PASTOR FRANCIS NDACHA NI ADUI WA KANISA | WASABATO ( SDA) WAMKANA NDACHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
  • KWA WALE WANAOTAKA KUFANYA KIPINDI AU MATANGAZO WASILIANA NA AKASHA +254 721310082

ความคิดเห็น • 196

  • @BuchichiJoseph-xm8kn
    @BuchichiJoseph-xm8kn ปีที่แล้ว +10

    Mwalimu Ndacha unapigwa mawe because of what God has put in you, continue preaching the Gospel of our Lord Jesus Christ waislam waache Muhammad wamfuate Yesu

  • @frankmurimi6757
    @frankmurimi6757 ปีที่แล้ว +11

    Mimi nilijifunza mambo mengi sana kwa ndacha nampenda sana ametumwa na Mungu S.D.A tunapaswa kuamka Mimi ata sijawahi sikia mwingine akihubiri kama Francis amebarikiwa sanana Mwenyezi Mungu aendelee kumbariki.

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 2 ปีที่แล้ว +15

    Ndacha anatumiwa na MUNGU kuubiri injili ya kweli

  • @mercymjunior9684
    @mercymjunior9684 ปีที่แล้ว +9

    Kulingana na mimi mwalimu Ndacha anafundisha injili ya kweli ya yesu kristo anapigania injili kama mtume shujaa Mungu ampiganie mwalimu Ndacha tunakupenda sana umewafunua wengi macho walikua gizani🙏🙏

  • @estherkanini4627
    @estherkanini4627 2 ปีที่แล้ว +13

    Ata wakimkataa mungu wetu hajamkataa, ndacha is special endelea kupreach.umewachallange kazi yao nikukaa kwa kanisa

    • @jei_Ibrahim
      @jei_Ibrahim 2 ปีที่แล้ว +1

      Easter you should start to listen to ndacha na not just be the blind follower you really should be present at his classes na sio kuwa hapo physically but mentaly na hapo ndipo wengi hufail by the way they dont hamuskizi pastor ana sema nn mungekuwa mukk makini kusingekuwa na mkristo sai duniani

    • @Alex.124
      @Alex.124 2 ปีที่แล้ว +1

      @@jei_Ibrahim sijaona ubaya ya mafunzo take kwa sababu EGW alisema Kila mtu apimwe na maandiko matakatifu Isaiah 8:20 especially about trinity so if you think you have some truth mchallenge na maandiko ambalo ndilo nguzo ya kurekebishana kama watoto was Mungu

  • @denniskkinyua4544
    @denniskkinyua4544 ปีที่แล้ว +13

    No one can stop ndacha he is a man of God we should support by everything including our offering

    • @yohanamolle2294
      @yohanamolle2294 ปีที่แล้ว

      Ndacha anafundisha watu waje kwa yesu paka wasilamu

  • @priscillamacharia1323
    @priscillamacharia1323 2 ปีที่แล้ว +13

    Tunafuata ndacha kwa maandiko.

  • @truth7796
    @truth7796 4 หลายเดือนก่อน

    Ndacha the best teacher ever,, Mafundisho yake yako sawasawa na maaandiko... We are guide by holy spirit and scripture.... Ni nini ndacha amafundisha kinyume na maandiko

  • @boazimeta8255
    @boazimeta8255 3 วันที่ผ่านมา

    Ndacha a true servant of God.. I trust all that he says

  • @davidmnyela2459
    @davidmnyela2459 2 ปีที่แล้ว +4

    Ushuhuda wangu ni kwamba mahubiri ya ndacha yamenifanya nimekuwa imara katika imani tangu nianze kumfuatilia,Bwana Yesu Asifiwe Kwa kumwinua mtu Kama huyo
    From 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 ปีที่แล้ว +11

    Ndacha ndie anafundisha ukweli, SDA imetekwa na freemason siku hizi

  • @fingilijacob2585
    @fingilijacob2585 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu Atukuzwe kumtuma mtuma mjumbe wake kutuokoa tuliotekwa nyara na Babeli iliyojaa mafundisho ya uongo ili kupitia Mtumishi wake Ndacha watu kama mimi tuurithi ufalme wa Mungu.

