LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 มี.ค. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 99

  • @BernardMango-wr4hb
    @BernardMango-wr4hb 13 วันที่ผ่านมา

    Asante kaka joel Umenitibuleo kaka

  • @JamesKaminde-ig1xr
    @JamesKaminde-ig1xr 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @frankjoshua6869
    @frankjoshua6869 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akubariki sana, kwa maana unatusaidia vijana wengi sana kwa masomo yako japo hatujitokezi na kushukuru, binafsi umenisaidia sana katika swala la kujiali, kitabu chako cha Timiza malengo yako kimenisaidia sana nakumbuka mwaka 2017 nilikua natamani kufanya kitu changu mwenyewe lakini nilikua nimenasa kwenye office za watu na nilikua sielewi natokaje, baada tu yakusoma Timiza malengo yako hakika nilipata ujasili na atimaye mwak 2019 nikaanza kujitegemea na kufanya kazi yangu mwenyewe aiseee Mungu akutunze sana kaka yangu.

  • @user-oq4fv5ed7u
    @user-oq4fv5ed7u หลายเดือนก่อน

    Barikiwa mtumishi

  • @user-ts4jr7ok1e
    @user-ts4jr7ok1e 10 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤ umenitoa mbali sana Mungu akubariki

  • @meggy5268
    @meggy5268 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu anisaidie nipone na nitoke kwenye mambo ya hofu na nijipe mouo

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka ubarikiwe sana wewe ni life kocha wangu kila siku unanimotivate kusonga mbele

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amen, Mwalimu Dr Joel nanauka ubarikiwe sana nakufuatilia upo vizuri sn

  • @user-fx5gu6xs5o
    @user-fx5gu6xs5o 9 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka kwakweli umekua mwalim mzuli na umekua sehem yabalaka kwawengi masomo yako yamesaidia wengi balikiwa sana kaka

  • @sharifasuleiman8297
    @sharifasuleiman8297 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ni daktar tosha mungu akubariki🙏

  • @JudithNakajumo
    @JudithNakajumo ปีที่แล้ว +2

    Kaka mungu akubariki Sana...kuna mengi nimefanya Kwa mafunzo yako na nimekaa sawa sasa kaka

  • @kelvinarnold
    @kelvinarnold ปีที่แล้ว +2

    🎉ni kwel kuishi kwa kuhofia watu ni hatari sana kwenye maisha ya kila cku,barkiwa sana mtumishi

  • @yahyasirlim4928
    @yahyasirlim4928 ปีที่แล้ว +2

    sijutiiii mbs zangu zikiisha kwa kujifunza kwa kutizama video zako life coach

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana kaka,nimejifunza mengi na naendelea kujifunza Mwenyezi Mungu azid kukubariki

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 ปีที่แล้ว +1

    Petro alizama kwasababu ya hofu Asante kwa ujumbe mzuri siku haipiti bila kusikia ujumbe wako

  • @janeflorencesajjabi1545
    @janeflorencesajjabi1545 ปีที่แล้ว +1

    BARIKIWA Joel, MUNGU Akulinde na Kukutunza uzidi kutuelimisha.

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 ปีที่แล้ว +3

    Hofu ni kikwazo katika kuanza jambo nisahihi kabisa mungu nitie ujasili kwajuhudi ninazozifanya kuondondokana na tatizo hili naweza🇹🇿🙏.

  • @user-su8po8yr4m
    @user-su8po8yr4m 2 หลายเดือนก่อน

    Hongela Sana kaka Make nine elewa vitu vingi kwako na nimejitambua palefu sana hatali

  • @kikometecnology9963
    @kikometecnology9963 6 หลายเดือนก่อน

    Mungubazidi kukutumia zaid juu ya watu wake mungu akulinde sana kaka wengi bado tunakuitaji

  • @mussalrugegwa6147
    @mussalrugegwa6147 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana kaka yangu kwa kuniokoa maan na hofu ya kuanza upya kwasababu nimejiestablish kwenye eneo moja mda mrefu

  • @dulesame1193
    @dulesame1193 ปีที่แล้ว +1

    Kwa sasa naishi kwenye furaha baada ya Kujua kusudi langu hapa duniani ahsante sana na nabii *+ Joel nanauka

