Kesi ya Dr slaa yatuwa mikononi mwa Rais samia, mawakili wake wataka maridhiano Dr slaa aachiliwe

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • #chadema #lissu #samia #mbowe #ccm #tanzania #uchaguzichadema #uchaguzi2025 #drslaa

ความคิดเห็น • 27

  • @TeddyMasawe-t5d
    @TeddyMasawe-t5d 4 วันที่ผ่านมา +1

    WANA MWONEA SANA SLAA.

  • @RUTACHCHURCH
    @RUTACHCHURCH 6 วันที่ผ่านมา +3

    Serikali ya Samia haichafuliwi ila inajichafua yenyewe kwa ukandamizaji na uonevu kwa watu wake

  • @eatlawe
    @eatlawe 4 วันที่ผ่านมา

    Abdulrasul kashasema.

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 6 วันที่ผ่านมา +1

    Sio tu ana po wa a pi Sha,bali pia ana po a pa kuwa ataillnda,itunza na kuitetea katiba ya nchi,af.....!!

  • @rodymtakimwa3205
    @rodymtakimwa3205 6 วันที่ผ่านมา +3

    Haki ya kisheria itendeke maliziano ya nini kwenye haki

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee inapaswa wasiwe waongo kwa swala la kudhalilisha rai acha sheria ifuate mkondo wake

  • @KitashikashikombeKuzenza-w8u
    @KitashikashikombeKuzenza-w8u 6 วันที่ผ่านมา +4

    Uonevu huo

  • @Frankremishoy
    @Frankremishoy 6 วันที่ผ่านมา +3

    Mbona hatoki.

  • @Mkazially
    @Mkazially 5 วันที่ผ่านมา

    Tengeneza tatizo tatua tatizo ndio hasa kinachofanyika

  • @KornelJohn
    @KornelJohn 6 วันที่ผ่านมา +1

    Achiwe huru dokta slaa

  • @SudiMshauri
    @SudiMshauri 6 วันที่ผ่านมา

    Huyo mzee ndiyo mwenye matatizo Ila chadema wanafura huongo wa huyo mzee acheni fitina zenu za udini

  • @peterhassan1372
    @peterhassan1372 4 วันที่ผ่านมา

    Mpelelezi mahakamani akasema huo ukweli

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 6 วันที่ผ่านมา

    Kwa Nini,mtu asituhumu kuwa bi chura anakuwa yanayoendelea wkt Kila kitu mhusika ni rais

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 5 วันที่ผ่านมา

    Tunataka awataje waliomwambia mbowe kapewa pesa na Samia ili achafue uongozi

  • @janeemmanuel3615
    @janeemmanuel3615 6 วันที่ผ่านมา

    Alipokuwa anaapa kuwa balozi aliapaje. Kinamponza mzee padri

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 6 วันที่ผ่านมา +1

    Tengeneza tatizo tatua tatizo

    • @Mkazially
      @Mkazially 5 วันที่ผ่านมา

      😅

  • @Allyiddsud
    @Allyiddsud 5 วันที่ผ่านมา

    Fungeni jela ako kazee kaongo san ako. Alisema ywongo zindi ya Rais wetu uyo. Kazee kaongo ako weka jele

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 5 วันที่ผ่านมา

    Asiye funzwa na mama ake hugunzwa na ulimwengu silaa kafunzwa na ulimwengu

    • @tumusiimeomukama3151
      @tumusiimeomukama3151 5 วันที่ผ่านมา +1

      Unazani yye anateseka kupitia yye Watanzania na dunia tunajifunza mengi na wao ndo wanateseka kutumia ghara kumlinda

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 6 วันที่ผ่านมา

    Kwani makosa ya Slaa hamlioni. Awaseme hao waliompa taarifa ya Rais kutoa rushwa si alisema walimwambia hawaogopi . Sasa awataje

  • @MakanyangaNyamboto
    @MakanyangaNyamboto 6 วันที่ผ่านมา +1

    Tufanye maliziano

  • @VenanceKimati
    @VenanceKimati 5 วันที่ผ่านมา

    Haki itendeke

  • @lucksonsikaona505
    @lucksonsikaona505 6 วันที่ผ่านมา

    Muzee silaha amezidi mudomo

  • @hamisidd8124
    @hamisidd8124 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzee slaa ameyataka rais asimuonee huruma ngoja ayaoge