  • @paullwangili2235
    @paullwangili2235 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwacheni mtu wa Mungu Ndacha aendelee kutenda kazi ya Mungu ninyi mafarisayo msiotaka kubadilika na mnaotunza amri za GC Kuliko kutunza amri za MUNGU.

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 2 ปีที่แล้ว +12

    Mimi ningekuomba uende ukaeke mada na ndacha juu ndacha ana hubiri vizuri sana ndugu yangu nenda umsikize vzuri

    • @Jamessteven-td1eg
      @Jamessteven-td1eg ปีที่แล้ว

      kwa sababu anahubir iliyo kweli, Mungu ndio unapinga?

    • @tesenimgabo2009
      @tesenimgabo2009 ปีที่แล้ว

      Anachokisema mtumishi ni sahihi rafikiangu tuwe makini wengi watatoka kwetu nakuwa maadui wa ndugu zao huo ndio ukweli,ajitengae na sisi atafuta faida yake mwenyewe biblia inasema hivo...pia imetabili nyota zitaanguka ndo hivo unabii lazima utimie

    • @japhetndoro6533
      @japhetndoro6533 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe hujajua hata Ellen White alijitenga

    • @johnnyamache2943
      @johnnyamache2943 2 หลายเดือนก่อน

      Ellen white said a new organization will be formed, counting fundermental principals as false and bringing new beliefs where they have introduced their 3 Gods in one.

  • @WEKETV.2999
    @WEKETV.2999 3 หลายเดือนก่อน +1

    I left SDA when i disagreed with the church on the doctrine of Trinity which is a fake and demonic doctrine. This doctrine is soo fake that even the pioneers rejected it. So, i agree with Pst. Dacha 100%. Waache kucheza na imani ya watu na kueneza uongo.

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 ปีที่แล้ว +5

    Ndacha is from God,we all know the nominal SDA as it stands today is a Catholic church worshiping on Sabbath.

    • @aponkamaleki
      @aponkamaleki 6 หลายเดือนก่อน

      very true 🤝

  • @aponkamaleki
    @aponkamaleki 6 หลายเดือนก่อน

    WANAMATENGENEZO twamshukuru Sana Yesu Kristo mwana wa pekee wa Mungu kumleta mtumishi wake huyu Mwalimu Francis Ndacha

  • @crispuskasanga8487
    @crispuskasanga8487 2 ปีที่แล้ว +23

    MIMI SI SDA NIMEFUATILIA MAFUNDISHO YA NDACHA KWA MUDA SASA THIS MAN IS PREACHING PURE GOSPEL.NAOMBA MPENI SIKIO NDIO MJUE UKWELI.

    • @georgekamau3541
      @georgekamau3541 2 ปีที่แล้ว +1

      Hallelujah

    • @emmanuelmutuku7434
      @emmanuelmutuku7434 2 ปีที่แล้ว +1

      Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙌

    • @elijahnyangeri770
      @elijahnyangeri770 7 หลายเดือนก่อน

      Ndio mahali sikubaliani Na ndacha Na kukataa roho n nan Na yesu

    • @meshackchengo7881
      @meshackchengo7881 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa Ako sawasawa

    • @antonyochieng6741
      @antonyochieng6741 4 หลายเดือนก่อน

      He is mixing truth with error..be keen and read

  • @presenttruthloudcryforthel5338
    @presenttruthloudcryforthel5338 2 ปีที่แล้ว +5

    Nyinyi waislamu huu ujumbe unawahusu mini,,ndacha and his team are the only people who have shaken Kenya interms of kufungua watu macho Kwa injili wanayoipeleka,, atleast Ur making people to know him better wakienda pale wataskiza ujumbe Kwa channel ya BIBLIA NURU YA DUNIA

  • @erickmaisha4773
    @erickmaisha4773 2 ปีที่แล้ว +4

    Uzuri Sisi tunampenda Kama mwalimu wetu huwa anawapa maandiko Kamili sasa waislamu nmeona hivo mnaiweka hii ndo tumchukie la hasha tunampenda 2

