ROSE ALIYETEULIWA NA LISSU ASIMULIA MAZITO "WALIHUJUMU UCHAGUZI WANGU KWA RUSHWA AMTAJA KIGAILA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • ROSE ALIYETEULIWA NA LISSU ASIMULIA MAZITO "WALIHUJUMU UCHAGUZI WANGU KWA RUSHWA AMTAJA KIGAILA"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

ความคิดเห็น • 66

  • @HemedKiama
    @HemedKiama 6 วันที่ผ่านมา +4

    Rose,nakupenda sana mwanamke jasiri sana,kama daktari nakutabiria ipo siku utakua kiongozi mkubwa nchi hii,amen na iwe hivyo!...

  • @kaundavyoseena6514
    @kaundavyoseena6514 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wewe dada ni kiongozi! Keep it up. Composure and eloquence at its best....

  • @alexkondo4255
    @alexkondo4255 5 วันที่ผ่านมา +1

    Rose + mligo Nawapenda Sana
    Hawa wakina Dada Superb.

    • @merumount5988
      @merumount5988 5 วันที่ผ่านมา

      Madam Rose na Mligo.. r wonderful ladies, very patriotic!

  • @JosephMosabi
    @JosephMosabi 6 วันที่ผ่านมา +4

    Ni vizuri ukatambua kuwa uchaguzi umekwisha ,muanze kujenga chama,hizo tofauti za uchaguzi muachane nazo

    • @austorb.nyondo2708
      @austorb.nyondo2708 6 วันที่ผ่านมา +2

      Hata hujamsikiliza unatoa comments zako kizembe. Anazungumzia uchaguzi wa njombe ambao umepigwa danadana sana mpaka leo

    • @b.truthful
      @b.truthful 6 วันที่ผ่านมา +1

      Anapoongea ndio kupona huko kwani usiri ni wann

  • @AgustnoBoaz-m4m
    @AgustnoBoaz-m4m 6 วันที่ผ่านมา +8

    Hizo fedha naamini zilitoka ccm na kubarikiwa na Mr Mbowe! ndio sbb hakuwahi kuzungumzia rushwa ndani ya chama zaidi alikuwa akimung'unya tu maneno! kwa kweli huyu mwenyekiti wa chadema taifa aliyepita binafsi najihisi hovyo sana sbb wapo wana wengi kwa idadi wameuwawa kikatili wakiipigania siasa na demokrasia huru ndani ya Tanzania.

  • @FrankKwanama-lo6fj
    @FrankKwanama-lo6fj 6 วันที่ผ่านมา +4

    Kwakweli wajumbe mmefanya jambo la mbolea sana kumuondoa mbowe na genge lake!

  • @DanielMgeni-x1z
    @DanielMgeni-x1z 6 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu Dada Ni hazina kwa chama mtu makin sana

  • @omarizuberi7163
    @omarizuberi7163 2 วันที่ผ่านมา

    Nikichwa 👏👏👏👏

  • @igulug5450
    @igulug5450 6 วันที่ผ่านมา

    Upo vizuri sana huwa nakuelewa sana

  • @RahimMallya-fh9zc
    @RahimMallya-fh9zc 5 วันที่ผ่านมา +1

    We dada ushapewa ujumbe wa na rissu acha mipasho tena, na usilazimishe umaarufu,kajenge chama, acha ziaka ya wewe uwe na simat fon wenzako wakose we Mungu,au mtoa riziki

  • @Zanijasy-hy7vm
    @Zanijasy-hy7vm 4 วันที่ผ่านมา

    Rose Mayemba ni Mwanamke SHUJAA

  • @nsajigwamwasumbi4990
    @nsajigwamwasumbi4990 6 วันที่ผ่านมา +3

    Unakosea sana sana kuzungumzia yaliyopita badala ya kujenga chama chenu

    • @williammbise7223
      @williammbise7223 5 วันที่ผ่านมา

      Yu rose sijui kma anajua tunakazi mbele yeti inaitaji watu wote makundi yalisha pita

    • @petermhagama9952
      @petermhagama9952 5 วันที่ผ่านมา

      Unamuunga mkono mbwa MBOWE???

