UKRAINE hali ni tete! WANAJESHI warudi nyuma URUSI ikishambulia na NGUVU, ZELENSKY asitisha SAFARI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 พ.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 273

  • @user-tm6gv9kp7v
    @user-tm6gv9kp7v หลายเดือนก่อน +44

    Naomba like 20 Wana sns ..tunawashukuru xna kwa kutupatia taarifa kwa wakat ..
    Zerozensky mwisho wa cku mpk yy atakimbia na kuitelekeza nchi yake

    • @ezekiakiwovele7794
      @ezekiakiwovele7794 หลายเดือนก่อน +3

      Yani wew hamna sauti unataka like

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน +1

      Nimemtafutia sijasiona uliziweka wapi😅😅😅😅😅😅

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 หลายเดือนก่อน +40

    Dj smaa alishatabiri japo wanao shabikia magaidi NATO na mharifu Marekani hawataki kusikia ukweli .

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw หลายเดือนก่อน +20

    Ongera kwa urusi.endeleya ku capa NATO n'Amerika...

    • @josephyapesa160
      @josephyapesa160 หลายเดือนก่อน

      Bila michubuko unaweza kupata ukimwi?

  • @kassimbayuu5217
    @kassimbayuu5217 หลายเดือนก่อน +5

    Conversation ya Leo yapo poa sana, fantastic job

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 หลายเดือนก่อน +25

    Ushindi kwa Urusi ni Ushindi Wadunia. Vipi hali ilivyo Gaza na hasa Rafah?

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 หลายเดือนก่อน +9

    Sns nawapata vizuri sana from Belgium

  • @user-ny2cd9dt1d
    @user-ny2cd9dt1d หลายเดือนก่อน +1

    Combination hii ya wachambuzi inatupa uelewa mkubwa kimantick. ❤❤❤❤. Nashukuru sns kwa kulichukua wazo langu na kulifanyia kazi. ❤❤❤

  • @annurmohamedi9824
    @annurmohamedi9824 หลายเดือนก่อน +10

    Hawa Wagner kwel ni watu hatar sana maana sio kwa wanachokifanya huko Kharkov 🙌

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 หลายเดือนก่อน +3

    Asanteni sana kwa taarifa nzuri zimesomeka kitaalamu kabisa hongereni kwa uchambuzi mzuri wa kiwango cha Kimataifa

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb หลายเดือนก่อน +12

    Huko pia wataondoka mwisho watakimbia kabisa na hao mashoga watazidi kupoteza pesa na silaha

  • @mnaratailoring6346
    @mnaratailoring6346 หลายเดือนก่อน +8

    Nawapata vema .nipo Namibia hapa windhoek. Napenda sana kazi yenu.

    • @nyawawawanyawawa935
      @nyawawawanyawawa935 หลายเดือนก่อน

      Upo Windhoek sehemu gani? Khomazda Katutura Babylon ama Klein Windhoek. Hongera SNS kwa umbuzi uliochangamka

  • @mpwaguzipwagu3199
    @mpwaguzipwagu3199 หลายเดือนก่อน +2

    Nawapata vzr from Germany

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 หลายเดือนก่อน +10

    DJ esma nimchambuzi mzuri mrusi siomtuwakutania watu wanavyofikiria ,anaogopwa na wazungu wenzie

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน +1

      Sio dj esma ni Dj sma

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 หลายเดือนก่อน

      @@Gulfnas1 mkono umetereza kuandika kwaio umekua mkosoaji

    • @mwajumabinwa604
      @mwajumabinwa604 หลายเดือนก่อน

      @@uwimana6533😂😂😂😂

  • @STEVEN-f6g
    @STEVEN-f6g หลายเดือนก่อน +5

    SnS is more than mainstream media..

  • @djsma255
    @djsma255 หลายเดือนก่อน +9

    Sauti ipo ili mtandao ukizidiwa kuna badhi ya watazamaji wanakosa sauti,

    • @bomonda2622
      @bomonda2622 หลายเดือนก่อน +2

      Dj sma uko bright mashaalah

  • @hajimaruzuku6583
    @hajimaruzuku6583 หลายเดือนก่อน +6

    Sns tun wapata vizuri URAAAAAA

  • @thelaoban6236
    @thelaoban6236 หลายเดือนก่อน +4

    Aise Dj Sma na Ally Masubi kwa kazi hii bila shaka mtakua mnapata pesa kubwa sana kwa uchambuzi wenu huu big up 👍

    • @thelaoban6236
      @thelaoban6236 หลายเดือนก่อน

      Wazee wa Facts and Logic watu wakuunganisha…….

