MAREKANI yaishutumu URUSI kurusha silaha ya anga kwenye mzingo (orbit) wa satellite zake

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 109

  • @alisaadmohammed
    @alisaadmohammed 28 วันที่ผ่านมา +40

    Uk8ona marekani inalalamika jua mambo yake kwisha kwa maana wamezoea kutumia nguvu pasi na kulalamika marekani ni zamani sio sasa

  • @SaidshariffShariff
    @SaidshariffShariff 28 วันที่ผ่านมา +19

    Huo ndio mwisho Wa marekani acha waanze kuzua kila Tuhuma

  • @JKQGAME
    @JKQGAME 23 วันที่ผ่านมา +2

    Ukikubali Marekani kubari kunyanduriwa

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 28 วันที่ผ่านมา +13

    Huraaaaa

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 28 วันที่ผ่านมา +11

    Wakomeshwe #🇺🇸 kbsa

  • @rozamgeni5358
    @rozamgeni5358 28 วันที่ผ่านมา +4

    Asante masud unajua sana kaka

  • @adam__platnumz4393
    @adam__platnumz4393 28 วันที่ผ่านมา +9

    Shughuli wàtu mambo yameanza 😂

  • @EmanuelMkongwi
    @EmanuelMkongwi 28 วันที่ผ่านมา +5

    Safii kaka n mm nimeiyona hii sehem

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 28 วันที่ผ่านมา +6

    Hivi karibuni Urusi ilijitoa kwenye huo mkataba

  • @user-ny2cd9dt1d
    @user-ny2cd9dt1d 28 วันที่ผ่านมา +9

    US wahuni na ni waoga mno. Yaani wakifanya wao ni sawa akifanya mwingine kakosea.

    • @MasanjangwesaJiganga
      @MasanjangwesaJiganga 28 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisa

    • @SelemaniMeena-oo3os
      @SelemaniMeena-oo3os 21 วันที่ผ่านมา

      Na ni washenzi walijifanya wao teknolojia imekaa kumbe bure tu, hata hao NASA wanaongozwa na ROSCOSMOS ya urusi. Wao kama wao hamna kitu

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 28 วันที่ผ่านมา +8

    Uraaaaaaaa🇷🇺🇷🇺😪

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 28 วันที่ผ่านมา +10

    Daah!! Wenzetu wametuacha mbaali sana sie wengine itabidi tuwe tu wapenzi watazamaji😅😅😅

    • @dreamleague-uq2gx
      @dreamleague-uq2gx 28 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂 Sisi tunateneza gari za punda 🐎

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @husseinmassawa7186
      @husseinmassawa7186 28 วันที่ผ่านมา

      @@dreamleague-uq2gx uku kwetu ata shetani hana shida nako, ametuachia sayansi ya vibeku tu usiku ili tusilale vzuri..😅

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@husseinmassawa7186😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @mirzah117
      @mirzah117 28 วันที่ผ่านมา +2

      Hata sisi tumewaacha .. sisi komandoo anauza madafu ikulu huoni tumewaacha umbali mwingi hapo... au kupasua tofali kwa teke

  • @user-ij9te1ck9p
    @user-ij9te1ck9p 28 วันที่ผ่านมา +3

    Nenda ukaolewe basi uko marekani km unawapenda mashoga na wachafuzi WA dunia

  • @hemednassoro2095
    @hemednassoro2095 28 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu jamaa mjuvi sana

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 28 วันที่ผ่านมา +2

    Ni kweli kabisa ukiipenda Marekani ukubali ushoga au ushakuwa shoga wa kisiri siri lakini kaa ukijua watu watakujua tu kama wewe ni shoga

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 28 วันที่ผ่านมา +3

    Dadeki. America sio Mungu

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi ipp brother

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl 25 วันที่ผ่านมา

    Halafu unakuta mtu kashiba maharage anajamba tuuu anakwambia Marekani super power jinga kabisa

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 28 วันที่ผ่านมา +2

    Anatafuta sababu ya kipeleka hizo silaha kwa kisingizio hicho. Ye akubali tuu alishapigwa gep

