Jussa atuma salamu nzito kwa ZEC na Rais Mwinyi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • Jussa atuma salamu nzito kwa ZEC na Rais Mwinyi

ความคิดเห็น • 37

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 2 หลายเดือนก่อน +12

    Mkombozi uyoo ❤anatema Cheche 🔥🔥🔥za Ukweli Mtupu hana Unafiki 👍uyo!

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 2 หลายเดือนก่อน +6

    Umemalizaa maneno Proffesor Jussa 💯👍
    Tupo pamoja Sana
    Safari iendelee!!!🪽💯🔥🔥🔥

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mwinyi,ametumwa,,awamalize,wazanzibar,lakino,atatangulia,yeye,kwa,uwezo,wa,m,mungu

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mr, mbungo hii ni hazina yetu hapa Zanzibar twajuvunia uwepo wako Allah akuzidishie afya njema na umri mrefu mwanakwetu wee❤

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 2 หลายเดือนก่อน +5

    Zanzibar haina tofauti na Palestinian people!😢
    Kiukweli inatia Uchungu Sana!

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 2 หลายเดือนก่อน +2

      Iko siku inshaallahu tutaipata nchi na kuirejesha furaha tena kwa mara ya pili

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 หลายเดือนก่อน

      @@user-et9vf2ro2k Aamin Yaarab 🤲

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-et9vf2ro2k Ya kwanza ilikuwa ipi?

  • @HarithMbaruk
    @HarithMbaruk 2 หลายเดือนก่อน +2

    Allah akulipe kher udumu kwenye ukweli

  • @abdillahmohd4317
    @abdillahmohd4317 2 หลายเดือนก่อน +7

    MH JUSSU miongoni mwa hazina ya Zanzibar

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 2 หลายเดือนก่อน

      Nikweli kweli kabbisaa huyu mtu ni muhimu sana hajawahii kusimama na kusimania popote ikawa hajaacha alama juu ya kuitetea zanzibar na sio kuitetea t balu hata kuilinda ili ibaki salama na manlska yakee

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 2 หลายเดือนก่อน +3

    Maneno Kuntu 🎉😊❤

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 2 หลายเดือนก่อน +6

    Unajua ukiiskia tu saut ya Jusa unajua kuwa kuna mtetea wanyonge tena mzalendo anaongea sio wale wasaka tonge walotumwa.

    • @salyali7807
      @salyali7807 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa kabisa.. May Allah amhifadhi.. Allahumma ameen

  • @eddynaeem6708
    @eddynaeem6708 2 หลายเดือนก่อน +3

    mjomba baloteli Seif Ali Liddy pesa zetu za mapinduzi 2 utazitapika kama unajidai kufanyia birthday ya mkeo
    pesa zetu sisi tunalala
    njaa
    t
    a

  • @salyali7807
    @salyali7807 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mh Jussa tupo pamoja

  • @user-tx2zj1qq1o
    @user-tx2zj1qq1o 2 หลายเดือนก่อน

    Mhe Jussa ni kweli tushaamua Zanzibar Kwanzatuuweni sote lkn nchi yetu tunataka tujiendeshe wenyewe

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 หลายเดือนก่อน

    sio kweli hiyo Hiyo Nafasi kila mmoja wenu alikuwa anaitaka na kuitamani

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 2 หลายเดือนก่อน

    From Oman 🇴🇲 allah awalinde na shari vitimbwi vya ccm na serekali yak ya kiharamu tupo pamoj mm na zanzibar na zanzibar namm PBE and UGJ iloveyou

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ni ngumu sana mtu kuwa muadilifu kwenye mambo hayo

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂❤❤❤

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ile CUF ya Maalim Seif imerudi katika ubora wake !!

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 หลายเดือนก่อน

      A.C.T Wazalendo Kweli
      CUF ni Mhariifu Professor Ibrahim Lipumba what's ever you called 💯 maana hainyanyuki tena imepigwa na Maradhi laaana!!!

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 หลายเดือนก่อน

      M/Mungu amlaze mahala pema peponi Maalim Seif 🤲 Aamin Yaarab!!!
      Hao ni watoto wa Maalim
      Washapikika
      Hio Kambi ni Moto 🔥🔥
      Vijana nguvu Kazi 💪
      Moto Moto twende Kazi 💪💪💯

  • @hajiali7
    @hajiali7 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 2 หลายเดือนก่อน

    Nyerere aliifisidi ZANZIBAR. WAENGEREZA ndio wahusika wakubwa. A.C.T mkichukuwa nchi. Fanyeni Sultan jemshid aje kuishi ZANZIBAR kama vile HISTORIYA na kupata BARKA. Za ZANZIBAR.

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jusa ni mtaalamu wa kupika taarifa za uongo.
    Ni wapi mafuta yapo chini KULIKO Zanzibar ENEO hili la Africa mashariki?

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 2 หลายเดือนก่อน

      Kamueleze ili akisema aseme ukweli

    • @kassim1262
      @kassim1262 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hkuna wtu waongo km ccm nandio maana tngu enzi za mabibi namababu mpk leo hii bdo znzb hii unguja na pemb bdo tunajengew barabra na itaendelea mpk kiama maana ccm hwpo kwaniaba yznzbar wpo kujinufaisha ss jussa kakudanganya nini

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 หลายเดือนก่อน

      Ukweli hamna namna yakujitetea Ukweli utabaki Ukweli tu!!!😜
      Na Uongo ni wale Wanafik waliozoea Utumwa ya Hewallah Bwana!!!😜😂😂

  • @saidrashid5972
    @saidrashid5972 2 หลายเดือนก่อน +1

    Haya maneno tumeshayazoea sana kwa sisi wenye maono tunajua kua hmn kitu just munatafuta kula tu

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna tofauti kubwa sana ya siasa za Tanganyika na Zanzibar kwamba viongozi wa vyama vya upinzani Zanzibar ni viongozi wa Serikali kwa awamu tofauti huwa najiuliza sana Serikali inayotafutwa ili iwe je.

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 2 หลายเดือนก่อน

      Haji Hassan wakati mwingine unachekesha sana,hawa akina jussa na wenzake hawajawahi kuongoza Zanzibar kupitia tiketi ya chama chao iwe CUF au kw sasa Act wazalendo,usiwape lawama sana hawa hata wakitaka Zanzibar ile iendeshwe kwa namna hii au ile hawawezi kufanya hivyo kwa sababu hawawezi kufanya mabadiliko kwa sababu wao sio chama tawala mfano ,Zanzibar kupiga kura siku mbili ( 2),haiingiliki akilini watu laki tano kupiga kura siku mbili wakati Tanganyika kupiga kura siku moja wapiga kura milioni 20.yote hayo ni mazingira ya kuleta vurugu tu na wizi katika chaguzi .kama ni uwezo wao wangebadilisha huo upuuzi wa kupiga kura siku mbili watu laki tano.na mambo mengine juu ya masilahi ya Zanzibar hasa katika mambo ya Muungano .

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 2 หลายเดือนก่อน

      Ebu funguka au mkono umeteleza ulichokiandika?