  • @thehomeoffootballskills4358
    @thehomeoffootballskills4358 หลายเดือนก่อน +7

    wana sns hii ndo.aljazera ya bingo mnakimbiza yani BBC dw nw.days wanazidi poteza followers

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 14 วันที่ผ่านมา

    Hongereni kwa Habari na uchambuzi mzuri

  • @maneibaztv5943
    @maneibaztv5943 หลายเดือนก่อน +2

    Watching live from Russia

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p หลายเดือนก่อน +2

    Kwa kila hatua Mungu awe pamoja na majeshi ya Urusi ya kamanda wa ulimwengu Rais Vladimir Putin, kwa neema ya Mungu wajaliwe kufikia malengo yao kwa wakati.

  • @abcelectricalsolutions7000
    @abcelectricalsolutions7000 หลายเดือนก่อน +2

    Sns mko vema sana, mnatujuza habari updates

  • @Beauthom
    @Beauthom หลายเดือนก่อน +2

    Kama unamkubali Dj sma na ally masubi weka like hapa

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 หลายเดือนก่อน +2

    Shoutout to SnS,,Dj.Smaa & Ally Masoud for wonderful Analysis 🔥🔥🔥🔥

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 หลายเดือนก่อน +12

    Hali nimbaya sana hata BBC imekiri hilo

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 หลายเดือนก่อน +2

      BBC siku hizi wamekuwa hadi wa pole

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx หลายเดือนก่อน

      BBC ni propaganda za Marekani,hakuna hata ck 1utakuta anawakosoa wa maharibi

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx หลายเดือนก่อน +1

      BBC na Ujerumani sy Redio zakusikiliza nizwamarelani zakupotosha ukli kumlinda marekani

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g หลายเดือนก่อน

      ​@@emmanuelmlowe-ew7gxna wao sasa hivi wameanza kukubali muziki wa putini

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g หลายเดือนก่อน

      ​@@sonnyr1899inabidi na wao wakubali tu sasa wataandika nini ilihali vyombo vyote duniani wanongea lugha moja ni urrusi tu

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc หลายเดือนก่อน +1

    Eeeeh hiii urusi tuko pamoja na Putin jamn like zangu 🔥🔥🔥

  • @streetsecho
    @streetsecho หลายเดือนก่อน

    Ali Masubi ana information sana ila communication skills zake ziko chini... anaweza aka improve !
    SNS Respect 💯👊🏾

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani mimi nipo bankoko nawapata vizuri sana ndugu zangu more love u guys

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke หลายเดือนก่อน +1

      Ndio wap uko ndgu

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน

      Ndo wap huko kaka??

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 หลายเดือนก่อน +1

    KAZI nzuri

  • @omarisombi9284
    @omarisombi9284 หลายเดือนก่อน

    Ahsanteni sana wachambuzi wetu kwa kazi nzuri ya kutulisha habari za uhakika na muhimu kwa maisha yetu

  • @MiramboMarieJeanne-xz6ys
    @MiramboMarieJeanne-xz6ys หลายเดือนก่อน +3

    Ok'mimi nakota'drc manyema asate kwa urusi

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 หลายเดือนก่อน +2

    Team mrusi tujuane👇👇👇👇

  • @rashadmohamed8341
    @rashadmohamed8341 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri brother

  • @user-fs6iq2my9k
    @user-fs6iq2my9k หลายเดือนก่อน

    Hongera urusi kwa kumshikisha ajabu mshirika mamuluki wa nchichi za magharibi

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 หลายเดือนก่อน +3

    Urussi ni jeshi kali zaidi Duniani. Zerenski asipo kaa meza moja na Urusi wamalize uhasama wao. Ukraine inapotea kabisa ktk ramani ya dunia.

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 หลายเดือนก่อน

      Ningumu kukameza moja vita haipigani Europa

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 หลายเดือนก่อน +1

    Asnt sana kwatarifa nzr,,
    Warus weusi tunatembea kifua mbele Mungu amjalie afya njema Putin

  • @johnthesimba4764
    @johnthesimba4764 หลายเดือนก่อน +3

    Huku dj smaa 255 kule aly masubi..kama ni wali basi huu ni mseto uliokamilika

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน +1

    Haya Ally anayo yaongea anageongea sma watu wa taarabu wangeanza ooooh anaegemea sijui nin na nn, ukwel hauwezi fichwa hata siku moja, sma huwa anaongea yale yanayo fichwa jmn sio kwamba anaegemea

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 หลายเดือนก่อน +3

    Sauti

  • @nomoboy152
    @nomoboy152 หลายเดือนก่อน +1

    SNS kitu mnafanya ni kizuri ila Kuna namna Ali anatakiwa kukaa kimya au kusubiri mwenzake amalize kuchangia ndio aongee, obvious anajua but the problem anaingilia time ya mwenzie... Sio Kwa ubaya but itaboresha hii midaharo

