Zaporizhzhia ikilipuka NATO wanaingia Ukraine - DJ Sma anaelezea kwa kina (5)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2023
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

ความคิดเห็น • 301

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 11 หลายเดือนก่อน +10

    DJ SMA NO1 NAKUPENDASANA toka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 wanau rusi gongeni👊👊👊 nawapenda san kwasababu tupoupande wahaaki.namtetezi niputin❤❤❤❤❤❤

  • @ramad3086
    @ramad3086 11 หลายเดือนก่อน +10

    Ww jama nakukubali mm nafatilia vita kila siku kwel unachambua vizur sana🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪💪💪💪🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @arunamasanja3783
    @arunamasanja3783 11 หลายเดือนก่อน +4

    South African 🇿🇦🇿🇦

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 11 หลายเดือนก่อน +7

    Yaan elimu unayotoa hata darasani huwezi kuipata#hii ni elimu ya intelligence ya hali ya juu unayoitoa lkn kwa wale wanaoelewa tu#naskiliza unyama huu kutoka nchini esrael❤❤❤respect sana Dj Smaaa

  • @chancepascalkifula3970
    @chancepascalkifula3970 11 หลายเดือนก่อน +4

    Nimechelewa Leo nipeni like zangu kutoka congo

  • @mohamedrajab6652
    @mohamedrajab6652 11 หลายเดือนก่อน +2

    Upo vizuri kaka kwa uchambuzi.💪💪💪ushindi lazima kwa Urusi

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 11 หลายเดือนก่อน +3

    Brother, una uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo. Nakupata kutoka Sumbawanga. Hongera sana and don't stop always keep it up.

  • @ericksaid5327
    @ericksaid5327 2 หลายเดือนก่อน

    Bro nakuaminia sana juu mambo yako ni kweli kabisa big from Mombasa kenya

  • @jimmyselejimmysele2821
    @jimmyselejimmysele2821 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hatarini

  • @maikojohny345
    @maikojohny345 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kk Mungu akubariki 🎉, nafurahi sana uchambuzi wako

  • @mikokotv
    @mikokotv 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka ile link ya kuchangia mbona hamna!? Pia jitahidi mchango uwe kwa kipindi husika na sio Kwa channel

  • @bakarmsangi963
    @bakarmsangi963 11 หลายเดือนก่อน +5

    Bg up kwa Putin namkubali sana

  • @benhorta5121
    @benhorta5121 11 หลายเดือนก่อน +1

    Unatoa fact's ilo ndio la msingi. Hongera kwa research sio kazi ndogo

  • @slimshadjr
    @slimshadjr 11 หลายเดือนก่อน +5

    Sns unajiharibia page yako kuweka wachambuzi wapuuzi

    • @Halfanhemedi-ec2cp
      @Halfanhemedi-ec2cp 11 หลายเดือนก่อน +1

      mwana marekani ujashauriwa usikilize

  • @blackjack3356
    @blackjack3356 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupata vizuri kitoka Lusaka Zambia

  • @MursalMursal-op3ly
    @MursalMursal-op3ly 11 หลายเดือนก่อน +1

    Unyamaa sna dj endelea bila kuchoka kutujuza kinacho endelea kila hatua maana wengi wetu hatujui chchte nakupa maua yako mzeee umetisha 🎉🎉🎉🎉

  • @abdulikimangaboy8265
    @abdulikimangaboy8265 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ktk znz dj sma ss marecani anamaslahi gn mpk anafny jot ay

  • @rabomunde3550
    @rabomunde3550 11 หลายเดือนก่อน

    Shukran sana ndugu
    Upo vizuri

  • @mkongwekarim3036
    @mkongwekarim3036 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali Sana dj sm

  • @erickselei3426
    @erickselei3426 11 หลายเดือนก่อน +1

    Since day 1 tuko pamoja dj smaa, nakubali Sana ii class

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dj sma Mr facts tunapena hizi vitu sana

  • @iddyramadhan1577
    @iddyramadhan1577 11 หลายเดือนก่อน +1

    From Cairo Egypt. Uko vizuri

  • @saidymwajeka8612
    @saidymwajeka8612 11 หลายเดือนก่อน +1

    Much respect mr am from tz

  • @dissymoussa7973
    @dissymoussa7973 11 หลายเดือนก่อน +1

    Thank you DJSmart 55 sisi tupo burundi 🇧🇮

  • @katyamoses2754
    @katyamoses2754 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe 🔥🔥🔥🙏 Mungu akubariki

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonly 11 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dj sma🔥🔥👍

