BODI YA WAKURUGENZI TRC YAFIKA KIGOMA | WAKAGUA UJENZI SGR | WAFIKA BANDARINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 33

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution 5 หลายเดือนก่อน

    Hongereni TRC, Consultant na contractor

  • @kassimkibwe4614
    @kassimkibwe4614 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana TRC🎉

  • @kalingaasukile8730
    @kalingaasukile8730 ปีที่แล้ว +2

    Bora mungeanza kufikiria kujenga reli Mpya kutoka Mpanda-Inyonga-Rungwa-Mtera had Kilosa badala ya kuhangaika na section ya Mpanda-Kaliua

    • @triplea3463
      @triplea3463 ปีที่แล้ว +2

      Watu wanawaza soko la kimataifa ww unawaza soko la ndani tu
      Hio ya kaliua mpanda inaenda hadi ziwa Tanganyika kupitia bandari ya kalemi DRC

    • @ommymp9058
      @ommymp9058 7 หลายเดือนก่อน +1

      Watu wanakwenda kimataifa ndani tumieni magari

  • @rich-lr8tq
    @rich-lr8tq 6 หลายเดือนก่อน

    hatimae TRC imefufukiakwenye SGR, hongereni sana mnaupiga mwingi sana

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 ปีที่แล้ว

    Good job congratulations 👏❤🇹🇿

  • @kassimkibwe4614
    @kassimkibwe4614 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana🎉

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 ปีที่แล้ว

    Vizuri sana.

  • @BarakaedamesNdemeye
    @BarakaedamesNdemeye 5 หลายเดือนก่อน

    kaziiendeleeee

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 ปีที่แล้ว +1

    Hao Wachina watamaliza vipande vyao wakati matapeli waturuki wanasuasua kipande cha dar hadi makutupola Dodoma

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 ปีที่แล้ว

      Umesema kweli na hata hizo Lot no 3 (Makutopola to Tabora) na Lot no 4 (Tabora to Isaka) ambazo amepewa huyo Mturuki kazi anazofanya mpaka sasa hazionekani na nikama zimesimama kabisa😮😮😮😮

    • @BrunoEmanuel-h1d
      @BrunoEmanuel-h1d ปีที่แล้ว +2

      Tatizo sio mturuki tatizo ni viongozi wa kusimimamia
      Mbona kipindi cha magu walifanya kazi nzuri Sana

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 ปีที่แล้ว

      @@BrunoEmanuel-h1d tatizo ni Mturuki hawajibiki mbona LOT zingine za mchina zinaenda vizuri , mkandarasi mzuri haitaji kusukumwa sukumwa

    • @HavanansiData
      @HavanansiData หลายเดือนก่อน

      Ila Dar Moro palikuwa pagumu, madaraja, flyover na kutoboa mahandaki ya milima.
      Tusilaumu sana

  • @victorgogadi55
    @victorgogadi55 ปีที่แล้ว

    Mbao tena, tuna hitaji kutunza miti

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 ปีที่แล้ว +1

    CCECC NDIO KAMPUNI KUBWA DUNIAN KWA AJILI YA UJENZI...HATA TAZARA,, TANZANIA ZAMBIA RAIL WAO NDIO WALIJENGA...MAJENGO AU BARABARA WAPO FASTA...CGC,,SINOHYDRO PIA NIWAZURI

    • @christophergervas1409
      @christophergervas1409 8 หลายเดือนก่อน

      Mshahara ndo faida yetu hata kampuni ikiwa kubwa inatoa kamshahala kadogo Hainan faida

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 7 หลายเดือนก่อน

      Ili upate mshahara mzuri ni serikali ndo inatakiwa kukakaa na wakandalasi kabla ya kugawa tenda wawe wamelewana kuhusu mishahara ya wazawa ​@@christophergervas1409

  • @tonnykinabo5422
    @tonnykinabo5422 ปีที่แล้ว +1

    Vipi kuhusu reli ya dar tanga arusha.....kule reli ni mbovu na hatuoni jitihada zozote za maboresho

    • @jumashedafa
      @jumashedafa ปีที่แล้ว +1

      Naon huk kumetengwa nilishasema ata uku kunahitajik sgr...kama pesa ni shida waunge kuanzia pwan waend ad arusha kwanz then baadae warud tanga mjin

    • @kassimkibwe4614
      @kassimkibwe4614 ปีที่แล้ว

      Hongereni Sana TRC🎉

    • @casmiraugust6853
      @casmiraugust6853 ปีที่แล้ว

      huku sió tz kaka..wanapeleka kusiko na tija

    • @jumashedafa
      @jumashedafa ปีที่แล้ว

      @@casmiraugust6853 wameshindw kufikiria mbal

    • @ezekielmabwai482
      @ezekielmabwai482 ปีที่แล้ว

      Mnaota ndoto za reli nyingine wakati hii komedi bado inendelea, wajinga!! Na haya malori ya mifisidi, wataipeleka wapi? Mtasubiri hadi mpofuke. Ondoeni milori ya wanaokwamisha reli!?

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 ปีที่แล้ว +1

    Tutaona haya mapambo hadi lini?

    • @helsingvanny3199
      @helsingvanny3199 ปีที่แล้ว +1

      Shida nini we mjinga? Kwaio wasioneshe mradi unavyoeendelea huko kigoma. kwa africa nzima kwa saivi Tanzania ndo inajenga mradi mkubwa wa SGR.

    • @ezekielmabwai482
      @ezekielmabwai482 ปีที่แล้ว

      @@helsingvanny3199 Mjinga aliyukuzaa na ukawa chokoraa! Kwa nini hukuenda shule? Umebaki na michezo ya komedi?! Mtaimba hilo li reli lenu kiwete mpaka MTAKOMA, halitakuja kufanuya kazi kwa Mafisadi ( litawala)

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@ezekielmabwai482Vipi mzee Dua lako limegoma?