na sipendi siasa maisha yangu, lkni kwangu ni hayo tu.
@@maryemanuel6122 alikuwa anaenda kwenye ngono tunajui halafu anataka kuisingizia serekali na Mushimiwa raisi , ubinadamu ni kuwa tuwe wakweli tusiitie inchi taswira mbaya kwa faida ya mzinifu mzee na mlevi
Patient privacy ni jambo pana! Unavyofanya doctor ni unprofessional una mkosea sana mbowe kutangaza siri yake bila ridhaa yake pili we sio msemaji wa familia au hiyo hospital!!
ORIF = Open Reduction of Internal Fixation. Tunatumaini siyo sababu m’badala wa mipango ya “yajayo”maana mtoa misaada wa huko magharibi ya mbali yuko kwenye kizungumkuti na yeye; kwa hivyo hawezi kusaidia vibaraka. Inabidi Tusubiri majirani watujuze kama walisikia mikiki au mtu mmoja kaanguka kwenye ngazi baada ya kinywaji🥴
Ninyi mnaocoment kwa kumtakia mboe mabaya kumbukeni kuwa malipo ni hapa hapa duniani kama si kwako ni kwa kizazi chako.mwenzenu anapopatwa na mabaya tumwombee ili Mungu amponye.mambo mengine tumwachie Mungu ambaye atahukumu kwa haki.mpende jirani yako kama nafsi yako haijalishi ni mwema au ni mbaya kwako.kisasi ni juu ya Mungu.amina
@@gililwise ingekua wao akina Mbowe wana .mawazo kama yako watu wasingekua wanaongea vibaya ni kwasababu wameshaanza kumtaja rais na serikali yetu kuichafua hivyo unaposema alichokifanya ni kumsaidia ili ajifunze siku ingine yeye inasemwa wazi alilewa na akaanguka kwenye ngazi
Wasemaji wa CCM akiwepo Msu - kuma, Lijua Likali, na Lusinde wanadai alikuwa mlevi sio kushambuliwa. Polisi wa siku hizi wanafanya kazi chini ya CCM kwa hiyo hawana haja tena ya kuchunguza maana Wabunge wa CCM wamefanya kazi badala ya MROTO.
Thanks 4 good work doctor
Mhhh yupo mungu ambae ndo msemaji wamwisho mungu wangu akuponye leo
mungu amponye kwakweli,mbarikiwe ma dactari
Hii movie staring kabugi mapema.Mwaka huu mtaigiza kila aina ya picha ila oktoba tunawafanyia mazishi rasmi.
Watakufanyia kwanza ww hayo mazishi
Usipende kushabikia usichokijua iyo Mov unayosemea inaitwaj
Madogta nakupeni pongezi mnafanya kazikubwa ninyi hamna siyasa watuwote wanaokufikieni niwenu hongerenisanna
daktri anasema mbowe anaendelea vizuri viongozi wa chadema mwaimu kasema khali yake si nzurii...halafu walimpiga mguu tu wala hawakuona uso wala mbavu? watanzania hatuwezi kudanganyika kirahiai
Wanaokomenti kejeli na kuonyesha kuumia kwake ni sawa sijui ni watanzania wa wapi kweli, Nyerere hakuacha kizazi kibaya kiasi hiki.
Wengine wameshafanya "conclusions" kibao polisi hawajatamka chochote.
Ukimtakia mtu mabaya hata kama ni adui yako kiasi gani, yatakurudi. Mimi sio mwanasiasa na sipendi siasa maisha yangu, lkni kwangu ni hayo tu.
Pole kwa Yale yote yaliyokkta, Kwan Mungu n mwema atakuponya
Yan mtu upingwe uumie mguu jamn ata watu watafute cha kusema
Mungu wao ndio mungu wetu sote
Kweli hawa. Watu wameishiwa sela mwaka uuh
Ubarikiwe daktari duniani tunapita jmn
Hyo ndio faida ya konyag
Shule uliyosoma ni Ufala!