  • @user-mw3kg9hj4f
    @user-mw3kg9hj4f วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤

  • @hamisakida7971
    @hamisakida7971 11 หลายเดือนก่อน +2

    Wa kwanza Mimi leo

  • @robertsongola6034
    @robertsongola6034 11 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 11 หลายเดือนก่อน +3

    DJ Sma tupo pamoja nakukubari kutuelewesha Dunia inavyo enda

  • @davidomar-un4op
    @davidomar-un4op 11 หลายเดือนก่อน +2

    From 🇲🇿🇲🇿🇲🇿♥️♥️♥️

  • @JamesIbrahim-el4zw
    @JamesIbrahim-el4zw 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nasikiliza kutoka tarime,rafk,katika maono yangu juu ya hii vita,ni kumuinua mpinga kirsto na kua na dini Moja,serekali Moja na pesa Moja,ili wamkabizi mpinga kristo utawala wa Dunia,

  • @ismailfaki4834
    @ismailfaki4834 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ila brother unatisha upewe maua yako❤🎉

  • @amadecassamo1606
    @amadecassamo1606 11 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vzr dj sma255

  • @ahmadilumbi6279
    @ahmadilumbi6279 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuelewa dj kwa habari za uhakika nakupata nikiwa Boston

  • @fredrickfilbert3922
    @fredrickfilbert3922 11 หลายเดือนก่อน +2

    Akili kubwa sana, natamani nikuulize kuhusu dude la Bandari za Bongo au basi

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 11 หลายเดือนก่อน +10

    Much respect much blessed Dj Smaaa#❤SnS….

    • @russia1253
      @russia1253 11 หลายเดือนก่อน

      🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🫶🇹🇿🇹🇿

  • @karimurashidi3095
    @karimurashidi3095 11 หลายเดือนก่อน +3

    Chawa wako pro max hapa nakupata nikiwa mtwara yani sijui nikupe cheo gan yan katka watu nawakubali ukimtoa putin ni ww dj smart

  • @user-wl2ho4gp9k
    @user-wl2ho4gp9k 4 วันที่ผ่านมา

    17:29 ❤akuna malefu yasio na n'cha

  • @yasinsanga9062
    @yasinsanga9062 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa kutupa taarifa nzuri

  • @sadikkazimoto7466
    @sadikkazimoto7466 11 หลายเดือนก่อน +3

    Uyu jamaa ni muongo hajui kitu kuusu hiyo vita

  • @user-gx9rf2ro1r
    @user-gx9rf2ro1r 11 หลายเดือนก่อน +1

    nice yuo🇹🇿

  • @sabitintaganda9115
    @sabitintaganda9115 11 หลายเดือนก่อน

    God job

  • @GASPARYRENARD-dx9dk
    @GASPARYRENARD-dx9dk หลายเดือนก่อน

    Nimekukubali mwamba mi ni Gaspar wa karagwe Kagera pamoja sana

  • @Aysha_ally
    @Aysha_ally 11 หลายเดือนก่อน +1

    💪💪💪💪safi

  • @mrdaslam301
    @mrdaslam301 11 หลายเดือนก่อน +2

    DJ sma naomba ile story ile ya 2015 Russia walivyopigana na IS Syria na uturuki waka tungua ndege ya mrusi

  • @djumadjumbe6907
    @djumadjumbe6907 11 หลายเดือนก่อน +1

    Pamoja sana kutoka congo

  • @bigvempire7801
    @bigvempire7801 11 หลายเดือนก่อน +1

    Una zungumza vitu visivyo eleweka. Yani ww ndo sifuri kabisa. Unajifanya unajuwa kimombo sana. Sema kiswahili bana 🇨🇩🇨🇩

  • @RamadhaniRajabu-rs2yd
    @RamadhaniRajabu-rs2yd 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyez mungu amewaalaan wale ambao wanadhulumu uhai wa mtu mpaka siku ya kiama mimi siungi mkon kabisa wala sitak ushabiki kama umeshawahai ona vita huwez kuwa shabiki hakuna sehem watu ni immortals ni nafsi za vijana wadogo wanateketea kwa tamaa za upumbavu wa kukumbatia dunia ambayo wataiacha

  • @harounkiyungi7288
    @harounkiyungi7288 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka mi naona the only option waliyobaki nayo NATO ni kuingia mitini na kuamua kujubaliana na matakwa ya Urusi tu kwani NaTo hawawezi kuanzisha direct war with Russia kwani hiyo itakuwa vita 3 ambayo itawamaliza vibaya