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 หลายเดือนก่อน

    Mpo vizuri

  • @ramadhandivele9019
    @ramadhandivele9019 หลายเดือนก่อน

    Asanteni Kwa habari tupo pamoja

  • @NuhuHamisi
    @NuhuHamisi หลายเดือนก่อน

    Oya wazee nakubali sana kazi zenu

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART หลายเดือนก่อน

    I won't stop listening sns, I really like it

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART หลายเดือนก่อน +1

    Licha ya vita vyote hivi anavopigana mrusi hatusikii kuuwa raia wasiokua na hatia ana deal na wanajeshi tu ila Zaonist Israel kule anua watoto na wanawake bila kujali mungu awalaani Israel na ampe nguvu Russia ashinde vita hivi

  • @user-il7hv7qr7c
    @user-il7hv7qr7c หลายเดือนก่อน +3

    Waaaa

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 หลายเดือนก่อน

    Mim nilisema tokea tunaanza SnS ni social media kumbwa sn kwa update kiukweli naipenda nimeachana na bbc na DW na cnn pia nikamua nibaki SNS.thaks u Sky

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 หลายเดือนก่อน +2

    Pia mimi niko Ukraine nawapata vizur sana Sns

    • @danielmbaga4596
      @danielmbaga4596 หลายเดือนก่อน

      Uko Ukirein!!!!!!!!!k kama ndivyo una roho ya Nyau😂

    • @golebenson4597
      @golebenson4597 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @kolokokoloko9276
    @kolokokoloko9276 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Sns

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q หลายเดือนก่อน +1

    Walijichanganya kuushambulia Boligolod eneo la urusi yanayotokea Karkive

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 หลายเดือนก่อน +3

    Sauti gani mnayo isema mbona inasikika vizuri tu.

  • @MedardMushobozi
    @MedardMushobozi หลายเดือนก่อน +1

    Jameni pelekeni watoto shule,Hawa wachambuzi wanatupa Raha sanaaa Urusi idumuuu.Putin For Victori

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 หลายเดือนก่อน

    Sns hamna mpinzani ✌️

  • @dominic4727
    @dominic4727 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @godwinmandary5116
    @godwinmandary5116 หลายเดือนก่อน +1

    Good

  • @soudyhassan1511
    @soudyhassan1511 หลายเดือนก่อน +2

    Duh

  • @user-pl7rr6oe4z
    @user-pl7rr6oe4z หลายเดือนก่อน

    Safi.sana

  • @lukulomansour3087
    @lukulomansour3087 หลายเดือนก่อน

    Naam wachambuzi wetu ahsanteni sio tu uchambuzi Bali Ni somo maalum tumefaidika mno!

  • @rashadally6871
    @rashadally6871 หลายเดือนก่อน +1

    Lazima waseme mwaka huu watakaa mezani...

  • @HusseinMohamad-pl2cf
    @HusseinMohamad-pl2cf หลายเดือนก่อน +2

    Mi niko NANDIMBA nawapata vizuri 😂😂😂😂

  • @user-oz3zu1qm9z
    @user-oz3zu1qm9z หลายเดือนก่อน

    asandeni sana

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 หลายเดือนก่อน

    The change has come

  • @martinndunguru7103
    @martinndunguru7103 หลายเดือนก่อน

    Fire

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 หลายเดือนก่อน

    Kwangu mimi siku haiishi bila kupitia sns kumsikiliza dj smaa na all masudi ..wachambuzi waongezee hela kidogo waendelew kuwa na molarity yakuendelea kufuatilia maarifa na taarifa nyingi ..pia wape kbisa ajila official wawe sns kama watangazaaji wa media zingine kubwa kama redio and TV

  • @abdallahkhalfan3966
    @abdallahkhalfan3966 หลายเดือนก่อน +3

    Sauti imepotelea wapi

  • @ezekiakiwovele7794
    @ezekiakiwovele7794 หลายเดือนก่อน +2

    Sauti hamna

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน +1

    👍👊✌️.

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa2137 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa ww unafikiria kama Ukraine ataishambulia Moscow sio ndio itamalizwa Ukraine

  • @mutorojackson8847
    @mutorojackson8847 หลายเดือนก่อน

  • @ShabanKarim-tv3vn
    @ShabanKarim-tv3vn หลายเดือนก่อน

    Leo mmeongea pwenti nakucambuwa vizuri naweredi mwingi❤

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 หลายเดือนก่อน +1

    Wapige tu hao mashoga mpaka wakimbie nchi yote iwe urusi tu

  • @lameckraphael3743
    @lameckraphael3743 หลายเดือนก่อน

    Ali unaongea sana muachie pia Dj asma nae aongee

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo หลายเดือนก่อน +1

    Nyie wachambuzi si mpewe kazi ya kufundisha jeshin?

