ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU I LOVE PEMBA PEOPLE THEY ARE TOO KIND MY ALLAH BLESSED THEM AMEEN SUMA AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asalam alykum,ahsante sana sheikh wetu tunashuru sana sisi vizazi kwenye asili ya Pemba kujuwa asili na ukongwe wa nchi yetu ya Pemba, asili yetu ni dini ya kiislam tuu pekee na sio ukafiri wa kikiristo
@@suleimanrashid3918 Ok Wanasema ukweli haupingiki. Zanzibar nin hi ndgo lkn Ina historia kubwa sema hio historia ipo kwenye vifuwa na midomo na Dunia kwassa inaamini maandishi lkn ndyo mambo yanadhihiri Kama hvo. Wanasema ukweli haupingiki.
Wallah nna uchungu na Zanzibar, maana Zanzibar ni nchi ya Kiislam.
Allah ihifadhi Zanzibar wa watu Wake.
Kwa utafiti wangu, zama hizo ni zama za Mataabiina baada ya Maswahaba. Na Swahaba wa Mwishu kufa ni Abuu Tufayli Amir bin Waathilah (R.A) mwaka 100 H.
رضي الله عنك شيخنا
رضي الله عن اجدادنا
Waandishi wa historia ya Uislam hii ndio nafasi ya kufanya utafiti zaidi juu ya kuingia kwa Uislam Pwani ya Africa Mashariki
Hii inaonesha wazi waislam ndio waanzilishi na watawala wa mwanzo visiwa vya znz kuishi katk visiwa hivo
ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU I LOVE PEMBA PEOPLE THEY ARE TOO KIND MY ALLAH BLESSED THEM AMEEN SUMA AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu avituze visiwa vyetu 🙏
Ameen
Home boy saf Sanaa Kwan taarifaa shehe Wang wa nyumban wingwii❤❤
Ni utafiti Mzuri wa kihistoria
Asalam alykum,ahsante sana sheikh wetu tunashuru sana sisi vizazi kwenye asili ya Pemba kujuwa asili na ukongwe wa nchi yetu ya Pemba, asili yetu ni dini ya kiislam tuu pekee na sio ukafiri wa kikiristo
Very inresting Archiology findings. The government should look at these important historian of our Islands
Imsim, huo muda wa kufanya utafiti wa aina hii ni ngumu maana mawazo ni namna gani ya kuchota mali ya umma.
Serikali wenyewe inavunja hayo mahistoria ya Zanzibar mbwa haw
Hata ule Msikiti Wa Kilwa Kisiwani Nguzo Arubaini Ulijengwa na Masahaba au Matabiina wakiwemo watoto wa Sayyidna Athman Bin Afaan (RA).
Karibu bkwetu full stor
@@najmaulaya8819 kwenu wap EEE???
Sheikh hao itakua ni wale watu waliokuja na nabii Suleiman enzi hizo na ndio maana kihistoria kisiwa cha misali alifika nabii Suleiman.
Hhhhh we Tena umefika mbali
Lkn historia Ya zanzibar wtu wanaificha sjui wanahofia Nn Hao
Lkn historia Ya zanzibar wtu wanaificha sjui wanahofia Nn Hao
@@Muhammad-el9iz wanacho kigicha wanaadam mjngu hukifichua ndio inaanza kufichuliwa hio sasa
@@suleimanrashid3918 Ok Wanasema ukweli haupingiki. Zanzibar nin hi ndgo lkn Ina historia kubwa sema hio historia ipo kwenye vifuwa na midomo na Dunia kwassa inaamini maandishi lkn ndyo mambo yanadhihiri Kama hvo. Wanasema ukweli haupingiki.
Ustadhi khamis tunataka kujuwa zaid kusu historia Ii kwaiyo napendekeza kutafutwe watu wa afya Ili tujuwe ukweli zaidi
Historia ya Zanzibar inazidi kutuumiza Wazanzibar
Mashaallah sheikh murubain nakuelew muda tokea nyumban ALLAH akupe afya njema
Mashallah
Shukran Baarakallahu fiiqu
Interesting study to be published
Aslam a likum warahmatullah 5:55 5:59
Aslam a likum warahmatullah
Nenda na tumbatu
Mashallah
Tumetoka pazuri ila tumepelekwa pabaya tenasana kilamtu analijua hilo, na dini ipo mudamrefu zaidi ya hiyo miaka700
Maashallah
Muarubaini
Duuh