Kkkkkkkkkkkkk Tanzania ipi bandari tuu wengine walifuatwa na watu wasio julikana waliokua hawajafatwa walitokwa na majasho ya matako Tanzania ndo nchi pekee kiongozi anaweza kuongea neno lolote lile kwa raia wake
@@merckmdamu2942 Unajua Police wa Tanzania wanavyo piga. rejea Nyamongo,maandamano ya gesi Mtwara ,Maandamano ya Arusha baada ya uchaguzi na yalee ya Zanzibar. Tanzania Police Force is Another Level broo.
Huku Tanzania mtu akisema tu tukaandamane atatoka mbea mmoja kujipendekeza kushtak ili alipwe Elfu hamsini akale na family yake na kero zinabak pale pale ndomana tunakua waoga
Umoja ndoo kila kitu, hongereni sana wanainchi wa kenya hakika kilio chenu mungu amekisikia na mungu azidi kuwapa ujasili pale mnapo ona mambo hayako sawa.
Ipo siku na huku kwetu tz, acha watuone kama vile hatuna akili siku yaja hawata amin macho yao. Hakuna kitu kibaya kama watu wanaumia na maisha wengine kaz yao ni kupiga makofi inatia asila sana siku yaja.
Kenya ndio nchi ya kuishi mana wananchi wote wanaumoja na kusikilizana sio uku tanzania 🇹🇿 tunaburuzwa na viongo uchwala mpaka maji tunaita mma yani wananchi wa tanzania 🇹🇿 tumekua waoga mpaka mtoto wa polisi tunamuogopa daah mungu ibariki kenya ongereni sana wananchi wa kenya kwa jitiada zenu
Uyo ni upuuzi mbona Kuna waliopoteza maisha yao apo walikua wakipigania haki zao nao atawarudishia uhai wao? Agekua na upendo na wanainci wake angejiuzulu
@@hassanomar1041 dah jmni nyie Kenya hamtaki mchezo Mungu wangu..nyie ni watu wengine kabisa Mungu Alitupatia sie binadamu. Mungu awatunze pamoja na Rais Ruto.. Tuanwapenda Kenya jmni...
Gulf countries umedanganya zakayo......watu tumelalisha makaratasi kwa nyumba huku tumekwama gulf countries juu hakuna kazi kenya serikali yako maisha iko juu sana .....wakenya tunakumulika
Waoga, pia wazembe ukipata vocha ambayo ina tozo 😂 ukiingia Instagram kumuona Mondi basi aaaah roho kwatu. Wenzetu mpaka mastaa wao wanawaunga mkono hapa watangazaji, magazeti mastaa wote machawa WA CCM 😂😂
Kenya ongereni kwa kweli kwenye umoja kuna nguvu kabisa Mungu awalinde na awasimamiye kwa kila atuwa mmepigana vita kubwa sana mwastaili pongezi nyingi!! Am From 🇧🇮🇧🇮 sisi bado twaendelea kuburuzwa 😂😂
Tanźania wananchi wako hoi kirasiku viongozi wananunuliwa magar ya kifahaiì hapa Zanzibar watu wote wako taaban lakin viongoz wanakula bata na VXR HII NDIO ZANZIBAR YA LEO HONGERA KWA WAKENYA🙏🙏🙏
Huu ni mzaha anatufanyia tuu katiba ya Kenya haimpi Rais uwezo wa kukataa mswada bali alichokifanya ni kuback down alafu baada ya siku 21 unakuwa sheria automatic alafu yeye anajitoa akisema ni wabunge ndo walipitisha sio yeye... lakini round tuko naye tuu yani hii hatoboi #RUTO MUST GO...!!! Hatatuchezea akili sisi pia ni wasomi...!!!