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk หลายเดือนก่อน +4

    HAHAHAHAAAAA😂 .NA HAO WALIOUWAWA 1,400 MDA WA MASAA 24 TU MBONA BBC HAWASEMI😂. DAH YAANI RAHASANA HAWA JAMAA WALIOTUULIA GADAFIWETU NA SADAMU BILAKOSA DADEK HAYO NDIO MALIPO SASA. kama asemavyo ALLAH. hazidishiwi dhwaalimu isipokua ni hasaratu😂

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz หลายเดือนก่อน +1

    Acha uruss iwatandike hao wapuuzi na waisoma uraaaaaaa

  • @user-cf6qo9rs4f
    @user-cf6qo9rs4f หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤ dj smaa❤❤

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE หลายเดือนก่อน

    Nipo hapa na sky, dj sm, ally masubi.

  • @user-sy6oh2ft6r
    @user-sy6oh2ft6r หลายเดือนก่อน

    Putin anafanya kazi zuri ila awe makini kwa usalama wake Marekani na ukata wapo kazini usk na mchana

  • @user-ue7re5rx5k
    @user-ue7re5rx5k หลายเดือนก่อน +1

    Uuuu Raaaaaa rasia ni super power jamani tunawafuta sana snaa tukiwa burundi

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 หลายเดือนก่อน

    Vita hii ni kwamba Ukraine kaisha shindwa,ila anashindwa kusalim amri coz itakua ni kama NATO wameshindwa vita!Hilo lipo wazi

  • @emanuelmasua7830
    @emanuelmasua7830 หลายเดือนก่อน

    😊

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o หลายเดือนก่อน +1

    Nato kazi yao kutengeneza ugaidi ili kuihadaa dunia wazidi kuendeleza ushetani wao ngoja wakione chamoto

  • @devisjoseph5787
    @devisjoseph5787 หลายเดือนก่อน

    Naomba kujua, vipi kama Urusi ikashinda vita na kuichukua Ukraine yote, je Urusi waichukua nchi nzima na kupanua mipaka ya nchi hiyo kwa eneo la Ukeaine?

  • @vumiliamgingu1579
    @vumiliamgingu1579 หลายเดือนก่อน +4

    Piga hao

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j หลายเดือนก่อน

    Muunganiko wa ❤ djsma na ❤ Ally napata ratha kipekee hata wizara yetu ulinzi iwangize kwenye kuwa washauli sky hongera kwa kutuletea vitu adimu channel haina umbea na watu unao ongeza ubunifu zaidi❤❤❤❤❤

  • @ahmedhemed
    @ahmedhemed 7 วันที่ผ่านมา

    Mrusi kashajiandaa kutumia s500 kwa ajili ya f _16 naf22na 35

  • @user-oz3zu1qm9z
    @user-oz3zu1qm9z หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 หลายเดือนก่อน

    Mm nko Tel-Aviv ingawa nawapata kwa shida lkn tuko pa1

  • @Kituramohamed9698
    @Kituramohamed9698 หลายเดือนก่อน +1

    Wapigwe hao mashoga mpaka warudi kwenye mstari

  • @asclassic504
    @asclassic504 หลายเดือนก่อน +1

    First

  • @dominic4727
    @dominic4727 หลายเดือนก่อน

    Mimi toka kologwe tanga mwana chama numba1 wa #sns

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 หลายเดือนก่อน

    Nimependa hapo kwenye kudisable GPS system za silaa za adui.

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 หลายเดือนก่อน

    Uraaaaaa

  • @DaudiWimbura
    @DaudiWimbura หลายเดือนก่อน

    Yaani mpaka waseeeemeee

  • @SaidKawela-qy5wv
    @SaidKawela-qy5wv หลายเดือนก่อน +1

    Mimi bado nasoma ahlalbadr

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q หลายเดือนก่อน +1

    Nipo Ukraine nawapata vizuri 😢😢😢

    • @KhamisOmar-kt4kz
      @KhamisOmar-kt4kz หลายเดือนก่อน

      Ww si uko.kenya😂😂😂

  • @erickhaule5591
    @erickhaule5591 27 วันที่ผ่านมา

    Back sound muhimj

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 หลายเดือนก่อน

    Na wanasema hizo f16 zina technology mpya sana kwa zitawasumbua sana waukrine kuziendesha

  • @malickabbas8271
    @malickabbas8271 หลายเดือนก่อน

    Ukraine walishashindwa zaman saana sasa ivi urusi anapigana na nato na marekani

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน

    Baba Tours aka Zerozenky naku zoom kwa mbali...