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 28 วันที่ผ่านมา +8

    God bless russia

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n 28 วันที่ผ่านมา +2

    Ukipenda marekani ukubali ushoga

  • @user-mm9qr7em8k
    @user-mm9qr7em8k 28 วันที่ผ่านมา +6

    Mrusi atammaliza .kbs marekani kbs.😂😂😂

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 28 วันที่ผ่านมา +1

      ORBIT SIO NCHI JAMANI MUWE MNASOMA 🤣🤣🤣🤣

    • @mayombomajenga9778
      @mayombomajenga9778 28 วันที่ผ่านมา

      ​@@atutweve4160Marekani Hana jipya kashikwa pabaya na urusi sio mjinga kiasi hicho chakufanya mashambulizi kwenye jua pia rusia anajua anachokiganya

  • @FatumaRashid-db6cc
    @FatumaRashid-db6cc 28 วันที่ผ่านมา +4

    Putin vizuri sana kazi yako
    Mkomeshe mmarecani

    • @user-nb2jw4km6f
      @user-nb2jw4km6f 28 วันที่ผ่านมา

      Hakuna cha kukomesha tuombe waache ili vita visizuke Africa maisha yatakua magumu

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 28 วันที่ผ่านมา

      Akili zako ni funyu sana, hv kati marekani na urusi ni nchi Gani ambayo inaubaguzi uliyokithiri na roho mbaya? Kama hujuwi kitu usiwe unaropoka. Lkn pia marekani haiwezi.kushuka Wala nn Kwa sbb kuu tatu ambazo siwezi kuweka hapa. Unatakiwa uwe na akili wa Hali ya juu sana.

    • @StephanoMoses
      @StephanoMoses 28 วันที่ผ่านมา +1

      Mtu mweusi Kumshabikia mmarekani ni kushabikia ushoga . Bila marekan africa tungekuwa mbali sana . Ila muuaji wa muafrica ni marekan na vikosi vyake vya specil vya silent killer vya UN/kivuli cha walinda amani . WHO/kwa madawa visababishi cancer. Mfano vidonge vya majira kwa akina mama. Na vikosi vingine kibao . Ila Mungu yupo nasi. Nafrah kuona baadhi ya nchi wameshaanza kuamka juz kule Burkina Faso wamewafukiza wanajeshi wa UN kama mbwa (hatutaki kuona vikosi vya un nchin kwetu maana badala ya kulinda amana vinachochea vita na kusapoti waasi ili wazid kuvuna rasilimali pendwa (MADINI)

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 28 วันที่ผ่านมา

      @@user-nb2jw4km6fAfrica tuna vita tangu wakoloni waingiy Africa sio kitu kigeni Afrika (vita)

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 28 วันที่ผ่านมา +1

      @@StephanoMoses👏👏👏

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 28 วันที่ผ่านมา +2

    Spana

  • @alimzee
    @alimzee 28 วันที่ผ่านมา

    That's very good 👍

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 27 วันที่ผ่านมา

    Yaan marekani wanapenda kulia sana Kwa bongo hapa km harmonize tu kazi kujitilisha huruma

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo mikataba mingine USA mbona hawafuatagi

  • @selemanifaikii1276
    @selemanifaikii1276 28 วันที่ผ่านมา +2

    Hii nchi kila siku michambo tuuuu

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 13 วันที่ผ่านมา +1

    🇹🇿❣️🇷🇺

  • @ZuhuraNassoro
    @ZuhuraNassoro 28 วันที่ผ่านมา +1

    Anguko la Marekani likaribu, shukrani nyingi kwa mwamba Putin kwa kuendelea kuwanyoosha mabeberu na kuondoa mfumo wao kandamizi na unyonyaji.

    • @MasanjangwesaJiganga
      @MasanjangwesaJiganga 28 วันที่ผ่านมา

      Marekani haitaanguka Yesu Pekee ataiangusha

    • @haidarybrown427
      @haidarybrown427 27 วันที่ผ่านมา

      Kwa hiyo yesu anaruhusu ushoga?​@@MasanjangwesaJiganga

  • @HAMADHAMAD-lk3ms
    @HAMADHAMAD-lk3ms 28 วันที่ผ่านมา +1

    Waogapa marekan

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 28 วันที่ผ่านมา

    Mungu aihepushe africa yetu na mambo yao

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi team Russia China Iran Korea wawa pige tu hao mabuli

