FULL HIGHLIGHTS: YANGA SC 4-3 STAND UNITED (TPL - 16/09/2018)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2018
- Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC leo imepata ushindi wa mabao 4-3 dhidi ya Stand United katika mchezo wake wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Taifa Dar es Salaam.
Katika mchezo huo uliokuwa mkali na wa kusisimua, Yanga imeanza mapema kutikisa nyavu za Stand baada ya Mrisho Ngasa kuitanguliza kwa bao la dakika ya 2, kabla ya Stand kusawazisha kupitia kwa Alex Kitenge dakika ya 15.
Mchezo ulizidi kuwa mkali ambapo Yanga walipata mabao mawili ya haraka haraka kupitia kwa Ibrahim Ajib dakika ya 32 na Andrew Vincent dakika ya 35 matokeo yaliyodumu hadi kipindi cha kwanza kinamalizika.
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na Yanga kutangulia kufunga bao la nne kupitia kwa Deus dakika ya 57 akiitumia vyema pasi aliyopewa kwa kichwa kutoka Ibrahim Ajib, lakini Stand United walijibu na kufunga bao la pili dakika ya 59 kupitia kwa Alex kitenge tena.
Wakati wengi wakidhani kuwa matokeo ni 4-2, Alex Kitenge aliifungia Stand bao la tatu na kufanikiwa kuwa mchezaji wa kwanza kufunga hat-trick msimu huu, matokeo yakiwa 4-3.
Matokeo hayo yanaifanya Yanga ifikishe pointi 6 baada ya kushinda mechi zake zote mbili ikiwa nafasi ya saba huku Stand wakiwa nafasi ya tisa na pointi 6. - กีฬา
Kama wewe ni mwana yanga moja piga like hapo kwaajili ya timu yetu
Yanga yetu
Hongera Kwa hat trik Alex kitenge⚽⚽⚽
Nyinyi Simba mshindwa
hongera ajib hat trick of assist
Man of the match Kindoki...
Goalkeeper mwenyewe hajakaa Kama Ni goal ndo Mana amefungwa hata Kama mpira umeingia nyavuni angejirusha
Safi xana dar young African lakini imeniuma xana kupigwa hat trick na kitenge
Saf Sana mwendo wa kipigo had hiyo tarehe 30 mwendo wa doz
Ondoa
goal keeper hajanivutia
yanga bdo sana kutoa droo na ndanda kwao
mwaka wetu hu hila tuchangie
kwrri
Yanga mara hii Hamna cheni
Yanga tumchukue Alex Kitenge wa Stand United anatufaa sana,mwenyewe kesha funguka,anaitaka Yanga kwa sababu ameshaona Ana nafasi ya kucheza Yanga. Tusichelewe ni mchezaji muhimu.
Huna akili kila anaeifunga yanga asajiliwe utasajili wangap
migomba
hayo yote ni moja ya mchezo hivyo tulishinda point3 tukachukua
kweribabu
hahah defence mbovu sana,mechi imeruhusu goli 4
Apa wana yanga hatuna kipa bora beno
Huyu kipa atufahi kabisa
Kweri MZEE baba
hakuna kpa pale Yanga
sawa tutakutana nyie Simba wabovi
Kwa mtangazaj uuuuyu
Kindoki ndombolo ya solo!!! Hana jipyaaa
Kamayanga wana bahati ww bahatizako zipo wap.
Wabahatike na wao
Yanga asanten kwa kunipa laha sana lakin kwa kipa huy sijamuerewa kabia bora angedaka kakolanya au dogo kabwili so kwa huy
simba wajiandae 30. tunakuja
AUGIEAN AUGENT
Paziaa beki pazia golikipa
Nace
Yanga huna timu yakupambana NA simba beki hizo golikipa huo poleni sana
Bernard Chibwana jipe moyo2 ndanda ndo size yenu
@@enockkitomarys4909 kweli ila kwa timu yako hiii kaka hakuna kitu yaani ALEX KUTENGE NA YANGA hahahaha hatrick nyumbani umefungwaa
Golikipa wako mwangalie vzr mnafukuza mapema tuuu huyo, kipa wakimataifa ndio anakua hivyooo
Bernard Chibwana saiz yenu ni ndanda wala si yanga
@@betherichoir2823 kwakujifariji tu mko vzr, sisi tumedroo ndanda ila we MTU mmoja tu ALEX KITENGE ndio kawachezea anavyotaka, huna beki huna kipa ushaweka historia yako
😆😆😆😆nimecheka xana goli la kaseke kama analia mtagazaji mikia fc mjiandae trh 30 makamboooo
huuu uzii wa yangaa kama wa Dortmund
Meryciana Nyankena,wewe sio mwelewa. Alex Kitenge alisema mwenyew ana nia hasa kuichezea Yanga. Kwangu Mimi yalikuwa maoni baada ya mhusika kusema,sasa kukosa Kwangu akili ni kupi. Nafikiri humpendi Yanga .
Ondoa
Gongowazi mechi 2 mumefungwa goli 4😂😂😂 tukutane tarehe 30 mutafurahi
dawa yao sahiz yenu ni ndanda msijifananixhe na yanga mpak sasa Tuna goli 7 nyie mnagoli kamp Kweli nyie ni mbumbu
@@betherichoir2823 umemsahau nyoni alichowafanya?na pazia lenu golini pale mbona mtafurahi 😂😂
Ww je
Wadau ajibu akijiagalia hapa huwa anahis vip