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 2 ปีที่แล้ว +8

    Nilitafuta hii channel sana nione huyu mtu anahumbili Ndacha Ndacha na hasemi uongo wa Ndacha 🤣🤣🤣 Kenya mzima Ndacha ndiye anahumbili ujue ni chuki mnayo. Kweli Ndacha amekuwa shujaa wa injili kama mtume Paulo😀 anapea wahumbili wa uongo sleepless night😆😆

  • @jacksonkilonzo1439
    @jacksonkilonzo1439 2 ปีที่แล้ว +6

    HUYU NI WIVU TU UNAKUSUMBUA UMEFUATILIA VIZURI UKAJUA KILE ANAHUBIRI AU NI KUPIGA KELELE

  • @user-bx3qy8bh6y
    @user-bx3qy8bh6y 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi uwamini bible na roho ya unabii na Ndacha ufunza vile iko the truth, but huyu unataka wakristo waendelee kuamini chochote kitokacho huko juu conference ata bila kujua kimetokana na nini, ata kama kinaenda kando na bible tuamini, please noooooo tunaongonzwa na roho wakristo sio watu waliojiingiza kwa siri kwa SDA , yuda 1 na if i may ask bona paul walipigwa na bona Stephen alipigwa mawe? Hope umeelewa so wenye roho wakrito lazima tuchunguze hicho mnacho tufunza, na if we follow bible ama neno, Ndacha speaks the truth Na Mungu amrehemu . Tumejifunza mengi ambayo tumefichwa na awa waubiri wetu...nikiangalia bible Ndacha tells only what is written

  • @jamesmundudisi562
    @jamesmundudisi562 2 ปีที่แล้ว +11

    FRANCIS NDACHA IS A MAN OF GOD. HE IS PREACHING THE TRUE GOSPEL. WE ARE SUPPOSED TO SUPPORT HIM. THAT SDA UNDER GENERAL CONFERENCE HAS FALLEN SHORT OF GOD'S GLORY. GOD HAS REMOVED HIS SPIRIT IN THIS CONFERENCE.

  • @celestinekerubo4839
    @celestinekerubo4839 ปีที่แล้ว +1

    Francis ndacha amechaguliwa kuifanya kazi yake Mungu.He has got the truth.

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 2 ปีที่แล้ว +12

    SDA ambayo iko under general conference sio pure SDA hakika naomba kama tunaeza msaidia Kwa pesa coast field aendelee na mafundisho wacha kumkashifu mtumishi WA mungu ww

    • @antonyochieng6741
      @antonyochieng6741 4 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ya ndacha vile vile pia sio pure,,..kuvaa jinsi sabato, kupigiga kifua, no real health reform, an many many ills..there is no pure church

    • @antonyochieng6741
      @antonyochieng6741 4 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ya ndacha vile vile pia sio pure,,..kuvaa jinsi sabato, kupigiga kifua, no real health reform, an many many ills..there is no pure church

  • @notsriricjuma4646
    @notsriricjuma4646 2 ปีที่แล้ว +1

    If you think he is wrong the best thing to do mtumishi is to organize a debate with him. You are right wasabato hawasomi!!!

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 ปีที่แล้ว +2

    Ndacha kiboko ya Mazinge na wenzake, siku hizi wame nywea

  • @johnmaroa9732
    @johnmaroa9732 3 หลายเดือนก่อน

    Ww mchungaji kwa heshima zote wachana na Ndacha, hero rises from different angles not by poling other hero down,

  • @benjaminiarch7322
    @benjaminiarch7322 2 ปีที่แล้ว +3

    Kama unaakili timamu kama unamwamini mungu ndacha anafundisha kweli nasema ndacha ndio Mwalimu Wa kweli Wa imani! Msikilize vizuri utamuelewa!