madaktari kama ameletwa mgonjwa akiwa amelewa hawawezi kumgusa mpaka kilevi kiishe mwilini kwaiyo tuweke kando siasa jamaa walimvunja mguu
Deal limebuma kweli wangekuwa wazee wa kazi wangefanya hilo loooh aseme Pombe sio Chai 😂🤣🤣
Utu kwanza siasa baadaye"kama binadamu, pole...mengine napita tu
Na uwongo na kuzusha jee
Hiyo haihusiani kabisa ,hizo ni chuki binafsi inapokuja kwenye mtu kajeruhika haijalishi hayo mengine cha muhimu afya kwanza kwake mengine watajuana
@@maryemanuel6122 alikuwa anaenda kwenye ngono tunajui halafu anataka kuisingizia serekali na Mushimiwa raisi , ubinadamu ni kuwa tuwe wakweli tusiitie inchi taswira mbaya kwa faida ya mzinifu mzee na mlevi
Get well soon
Sasa hayo uliyoyafanya ww pale dodoma awawezi au ni kiki tu kujifanya yupo mahututi
Pombe tamu lakini,,,,,
Pole mzee
Patient privacy ni jambo pana! Unavyofanya doctor ni unprofessional una mkosea sana mbowe kutangaza siri yake bila ridhaa yake pili we sio msemaji wa familia au hiyo hospital!!
Amungu amtangulie
Nchi hii hatari sana
Mm
Doctor vp hivi ulivyomwangalia kwa ujuzi wako ni km mtu kapigwa au kavunjika kwa kutelezaa!!!?
😂😂😂 Dr hawana siasa
Upo makini dkt
Alitenguka huyo
ORIF = Open Reduction of Internal Fixation. Tunatumaini siyo sababu m’badala wa mipango ya “yajayo”maana mtoa misaada wa huko magharibi ya mbali yuko kwenye kizungumkuti na yeye; kwa hivyo hawezi kusaidia vibaraka. Inabidi Tusubiri majirani watujuze kama walisikia mikiki au mtu mmoja kaanguka kwenye ngazi baada ya kinywaji🥴
Ninyi mnaocoment kwa kumtakia mboe mabaya kumbukeni kuwa malipo ni hapa hapa duniani kama si kwako ni kwa kizazi chako.mwenzenu anapopatwa na mabaya tumwombee ili Mungu amponye.mambo mengine tumwachie Mungu ambaye atahukumu kwa haki.mpende jirani yako kama nafsi yako haijalishi ni mwema au ni mbaya kwako.kisasi ni juu ya Mungu.amina
@@gililwise ingekua wao akina Mbowe wana .mawazo kama yako watu wasingekua wanaongea vibaya ni kwasababu wameshaanza kumtaja rais na serikali yetu kuichafua hivyo unaposema alichokifanya ni kumsaidia ili ajifunze siku ingine yeye inasemwa wazi alilewa na akaanguka kwenye ngazi
So smart
MI NAJIULIZA KWANI BODY GUARDS WAKE ?
We body guards wako wako wp
Afetuuu sisihatuwez kumpenda kibalaka wawanzungu mtu anaetutafutia mabaya hua na sisi tunamtaftia mabaya unyama unyama tuuu raisi magufuli oyeee anaejisikiavbaya akafiembele kwawanzungu
Acha ushoo, mbona unaleta siasa kwenye matatizo, Magufuli hawezi kupendezwa na vitu vinavyoharibu hekima zake
Nadhani una mapungufu saaana katika kufikilia kwako na mtazamo wako
Wasemaji wa CCM akiwepo Msu - kuma, Lijua Likali, na Lusinde wanadai alikuwa mlevi sio kushambuliwa. Polisi wa siku hizi wanafanya kazi chini ya CCM kwa hiyo hawana haja tena ya kuchunguza maana Wabunge wa CCM wamefanya kazi badala ya MROTO.
Wabunge vilaza wanacheza na afya za watu
@@godlistenhowcance8052 hauna akili ww paka ww
Wewe unataka wachunguze nini wakati umeambiwa alikuwa amepiga kilaji kikali na alidondoka kwenye ngazi akavunjika.
Waichunguze Faru!? Hahahahaha ! Makubwa! Alivamiwa mguu tu! ? Picha nalo halisomeki?
Walichunguze Levi?
Deal limebuma kweli wangekuwa wazee wa kazi wangefanya hilo loooh aseme Pombe sio Chai 😂🤣🤣
Pole mzee
mfarmer
Upo makini dkt