Serikali ya Dk. Mwinyi yafanya yale yale kwa Wapemba

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 18

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 2 หลายเดือนก่อน +2

    Zanzibar watu wote ni Wanasiasa. Suluhisho ni kugawana visiwa kimamlaka.

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 2 หลายเดือนก่อน +2

    Inshaallah wataondoka t wahoo maharamia wakiccm tuipaganie Nch wanzanzibar PBE and UGJ

  • @aliabdalla9297
    @aliabdalla9297 2 หลายเดือนก่อน +2

    Umetisha sana OMO

    • @mchagagaspar6649
      @mchagagaspar6649 2 หลายเดือนก่อน

      WANA CCM KUMBUKENI UTU NAMJIPE UBINAADAMU ACHENI DHULMA HIO NIINCHIYENU NYOTE MSIWE MFANO WAWA KURDI NA WA PALESTINA ( ABBAS ) ANAKULA MADIMBI NDUGUZE WANAUWAWA KWELI ,NCHI INAKWENDA KWELI HIVYOOOOOO.

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi naamini bado tupo wengi sana na Wapo CCM wengi wanatuunga mkono Wallah uchaguzi huu utakaokuja ni mtamu sana

    • @AhmedAli-gh1lm
      @AhmedAli-gh1lm 2 หลายเดือนก่อน +1

      Uchaguzi hautakuwa na lolote, ni vile vile ilivyozoeleka. Zinapigwa kura ambazo kimsingi hazina maana yoyote. Tume inaamua nani kashinda na sio idadi ya kura inavyoamua. Kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi zilivyo sasa, tayari CCM ishashinda hata kabla ya uchaguzi. Nchi kama hizi chaguzi ni geresha tu kuwadanganya wajinga kuwa kuna uchaguzi wa kidemkrasia.

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wote walio serikali ni watu wa siasa .kwa kua wanaongozwa na chama tawala .iyo ni kauli tu mh

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 2 หลายเดือนก่อน +1

    dhulma ni nying sana na maneno ya miskitini yoote yale kua akidhukumiwa mtu mmoja tu ana dhima yako wapi leo

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mwinyi sio m2 mwema kwa wazanzibar

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 2 หลายเดือนก่อน

    Ni mwendelezo wa siasa chafu zilizoanzishwa kwa makurdi toka miaka 50 ya nyuma.

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 2 หลายเดือนก่อน

    Iv rais mwny kwa nn Hawa wananch hawapat hik kitambulisho .kwa rais ww huendani na iyo kauli Kama haki yao wapeni .sio Kuna baaz ya watu kukuchafulia

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani ni kweli Nchi za njee wanaletewa ID card mpaka nyumbani. Inategemiye wewe vipi unataka. Zanzibar wako nyuma sana bado.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 หลายเดือนก่อน

      Ni UONGO, utaratibu wa duniani nzima kitambulisho na passport huombwa hata kama baadae utaletewa nyumbani. Tatizo la Zanzibar mtu nyumbani kwao Muyuni amehamia Mahonda bila kufuata utaratibu anapoomba Kitambulisho Mahonda atapata tabu hebu na akaombee Muyuni kwao.

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db 2 หลายเดือนก่อน

    Kakaangu wewe kisuwahili wakifahamu ... lakn nakusihini lugha nyepesi ni mtihani kwenu.

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 2 หลายเดือนก่อน

      Mpeleke mama yako matako wewe akazungumze kiswahili

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mkuu wa mkoa ni mjumbe wa Baraza la taifa na mkoa kwa nn asiwe mwanasiasa

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa wazee wetu nawaonea huruma wallahi.

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 2 หลายเดือนก่อน

    ZAN. ID NI KITEGO CHA KUIBIA KURA.