  • @semubutcher5096
    @semubutcher5096 ปีที่แล้ว +1

    Bwana yesu kristo iko,ndacha ni mutu wa Mungu tu

  • @Crady4K_officialYT
    @Crady4K_officialYT 2 ปีที่แล้ว +6

    It's so sad hujui unayosema. Mama white alisema kweli juu ya GC. Ona watu kama Hawa Sasa, hivi Wewe umewahi kusikia vyenye Ndacha anafundisha? The man is fighting a battle to teach muslims about Jesus and all that, we umekaa na tumbo lako unasema anafundisha uongo. Au GC wamekupromise cheo? Let me teach you something my dear, kwanza I wasn't a sda believer before.. nilikuwa pure catholic na nilikuwa kiongozi tena wa kanda.. sio jengo la wasabato lililonifanya kuamini juu ya habari ya sabato bali kupitia biblia tena ya vitabu 72 ya katoliki niliyokuwa nikisoma ilikuwa ushuhuda Tosha.. Nenda nawe ufundishe watu about God na sio kumuongelea Ndacha. God is using him kwani amewahi kukuomba PESA ya kununulia speaker brother? I'm not trying to insult u or something but wakeup!! Siku za mwisho hizi.. Wasabato KAZI yetu ni kusaidiana kueneza ujumbe wa malaika wa tatu.

    • @jaredonyancha40200
      @jaredonyancha40200 ปีที่แล้ว

      Uyu jitu ambiwe ukweli kama mimi n prophecy ilinipea wokovu uyu jitu n kama amepewa pesa ama amekuwa promised cheo ajane Ndacha ahubiri njiri ya mungu

    • @abdikadirabdulahi731
      @abdikadirabdulahi731 ปีที่แล้ว

      Ndacha anafundishwa Na waislamu

  • @truth7796
    @truth7796 4 หลายเดือนก่อน

    The spirit if Elijah and Paul is operating inside Ndacha

  • @stanleymulama7811
    @stanleymulama7811 ปีที่แล้ว

    mtahukumiwa pamoja na hao mnaoshangilia uongo...
    MWALIMU NDACHA MAFUNZO YAKE NI KWELI..MAANDIKO HUJIELEWA NA HOJA ZAKE NI SAFI

  • @stephanomaduhu5426
    @stephanomaduhu5426 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ninyi ndio kabisa mmeacha imani😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-mw1df9hc6d
    @user-mw1df9hc6d 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni muadventista pado nimepigwa na putwaa na siri ambazo Ndacha ametoa na kubainisha peupe, 1-kwa nini SDA leaders ampao tunawategemea hamjakanusha madai ya ndacha kwa hoja yani maandiko kwa mfano tuonyesheni fantamental believes za sasa hivi na fantamental principles za Ellen G.white kama kuna tofauti.

  • @vincentnyabuto4605
    @vincentnyabuto4605 8 หลายเดือนก่อน

    Ata mimi nawaomba wajungaji wa kanisa ya Seventh day wakutande na mwalimu ndacha waunde manda wangelele kusu kwanguka kwa Kanisa ya seventh day aty kileweke... Ukwe nikwamba Kanisa ya Sabato ya kisasa nimuonekano tu kwa hije lakini mafundisho yamealipika wameungana na umoja wamakanisa lakini kondoo awajui wao wanaenda tu wanajua Kanisa liko sawa lakini kwawale kondoo welefu ambao wana soma wamejua Kanisa limeanguka....Bibilia hinasema tusemesane kwa nn wajungaji musionge tujue shida iko wapi✍️

  • @JacksonNainyeye-do9yj
    @JacksonNainyeye-do9yj ปีที่แล้ว +1

    Kama anafundisha uwongo we fundisha ukweli ili tujue tufuate ukweli huo ukweli

  • @jamesombaso9493
    @jamesombaso9493 ปีที่แล้ว +1

    you can deny him but God can't deny him nyinyi kaa kanisani mkule sadaka mumeruhusiwa

  • @user-ep7gq4xe2h
    @user-ep7gq4xe2h 6 หลายเดือนก่อน

    Nimezaliwa na Kukulia katika Kanisa la SDA, Lakini Leo hii Sipo Kule, Bali Naamini Kile Ndacha Uwa Anafuza. Mimi ni Mtumishi wa Mungu Kwa Njia ya Kristo Yesu.

  • @samuelmwirabua7158
    @samuelmwirabua7158 2 ปีที่แล้ว +3

    If u are man enough my friend can u organize a peaceful debate with him,,Tutaona muongo ni nani,,Ndacha anahubiri maandiko jinsi yalivyo ,,

  • @kellimjanja180
    @kellimjanja180 5 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu ndacha yupo vizuri mbona,,, Isaiah 8:20

  • @user-mw1df9hc6d
    @user-mw1df9hc6d 6 หลายเดือนก่อน

    Tuko na Ndacha 100%.