    • @Zanijasy-hy7vm
      @Zanijasy-hy7vm 4 วันที่ผ่านมา

      Watu wa Mbowe mnaogopa kusikia maujinga yenu. 😂😂

  • @yusuphkichawele1009
    @yusuphkichawele1009 4 วันที่ผ่านมา

    Rose ni mtu mwenye msimamo sana,Chadema is proud to have her✌️✌️✌️

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 6 วันที่ผ่านมา

    Huyu dada ni very strong

  • @emmanueldeusdedith3374
    @emmanueldeusdedith3374 6 วันที่ผ่านมา

    Namkubali sana dada rose

  • @fredymapunda1768
    @fredymapunda1768 6 วันที่ผ่านมา +1

    Boss mlikosa location

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 6 วันที่ผ่านมา

    Interview zako zote zinakuwa na background noises , zinapunguza umakini
    kuweni makini Mwanahalisi .

  • @MwangaSA
    @MwangaSA 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mtakivuruga chama Mbowe amesema chama kina majeraha mkiendelea hivi mtakivunja chama anayekisimamia chama kwamba yuko Neutral ni John Mnyika sijui iwapo atakinusuru chama

    • @EzekieliBuyenze
      @EzekieliBuyenze 6 วันที่ผ่านมา

      Wewe nae ni mpenda lushwa kwann uchukie

    • @deohank5995
      @deohank5995 6 วันที่ผ่านมา

      Ningeshauri yalopita yameshapita yabaki kama historia njema ya kujifunza ili yasijirudie tena, Kwa hiyo Kwa sasa yafaa muanze UPYA

  • @FortinathaMvikule-cm1im
    @FortinathaMvikule-cm1im 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mkubwa Sana Hana upendeleo na haangalii kama Binadamu waangaliavyo. Umepewa unachostahiri

  • @wanainchitvrdc6705
    @wanainchitvrdc6705 6 วันที่ผ่านมา

    Production yenu ni mbovu sana ... Choice of location nayo ni mbovu lakini content ni mzuri sana

  • @DavidChacha-c5z
    @DavidChacha-c5z 6 วันที่ผ่านมา +2

    Chadema wanahitaji maridhiano. Katika maridhiano lazima uovu ufichuliwe ukubaliwe na wote halafu ukemewe na uachwe ndipo njia ya kusonga mbele ipatikane. Inaonekana kulikuwa na mkakati toka kwa mwenyekiti mbowe kuwashugulikia chadema wenye misimamo mikali dhidi ya serekali ya samia, ili watakapoondoka watengeneze kitakachoitwa maridhiano na ikiwezekana zipatikane nafasi chache za wabunge wachadema kuingia bungeni na hata ushirika feki wa kuendesha serekali ya maridhiano kama Zanzibar, hili lingeihakikishia CCM kuendelea kutawala ktk nafasi ya uraisi bila upinzani mkubwa. Hiyo ndiyo hisia yangu. Hatua atakazochukua mbowe na wenzake baada ya kushindwa uchaguzi zitatoa picha Siri iliyokuwa inaendelea dhidi ya akina Lisu.

  • @RahimMallya-fh9zc
    @RahimMallya-fh9zc 5 วันที่ผ่านมา

    Nyie hao wandishi wanawachonganishi wana tumwa, na CCM, ukitaka kujua ilo mbona awawaoji ccm, kuhusu mgombea wa urais kupita bila kupingwa, jiulizeni vzr, uchaguzi umeisha jengen chama, ayo mnayo ojiwa kila siku,mnapasua chama, ndio furaha ya wandishi wengi walio pewa rushwa, kupasua chama

    • @wiliamkatala
      @wiliamkatala 2 วันที่ผ่านมา

      Dah,kama nakuelew KWA mbali

  • @dezruh
    @dezruh 6 วันที่ผ่านมา +1

    Chama chenu kwa kweli hakifai , ni chama cha Rushwa sana, jifunzeni CCM. Bado wananchi wanatakiwa waiamini CCM.

    • @DavidSemu-gu6wp
      @DavidSemu-gu6wp 6 วันที่ผ่านมา

      Mhhhh!

