STAND UNITED 1-0 YANGA SC; FULL HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (TPL - 19/01/2019)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC leo wamepoteza mchezo kwa mara ya kwanza msimu huu baada kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Stand United.
Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Dimba la CCM Kambarage mjini Shinyanga, bao pekee la ushindi limefungwa dakika ya 88 na Nahodha wa timu hiyo, Jacob Masawe.
Stand United sasa imeweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza msimu huu kuifunga Yanga.
Wana simba mko wapi wekeni like
Safi sana stand utd
Hii nahisi ni channel bora kabisa Tanzania kuwahi kutokea kwa habari kem kem na vitu vipya kila siku inanipa inspirations hata kwenye channel yangu pia safi sana.
ASALI Online Tv utafika tu piga moyo konde muhimu kujituma na malengo na mipango.,bila kusahau nidhamu
Mambo
saaaafiii xtand
Yes we can!
Jamaaa wa nje ndan
kaliwa leo
Hii mechi Yanga hamkuwa serious
Stand hongeren, kelele zimepungua
First view first comment stand oyeeeeeeeeeeeeeee
abiriaaaa mpo
Hashim Farsy Kongo hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Polen vyura
walikuw vzr stand
judith paul na nyie mliokula mkono huko Kongo tusemeje mikia nyie
mechi ya congo wala haiathir ligi kuu hongera stendi kwa kutoboa neti
ndio mpira huo shabik wa yanga
Ongeren sana stand ndo mpira
tulifungwa tayr tushatangazw mabingwa sasa ww hata mzunguko wa kwanz na azam bado afu unamcheka shujaa aliyefia vitan na wkt teja kafia stendi,, afu inakariri maneno ya shaffie unadhan ndo sheria ya mpir et kupenda mpira kabla ya team basi wote tungekuw madrid au barc lkn wapo wanaoshangilia evarton au tanzania wote wangekuw kama ww wanaoshangilia chura lkn tupo tunaosupport chama la wana ambako tunachezaga iokote
ilikua tamu sana vyura kutobolewa ndogo
Ni hatar
jaman polen vyura kw kufia stend
hivi alie wafunga yanga ni masawe yule muigizaji au masawe yupi
Amna kitu kibaya kama kandambili kukukatikia stendi Asante chama lawana kwakumtoa mtu bikra mana wangeshinda naleo hii tumepigwa amsa wangechonga sana apo atuchekani
Nanukuuu, kutoka KWA ENOCK BWIGANE kua yanga Leo wametobolewaaaa!!!, mwisho wakunukuuu.
Bernard Chibwana 🤥🤔
Bernard Chibwana 😂😂
Fimboooòoo 5 mikono juuuu
kapatikana Leo
Kama ww ulivopatikan
yaan bola sie tumefungwa 05 kuliko yanga
unaenda kutolewa bikra na wapga debe
wange muweka mbechi huyo kip humohayumo kipa kipa faratu
Ww ulitolew na wapasua mbao
Bora shujaa aliyefia vitani kuliko aliyefia stendi! Hata hajaufikia uwanja wa vita!!
Kweli
Mlijitahi watani hongeleni
ha ha ha makambo hakumaliza dakika
Heheee
mmetoa bikra ya yanga
The Don Kunambi mimba tano hata haibu amna
The Don Kunam4thbi ql
Good, virgin imeondolewa
maulid mango virginity!
jaman adi aibu daa nabado Azam club kukutananao tena
Wamebana weeee mwisho wameachia wenyew na bado😅😅😂
Abdallah Juma duuh!
Alizenu
Abdallah Juma yani nyie mnajadili ya Yanga tu ya kwenu mnayaficha mmetiwa mikia mitano huko Kongo mbona hamsemi
Kwnini unateseka sasa
Kama umewaona mashabiki wa simba wakisema yes, yes baada ya goli kuingia nyoosha mkono juu
Kweli yanga hatuna goalkeeper
Watani soma hiyooooooooooo
Tano hiyooooo
Ila nyie mmekiona cha moto sio
Michael John 😂
Six noumer sana unapeleka mpira kama farasi do
Kwahyo hawana bikra tenaaa
Nyinyi mbona mlitobilewa mwisho wa ligi msimu uliopita na mlisema hamtotobolewa tigo mbona mliliwa ndogo na mlisema twamaliza ligi Bila ya kufungwa sidhani kama mnakumbuka msiojua mpira mwajua kupenda timu tuuuuu na 5G yenu na mlisema tutamfunga kulekule kwao Congo sasa bao tano lazima ukizaaa uzae mapacha
Mdkg Mdfamily hata mm nilikukujolea tano au na ww umesahau chura ww alafu mm nimefungwa ugenini tena club bingwa
Mdkg Mdfamily sisi tushakupiga tano kumbe ulizaa mapacha?!