Mpaka nimemuonea huruma Ruto ,kuwa kiongozi si mchezo ..Nchi ameikuta na madeni ila wananchi kubeba zigo ndio hapo kasheshe ..Bora wewe umesikiliza kuna wengine vyura kabisa hawasikii 😅
Oya kenyani Mmekuwa mfano Bora Africa nzima Ngoja tuandamane bingo uone kunavyovunjwa miguu😂😂😂😂😂 Yaani Bongo bana usilete bambo kama hizo hata kama mmesumamia haji Tatizo watu hawajui Tu Serikali ya Tz inaitwa POLICE FORCE Ila nchi nyingine wanaitwa POLICE SERVICE Hilo ndo tatizo Raia hawana Sauti hata kidogo Ni Amri Tu Jamani hivi itaisha lini hii Na Sisi tuwe Na police service Ila Kenya mmetujonesha😅😅😅😅😅😅😅
Watanzania tukiamsheni na sisi tuache uoga inchi yetu Ina rasilimali nyingi sana na madini yanayokwenda nje Kwa faida za watu wachache serikalin... Tukiamshe Tanzania isonge mbele
RUTO has conceded because of the pressure from the international community,including the UN which said they are monitoring the events as they unfold in KENYA... RUTO alikua tayari ashatoa polisi na kuleta wanajeshi kinyume na sheria...tayari alikua ashatangaza vita dhidi yetu...ila it's a good thing, we've successfully rejected the punitive finance bill.... watanzania asanteni sana,
@@BillyJames-l6x by international community I meant the human rights organizations and bodies like the UN..AMERICA AND THE WEST ndo masterminds wa hii finance bill so of course wanajua what's going on
Nimefurahishwa na Genz ni vijana wasomi, waelewa, wenye mcmamo na wenye kutafakari kesho Yao kwa maslahi Yao bila kujali dini, kabila, wala itikadi za vyama. Mmeifunza Afrika jinx gani vijana wanatakiwa wajitambue na kutambua haki zao. Umoja wenu bila kujali, Rangi, kabila, dini, jinsia au Chama imetupa funzo kubwa na kutufanya tujitafakari kumbe tulifeli kwa kukosa umoja. Hongereni na poleni kwa kila changamoto mlizopitia.
Nguvu ya umma lazima ingemlima awache ushamba, inampasa kushughulika na matatzo ya wananchi WA Kenya na siyo America, congratulations to all Kenyans waliongia bungeni na kuharibu makaazi ya majambazi WA nchi yao
We don't need anyone ruto to Leeds Kenya again because he was leed Kenya for 10 years ago with Uhuru Kenyatta before he be coming a present now is two years but he's making Kenya a crazy country in the world... Wakenya Hatuko Sawa na ruto whatever he said
Kuchelewa kww kauli yake kumesababisha hasara na fedheha na kulinajisi bunge kwa watu kuingia na kulivulia heshima bunge.naomba tu awasamehe vijana wote waliofanya uharibifu
Sisi Tanzania vijiweni kila siku Yanga na Simba , mara Chama kasajili Yanga au hajasajili na hata ukiwauiza WaTZ wengi nini maana Financial bill hatujui, tatizo ni Elimu yetu ndogo hapo ndo shida. Tulitegemea upinzani wetu wabebe ajenda ya bajeti kwenye majukwaa uko waliko lakini wala hawajui chochote
Kenya mko mbele kila kitu heshima kwa wakenya wote
Hawa jamaa wametuzidi vingi hadi dhambi wanatuzidi 😅😢
@@denismasele4130😂😂😂
@@denismasele4130kuzidiwa dhambi Tena jamaniii duuuu😮😮😮😮
Wanatuzidi Hadi Deni la taifa yaani wako mbele ya muda
Amen
Msimamo, hongera wakenya🇰🇪
❤❤❤
Mpaka Muuane 😂😂
Alhamdhulilah Mungu ni mwema cku zote acha tuendelee kupamba na haya ambayo tuko nayo tayari huenda tukasonga mbele ,Wakenya UMOJA NI NGUVU DAIMA 🙏💪🤝
Hongeleni sana wakenya Kwa umoja wenu wa pamoja Hadi mmefanikiwa Tanzania nasi tuige kutoka kwenu
😂😂😂Watanzania waoga kwakilakitu.
Kkkkkkkkkkkkk Tanzania ipi bandari tuu wengine walifuatwa na watu wasio julikana waliokua hawajafatwa walitokwa na majasho ya matako Tanzania ndo nchi pekee kiongozi anaweza kuongea neno lolote lile kwa raia wake
@@merckmdamu2942🤣🤣🤣Sahihi kabisa Kamanda 🤓
Watanzania sio wakweli sisi tumegawanywa tumegawanyika
@@merckmdamu2942 Unajua Police wa Tanzania wanavyo piga. rejea Nyamongo,maandamano ya gesi Mtwara ,Maandamano ya Arusha baada ya uchaguzi na yalee ya Zanzibar. Tanzania Police Force is Another Level broo.
