MOTO BARAZAN WAPEMBA WAJA JUU DK KHALID PEMBA MNALETA INGINIA WABOVU ROHO IMEUMBWA NA CHOYO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 พ.ค. 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

ความคิดเห็น • 94

  • @khamisjuma2947
    @khamisjuma2947 2 หลายเดือนก่อน +4

    Sisi wapemba tuna mungu atatulipa endelezeni zulma zenu mulizoziasisi tokea mwanzo

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 2 หลายเดือนก่อน +10

    Wapuuzi sana Hawa,kwanza uyu nadir ni mpuuzi kushinda ao wapuuzi wenzake ,kazi yake porojo, kwani sikweli Pemba munakuangusha kusudi hamuna lolote, kazi ufisadi

    • @user-xy5sj7fm7h
      @user-xy5sj7fm7h หลายเดือนก่อน

      Ni chakula cha wakubwa uyo nadiri ndio maan anaongea bila woga msege uyo alafu n naibu waziri kisha mpaguzi

  • @user-xw9id5td6p
    @user-xw9id5td6p 2 หลายเดือนก่อน +11

    Wapemba tunazarauliwa sana na smz

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 หลายเดือนก่อน

      Tena sana

    • @user-gs6pr7ny2k
      @user-gs6pr7ny2k 2 หลายเดือนก่อน +1

      Washenzi hao Wana ubaguzi sisi wapemba wanatubaguwa

    • @mohamedally4535
      @mohamedally4535 2 หลายเดือนก่อน

      𝙆𝙖𝙗𝙞𝙨𝙨𝙖 𝙝𝙞𝙞 𝙣𝙞 𝙠𝙬𝙚𝙡𝙞

    • @SaidHassan-ot3un
      @SaidHassan-ot3un 2 หลายเดือนก่อน

      @@user-gs6pr7ny2k ipo-siku

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 2 หลายเดือนก่อน

      Daàaaah

  • @abdulhakimjuma9112
    @abdulhakimjuma9112 2 หลายเดือนก่อน +4

    Utawala ulioko madarakani hawako tayari kuiyona pemba inaimarika kiuchumi na wanaogopa kutengeneza miundombinu ya Pemba mana kutakuwa kwakupiga mfano afrika nzima

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 หลายเดือนก่อน +1

    Tikiendelea kubaguana iiiiiiiii titakuwa na Wazanzibari, Wazanzibara na Wadanganyika 🤣😂 😂😂🤣👎🦴 jifunzeni toka Danganyika 🙏 mbona huku tuna makabila zaidi ya 120 bado tu kitu kimoja 🤔 lkn tarafa wanaumana, wanabaguana, wanachukiana 🤣🤣 chetu ni chenu 😭 chenu ni chenu Kwa nn 😭 Kadiba mmmaa 👍👍👍

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 2 หลายเดือนก่อน +4

    Pema inatuuma kwli ila mungu anatupenda tukikosa kw serekali tutapata kw mungu pemba tunakushana kodi kuliko unguja ila maendeleo hatuna

  • @komboali8203
    @komboali8203 2 หลายเดือนก่อน +5

    Pemba haithaminiwi Kwa chochote Kwa lolote, Kila kitu kinajengwa unguja, maendeleo yote yanafanywa unguja, unguja mabara bara kibao tena mazuri, Pemba hakuna Jambo

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u หลายเดือนก่อน +1

    Huyu anafaa kua rais wa Zanzibar 😊

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ujumbe umefika waache wajenge unguja tu pemba wameifanya mkia wa n,gombe,ilaipo ck inshallah hakuna lisilo na mwisho😮

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalim 2 หลายเดือนก่อน +3

    Pemba kweli shidaa Allah atainusuru

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nilienda Pemba january 2024 mara ya mwisho nilienda 2019
    Sikujua nilipita barabara mpya nikapita mzambarauni yaani nilijua gari ya rafiki yangu nimeazima itavunjika
    Ni mahandaki
    Kufika wete ndio ndugu zangu wakaniambia pitia barabara inayoenda konde upite pandani
    Nilipotea kifogo lakini hio barabara ni nzuri
    Mkoani chakechake barabara ni balaaa

  • @abdulhafidhali3164
    @abdulhafidhali3164 หลายเดือนก่อน

    Ubaguz wa pemba na unguja hauwez kuondoka kwa sbb wanguja wanaona hii nchi ni yao pekee yao