Mdkg Mdfamily usifananishe wakimataifa na mechi za mtaani
kimoja cha nguruwe wa tt 12
Kamoja tu
haaaahaaahaaaaaaaaa cha nguruweeeeee
piga yanga hao huu ni wakati wao sasa wa kutombolewa
Niliwaambia tu wana simba wasimcheke yanga kaliwa tano
john.bluno.umeionahiyo hebu soma hiyo 5 kwangapi hiyo
Ongezeni bidii yanga vinginevo mutacheza ligi ya kichangani
Watani waliogopa Jezi za Stand United
Piga hao
Ha ha ha yangwa
Kilicho wafungisha Yanga ni kuwa waliwaogopa hawa jamaa wakidhania ni Simba
zaera kama mwanamke
Hata mademu wakali huliwa na WAHUNI..😀
mmeliwa nyie vyura
DAH HILI BAKULI LINASIKITISHA.
poren sAnA chimba kwakutoborewa 5 Hahah Aibuuuùuuuu
5G nooomaaa
Joseph Kapinga kausha bahsi blaza kaah! 😆
Joseph Kapinga kimoja kinauma zaidi ya sindando wahuni Sio watu poa
Omar Sempombe hehe
Sat sana stand
Dk 89 simba 0 As vita 5 dk ya 89 Yanga 0 stand 1 nahisi ushanipata
Ndo unacho kikumbuka hicho it me khalfan
Wew chalii niaje As vita wameshawasili
kocha wa stand utd anajua kuongea amesema kuwa yanga hawana mpira wanabutuabutua tu kama ss
Ni uzembe wa Dante na kindoki ao lawama ziwaendee kwa kweli tunaitaji kumludisha kakolanya
Wahuni wa Chama LA wana waitoa bkr ya Dada yetu kwenye stend ya singida jioni wakati zikiwa dk 3 tu giza kuingia.
Chris chunguza kipa vizur wakati massawe anakwenda kupiga kichwa kipa kafanya nn
bikra imefumuliwa ha ha ha
offside ya ukweli
A s vita kweli wahuni hata huruma hamna. mnapiga tu.mnapiga tu had I mkono
Chama la wana wahuni sio watu wazur mnabaka had bikraaaaa inauma jamani
Kongo vp huko?
Robert Fabian poa tu mama kafa mchana na baba kafa usiku fresh tu
Yusuph Amani hhh
Robert Fabian
Mama kafa mchana baba kafa usiku poa tu
Yusuph Amani na nyie si mmetiwa mimba huko Kongo mmepata watoto watano
Tano du simba ndio mwisho wenu
Hawa ndio waamuzi wa bongo, alietoa krosi ya goli kabla hajapewa mpira alikuwa offside
vyura wamekutana na wahuni wa standi,
John Bruno itakuwa makambo hakucheza leo
John Bruno mikia wamekutana na wauni wa Kongo wote wanarudi na mimba
John Bruno hau Jana chama na kagere hawakuwepo so kwa kipigo kile
😜😜😜😜😜
John Bruno
Uzembe wa kipa huo!!Wee mpaka mpira umefika golini bado umesimama palepale naakati angeutoa tena nafasi alikua nayo fala kweli kindoki
michezo hudumisha miili yetu na kuwa shupavu
Kipa Dante wabovu wote siku dante akicheza kati lazima yanga ifungwe
bkr imetokleo kwa kichapo gol moja ni sawa na kichapo cha guruw moja watot 60 chama la wana 1 watt 3 ,
Bikra kafumuliwaaàaaaaa
wamefumuliwa marinda ha ha ha ha
Donald kunambi umeiona. mkono huo AS Vita .oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee3ee
azam tv mnazingua kichiz dadekiiii
Robert Kimario kwann
Nyie yanga hamjapigwa goli tano? tumecheza na nchi wanayojuwa mpira hatukati tamaa bado tupo yanga majungu na wanafiki
da ndo mmefanywa wasenge sasa wahuni syo watu wazur vyura nyinyi
Rekodi ya mnyama kamwe hamuwezi kuifikia vyura,tulifungwa ya mwisho na sio mech ga pili mzunguko wa kwanza.na bado,maana mmebebwa sana mech kadhaa zikizopita.hasa mbeya kule
ilonikweli
Hamna kipa
Watampigia magoti kakolanya
Wapiga Debe siopo kabisa wametoboa tundu la zahera
malede Kabisa haya
Hamnashida kwamchina hawatoki
Shy, raha msitarehe kwa kumfunga yanga
Mpokeaji wa wa mpira alikuwa Offside kabisa ,Halafu akaacha,,,,Duuu!!!Kweli hatuna marefa sijui ni wawapi
Akuna offside hapo.