Hongereni laia wakenya kwKupigania haki yenu
❤❤❤❤
Hongera sana kwao hakika wametimiza na wapumzike Kwa amani wote walio fariki wamekufa wakipigania haki zao
❤❤❤
😢
Alikuja anangoja nini sasa!!!😂😂😂wakenya hawanaga mchezo afu wanaumoja hatarii🔥🔥🇨🇦
Wakenya si wakuchezewa
Sisi tunatakaa kuenda state house watupikie na wasafishe pool😅😅😅😅
Huku Tanzania mtu akisema tu tukaandamane atatoka mbea mmoja kujipendekeza kushtak ili alipwe Elfu hamsini akale na family yake na kero zinabak pale pale ndomana tunakua waoga
Anajifanya mjanja sn ikiwa haujaondolewa uo mswada bungeni katiba ya Kenya inasema baadaa siku 21 uo mswada unapita bila tatizo
😂😂😂@@kamarhelo
Wakenya always wapo mbali sana kulinganisha na wa Tanzania so watanzania hamna lolote mtaendelea kuwa ng’ombe wa maziwa mpaka mkauke kama kausha damu
Waziri wa fedha Tanzania jifunze
Alisema wasiotaka waende Burundi
@@salehkhalfan7345 😂😂😂😂
Sio ajifunze aondoke hatumtaki😂😂
@@salehkhalfan7345vijana tusikubali kunyanyaswa kama kwamba hatuna lakufanya
Wana timu za mpira
Umoja ndoo kila kitu, hongereni sana wanainchi wa kenya hakika kilio chenu mungu amekisikia na mungu azidi kuwapa ujasili pale mnapo ona mambo hayako sawa.
ASANTE SANA.
❤❤❤❤kenya umoja niguvu
Peace ✌️,love and unity.. Kenya 🇰🇪
Safi sana 🇰🇪 Kenya I see power of people 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Hana hiyo knowledge bro elewa hamna I'd sasa bado mko law
Heshima Sana kwa wakenya, love Kenyans , nimewapenda bure
Safi ,kawawahi ,maana ilikuwa ni kuwindana,amani itawale jirani zetu
Hongera Mhe Ruto , kwa hakika umekuwa ki Siasa , Mungu ibarik Kenya 🇰🇪 Mungu ibarik East Africa
Big up Kenyan for perfectly administration
We are Kenyans and kenya is our business!..✊✊
My kenya my life...hatutaki ujinga na tuendelee mbele na usitulete hyo mchezo tena😂😂😂
YAP,WE ARE KENYANS N KENYA IS OUR BUSINESS.
*May the Almighty bring peace in Kenya!* ❤🇰🇪
Ammeen yarrab🙏🙏🙏
Kenya oyeee ... Congratulations to you neighbors.... Big up
Hongerene snaa na tenaa sanaa kwa umoja wenu Vivaa Kenya 🇰🇪 pole snaa kwa kuondokewa na ndgu ztu
Asanteni sana Ndugu Wa Tanzania kwa kutuunga mkono.
Kwa Hili Kenya mnapepo yenu🎉🎉
Amin yarab ❤❤❤
Wake ya mmeonyesha viongozi kuwa ninyi ndio maboss wao.Wanapaswa kuifanya yenu na sio Yao. Hongereni sana.
❤❤❤
Nimefurahii sana😂😂😂😂
Chezea na wakenya weweeeeeee 😂😂
Ruto adanganya ,you no action ni maneno to kama kawaida,gen -z bado mapambano,it is not yet over til it is over,ruto gooooo
hongereni wakenya wote kwa umoja wenu mungu mkubwa tanzania pia viongozi wawe hivi
Finally ✊🏾✊🏾✊🏾💪🏾
Sasa tuache kujilinganisha na wakenya tutulie. Hawa jama ni levo zingine.
hawa watu toka zamani ndo walivo..sie hata hatuthubutu kujilinganisha nao kabisa. Ila Mungu mwema tutafika kwa kudra zake hata sie
Kujilinganisha na kenya ni kuwakosea adabu
Hongereni. Kenya.