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hawa hawana haja na Wapemba hawataki kabisa Wapemba kwanza ni Wapinzani ndio maana hawayaleti Pemba Maendeleo

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 หลายเดือนก่อน

      Hayo hayahitaji tochi,ni kweli kabisa

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 2 หลายเดือนก่อน

      Ata wafanyaje wapemba sie hatuwataji

  • @SalamaM-jv9lf
    @SalamaM-jv9lf 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baba Asante nakuunga mkono

  • @Pemba680
    @Pemba680 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupa mauwa Yako ndugu yangu

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daah yan huyu jamaa kanikata mbavu 😂😂😂

  • @tiijuma795
    @tiijuma795 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mmh. Mie napita tu ,🏃🏃sina ata mia ya kumpa wakili

  • @ashajoj5786
    @ashajoj5786 2 หลายเดือนก่อน

    hongera muheshimiwa

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sisi wapemba tunadharaulika kwkweli tumekosa Bahati ss unguja uzi nilienda yani kunamaendeleo sna

  • @Pemba680
    @Pemba680 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kbsaa

  • @musr931
    @musr931 2 หลายเดือนก่อน

    Happy that they've started to realize the truth, that for long deny!

  • @mrok284
    @mrok284 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahaaaa. Sema weye Bora.

  • @arkamkhamis781
    @arkamkhamis781 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂 yan hd raha 😂😂

  • @kitosio
    @kitosio หลายเดือนก่อน

    Barabara Pia ni hayo2. Meko na mawasiliano ndio wajengaji. Haya mambo tunamuomba Raisi atusaidie mwenyewe kusimamia. Yeye ndio ana uwezo wa kudhibiti ubora. Vingenevo mtihani

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u หลายเดือนก่อน

    Hongra sana

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kutokana na ugumu wa usafiri,wafanya biashara wanagharamika kwa kiwango kikubwa,na mwishoe bei za bidhaa zinakuwa juu sana mpaka wanunuzi wanashindwa.

  • @komboali8203
    @komboali8203 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kiufupi kauli iliyokuwa Sawa Sawa ni kwamba Pemba inatengwa haithaminiwi Kwa chochote Kwa lolote

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui 2 หลายเดือนก่อน

    Mwakilishi hongera
    2025 tutakuchagua tena In Shaa Allah

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana jamaa kaongea

  • @user-kp5mo1cr1y
    @user-kp5mo1cr1y 2 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @IbnuAlly-wm8il
    @IbnuAlly-wm8il 2 หลายเดือนก่อน

    Apo sasa umefanya jambo la msingi kuliko kuhubiri siasa na muungano wakati wenzenu kile kilichopo mnachokiona kidogo wanakitumia kujinufaisha wao kwanza

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sas km pemba ni wapizanj ndio kabisa tutazidi kua wapizani maana km yule mke km hutimizi sidhani km atakusamini uliza kujenga mijengo mazur sisi wanamchi tunadhalilika km ssi ni haki zetu wananchi wakwanza mm sisamehee

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l หลายเดือนก่อน

    HUO USAWA UNAOMBA ANZA NA WEWE. KABLA HUJAMALIZA MIAKA 5 OMBA MKUTANO MMOJA KIJACHO CHA BAJETI KIFONYIKE PEMBA. HUWEZI HATA SIKU MOJA KUSEMA UTABAKIA PEMBA KWETU NA UNGUJA KWETU . HAPA UNGUJA HIZO SEMI TRAILER ZINAZOBEBA CONTAINER HAZINA ESCORT VEHICLE WALA TAA ZA KIMURIMURI ZA TAHADHARI KUWA MKWELI

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wana tudharau sana

  • @IbnuAlly-wm8il
    @IbnuAlly-wm8il 2 หลายเดือนก่อน

    Viongozi wengi hawana uadilifu kuwaunganisha watu kwa porojo na kuwagawa kwa vitend ndo kipao mbele chao

  • @user-xt3pq4hb2r
    @user-xt3pq4hb2r 2 หลายเดือนก่อน

    Gari liliinqia paka hahahaaaaaa

  • @khamisjuma2947
    @khamisjuma2947 2 หลายเดือนก่อน

    Hao watu wa unguja hawapo tayari kutengeneza pemba ni maneno tu mpaka mtu anamaliza muda wake basi ahadi tu ni ahadi tu

  • @MeniJr
    @MeniJr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Abaa nkweli watudharao nno