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 6 วันที่ผ่านมา

      Na kweli CCM bado imara sana

    • @vicentbunzal7342
      @vicentbunzal7342 5 วันที่ผ่านมา

      Wewe nae Ni walewale tu ,unaakili yako timamu unaiamini ccm!taperi kabisa

    • @vicentbunzal7342
      @vicentbunzal7342 5 วันที่ผ่านมา

      Tuna Imani na chadema siyo li ccm lenu lichama la watoa rushwa na majizi

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 วันที่ผ่านมา

      @ CCM ina rwshwa peke yake lakini chadema ina rushwa, ukabila. Udini sasa hapo nani mweye afadhali 🤣🤣🤣

  • @menchngonyani3744
    @menchngonyani3744 6 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi mlishindwa kutafuta sehemu nzuri yakufanya mahojiano zaidi ya hiyo standi ya mabus au kichochoroni makelele kibao,that's unprofessional

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 6 วันที่ผ่านมา +1

    Kila siku sehem mnazofanyia interview zinalele.Mwanahalisi is too big kuruhusu uzembe huu

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 6 วันที่ผ่านมา

      Shida ipo wapi sasa

  • @MichaelmotikaLaiser-dl6wm
    @MichaelmotikaLaiser-dl6wm 6 วันที่ผ่านมา

    Kigaila ni hovyo kabisa ana vimelea vya rushwa

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 6 วันที่ผ่านมา

    Yaani ukisikiliza huu uonevu na ukweli kwamba hawa wakina Kigaila ni mabwana wa wale Wanawake wa Civid 19 ndiyo unaelewa Kwa Nini Wana Chadema wakimkataa Mbowe na haya majambazi mchana kweupe

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 วันที่ผ่านมา

    KAMA HAMKUTENDEWA HAKI N HAKI YENU KIONGEA

  • @JohnGadafi-x8j
    @JohnGadafi-x8j 6 วันที่ผ่านมา

    Namkubali sana huyu dada nampenda sana sana

  • @williammbise7223
    @williammbise7223 5 วันที่ผ่านมา

    Wewe kajenge chama umeshateuliwa makundi atutaki tena

  • @anordiobadia.nycsong8123
    @anordiobadia.nycsong8123 4 วันที่ผ่านมา

    Rose wewe ni mtu na nusu watu kama nyie mnaitajika sana siyo hao machawa wachumia tumbo

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 5 วันที่ผ่านมา

    PESA MWENYEKITI MBOWEALIPEWA CCM

  • @BonifaceBonala-w9j
    @BonifaceBonala-w9j 2 วันที่ผ่านมา

    Rose wewe ni kama tundu lissu usikate tamaa upo turipo

  • @Thevineyard9889
    @Thevineyard9889 6 วันที่ผ่านมา +1

    Siku hizi MwanaHalisi TV recording yenu ni very poor, audio iko very poor. Mtu aweza kudhani labda mmerekodi kwa kutumia simu ya kitochi barabarani katikati ya kelele za watu na magari

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 6 วันที่ผ่านมา

    Ajifunze ccm kwahiyo ccm wako safi

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 6 วันที่ผ่านมา

    Huyu anasahau uchaguzi umeshaisha

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 5 วันที่ผ่านมา

    DADA JASIRI

  • @patmercysecuritycompanylim5689
    @patmercysecuritycompanylim5689 6 วันที่ผ่านมา

    Swafi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 6 วันที่ผ่านมา

    Kgaila nalo chawa kumbe

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 6 วันที่ผ่านมา +1

    Rose ungeachana na mambo yoteya zamani. Panama Uchaguzi ufanyike

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 6 วันที่ผ่านมา

      Zamani wapi?
      Mwaka jana?
      Acha hayo muache aongee! Unajua kitu kinaitwa Freedom of speech 💬 pumbafu!
      Muache aongee !

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 6 วันที่ผ่านมา +4

    Endeleza migogoro

    • @Frankremishoy
      @Frankremishoy 6 วันที่ผ่านมา

      Hii nikuendrleza

    • @hassangasaba4565
      @hassangasaba4565 6 วันที่ผ่านมา +1

      Hakuna mgogoro wanatoa ukweli.

  • @JabirJabir-r5g
    @JabirJabir-r5g 6 วันที่ผ่านมา

    Kwa lipi? Wakati ccm ndio baba wa maovu yote.

  • @dezruh
    @dezruh 6 วันที่ผ่านมา

    Chama chenu kwa kweli hakifai , ni chama cha Rushwa sana, jifunzeni CCM. Bado wananchi wanatakiwa waiamini CCM.

    • @JabirJabir-r5g
      @JabirJabir-r5g 6 วันที่ผ่านมา

      Ccm ni baba wa maovu.

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 6 วันที่ผ่านมา

      @@JabirJabir-r5gchadema ni babu wa ukabila na udini