Clatous Chama aeleza malengo yake Yanga, azungumzia Siku ya Mwananchi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- "...malengo yetu ni kuwafurahisha" - Kiungo wa Yanga, Clatous Chama anaeleza hamu aliyonayo katika kutimiza malengo yake binafsi na ya klabu anayoitumikia kwa sasa huku akiwaita mashabiki kwenye kilele cha #SikuYaMwananchi
Thanks cloutuse chama kwa ahadi unazotuahidi sisi wananchi💛💛💛💚💚💚💛💛💛
Jamn muach makasiriko jmn😂😂😂😂😂😂 sawa tuna wazeee Sasa shida nini bhna chama tunae na tunatamba naeee kwa kiufup tnanampendaaa😊😊💚💛💚💛💪
Wazee kavu sana wakati hata hela ya kununua jersey hawana wataweza kuendesha club
Yanı hata kwenye kijiji ambao wanawuwa maendeleo ya kijiji ni wazee wewe fatilia vizr wazee wengi ni kikwazo kwenye vijijini vyao😅
Shida iko pale pale
Hivi hao wazee mnaoongelea ni hawa wachezaji au ni wale walioishtaki yanga!? Chama bado nikijana tu ng' ombe haizeeki maini.
wazee washafnya yao uku
Wazee wengin hovyo kwel et timu yao apa ilipo fika tu wakipewa lazima iludi nyuma mwiko
Tunawategemea wapambanaji wetu
Wazee wa ach mate et
DAIMA MBELE
NYUMA .WIKO
WAZEE WATULIE KWANZA
th-cam.com/video/sj81xbxM8Zw/w-d-xo.htmlsi=sxhthtGPAB15zegV Tumika leo
Msaliti
Yaan nikiangalia hawa wazee Hawana nuru kabisa hawajachangamka Kama vijana watu na mazingira Yao ya mazoezi mabaya ebu ngoja nitoke huku Napoteza tu mbs zangu
😅😅😅😅 8/8 ndio utajua kama wananuru au hawana
@@JenniferMjiekwakweli muache ajisemeshe nuru ataiona siku hyo