  • @TunauzaSimu-fn2ff
    @TunauzaSimu-fn2ff 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tunajenga huku unguja ndo mliko

    • @IbnuAlly-wm8il
      @IbnuAlly-wm8il 2 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga ww hakuna anayependa aondoke kwao, kwan mungelijenga miundo mbinu mizur kule angelikuja mtu huku? ila kinachoonekana saiv ni ubabaishaji tu

    • @user-mm5zq7sf1h
      @user-mm5zq7sf1h หลายเดือนก่อน

      Kwan hakuna waunguja waliojenga dar au na kila kitu kifanywe dar Zanzibar isifanyiwe kitu kwa7bu dar watu ni weng kuliko Zanzibar kwaiyo sehem ikiwa na watu kidog haitak maendeleo na miundo mbinu mizur kwa7bu watu ni wachache ukisema hivyo unatukosea sana wapemba na mbna zao la karafuu linazalishwa sana pemba kuliko unguja au umesahau kama pemba ndio kwenye raslima nyie watu wa unguja ni wabaguz sana huu ubaguz ulikua ufanywe na watanganyika na sio mzanzibar kumfanyia mzanzibar mwenziwe

  • @user-mm9qr7em8k
    @user-mm9qr7em8k 2 หลายเดือนก่อน

    Ipo siku .pemba .tutagawa. mbao.

  • @MasoudSaid-md3cq
    @MasoudSaid-md3cq หลายเดือนก่อน

    Hakuna tena kofta

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa mecco kweli hakuna kitu mwenyewe nimepita juz chake wete wameshindwa kweki

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bandari tumejengewa njia za miguu watu watatu mukifuwatna muna pigan vikumbo 😊

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u หลายเดือนก่อน

    Wapemba wanatuzarau sana

  • @user-um5xx5ct7q
    @user-um5xx5ct7q 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mjumbe musijali anatoka chama kipi mpene kura m kwa mara nyingine

  • @salyali7807
    @salyali7807 2 หลายเดือนก่อน +1

    🤣🤣🤣

  • @MasoudSaid-md3cq
    @MasoudSaid-md3cq หลายเดือนก่อน

    Hakuna 🎉 tena kufta

  • @alimau7939
    @alimau7939 2 หลายเดือนก่อน

    Wapemba watakiwa kwa kodi kubwa tu na ikifika kipindi cha uchafuzi wauliwe hakuna jengine Alhaji Goya alisema hali ya pemba inasikitisha

  • @alimau7939
    @alimau7939 2 หลายเดือนก่อน

    Wakilishi wapemba wengi ni vilaza

  • @nasseralmaqbali6317
    @nasseralmaqbali6317 2 หลายเดือนก่อน +1

    Maneno matamu Asante mwakilishi 😁😁😁

  • @user-yx7bn3hb5x
    @user-yx7bn3hb5x หลายเดือนก่อน

    makamo wa pili huna lolote unashindwa kutupigania wapemba wenzako unawakumbatia hao wabaguzi ss tuko tiar kujitenga

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nimezaliwa chakechake
    Jengine ni kwanini hivi videge vyetu vikafuta safari za pemba kwenda tanga

    • @ahmedalbalushi6239
      @ahmedalbalushi6239 หลายเดือนก่อน +1

      Mada ni usafiri sio kujenga
      Pemba ya 1990 ni sawa na ya 2024 ? Umeenda kuiona

  • @user-yx7bn3hb5x
    @user-yx7bn3hb5x หลายเดือนก่อน

    Alaf eti makamo wa pili yupo haoni

  • @RashidiHassani-in9rb
    @RashidiHassani-in9rb 2 หลายเดือนก่อน

    Huo ukweli usiofichika kazi kinachoendelea ubaguz tu

  • @EdiMchubila-kn9ks
    @EdiMchubila-kn9ks หลายเดือนก่อน

    Nadir ww mwnyw umemekimbia lndia uko wachen ubaguzi uo

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l หลายเดือนก่อน

    KWA TAKWIMU ZA MHE. NADRI CONTAINER 188 TEU KWA MWEZI SAWA NA 2250 TEU KWA MWAKA ZA MCHELE KWELI BANDARI HIYO ITALIPA KWELI?