  • @charoharrison219
    @charoharrison219 8 หลายเดือนก่อน

    Ndacha anafunza na kueneza injili ya yesu, wewe baki hapo kwa kanisa(jengo) mimi nafuata mafundisho

  • @georgeisrael5990
    @georgeisrael5990 ปีที่แล้ว +1

    I feel ndacha shouldn't be condemned just because of moving aside from the church. He should be out reached as we engage ourselves in the church and see where we have gone wrong. People have fought openly because of greed and power, imitated teachings that were previously of other churches etc, wewe unaye mchongoa, haujatoa sababu za kutosha. Mtafute mlekebishane kama watoto wa baba mmoja katika imani.

  • @meshackchengo7881
    @meshackchengo7881 6 หลายเดือนก่อน

    Hapa kanisa zitakuwa mbili kwa sababu hata mm ciamini kuna Mungu roho na kuna mungu mwana na kuna mungu , hoa wote ambiwa ni mungu mmoja , hapana abandani

  • @JacobMulli
    @JacobMulli ปีที่แล้ว +1

    Kanisa ni moja la Yesu

  • @jachuts5953
    @jachuts5953 ปีที่แล้ว

    Ndacha kafundisha uongo lini... this is soo wrong.. I am a sda but this is absolute wrong.

  • @user-kw6kj1qy1t
    @user-kw6kj1qy1t 5 หลายเดือนก่อน

    Naamini na Ndacha huyu anaongea ukwelii mnaogopa waumini wenu kupotea🙏🙏🙏 mwacheni ndacha ahubiri

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 4 หลายเดือนก่อน

    General conference imeanguka haiwez fundisha ujumbe wamalaika watatu abadani

  • @DaressalaamTv-rb2io
    @DaressalaamTv-rb2io ปีที่แล้ว

    Ndacha hajakosea kitu

  • @user-et9mb7ol4u
    @user-et9mb7ol4u 6 หลายเดือนก่อน

    Nimefuatilia mafundisho yake sana sijawahi ona makosa ama uongo

  • @lukalenard7284
    @lukalenard7284 ปีที่แล้ว +1

    Ndacha anafikisha ujumbe Kwa usahiii wewe nawe umetoka wapi unaijua biblia kweri

  • @peninahruth2731
    @peninahruth2731 ปีที่แล้ว

    Chakushangaza nivile nimeona hio barua eti haruhusiwi mpaka kutumia nyimbo za kristo...haa mmenda saana watu nyinyi....mkp karibu kusema ata asiombe kupitia jina lamungu wadau ...kaa nyimbo nizakumsifu mungu bona mkatalie nazo...kuna pahali nyimbo na maombi sinasifu kanisa...ebu kaeni na jina sda sisi tutakaa na seventh day remnant church...hatuna haja na vita ya hio jina ingine la adventist....hio tumewaachia bure sisi nikanisa lamasalio...tutaungana kidete na mwalimu ndacha nawote mnaendelea kuvuta kanisani natutahubili hii injiri...navike mtaendelea kujaribu kutuangamiza ndivyo neno litaendelea kuenea...hamuwezi mungu namuache kushindana namungu mkistaki kanisani...pilato mwenyewe alikataa kushindana na mungu naakaosha mikono yake...acheni acheni tokeni kwa injiri potovu ya trinity na 27fandamental bliefs mmje tuungane turudishe watu katika ukweri wote

  • @jei_Ibrahim
    @jei_Ibrahim 2 ปีที่แล้ว +2

    Bibilia yenyewe yasema kuna mfarakani kanisani hamkusanyiki kwa kupata faida ila hasara ndio hayo sasa na bado hamuoni tu

  • @alfredmasinde6025
    @alfredmasinde6025 6 หลายเดือนก่อน

    Sda wameacha ukweli sasa naona wameanza tabia ya rumi.Badala ya kufundisha ukweli, wameanza kuwakwaza reformers like ndacha na wengine.wanacho Kijali ni winging wa washiruki na mapato . Kweli dada white aliwaona mapema kweli, yani general conference iko na pope, na ni 100% laodicia .