  • @selemalaue7739
    @selemalaue7739 11 หลายเดือนก่อน +3

    Much respect much blessed 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-ly1sx9vg1q
    @user-ly1sx9vg1q 10 หลายเดือนก่อน

    👍👍

  • @gracenizigama695
    @gracenizigama695 11 หลายเดือนก่อน +1

    Been a while

  • @mussachichajr
    @mussachichajr 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kusema kwamba Urusi hawezi kushindwa hii vita nikujidanganya cz alisema anaweza kuichukua Kiev siku tatu ikashindikana. Akaja na mkakati wa kunyakua majimbo ya kerysone, Zaporozhye na eneo la Donbas ( Doniesky na Lugansk) na ukiangalia ukiacha doniesk ndio analidhibiti lote haya yaliyobakia anadhibiti % fulani tu. Lakin ukiangalia kiuhalisia hata ichukue miaka mitano urusi hawezi kushinda hii vita kwa facts zifuatazo.
    Urusi uchumi wake una shrink kutokana na vikwazo.
    Warusi wengi hawaungi mkono vita bali ni matakwa ya mtu mmoja.
    Jeshi la urusi linaonekana ni dhaifu cz kama mamluki wa Wagner elfu 25 walikuwa wamrshachukua miji kama Rostov katika kipindi cha uasi (mutiny) wa yevgen prygozhiny na barabara za madaraja yaliyokuwa yanaelekea Moscow yalivunjwa kuwazuwia Wagner elfu 25 vipi NATO wakiingia na jeshi la watu laki 5 au 6.
    Nchi marafiki wa urusi wanaogopa kumsaidia kukwepa vikwazo.
    Tactical za kivita Russia hana weledi ndio maana anashambulia ovyo maeneo ya kiraia kujenga hofu.
    Urusi anategemea sana vipuri vya zana za kivita kutoka nje na ndio maana sasa ana modify dhana zake za enzi ya Soviet vilivyokuwa havitumiki kutokana na vikwazo.
    Yaani zipo sababu nyingi sana Russia kupoteza hii vita, kitu ambacho Urusi anaringia ni silaha za nuclear lakin sio yy peke yake anamiliki silaha hizo. Itoshe kusema hii vita ni ngumu kwa sisi ambao tunaifuatalia ila ni rahisi kwa hawa wanaomuunga mkono Dj Sima😂😂😂😂

  • @Zirobrain
    @Zirobrain 11 หลายเดือนก่อน +1

    Uliongelea part 3 Sio 4

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 11 หลายเดือนก่อน +2

    Wacha nato na mmarekani waingie halaf north korea amsaidie mrusi

  • @sadikathumani1003
    @sadikathumani1003 11 หลายเดือนก่อน

    nakubali sana mwangu dj sma tupe vitu tunakuamini sana

  • @alimussa5935
    @alimussa5935 11 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu mchambuzi ana wabuluza mazwazwa kwasababu hamjui chochote kinachoendelea duniani ndio mnakubali ujinga wake

    • @ismailmkame4205
      @ismailmkame4205 11 หลายเดือนก่อน

      Usifanye watu ni mazombie kaka wacha Urusi ichapwe na Ukraine iwe funzo kwa Putin

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er 11 หลายเดือนก่อน

      Huyu jamaa si mchambuzi na hajui lolote yupo hapa na blaa blaa yake hana anachokijua ispokuwa ni mshabik tu ya Ukraine tu

  • @maslaseif8186
    @maslaseif8186 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli we mjinga sana. Eti tusiamini tunao hambia na wengine ila unataka tuamini uchambuzi wako

    • @bonita329
      @bonita329 11 หลายเดือนก่อน

      muongo huyu sijui kabila gani manake anakisabengo kama ..anatuletea uchambuzi wa fikira za watu wanavyofikiria wao kama wao halafu anataka kuwaaminisha watanzania kuwa ndio ukweli ndio huo duh 😅😅😅nimecheka sana

    • @maslaseif8186
      @maslaseif8186 11 หลายเดือนก่อน +1

      Muongo sana anajifanya mjuaji na japo hajui chochote

    • @owenmutale8686
      @owenmutale8686 11 หลายเดือนก่อน

      Tupe taarifa unaejua kuhusu mashoga wenzio mana yye hajui km unavyo jua wewe

  • @user-kn7fz5ed6z
    @user-kn7fz5ed6z 9 วันที่ผ่านมา

    Mozambique

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 11 หลายเดือนก่อน

    Daah hatari sana

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 11 หลายเดือนก่อน +1

    Naskiliza toka mbeya

  • @gracenizigama695
    @gracenizigama695 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huu niutabiri wa mda mrefu, kikubwa tusali sana