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i หลายเดือนก่อน

      We msenge kwli kwan hiyo sio nchi moja iyo pemba lazma ijengwe

  • @user-yx7bn3hb5x
    @user-yx7bn3hb5x หลายเดือนก่อน +1

    wapemba tujitenge unguja kwao na sisi kwetu kilammja kwao

    • @user-kq7mp8qz9e
      @user-kq7mp8qz9e หลายเดือนก่อน

      Mutaweza naona nyote mupo unguja au baniani mbaya kiatu chake dawa

    • @user-mm5zq7sf1h
      @user-mm5zq7sf1h หลายเดือนก่อน

      ​@@user-kq7mp8qz9ealaf tukisema wapemba tukae kwetu unahis uko unguja kuna muunguja halis asilimia ngap maana asilimia 70 unguja ni wapemba sasa iyo asilimia 30 kwenye 70 inakaaje nyinyi mnaojifanya watu wa unguja munadharau sana wapemba wakat pemba ndio inawalisha nyau ww😂

    • @user-kq7mp8qz9e
      @user-kq7mp8qz9e หลายเดือนก่อน

      @@user-mm5zq7sf1h ndugu jielewe wanao tamka kujitenga ninyny wapemba xyo sisi waunguja ndio maana tunakuulizeni mutaweza nanyny hamutulishi anaetulisha niallah

    • @user-kq7mp8qz9e
      @user-kq7mp8qz9e หลายเดือนก่อน

      @@user-mm5zq7sf1h mtu hajifaharishi kwenye mijiyawatu anajifagharisha kwao hv kwnn pemba mnapakimbia hebu itikezee kweli mujitenge ndio tunaomba ilimzizi wafitna ukatike

  • @khamisali9845
    @khamisali9845 2 หลายเดือนก่อน

    Hata sijui wanaenda kuzungumza nini. Haya hayo mambo ya Pemba peremba ndio yatasaidia nini? Yaani sijui tusemeje

  • @user-vh6hh6ul2h
    @user-vh6hh6ul2h หลายเดือนก่อน

    Jamaa anafaa kuw rais uyuu

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 2 หลายเดือนก่อน +2

    Chukueni karafuu zao mupate pesa za kigeni Wapemba ni wajinga wao

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli ndugu, wajinga ndio waliwaoo

    • @user-mm5zq7sf1h
      @user-mm5zq7sf1h หลายเดือนก่อน

      Wamesahau ya kwamba pemba ndio kwenye maslahi ya serikal tukiamua kusema karafuu tuuze nje ya jiran ni rahis kuliko unguja na tutapata faida kubwa sana ila wanasahau awa mahashuo wa unguja kama bila wapemba hawal ndiz wala cha shamban

  • @user-kt2pd2vz8v
    @user-kt2pd2vz8v 2 หลายเดือนก่อน

    Wapemba mnatubagua. pemba mmekufanya vutuni huku

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k 2 หลายเดือนก่อน

    Hautatuacha salama...kuna maneno julius aliyasema

    • @IbnuAlly-wm8il
      @IbnuAlly-wm8il 2 หลายเดือนก่อน

      Ni ukabila unaotengenezwa na viongozi wao kwa kuwafanya hawa bora kuliko wale au hapa bora kuliko pale km fir'aun alivyowagawa watu wake

  • @utaani1
    @utaani1 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie wenyewe wapemba munajidharau maana nyote munajenga Unguja na dar es salaam. Jengeni Pemba hata matajiri wasilete biashara zao Pemba

    • @ahmedalbalushi6239
      @ahmedalbalushi6239 หลายเดือนก่อน

      Umeenda chakechake ukaiona tulivoijenga , usafiri wa ndege tuulete sisi watu wa pemba , kuwa unguja sio kosa

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 2 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi pemba mnakimbia nn atengeneza.

    • @hajiharoub8125
      @hajiharoub8125 2 หลายเดือนก่อน

      Kukimbia kwetu haimaanishi kuwa hakuishi watu mbwa weeee

    • @user-mm5zq7sf1h
      @user-mm5zq7sf1h หลายเดือนก่อน

      Alaf uwe na adab ww paka

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sele mkweli

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 2 หลายเดือนก่อน

      Selemanii eeee, selee

  • @IbnuAlly-wm8il
    @IbnuAlly-wm8il 2 หลายเดือนก่อน

    Apo sasa umefanya jambo la msingi kuliko kuhubiri siasa na muungano wakati wenzenu kile kilichopo mnachokiona kidogo wanakitumia kujinufaisha wao kwanza