  • @izzohizz6858
    @izzohizz6858 ปีที่แล้ว +1

    Siku hizi kanisani hakuna mahubiri tena ni injili ya mambo laini tuu, uwakili wa utoaji, manabatiza hata wenye Rasta, kina mama ni elders, ni pastors na wanawake kuvaa trousers na miniskirts kama huu ndio mtindo hata mimi nitamfuata Ndacha

  • @Furahandoro
    @Furahandoro 11 หลายเดือนก่อน

    Msemaji uende ukasome vzri,, ndacha is very right and to the point accordng to the bible Adventists these days are very lazy and comfortable they don't want to read for themselves they trust those going to Bugema and Baraton universities,, we need to wake up from slumber

  • @ChrispinOriama
    @ChrispinOriama 7 หลายเดือนก่อน

    Mm ni mwadventista msabato ambaye napenda ukweli na mafundisho ya Yesu, nynyi sda wa saai sii wa awali bali ni viraka tu na matusi lkn ukweli wa Mungu utasimama kupitia mtumishi wa Mungu Francis Ndacha. Nyinyi chenye mnayo ni udhehebu na ufarisayo tu lkn ukweli wa Mungu hampendi

  • @ernestpatrick8080
    @ernestpatrick8080 3 หลายเดือนก่อน

    Ninyi muwenauoga,mtu anasemakwe mnamwita mzushi,(soma isay30:1

  • @tumainignas1694
    @tumainignas1694 ปีที่แล้ว +1

    Ndacha anafanya kazi iliomleta duniani, wew hyo ndo kazi yako kumzuia?? ata wew kazi yako ukiwa kama SDA huijuhi!

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya หลายเดือนก่อน

    Nyinyi ndio maadui wa watu maana mngekua sio maadui mngejibu maswali Yao wapo wazi

  • @vincentnyabuto4605
    @vincentnyabuto4605 8 หลายเดือนก่อน

    Mimi pia niwa Sabato lakini kuna ukweli kwa ndacha maana anayo yasema yanatoka kwa Bibilia asemi kwa mtomo angekwa anasema kwa mtomo tungejua kuna uongo ata mm hivi kalibu nitajiunga nao

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna dhambi takatifu tumeletewa miungu watatu tena wataka tunyamaze

  • @liliankagea3318
    @liliankagea3318 ปีที่แล้ว

    Wewe hujui unachosema umepotoka,Rudi usome bibilia vizuri ndacha anasema ukweli Bali hawashambuli

  • @simomMwaniki
    @simomMwaniki 3 หลายเดือนก่อน

    Unaweza dhibitisha kana kwamba ndacha ni muongo kulingana na mujibu wa bibilia

  • @NickM-pl6qq
    @NickM-pl6qq 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu tumuelewe tu ukweli uuma na ni uchungu sana, yeye anatetea cheo chake kwani ataenda nacho mbinguni fuata ukweli baana ata mimi wacha ndacha mimi na elimu yangu kidogo, hakuna kitu unaeza nifunza but naweza kukufunza kulingana na vile nimekusikia..... Wachana na Ndacha wewe endelea kupoteza tu wenye Hawana elimu

  • @MobigoMobigo-io5re
    @MobigoMobigo-io5re 3 หลายเดือนก่อน

    Hilo ni pepeto na wavivu wa kusoma ndio wananaswa na pepeto za watu kama hawa wakina ndacha

  • @JemusKirimi
    @JemusKirimi 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 kwanza wew ni muongo tena sana, Dacha ni Mwalim kamili

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero6469 6 หลายเดือนก่อน

    Wasabato nyiye catorike, protesitante, nyiye waislam wote mmumeubgabana na uongo mumuache ndacha ahubiri ukweri

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 2 หลายเดือนก่อน

    We'we mwenyewe hata huoni hizo comments za watu zinazo msifu ndacha ni nyingi ww Baki huko general conference

  • @josephmashaury5538
    @josephmashaury5538 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe MUNGU AKUHURUMIA UIJUE KWELI NDACHA NI MUCHUNGAJI WA KWELI WEWE JIFUNZE KWA NDACHA