Ndimbumi Humphrey leo ndo umejua kuwa waamuz hawafai lakn ulishangilia goal la mkono la tambwe
K
Abdala.juma. umeuona mkono huo.As vita.oyeeeeeeeeeeeeeeee
Mtengule Rashid mieleka oyee, anzisheni ndondi fc
Yanga wanaongoza ligi ya tpl mkundu wa mcmbazi wanaongoza kundi klab bngw
mpira matokeo matatu mbona munaingea kama co maxhabiki
sisemi kitu kule tano mbona
chumnvi chumnvi
Nilijua watapigwa kifulushi cha wiki baati yao wamepigwa amsa 5 wakija taifa 6 jumla 11 apo ndiyo utawajua yanga A
Jolite Jolite hmm..mh
Acha kujitoaa faham zungumziaai iyoo gemu ya Stend
Hassan Shamte hpo chch
Jamani tobo lilishawekwa au bado?! Na kwa nn wachezaji walitoka wameloa maka.....?!!!!!!
Yaani bana mambo ni mukide na kamvua kakanyesha tumajimaji uwanjani tukawepo kuashilia tudamu mtu katolewa bikra na mtu akitolewa bikra kwa siku moja kwa mkupuo inauma anakuwa kabakwa maana hua haitoki kwa siku moja sasa hiyo imetolewa kwa siku moja wamebakwa jamani wanamaumivu pa kuyamalizia ndo maana wanawaparamia wapanda ndege za kimataifa wenye mabilioni yao ila Simba hawana hiana watawasaidia milioni 10 ktk kopo ila nahofia kopo litajaa maana limezoea kuchangiwa elfu moja moja sasa uweke milioni kumi wanaweza kugawa hata mechi ya mtani wakasema chukuwa chote mtani nakupenda!!!!!!!!!!
machok hao yanga
🖖🖖🖖🖖Simba hoyeeeee
Niljua tu kwamba muda utafika tuu na bado huyo zahera mtamkataa
Msyani Tuntufye
Kati yetu sisi yanga kufungwa 01
Na simba aliyepigwa 05
Kama kasimama yupi amkatae kocha?
Rajabu Ngatanda duuh.,ani ubadilishane na simba wapinzani wenu tuone nn kitatokea?
+Mnzava Chris Simba kafungwa na timu bora Africa, bingwa wa mabingwa klabu bingwa na bingwa wa kombe la shirikisho Africa wakati yanga kafungwa na kikundi kimoja cha wahuni na wapiga debe wa pale stendi shinyanga, aibuuuuuuu, zahera out😁😁😁
Mimi nilishawambia kindoki ni pazia tu pale golini halijui hata kukadilia mpira halijui hata mpira UPI Wa kudaka UPI Wa kupangua linadondoka kabla hata ya mpira haujafika jinga kweli hii
@@sylvesterfrancis6826 yani katika watu wasiokuwa na fikira na wewe ukiwemo unashindwa kuelewa kuwa ulifungwa na ndanda harafu unashindwa kujua kuwa kunakufungwa na kuzalilishwa sasa jitathimini je Congo umefungwa au umezalilishwa
kipa huyu achunguzw maana inakuwa aruke chini kabla ya mpira kupigwa
Ibra Haruna nn wtk maanisha!?
Ahahaaa nmeona kama m2 anatembeza kibakuli huko kwamashabiki vp au macho yangu2
Emanuel Mabula watu na kazi zao!
Kazi gn ya kuomba omba
emmanuel kaka hayo ndo maisha yetu kila mechi lazm bakul liwepo
Trávo dâvie hivyo!
Bhc kz mnayo ndo mnandoto ya kubeba ubingwa
Kindoki wewe hakuna kitu nashangaa wamekuamini kukupa nafasi hii ovyo kabisa
Ina maana huyu mwamuzi wa pembeni hakuiona hii offside ya wazi kabisa, au ndiyo waamuzi wetu na matokeo mfukoni
mpira matokeo matatu mbona munaongea kama co maxhabiki