  • @jeorgencole5959
    @jeorgencole5959 11 หลายเดือนก่อน +3

    Msiwe mnashukuru muwe mnampa ata ela ya maji mnapewa madini lakin mnabaki kushukuru 2 wabongo bhana mnaboa kama baba levo dogo dj sma toa namba 2kupe za maji maan unatoa madini

    • @djsma255
      @djsma255 11 หลายเดือนก่อน +1

      🙏

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 11 หลายเดือนก่อน +2

    HAWA NDIO WALEEE. WALIOMUUWA SADAMU NA GADAFI NA WAKAZICHAKAZA NCHIHIZO NA WANANCHI NANCHIHIZO SASA NI MASKIMI,NATO HAWA NINAMMARECANIWAO NI WASHENZIMNO. MIMI NAFURAHI ANAVYOWANYOOSJA PUTIN. SILAHA ZA PUTIN HAZINA UBAGUZI. KAMA ZA WAMAGHARIBI ZINAZOWACHAKAZA TU WAISLAMU WAHINDI WA AFRICA NA WARABU.

  • @zagadat1129
    @zagadat1129 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nakufwatilia sana na unq fact but the way una present lazima utapata kupingwa na mtu ambaye hafwatilii huvi vita toka mwanzo au hafwatilii kwenye media zaidi ya moja maana una onyesha side kabisa uko upande gani.... So change that mode of presenting...

  • @benmcdream2268
    @benmcdream2268 11 หลายเดือนก่อน +1

    We jamaa unajua, heshima kwako

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli ukiona marekani wanataka uzichapa wameshaona ushindi. Kwaiyo Russia ajipange asije kuwa kila. Siku yeye kibonde cha marekani

  • @jumakibwana1810
    @jumakibwana1810 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huwa nafatilia sana na mimi kama mwana fuse napenda unacho kifanya bro

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 11 หลายเดือนก่อน +1

    Bro hii haitakwepeka maana hiki ndo kiwanda na mitambi mikubwa sana pale barani Ulaya

  • @niyongendakosamuel858
    @niyongendakosamuel858 11 หลายเดือนก่อน +2

    SA🇿🇦

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 11 หลายเดือนก่อน +2

    sasa kwa sisi tunaoishi karibu na Russia itabidi tuanze kupaki mizigo yetu turudishe mpira kwa kipa🇹🇿🤔

  • @sayshabani6350
    @sayshabani6350 11 หลายเดือนก่อน +1

    Viva putin
    Pretoria moja

  • @eddymwalagho354
    @eddymwalagho354 11 หลายเดือนก่อน

    Uchambuzi huu ni mzuri 🇰🇪

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 11 หลายเดือนก่อน

    Salute nakuskiliza kutokea kwa zulu natal za

  • @omarybakary1234
    @omarybakary1234 11 หลายเดือนก่อน +1

    🇿🇦

  • @bisharsaid8640
    @bisharsaid8640 11 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @shau78
    @shau78 11 หลายเดือนก่อน +3

    Ukraine kushinda au kushindwa vita sio jambo la msingi. jambo la kwanza la msingi ni Ukraine kulinda nchi yako. bila kujali matokeo. na hakuna chochote Ukraine watakachofanya wasifiwe na watu wa Putin. wakijitutumua kulinda nchi yao mnasema o wanashindwa. Zelensky angeweka silaha chini awaruhusu Urussi wafanye wanavyotaka mngesema ni muoga kama mwanamke. mimi nasema kama Ukraine wakishindwa acha washindwe wakiwa wanapigana. wewe Sma sijawahi kukusikia ukisema chochote kibaya cha Urussi. kila anachofanya Putin kwako ni sawa. analysis yako haiko balanced kabisa. tusisahau kabisa kwamba warussi milioni 25 walikufa wakati wa WW2. na bado hawakukubali kuweka silaha chini. acheni Ukraine wayeyushwe waishe. ni bora kuliko kukubali kuSURRENDER. Mbona wewe Sma babu zako hawakumuacha Iddi Amin apitilize mpaka Dar? aliekusikiliza tangu mwanzoni anajiuliza inakuwaje mpaka leo vita haijaisha. endelea na project yako.

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 11 หลายเดือนก่อน

    Safi sana unajua.. Unaongea ukweli ..Uishi miaka kichele....