  • @danielchristopher7527
    @danielchristopher7527 ปีที่แล้ว

    “When anyone arises, either among us or outside of us, who is burdened with a message which declares that the people of God are numbered with Babylon, and claims that the loud cry is a call to come out of her, you may know that he is not bearing the message of truth. Receive him not, nor bid him Godspeed; for God has not spoken by him, neither has He given a message to him, but he has run before he was sent.” TM 41
    “They misinterpret and misapply that which God has given to the church to warn, counsel, reprove, comfort, and encourage those who shall make up the remnant people of God. Those who receive the Testimonies as the message of God will be helped and blessed thereby; but those who take them in parts, simply to support some theory or idea of their own, to vindicate themselves in a course of error, will not be blessed and benefited by what they teach. To claim that the Seventh-day Adventist Church is Babylon, is to make the same claim as does Satan, who is an accuser of the brethren, who accuses them before God night and day.” TM 42

    • @harrisonodiwa7248
      @harrisonodiwa7248 ปีที่แล้ว

      But Ndacha is not calling people out of the SDA but taking people back to the original SDA of pioneers since the current organization has decided to go in bed with Babylon.

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius ปีที่แล้ว

    Huyu anatetea kitambi chake Ndacha achana nae kabsaaa ule ni Moto mwingne

  • @deussasi9285
    @deussasi9285 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa mbona mnajisemea wenyewe ....hamjui kuwa mmetoka kwenye imani.

  • @alphamboi4011
    @alphamboi4011 2 หลายเดือนก่อน

    Ukweli ama uogo mshidwe

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero6469 6 หลายเดือนก่อน

    Wasabato hata Na Ellen G white anasema murisha potea Zamani hamufundishi ukweri tena mwende huko

  • @DanKanu-ox4hx
    @DanKanu-ox4hx 4 หลายเดือนก่อน

    Kulingana na Mimi Ndacha anaongea ukweli

  • @SaraSara-dy9yz
    @SaraSara-dy9yz 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe SHETANI muongo twambiye kanisa la ndacha liko wapi mimi niende

  • @alphamboi4011
    @alphamboi4011 2 หลายเดือนก่อน

    Pastors acheni wivu just support him stop accusing dacha

  • @user-zx4ed2tn6t
    @user-zx4ed2tn6t 11 หลายเดือนก่อน

    Uyo mwalim ndacha yuko sawa nayanenavyo maandiko achen porojo zenu hii dunia ss too wasafiri kwaiyo kuwen makin na maneno yenu yakipuuzi

  • @jonathangithinji2652
    @jonathangithinji2652 ปีที่แล้ว

    wachaneni na Mwalimu Ndacha ahubiri ukweli, kanisa ni jengo tu na Ndacha ako nje kuhubiri na kufungua macho ya kiroho ya wale waliopotea ndio tupate ukweli lakini nyinyi mwahubiri Ndacha. muacheni tafadhali na mhubiri Mungu..

  • @jamesombaso9493
    @jamesombaso9493 11 หลายเดือนก่อน

    nyinyi ndio mnapeleka watu mbinguni God knows

  • @johnsonkayanda9989
    @johnsonkayanda9989 2 ปีที่แล้ว

    Mtumishi Ndacha anafundisha Kweli tupu kupitia maandiko matakatifu.Wewe ni Kati ya wale wametekwa na madhehebu na kuwapotosha washiriki.Thibitisha hoja zako na maandiko kama mwalimu ndacha na uache kupotoa andiko la 2 wathesalonike 2:3-4

  • @emanuelkibe3339
    @emanuelkibe3339 หลายเดือนก่อน

    Injili yenu ni Ndacha tu

  • @stanleymulama7811
    @stanleymulama7811 ปีที่แล้ว

    muache ufala..mwalimu ndacha tunasikiliza mahubiri n mafunzo yake..tangazeni injili...mtetee imani acheni kutetea kanisa...teteeni imani

