ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ENG. HERSI KUONDOKA YANGA ?, MAHAKAMA YATOA AMRI YEYE NA VIONGOZI WAACHIE NGAZI, KATIBA YAVUNJWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
- JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 pmbet.co.tz/en...
NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA TOYOTA HARRIER NA NISSAN X-TRAIL
TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE TH-cam CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
INSTAGRAM @pmtvtz
TWITTER @Pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv
Simba Chakavu wanaumia sana Kiumbe Jemedari anafurahi sana
Wazee hatuwataki 💪
Enjia anatoka labda ni yule wa mabarabara sio hyo Tena hyo mahaka iniangalie sana
Huyo mzee aje tupige mimba
Tatizo jaa zao na njama za simba kwenye uchanguzi njooni na ulinzi vinginevyo Mtakula fimbo nyingi
Forever injinia awezi kuondoka yanga huo ni ufisadi tyu wa watu wa simba wanataka kuivuruga clumb
Kweli nimeamini mtu akishakua mzee akili inaludi kuwa ya kitoto😢😢😢😢😢
Mahakama ikapambane na mafisadi ipeleke ukuma wake huko au wanataka tukazitie moto
Arf nani awe raise ? Wazee muache uhuni, musitake turudi nyuma.
Yatakwishwa
Nyie waandishi wa habari mnatengeneza habari za uongo acheni ujinga landa wakwenu
Halafu waandishi wa habari hayo mambo sio ya kushanglilia yanarudisha soka letu nyuma
Huyo magoma hat pesa ya kumlipa nkane hana, huo ni ujinga sana wapinga maendeleo
Ndio mjute kumrubuni chama....
Hao wazer wnakadi halali ? Wafukuzwe uanachama au wametumwa na simba?
Kama Ni kweli Basi. Hawa Wazee hawaitakii mema tanzania.na haswaaa ki mpira.tuache utani viongozi Hawa Ni wazuri..Tena wazawa wenzetu..huwezi kywafananisha na mamluki wa Simba..na sijuwi Wazee Hawa nguvu wanaitoa wapi? Kwani tff na FIFA swala hili wanalichukuliaje? Kwa Nini Wazee hawakupeleka shauri hili FIFA?
Acheni ujinga jamani yanga yenyewe ina mafisa wao wa habari vipi nyinyi muwe wa kwanza kuziwa taaruki hivi huu ni uchonganishi uwepo wa engenea Heres saidi hunatambulika kikatiba na ndiyo masna yupo pale na tunatambuwa mchango wake mkubwa ktk timu ya yanga ivyo hizo ni propaganda huzushi ili kuibomoa yanga tuu na amta fanikiwa kamweer
Huo ni uzushi Tena nyie mnatakiwa kukamatwa, ivi mnatengeneza skendo za kijinga kwani mchakato wote unafanyika walikuwa wapi? Wajinga kbs nyie.