MOTO WAHESHIMIWA WAPANDISHIANA SAUTI BARAZAN KISA MAJI PEMBA MPAKA SPIKA ASHINDWA KAMUA KUINGILIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

ความคิดเห็น • 28

  • @kitosio
    @kitosio 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sanaaaaaa

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyo waziri mm binapsi niliomba umeme nilikaa miezi 6 tangu kuomba nikamfuwata yeye aka nambia nyie wapemba munshida kwli mukijenga kichumba kimoja mwataka umeme kwli nilisikitika sna

  • @kitosio
    @kitosio 2 หลายเดือนก่อน

    Kijana hongera sana sana. Ahadi hewa hawa. Hawamsaidii Raisi kwa nguvu moja.

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk 2 หลายเดือนก่อน +3

    Miaka 60 bado watu wanajadili maji tu

    • @EdiMchubila-kn9ks
      @EdiMchubila-kn9ks 2 หลายเดือนก่อน

      Maji na bara bara tu alo usiseme maendeleo hamna

  • @IbnuAlly-wm8il
    @IbnuAlly-wm8il 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kajibu vizur lakin tatizo ni kuwa hawatekelezi ndio chanzo cha huu mvutano

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm หลายเดือนก่อน

    Watu wengine sijui uwaziri wameupata vipi

  • @Pemba680
    @Pemba680 2 หลายเดือนก่อน +3

    Waziri kimeo hata majibu hana

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p 2 หลายเดือนก่อน +2

    Shida maneno bila vitendo

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hawana maji hao kama huu mwaka wa 5 kila siku keshokesho

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2ki 2 หลายเดือนก่อน

    Dah mtihani

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 2 หลายเดือนก่อน

    Hasara ya kuchagua waeskilishi walio na elimu finyu. Waziri uwe na elimu ya problem solving otherwise utadhalilika.

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i หลายเดือนก่อน

      We una firwa kweli kwan si wajbu kufikishiwa uo umeme nynyi wanguja ni wa binafsi sna

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 2 หลายเดือนก่อน

    Wao kw wao wavutana

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo matatizo ya maji Pemba ni ya makurdi,maana maji Pemba yako kwa wingi,mpaka baharini maji safi yako.Tatizo kubwa ni uwajibikaji.Mpaka hii Leo hapo Wete wananchi wanapata taabu ya maji.

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa ndio mawaziri wa Serikali ya CCM na majibu ya kihuni kyltk Chombo muhimu ktk nchi

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo waziri nimjeuri sana hawezj kusema wwnyeakili zao inamaanatupo wengune hawana akili hatutaki malumbano peleka majj safi nasalama ww unaweza ishi bila yamaji umeyavulianguo yakogetu

  • @kitosio
    @kitosio 2 หลายเดือนก่อน

    Ee slelemani we sele sele. Baba sele tunakukubali sanaaaaa

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yani badala muongee apo munachimba hamuchimbi munasema wakakae nyinyi vp acheni mambo ya kizamani watu wanapa tabu

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 2 หลายเดือนก่อน

    Hatabado

  • @zuwenasaid9707
    @zuwenasaid9707 2 หลายเดือนก่อน

    Maigizo plus ,tembo na nyani na simba .

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kakosea sana Waziri kusema wenye akili zao.
    Hapo sisi tunafahamu kua Waziri kamaanisha kua wengine hawana akili akiwemo Muheshimiwa Suleimani!!
    Daaah...majibu mengine hayaa

  • @jombadulla
    @jombadulla 2 หลายเดือนก่อน

    kwani lazima wachimbe apo,ciwayatoe sehemu nyengne wayapeleke,mbona rahsi tu,yandika mabomba ata wete muyapeleke kichungwani,mnakosea wapi serikali

  • @jumasabour5886
    @jumasabour5886 2 หลายเดือนก่อน

    Suala la maji limekua kero ila mm najiuliza. Kwan hatuwezi kuyatransorform hard water to soft water. Ukizingatia tumezngukwa na bahar.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 หลายเดือนก่อน

      Juma,hilo wazo ni zuri lakini kwa Zanzibar,mpaka sasa,sio lazima.Maji safi yapo kwa wingi ila hakuna nia dhati ya kuondoa kero hilo

  • @SaidAli-sg1qd
    @SaidAli-sg1qd 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa kiboko

  • @abdulkadirmbarouk5634
    @abdulkadirmbarouk5634 2 หลายเดือนก่อน

    Kauli ya mheshimiwa kusema watu wennye akili zao wanajuwa hajakusudia uwenda wazimu Kwa nilivyo mfahamu kakusudia watu wenye uelewa wasomi,wataalam Wa kijiji cha michungwani .sio kma kijiji kizima ndio wana elimu na uelewa huo