  • @threebrothers..
    @threebrothers.. 2 ปีที่แล้ว +1

    Hamuezi mkaelewa nyinyi waisilamu maneno ya wakristu

  • @arangeneral4566
    @arangeneral4566 5 หลายเดือนก่อน

    Trinity ni uwongo mweupe imeingia kwa kanisa yetu lazima isemwe

  • @user-zl1yn4un1y
    @user-zl1yn4un1y 11 หลายเดือนก่อน

    Acha wongo wew kanisa nin

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 4 หลายเดือนก่อน

    Waeza mwambia ndacha ni mwongo kumbe niww

  • @user-ci4en6ej3r
    @user-ci4en6ej3r ปีที่แล้ว

    Wa adventiste ndio wame acha kweli walio pewa kuwa taifa chaguliwa weme ingiza mapokeo

  • @EsauBakari
    @EsauBakari ปีที่แล้ว

    ndungu zangu haya matusi mnayo Kwa ajili dini yatawagalimu siku ya mwisho mwacheni ndacha afundishe wewe unabalikiwa Naye mfwate wewe unaona habaliki moyo wako achana naye

  • @miraclemiraji4428
    @miraclemiraji4428 ปีที่แล้ว

    😒 Mbona wanadamu mwapigana wenyewe kwa wenyewe na kujiwekea sharia zenu

  • @mush337
    @mush337 2 ปีที่แล้ว

    Watu ambao wanapigania Kanisa Sio watu wa mungu,unafaa ulalamike kwamba watu wameacha mungu ama SDA,hata catholic siku Moja ilikuwa Kanisa ya Mungu, ubiri injlu Wacha kuhubiri dhehebu maana hata catholic ikiandikwa SDA haitakuwa Kanisa la mungu Kwa sababu ni SDA,funza watu kushika ukweli na Sio kushika SDA

  • @chrispinmdachi551
    @chrispinmdachi551 ปีที่แล้ว

    Ukweli siku zote hijisimamia hakuna awezae kuficha ukweli nawaombeni mutafute nafasi mukaechini na mwalimu ndacha Kama vile Nabii Eliya alivyofanya alafu mutowe mafundusho yote ambayo ndacha aliyofunza ya uongo mujadiliane "LIVE" tukiwa tunawatch tukichambua maandiko matakatifu Kisha kwa Imani roho wa Mungu atatufunulia kweli Ni lipi kupitia maandiko

  • @chikyshiky4094
    @chikyshiky4094 ปีที่แล้ว

    Huyu pastor ni mnafik..Ndacha ni mwalimu na Biblia pamoja n aya za Quraan zinaruhusu kuelimishana kuhusu dini..huyu MTU na suti yake ni mlaghai na muongo..achana na ndacha ngoja sadaka ya bure usiotolea jasho

  • @magdalenemutua1742
    @magdalenemutua1742 ปีที่แล้ว

    Mmebaki na SDA jina kwa maana mnafuata mapokeo ya kanisa wala si ukweli wa biblia wala hamtaki kukosolewa mwacheni ndacha hamuhusu kitu ,anapinga uongo wa kanisa

  • @jaredonyancha40200
    @jaredonyancha40200 ปีที่แล้ว

    Pastor Ndacha tuko nyuma tuongeze na njiri ya kweli plz pastor hiyo Mambo wa sabato wanasema eti unatupotoza kwa mahubiri Yako washindwe hatukuwambia waungane na dini iko na mafundizo ya Giza no kukataa unabii kanisani na kutuhubiria mambo ya stewardship hiyo nayo no uhubiri wokovu kwanza watu wamjue mungu mambo ya kutoa shaka na sadaka baadae mungu akulinde mwalimu Ndacha Isaya 58:1 piga kelele usiache pasa sauti yako kama trumbeta uwaambie watu kosa lao na nyumba ya Israel

  • @salmamsabaha8434
    @salmamsabaha8434 2 ปีที่แล้ว +1

    Wapigadili tu nyie ndacha anamubili Mungu wa kweli

  • @kashushudaniel3538
    @kashushudaniel3538 2 ปีที่แล้ว +3

    Waadventista Achaneni na ndacha, maana hamjajaliwa kujua kile kinachohubiriwa na Pastor Ndacha. Mtajua nini ninyi wakati, ufunuo inasema laodikia itatapikwa? unadhani unataka itapikwe lini? ni wa sababu hamuelewi.