Hongeren sana wakenya mnajitambua na mnaumoja 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera wakenya mnaomoja na uzalendo
Kenya shikamooo
Marahaba Tanzania
Najivunia kuwa mtanzakenya
Km mm mzaliwa Kenya kukualia tz
Hongela saana wa Kenya tz tunawaunga mkono,!!
Watanzania mna matatizo mengi sana mnaonewa lakini hamna umoja
Kenya Mungu awabariki hasa serikali kwa kusikia sauti ya watu maana hao ndio wenye nchi.
Iyo ni uwongo anacheza karata sisi sio wajinga.... something needs to be done
Pia mimi siamini uyu jamaa
Tulieni😂😂😂 basi nifanyieni subscribe
msijali ndugu zangu. Rais Ruto wa Kenya akisema hutekeleza. Tumuombeeni..dah ila Kenya sio mchezo..from Tanzania
Simuendelee Sasa kuandamana mkamtoe
Wewe cheza tu
Ipo siku na huku kwetu tz, acha watuone kama vile hatuna akili siku yaja hawata amin macho yao. Hakuna kitu kibaya kama watu wanaumia na maisha wengine kaz yao ni kupiga makofi inatia asila sana siku yaja.
Kweli. Misimamo ipo. Wakenya jipeni hongela. From. Moz
🇰🇪 kenya oyeeeee ❤️💪❤️💪
❤❤❤😊
oyeee!!! Mungu ibariki Kenya jirani yetu. tunawapenda mno sie huku
Am proud to be a Kenyan ❤
Muungwana akivuliwa nguo huchutama hongera kwa kutambua nafasi ya wapiga kura wako focus sasa na matatizo ya wakenya
tanzania nataka mnipee bibi sasa nitulie nae sasa after kupigania haki zetu
Kenya ndio nchi ya kuishi mana wananchi wote wanaumoja na kusikilizana sio uku tanzania 🇹🇿 tunaburuzwa na viongo uchwala mpaka maji tunaita mma yani wananchi wa tanzania 🇹🇿 tumekua waoga mpaka mtoto wa polisi tunamuogopa daah mungu ibariki kenya ongereni sana wananchi wa kenya kwa jitiada zenu
Sisi kma Wakenya tunasema Ruto Must Goooo
Wa kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 oyeeeee🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤🙏🙏🙏
Uyo ni upuuzi mbona Kuna waliopoteza maisha yao apo walikua wakipigania haki zao nao atawarudishia uhai wao?
Agekua na upendo na wanainci wake angejiuzulu
Brother hata kuna walio pigania uhuru wa nchi na walikufa wengi, sasa hao wataingia kwa wale mashujaa wetu walio pigania budget ya 2024
@@hassanomar1041 dah jmni nyie Kenya hamtaki mchezo Mungu wangu..nyie ni watu wengine kabisa Mungu Alitupatia sie binadamu. Mungu awatunze pamoja na Rais Ruto.. Tuanwapenda Kenya jmni...
Ati kujiuzulu
Gulf countries umedanganya zakayo......watu tumelalisha makaratasi kwa nyumba huku tumekwama gulf countries juu hakuna kazi kenya serikali yako maisha iko juu sana .....wakenya tunakumulika
Hongera Sana wakenya nguvu ya Uma imesikika 💪🤛
Nawapenda kenya na watu wake
Wakenya nawapenda sana,wanajielewa sana sio kama sisi watanzania,tungepelekwa tu kama ng'ombe.
Waoga, pia wazembe ukipata vocha ambayo ina tozo 😂 ukiingia Instagram kumuona Mondi basi aaaah roho kwatu. Wenzetu mpaka mastaa wao wanawaunga mkono hapa watangazaji, magazeti mastaa wote machawa WA CCM 😂😂
Kenya ni wazalendo
Tuji funzo kwa Wakenya 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Power Belongs to the people
Toa simulizi ya davido
Njoo tz sas sis waoga
Ubalikiwe rais ruto kwakuwasikiliza wananchi wako
They must go home na haturudi nyuma...RUTO MUST GO HOME
Wewe UnaOta ndoto weweee
Huyu mkora tuko naye tunamsoma ni mwongo sana hatulali bado mapambano actions actions Kenyans stay focused if not lying he is flying
Very true
💪💪💪💪
Kenya ongereni kwa kweli kwenye umoja kuna nguvu kabisa Mungu awalinde na awasimamiye kwa kila atuwa mmepigana vita kubwa sana mwastaili pongezi nyingi!!
