TAMKO KULAANI MAUAJI YA KIONGOZI WA CHADEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • TAMKO KULAANI MAUAJI KIONGOZI WA CHADEMA

ความคิดเห็น • 13

  • @evelina9621
    @evelina9621 10 วันที่ผ่านมา

    Asante.tume.mungu.awabariki.tume.tupo.pamoja.maombi.wapatikani

  • @monicamwita7865
    @monicamwita7865 3 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani! Sati

  • @MwakaHappy
    @MwakaHappy หลายเดือนก่อน +1

    Mmechukua hatua gani hakuna lolote

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Uchunguzi ataufanya mungu mwenyewe maana binadamu hawajaweza mpaka leo

  • @mage5371
    @mage5371 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ushirikiano tena... Wengi tunaogopa

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi bado hawajapatikana waliomteka na kumuua Ally Kibao?

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 3 หลายเดือนก่อน

    Haya nawengine wanatekwa sihui taalifa izi zina maama gani?

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka หลายเดือนก่อน +1

    Tume hii inapaswa kupewa meno ya kung'ata maana kwa sasa haina meno kwakuwa inapotokea waliokosea ni mamlaka ambayo tume inawajibika kwa serikali haiwezi kuwa huru

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 11 วันที่ผ่านมา

      Yaani ni kulaani tuu😢😢😢

  • @SaadSaad-qy5od
    @SaadSaad-qy5od 2 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi watu tume hivi mnakuwaga wapi yanapo tokea mauwaji kwa wàslam kama vile mauwaji ya mwembe chai mauwaji hivi karibuni kule kibiti

  • @ObeidChamila
    @ObeidChamila 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona MTU akivamiwa na majambazi,akauawa mbona hatujaona mnalaani mauaji hayo Wala hata t kukemea ?? Acheni unafiki wenu