  • @user-dk4iq5ct6r
    @user-dk4iq5ct6r 28 วันที่ผ่านมา

    Safiii

  • @deodatusfussi3145
    @deodatusfussi3145 28 วันที่ผ่านมา +3

    Walipue tu huko huko ili wapoteane😅

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 Nimechek kwa sauti kubwa sana

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo 25 วันที่ผ่านมา

    Uraaaa❤❤❤❤

  • @user-jt5we5hg4v
    @user-jt5we5hg4v 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ni hatari

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 28 วันที่ผ่านมา +1

    Imerushwa toka zamn

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 25 วันที่ผ่านมา

    Huo ndio mwisho WA malecani wao wanafikili wanaweza kufanya hii dunia wapendavyo mwingine akifanya ninkosa la jinai sasa wacha utifuano watafumuana toka juu kitu kina shuka jikoni ndio Sawa wote ni wadhenzi Tu ndio wanajifanya dunia kuwa ngumu wamejiwekea mazingira Yao. Safi watu wengine wafe tu

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 28 วันที่ผ่านมา +1

    Uraaaa

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 28 วันที่ผ่านมา

    Mungu izidishie nguvu urusi naiyangamize marekani

  • @georgeurembo4553
    @georgeurembo4553 27 วันที่ผ่านมา

    Soyuz, The Russian Rocket

  • @simonmartin5358
    @simonmartin5358 28 วันที่ผ่านมา +5

    Mpaka akome kbsa us

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 28 วันที่ผ่านมา

      ORBIT HAIPO MAREKANI 😜🤣🤣🤣NAWEWE UNAESHABIKIA UTAKOMA

    • @user-ig3qn9zw6b
      @user-ig3qn9zw6b 28 วันที่ผ่านมา

      Mnambilie huo anae shabikia shabikia@@atutweve4160

    • @husseinkadawa2846
      @husseinkadawa2846 28 วันที่ผ่านมา +1

      siwamechoka kula dunia wacha mchezo uishe sis wala dagaaa freshi tu

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 28 วันที่ผ่านมา

      @@husseinkadawa2846 manake bora uuawe uage dunia basi sawa 🤣

    • @simonmartin5358
      @simonmartin5358 28 วันที่ผ่านมา

      @@atutweve4160 chefu

  • @alexmwanioti6390
    @alexmwanioti6390 25 วันที่ผ่านมา

    Wanazidi kukabwa koo

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo 25 วันที่ผ่านมา

    Team Russian oyee

  • @denislramadhani7857
    @denislramadhani7857 28 วันที่ผ่านมา +1

    Watakiona tu siku moja

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 28 วันที่ผ่านมา

      Orbit inazunguka jua so tutakiona dunia zima siku jua likitunguliwa 🤪🤣🤣🤣au mura ulidhani Orbit ni Marekani? Ni kwamba Marekani kiranja tu wa dunia anafatilia kila kitu, wewe kazana kucomment tu hapa waache wajuzi wasayansi wapambane 🤣

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe 😂😊

  • @AjudeKaluwa-bp1zz
    @AjudeKaluwa-bp1zz 28 วันที่ผ่านมา

    Russia ikiwezekana rusheni nyingi zaidi kuriko hao wapumbavu

  • @StephanoMoses
    @StephanoMoses 27 วันที่ผ่านมา

    Hawajatuacha mbali wa Tz maana kwetu tuna hadi comando muuza madafu ikulu. Alafu tuna ujuzi wa kutengeneza Bom hatari ambali linatengenezwa na chemical mchanganyiko wa ugoro na pilipili ila ni la kufukuza 🐘🐘

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 28 วันที่ผ่านมา

    USA wanaogopa nini mbona wao wanapeleka siraha mabara mengine na zinaua watu

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 28 วันที่ผ่านมา

    Sasa hivi kuna timu urusi china na marekani sasa kazi kwao unapenda timu gani

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar4142 28 วันที่ผ่านมา

    Salute Russia 🇷🇺 president Vladimir Putin Blessing 🙌

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 28 วันที่ผ่านมา

    Mashoga kazi wanayo

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 28 วันที่ผ่านมา

    Huu ndio Uanaume sio kulia lia, yaani Marekani wakizidiwa huanza kulia lia na kukimbilia UN na kutafuta huruma Duniani