Am From 🇧🇮🇧🇮 sisi bado twaendelea kuburuzwa 😂😂
Ongera sana wa kenya 🇰🇪 kazi nzur, lkn achani kutumia tissue kwa choo now l just consider you as Est africa 🌍 leaders your no one
Kuwa Kiongozi unahitaji Uwezo Mkubwa Sana wa Hesabu. Ruto huu mtihani umepass
Tanźania wananchi wako hoi kirasiku viongozi wananunuliwa magar ya kifahaiì hapa Zanzibar watu wote wako taaban lakin viongoz wanakula bata na VXR HII NDIO ZANZIBAR YA LEO HONGERA KWA WAKENYA🙏🙏🙏
Thanks but we want him to go
Ruto 10 tena
Viongozi wa Africa ni wanafka sana Yani wao ndio walipitisha sasa wanampigia makofi ruto Baada ya wanamchi wa Kenya
Wakenya ni
1: Jasili,
2: Wamoja katika mambo ya msingi.
3: Wana uzoefu wa walichokifanya...
🎉🎉🎉
Salaries should be reduced from the president to Mcs
Accountability and transparent interest of mwananchi in all financial affairs
Samia anatembe nje sana
That's we Call people's power, the wind is caming to neboohod soon💨💨🍃🍃🔜
Huu ni mzaha anatufanyia tuu katiba ya Kenya haimpi Rais uwezo wa kukataa mswada bali alichokifanya ni kuback down alafu baada ya siku 21 unakuwa sheria automatic alafu yeye anajitoa akisema ni wabunge ndo walipitisha sio yeye... lakini round tuko naye tuu yani hii hatoboi #RUTO MUST GO...!!! Hatatuchezea akili sisi pia ni wasomi...!!!
Mpaka nimemuonea huruma Ruto ,kuwa kiongozi si mchezo ..Nchi ameikuta na madeni ila wananchi kubeba zigo ndio hapo kasheshe ..Bora wewe umesikiliza kuna wengine vyura kabisa hawasikii 😅
Oya kenyani
Mmekuwa mfano Bora Africa nzima
Ngoja tuandamane bingo uone kunavyovunjwa miguu😂😂😂😂😂
Yaani Bongo bana usilete bambo kama hizo hata kama mmesumamia haji
Tatizo watu hawajui Tu
Serikali ya Tz inaitwa POLICE FORCE
Ila nchi nyingine wanaitwa POLICE SERVICE
Hilo ndo tatizo
Raia hawana Sauti hata kidogo
Ni Amri Tu
Jamani hivi itaisha lini hii Na Sisi tuwe Na police service
Ila Kenya mmetujonesha😅😅😅😅😅😅😅
Watanzania tukiamsheni na sisi tuache uoga inchi yetu Ina rasilimali nyingi sana na madini yanayokwenda nje Kwa faida za watu wachache serikalin... Tukiamshe Tanzania isonge mbele
RUTO has conceded because of the pressure from the international community,including the UN which said they are monitoring the events as they unfold in KENYA... RUTO alikua tayari ashatoa polisi na kuleta wanajeshi kinyume na sheria...tayari alikua ashatangaza vita dhidi yetu...ila it's a good thing, we've successfully rejected the punitive finance bill.... watanzania asanteni sana,
We kichwa chako kibovu Ww unadhani America na Europe ni mafala hawajui hii jamaa inafanya nn??
@@BillyJames-l6x by international community I meant the human rights organizations and bodies like the UN..AMERICA AND THE WEST ndo masterminds wa hii finance bill so of course wanajua what's going on
@@mahmoodmohammed1679 They also know Ruto is Killing people in his country they are very much aware I tell u
Watanzania utafika lini hapa walipofika wakenya
Kwanini iwe leo na isinge fanywa jana?, Very wonderfu Sir President Ruto.
