Kumbe Pemba ni ya zamani sana

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • Makala haya kwa hisani ya PeNA TV ya kisiwani Pemba.

ความคิดเห็น • 40

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 ปีที่แล้ว +9

    Wallah nna uchungu na Zanzibar, maana Zanzibar ni nchi ya Kiislam.
    Allah ihifadhi Zanzibar wa watu Wake.

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 ปีที่แล้ว

    Kwa utafiti wangu, zama hizo ni zama za Mataabiina baada ya Maswahaba. Na Swahaba wa Mwishu kufa ni Abuu Tufayli Amir bin Waathilah (R.A) mwaka 100 H.

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 2 ปีที่แล้ว

    رضي الله عنك شيخنا

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 2 ปีที่แล้ว

    رضي الله عن اجدادنا

  • @sultanmikoi
    @sultanmikoi ปีที่แล้ว +2

    Waandishi wa historia ya Uislam hii ndio nafasi ya kufanya utafiti zaidi juu ya kuingia kwa Uislam Pwani ya Africa Mashariki

  • @saakabdalla2066
    @saakabdalla2066 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii inaonesha wazi waislam ndio waanzilishi na watawala wa mwanzo visiwa vya znz kuishi katk visiwa hivo

  • @Sidik-d7e
    @Sidik-d7e 13 วันที่ผ่านมา

    ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU I LOVE PEMBA PEOPLE THEY ARE TOO KIND MY ALLAH BLESSED THEM AMEEN SUMA AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 2 ปีที่แล้ว +9

    Mungu avituze visiwa vyetu 🙏

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi หลายเดือนก่อน

    Home boy saf Sanaa Kwan taarifaa shehe Wang wa nyumban wingwii❤❤

  • @omarame2071
    @omarame2071 2 ปีที่แล้ว +3

    Ni utafiti Mzuri wa kihistoria

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 2 ปีที่แล้ว +1

    Asalam alykum,ahsante sana sheikh wetu tunashuru sana sisi vizazi kwenye asili ya Pemba kujuwa asili na ukongwe wa nchi yetu ya Pemba, asili yetu ni dini ya kiislam tuu pekee na sio ukafiri wa kikiristo

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 2 ปีที่แล้ว +4

    Very inresting Archiology findings. The government should look at these important historian of our Islands

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 ปีที่แล้ว

      Imsim, huo muda wa kufanya utafiti wa aina hii ni ngumu maana mawazo ni namna gani ya kuchota mali ya umma.

    • @fatmaali2050
      @fatmaali2050 ปีที่แล้ว

      Serikali wenyewe inavunja hayo mahistoria ya Zanzibar mbwa haw

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed7118 2 ปีที่แล้ว +2

    Hata ule Msikiti Wa Kilwa Kisiwani Nguzo Arubaini Ulijengwa na Masahaba au Matabiina wakiwemo watoto wa Sayyidna Athman Bin Afaan (RA).

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 2 ปีที่แล้ว +2

    Sheikh hao itakua ni wale watu waliokuja na nabii Suleiman enzi hizo na ndio maana kihistoria kisiwa cha misali alifika nabii Suleiman.

    • @saidkaim768
      @saidkaim768 ปีที่แล้ว

      Hhhhh we Tena umefika mbali

    • @Muhammad-el9iz
      @Muhammad-el9iz ปีที่แล้ว +1

      Lkn historia Ya zanzibar wtu wanaificha sjui wanahofia Nn Hao

    • @Muhammad-el9iz
      @Muhammad-el9iz ปีที่แล้ว

      Lkn historia Ya zanzibar wtu wanaificha sjui wanahofia Nn Hao

    • @suleimanrashid3918
      @suleimanrashid3918 ปีที่แล้ว

      @@Muhammad-el9iz wanacho kigicha wanaadam mjngu hukifichua ndio inaanza kufichuliwa hio sasa

    • @Muhammad-el9iz
      @Muhammad-el9iz ปีที่แล้ว

      @@suleimanrashid3918 Ok Wanasema ukweli haupingiki. Zanzibar nin hi ndgo lkn Ina historia kubwa sema hio historia ipo kwenye vifuwa na midomo na Dunia kwassa inaamini maandishi lkn ndyo mambo yanadhihiri Kama hvo. Wanasema ukweli haupingiki.

  • @IlyasaBakar
    @IlyasaBakar 3 หลายเดือนก่อน

    Ustadhi khamis tunataka kujuwa zaid kusu historia Ii kwaiyo napendekeza kutafutwe watu wa afya Ili tujuwe ukweli zaidi

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 2 ปีที่แล้ว +3

    Historia ya Zanzibar inazidi kutuumiza Wazanzibar

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 ปีที่แล้ว

    Mashaallah sheikh murubain nakuelew muda tokea nyumban ALLAH akupe afya njema

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran Baarakallahu fiiqu

  • @nassorsuleiman6063
    @nassorsuleiman6063 2 ปีที่แล้ว +1

    Interesting study to be published

  • @IlyasaBakar
    @IlyasaBakar 3 หลายเดือนก่อน

    Aslam a likum warahmatullah 5:55 5:59

  • @IlyasaBakar
    @IlyasaBakar 3 หลายเดือนก่อน

    Aslam a likum warahmatullah

  • @adambakar8265
    @adambakar8265 ปีที่แล้ว

    Nenda na tumbatu

  • @husseynhamad9790
    @husseynhamad9790 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @jumafundi2871
    @jumafundi2871 2 ปีที่แล้ว +1

    Tumetoka pazuri ila tumepelekwa pabaya tenasana kilamtu analijua hilo, na dini ipo mudamrefu zaidi ya hiyo miaka700

  • @Binfuad
    @Binfuad 2 ปีที่แล้ว

    Maashallah

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 ปีที่แล้ว

    Muarubaini

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 2 ปีที่แล้ว

    Duuh