Magoli yote sita: Simba SC 3-3 Stand United, dimba la Taifa DSM (02/03/2018)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 มี.ค. 2018
- Haya hapa mabao yote yaliyofungwa leo katika dimba la Taifa Dar es Salaam. Ilikuwa ni piga nikupige, wakianza Simba, na Stand kusawazisha. Simba inalazimishwa sare ya mabao 3-3.
- กีฬา
safi sana nimeipenda huu ndo mpira wengi tunataka
wao inapendeza sana
Safi sana chama la wana
kumamake had raha piga nyumbu hao pumbavu et simba haaa simba au paka2 tena zingerud na nyongeza nyau kbs
Hahaha yanga oyeeeee
simba ubingwa ndio bc tena+974
Hapa shida yangu niisikie sauti ya baraka mpenjaaaaaaaaaaaa
tushawazoea kila msimu wanaongoza point lakin ubingwa jangwaniiiiiiiiii
Wanapoliii hao
Simba anatukatia viuno mbele kuweni makini vidume twaja
Mmewakomesha this is stand bwana
yanga kama vile wanamkimbiza mwizi
Peter Opanga
best goal ever ever to stand united ,first goal
Magoli yote ya stand ni classic,halmanusura kipa wa Sumba ajeruhiwe katika harakati za kuokoa goli la kona,
#ABJTv nice wana st
karuka km ronaldo mwenzake kavua shati km meSSI😂😂😂
amani Peace, hahaha na kamkomesha
amani Peace hatariiiiiiiii
inapendeza tatutatu
gem ilikua tam sana good job walume
Inapendeza
Rosemary Jacka
hawa stendi wanahatari sana magoli yao yote mazuri.
fight fight simba ubingwa ni wetu..point moja si haba.
Chama la wana wanabalaaa magoli yao yote ni Kama ya ulaya ulaya....
kona goal bora imependeza Sana pamoja stend
#ABJTv hongereni simba ila msitegemee mteremko
Safi sana stand
wachezaji wametuangusha Sana Leo
ushangiliaj wa gyan nilijua anajiandaa kunya mav ya kuharisha vle alivyokaza uso na cr7 akikuona atakushtak.
Mmh jamaa ww wanikosha kwa msg yako
simba noma
watoto chama LA wana stend nyinyi kiboko sana hao wakiwazarau wakajiamini wamewaweza kumbe wamewezekana safi sana zarau zimewazidi mikia
simba oyeeee
yanga msichekeleee Sana
simba wameanza ugonjwa wao tena
Abdul swamadu 💥💥
stand walipaform vizuri
Hivi Simba kwanini tunafunga goli 2-0 halafu tunaruhusu magoli yanarudishwa? Wachezaji walirelax wanadhani mechi imeisha. Leo nimesikitishwa sana.
Huo ndo mpira jamani kushinda na kushindwa msilaumu sana
aaaah majab ay kwaiy simba wanategemea okw mmh so pow
simba ni sawa na baskeli ya mbao inaanza kwa kasi ikifka kwenye milima inaharibika waloko nyuma wanamkaribia hatma yake wanampita
CYo kichuyA Na Kona tu semeni hata Mathias Na Kona dadadeki zenu Na bado
this is simbaaaaaaaaa
Simmba bac tena.
Cyo kwa cmba ya Leo wenye cmba hawakuwepo pale mbele ndio maana walifunguka stand.....
simbaaa.na bado nenden singida huko mlipizwe kisasi.hahahaaaa.this is Simbaaaaaaaa fyuuu
simba ni Tim ambayo naipenda lakin a achen kubweteka
Mdogo mdogo mpaka ubingwa yanga Africa
hao sio simba ni nyau
pongezi kwa stand utd kuwapunguzia speed
YanGa tuna njoo njoo nyuma ya thimbwa
poleeeeee Thimbaaaa
🐕🐕🐕🐕🐕
Bora stand kuliko arsenal
ndugu yangu masunga wa mtopeni huwajui mpaka leo
hahahahaha kavamia ushabiki huyo hawajui wamatopeni had leo hii?
Yanga wajanja mno,ktk kuulinda ubingwa wao hawamwamini mbwa wala masai ! Wao wanamuamini simba tu kuwa mlinzi wa ubingwa wao
Siombaya bolasale
Wewe jaribu kujitambua wewe tena inabidi ujilekebishe aaya ni mashindano au ndio mnafanya.mipango na yanga timu gani mnatupangia
Azam tv toeni hio nembo ya azam hapo kati I wekeni juu
Magoal ya stendi ni yakibabe
simba haitokuja kuchukua ubingwa kamwe timu inategemea boko na okwi bila wao wanayumba angalia wenzetu yanga wanamajeruhi wengi tena tegemeo lkn wanatumia wachezaji vijana bado wanashinda duuu simba inaumiza nataman niachane na ushabiki
abel Makingi is
duu
umeona eeh hiyo ndo yanga
kmya kimya tunakuja yanga
Hilo ndy msahau
Mandela Sule
Baskeli ya miti iyo avipi wadau kama unaamini gonga like apa
sishangai wa matopeni mkifurahia suluhu hii kwani matokeo siku zote ni matatu
Ibrahim Shaban wamatopenda ni wakinanani sasa
Kombe la dunia 2018
hii mech jamn ilikuwa tishio
ila washabiki wa yanga cjui mkoje ko kudroo na stand mtachukua ubingwa?
Saitoti Lengay Yanga ina washabiki au wachumia tumbo
Why not?
Tunamkimbiza mwiz kimya kimya
Hii imechi ni ngumu kuisahau
Taratiibu haooo wananyea
KIBINDA MWOGHU fyf
😢
PAKA wamekaliwa kooni akili imewakaa...!..PAKA nyie..!..💣💥
yanga bhn Kwa kujitia moyo
Yanga bana wanaongea kama machoko kwani ligi anaongoza nini
mbosso
ubingwa una wenyew nyinyi
Kwani wadhaniaa YANGA WATATOBOAA UBINGWA??
Unajifanya huelewi eh
mechiyaleoyasimba
nyoko simba bgwa
Gyan
Poa sana
Simba mnaboa
simba kunyang'anywa pointi
Inapendeza
Rosemary Jacka eti ooo kwa kuwa okwi ndemla na boco hawapo, mbona wenzenu kule hawana kamsoko ,ngoma,juma Abdul, canavaro,chirwa,mwashiuya, lkn wanapambana na halo yaooo
Azam tv toeni hio nembo ya azam hapo kati I wekeni juu
usakili wa simb wachezajo wapya
smba nizaidi yayotote uszumze kit hio nisare ww ubwa