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 28 วันที่ผ่านมา

    Hawa nao bhan kila siku maneno tu km zuchu c muwapige

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 28 วันที่ผ่านมา

    ❤️❤️🇷🇺🇷🇺💪💪

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 28 วันที่ผ่านมา

    Marekani akifany yeye Sawa akifany mwingine analaani 🤣🤣 atulie dawa imuingie

  • @SabraNassor-hv1xi
    @SabraNassor-hv1xi 28 วันที่ผ่านมา

    Endeleeni kumtibuwa Putin awanyooshe

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 28 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Emanueli-vz6fd
    @Emanueli-vz6fd 28 วันที่ผ่านมา

    Bdo awajasema😅😅😅

  • @MasanjangwesaJiganga
    @MasanjangwesaJiganga 28 วันที่ผ่านมา

    Waache wakome wamarecan sema tyuu MUNGU habadilishi unabii

  • @JonasPhilimon
    @JonasPhilimon 28 วันที่ผ่านมา

    Mbona mambo ya upinde mnayapromoti sana mtu mara nyingi hua anapenda kuzungumza mambo ya ushoga iwe nikwajili yakupinga kila mara huo mara nyingi nayeye nimoja wapo jaribhu kuangalia vijiweni wahuni kila mda ndio mada yao chakushangaza hua wenyew ndio hufanya hayo Mambo

    • @Puppet666Master
      @Puppet666Master 28 วันที่ผ่านมา +1

      Kwani bado pasta wako haja kutafutia Mume aka kuoa au😷

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 28 วันที่ผ่านมา

    😂Putin kamanda🔥

  • @batuelcharles2489
    @batuelcharles2489 28 วันที่ผ่านมา

    Rasiski federasio

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale 28 วันที่ผ่านมา

    Putin taratibu huko usije ukatuua tz huku😂😂😂😂

  • @SelemaniMeena-oo3os
    @SelemaniMeena-oo3os 21 วันที่ผ่านมา

    Marekani angekuwa na uwezo aliokuwa nao urusi angeshamuangamiza siku nyingi sana, ameiteka dunia na google yake basi anajiona yeye ndio yeye, warusi wana YANDEX na itachukua nafasi WW3 ikipigika

  • @adamchaka-vl7yk
    @adamchaka-vl7yk 28 วันที่ผ่านมา

    Hawa wapumbavu sana,Hivi mnampangiaje Urusi silaha za kutumia!Shame on you Nato & USA

  • @humbimusisa-db1tg
    @humbimusisa-db1tg 28 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅😅😅 Viva Putin

  • @AlexLugano-rh8tm
    @AlexLugano-rh8tm 28 วันที่ผ่านมา

    Why this guy voice talking like he’s walking around he’s yard all the time yall need fix it

    • @mbekijerome2115
      @mbekijerome2115 28 วันที่ผ่านมา

      Bro it's ok as long as you get the point don't complicat.mbona ujumbe ni mzuri sana.

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 28 วันที่ผ่านมา

    Marekani kiboko nyie mnaofikiri marekani eti atakwisha acheni uongoo yeye Yuko Dunia nyingine mtasubiri sana Dunia anaifahamu kuliko wewe

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 28 วันที่ผ่านมา

      kwaiyo urusi haifahamu dunia kwakua unapenda mambo ya ovyo ndio mana uko pamoja nao marekani hawana wale wana wa izrael waliokuwa wanavushwa na Musa

    • @hancyjr7177
      @hancyjr7177 28 วันที่ผ่านมา

      upinde

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @thelonewolf4429
      @thelonewolf4429 28 วันที่ผ่านมา

      @@shubebunyesi542kaka usiwe unajisumbua kujibu awa atu wa upinde huwa hawanaga haibu kuongea vutu vya ovyo

    • @sanaf8367
      @sanaf8367 28 วันที่ผ่านมา

      Urusi ndio baba tech ya space na nyuklia wewe vipi mzee wa upinde

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 28 วันที่ผ่านมา

    Hapo wanatafuta pa kutokea hao Marekani hawana jipya wanataka kujinasua kwenye migogoro waliyoanzisha

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 28 วันที่ผ่านมา

    Bado wabigeni hao wamarekani wakome kwani hao wamarekani wanajifanya kidume