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tuko rada kaka

  • @EliaChisunga-ip2sq
    @EliaChisunga-ip2sq 11 หลายเดือนก่อน +2

    Unamawazo mafupi mtu yuko kwenye mapambano unasema ameshwinda mtu bado mnagombana unsema umempiga

  • @hajimaruzuku6583
    @hajimaruzuku6583 11 หลายเดือนก่อน

    Vizur xn mchambuz

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 11 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe nae unatuletea story ndefuuu nenda kwenye Points Urusi yenyewe ilisema itaitandika Ukraini kwa muda mfupi leo tunaenda mwaka wa pili sasa

    • @abdulomari4932
      @abdulomari4932 11 หลายเดือนก่อน

      Lengo la urusi nikuwachosha NATO,naujue hapigani ukren

    • @maslaseif8186
      @maslaseif8186 11 หลายเดือนก่อน

      @@abdulomari4932 yeye hachoki?

    • @kemokemoriho227
      @kemokemoriho227 11 หลายเดือนก่อน +1

      urusi hapigani ukreini inapigana namarekani uwanja wavita ukrein mbona urusi yupo pekee yake anachangiwa namataifa 50 goja waingie vita itanuke tupate ajila jeshini tuwagowe nato mbona marekani kakimbia afgani stani

  • @allymohamed2630
    @allymohamed2630 9 หลายเดือนก่อน

    Naskiliza jutokea mwanza
    Nimekua nikikufatilia kwa muda mrefu na unanipa elimu ya bure.kabisa asante sana 🙏

  • @salvatorymheziwa1053
    @salvatorymheziwa1053 11 หลายเดือนก่อน +1

    Usipomwelewa huyu basi akil ni ngumu

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kk ww endelea kutupa vidonge na maji huku Mganza, Geita tunakufuatilia sana

  • @mussamtopelwa8625
    @mussamtopelwa8625 11 หลายเดือนก่อน +1

    Safi tunapenda uchambuzi wako uposawa na wachambuzi wakubwa duniani endereea .

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc 11 หลายเดือนก่อน +2

    God Bless American & NATO

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 11 หลายเดือนก่อน

      Masheitwan wa dunia amerika na nato😄

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 11 หลายเดือนก่อน +1

    I've never experienced a world war and I won't wish at all.

  • @KelvinElisha
    @KelvinElisha 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dj smaa tupo pamojaaa napenda kuuliza swali endapo marekani ataingilia vita matumiz ya nuclear si walizuia toka watumie japani

  • @Naujila-nv1cy
    @Naujila-nv1cy 11 หลายเดือนก่อน +1

    e nakuelewa mwamba

  • @user-pw2tv1qg8r
    @user-pw2tv1qg8r 11 หลายเดือนก่อน

    Nakuelewa mbaba mwaisa hapa Lusaka Zambia

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 11 หลายเดือนก่อน +1

    Urusi haiwezi kujilipua wenyewe ila Nato na marekani wanaweza kulipua kama walivyo lipua Bwawa ,pipeline nk

  • @SogadariWafunuwaji-nl8wx
    @SogadariWafunuwaji-nl8wx 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nakufatiliya kutok southa africa

  • @Mutubure
    @Mutubure 11 หลายเดือนก่อน

    🇺🇸

  • @JamesIbrahim-el4zw
    @JamesIbrahim-el4zw 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ukiwaona viongozi wa NATO ,nikama akili zao hazipo vizuri,Kwa sasa,maana vita inawashinda wanataka afrika tuwe mashoga,ushoga unafanywa na wafuasi wa shetani,maana ndowenye tamaa ya pesa,sisi hapa musoma tumezoea muhogo, tata,lazima vita ya tatu itokee,natoa hawatakubali kushidwa,mrusi nae hatakubali,vita ni vitamira ,yesu anakuja tunashanga urusi,mungu atusaindie

  • @digonzakeimbe8435
    @digonzakeimbe8435 11 หลายเดือนก่อน

    Nyie Marekan Saidien Wananchi Wenu Kwanza..

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน

    Ndo hali halisi

  • @ismailmkame4205
    @ismailmkame4205 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mwaka mzima Urusi imeshindwa wacha kufanya watu maziwa lala kaka hii digital era utadanganya nani? Wajinga waliisha😅😅😅😅

    • @ramamrutu4914
      @ramamrutu4914 11 หลายเดือนก่อน +1

      Yan acha tu kaka mmmh kuhusu hiyo vita huyu jamaa yuko bongo 😂 alf hayupo kwenye taasisi yoyote kubwa ambayo ipo front kwenye vita sasa analeta polojo yan 😢

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er 11 หลายเดือนก่อน

      Urusi hapigani na nchi 1, kwa hivyo sio ajabu hata kuchukuwa miaka 3 seuze,1