Kamati ya Siasa kwa kushiriakiana na ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Kigoma imetembelea na kukagua Miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa wilayani Buhigwe
Taarifa nzuri ila tungependa muwe munajitaidi kuzitoa tarifaa zote za kuhusu buhigwe haswa za pande ya tarafa ya Muyama kata ya Mugera tunazisikia kupitia watu badala ya kuzipata kwenye tovuti hii
Taarifa nzuri ila tungependa muwe munajitaidi kuzitoa tarifaa zote za kuhusu buhigwe haswa za pande ya tarafa ya Muyama kata ya Mugera tunazisikia kupitia watu badala ya kuzipata kwenye tovuti hii
Kigoma wazazi kero mchago ya shuleni kusababisha wanafunzi kuwa watoro na wazazi kutaharuki ,hususa kata za msambara shida sana