Tumefurahi sana
Angekuwa mama yetu tayari angesaini
Naomba nipate uraia kutoka KENYA..
Hatukupi
Nimefurahishwa na Genz ni vijana wasomi, waelewa, wenye mcmamo na wenye kutafakari kesho Yao kwa maslahi Yao bila kujali dini, kabila, wala itikadi za vyama. Mmeifunza Afrika jinx gani vijana wanatakiwa wajitambue na kutambua haki zao.
Umoja wenu bila kujali, Rangi, kabila, dini, jinsia au Chama imetupa funzo kubwa na kutufanya tujitafakari kumbe tulifeli kwa kukosa umoja.
Hongereni na poleni kwa kila changamoto mlizopitia.
Endelea kuikandia urusi yajayo yatakufurahisha zaidi ilo sauti yako ndio utazidi kuangua kilio zaidi maana hapo umejikaza ruto
Nguvu ya umma lazima ingemlima awache ushamba, inampasa kushughulika na matatzo ya wananchi WA Kenya na siyo America, congratulations to all Kenyans waliongia bungeni na kuharibu makaazi ya majambazi WA nchi yao
#VIVA🇰🇪 KENYA 🙌🙌🙌🙌🙌🙌 TUANDALIENI MAENEO WAFANYA BIASHARA WA KWETU WAAMIE HUKO 😂😂😂😂
❤❤❤❤
Paulo Ndunguru Kutoka Ruvuma Songea Matarawe Uho Ni Upendo Wazati Sana Kwa Wakenye ❤❤❤❤❤ Rais Hamesamini Upendo Na Ta🇹🇿🇹🇿
Watanzania waoga sana sisi ona juzi tumepigwa mkwara na chalamila ote kimyaa je ayo mengine tutaweza?😂😂😂
We don't need anyone ruto to Leeds Kenya again because he was leed Kenya for 10 years ago with Uhuru Kenyatta before he be coming a present now is two years but he's making Kenya a crazy country in the world... Wakenya Hatuko Sawa na ruto whatever he said
Viva Kenyans ....am proud kenyan .....Ruto you better conceide before we occupy the statehouse
Bado mapambano bro kuna kuja reform kubwa kenya inakuja
Mungu wa lbraimu isaka na Jokobo anakupea ikima Kama Solomon mungu akopammoja nawe
For those guys below the comments section congratulating us on behalf of all Kenyans I say THANK YOU
Ruto must go hes a dictator we don't want him
Da? Mpaka zakayo kashuka basi heshima kwa wakenya.
Kuchelewa kww kauli yake kumesababisha hasara na fedheha na kulinajisi bunge kwa watu kuingia na kulivulia heshima bunge.naomba tu awasamehe vijana wote waliofanya uharibifu
Alikuwa anapima ukali wa maandamano kwanza. Maandamano yangekuwa lege lege angesaini huo mswada
Hatutaki msamaha wake na bunge limejengwa na pesa ya wananchi,na ikiwa hawajui kazi ya bunge tutalivunja kabisa wakae chini ya miti
@@fatumamwalimu5765😂😂😂
@fatu😅😅😅😅mamwalimu5765
Sisi Tanzania vijiweni kila siku Yanga na Simba , mara Chama kasajili Yanga au hajasajili na hata ukiwauiza WaTZ wengi nini maana Financial bill hatujui, tatizo ni Elimu yetu ndogo hapo ndo shida. Tulitegemea upinzani wetu wabebe ajenda ya bajeti kwenye majukwaa uko waliko lakini wala hawajui chochote
Angalia katibiba yesema ikifika 21 days iyo mswaada itaku sherea
Katiba ya Kenya inasema atakama asipo sign ukiwa bd upo bungeni after 21 days bc uo mswadaa unakua active
Congratulations all Kenyan for showing strong unity and solidarity but you must be carefully your president is 🔥
Tumejifunza kitu kutoka kwenu wakenya sisi wtz ipo dei watatuerewa
Wakenya wanaelewa thamani yao ya kuwa wao ndio waajiri wa serikali,lakini pia kongole Mr. President kwa kutupilia mbali muswada huu.