  • @chrissmalloy9
    @chrissmalloy9 ปีที่แล้ว +2

    Kabisaa kaka unaongea vitu muhimu sana kwenye maisha

  • @zuberymasalu1452
    @zuberymasalu1452 ปีที่แล้ว +1

    Hofu ndio inatufanya tushindwe hata kutimiza malengo yetu ila hongera sana Mr kwa somo Zur endelea kubalikiwa

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli mtupu hofu ni mbaya , 🎙️

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 ปีที่แล้ว

    Joel Joel saa 12; kamili ndo naamka nakutana na hii click🙏Jana nimepata cop ya Cheri changu Cha ndoa,Cheti kilipotea,Mme wangu alinikimbia na watot wetu wawili akawatelekeza,ameoa na amezaa na mwanamk kamuwek kwenye nyumba niliyojenga nae,nataka anipe tarak lakini Nina Hofu Sana Asante Sana,

  • @saidside2838
    @saidside2838 6 หลายเดือนก่อน

    Badoo najifunza mwnyezi mungu akuwekee tuzd kupata elim kaka

  • @yokimrossie3536
    @yokimrossie3536 ปีที่แล้ว

    Aise Leo umeniamsha kwenye usingz mzito Mungu akubariki akupe afya njema uzidi kutufungua

  • @WapekeeMwashua-oo9fv
    @WapekeeMwashua-oo9fv ปีที่แล้ว +1

    Asante Kaka mungu akupe maalifazaidi usikate tamaa unatuelimisha

  • @meryjohn7215
    @meryjohn7215 7 หลายเดือนก่อน

    Hofu nyngine inatokana na maisha waliyoishi kuanzia walipokuwa watot inatesa sana

  • @issakatety3535
    @issakatety3535 ปีที่แล้ว

    Kaka nakushukuru sana niliweza kuzishinda hofu za kuanza muda mrefu sana nilivoanza kukufatilia

  • @PASKALILUANDA
    @PASKALILUANDA 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo nzuri San

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 ปีที่แล้ว

    Hofu ilinikuta lkn alhamdulillah nipo out of my contry na life linasonga mwanzo nilipata shida mungu akubariki

  • @niyongabogady1100
    @niyongabogady1100 ปีที่แล้ว

    Huu ni Mwalimu wangu pia tangu naanza kufuata mafundisho yake yamenijenga sana .

  • @samwelmpenda8573
    @samwelmpenda8573 ปีที่แล้ว +1

    Nakubal Sana akaka

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana kaka najifunz vingi kupitia Chanel yako 🙏🙏katika safari ya kila mmoja anakaratasi yake ya mtihani

  • @mohamedkudura8114
    @mohamedkudura8114 ปีที่แล้ว

    Allah AKULIPE KHERI,darsa tamu

  • @HappinessHarman-nt6zc
    @HappinessHarman-nt6zc 11 หลายเดือนก่อน

    Kweli hofu ni ugonjwa unaonisumbua mungu nisaidie

  • @RehemaHaji-pc2nh
    @RehemaHaji-pc2nh ปีที่แล้ว +1

    Shukrani sana, ubarikiwe

  • @northerntanzaniatv4033
    @northerntanzaniatv4033 ปีที่แล้ว

    Hii imenigusa sana kaka barikiwa

  • @user-by1bm7db8o
    @user-by1bm7db8o 6 หลายเดือนก่อน

    Asante kaka nanauka

  • @wemaRichard-rb1hj
    @wemaRichard-rb1hj ปีที่แล้ว

    Umensaidia Sana kwasababu ninamtaji lakini naogopa kuanza

  • @user-lu4lj5sy2x
    @user-lu4lj5sy2x 9 หลายเดือนก่อน +1

    Asantee🥰🥰🥰🥰🥰

  • @Mamoshbizekampuni-qt1fg
    @Mamoshbizekampuni-qt1fg ปีที่แล้ว +1

    Mwaka Jana nilinunua vifaranga wa kuku wa mayai 300 nimepambana kuwakuza kwa gharama kubwa mwisho nimekuza kuku 50 tu ninao sasa, na hao pia had I sasa hawajtaga, nikikumbuks pesa nyingi sana nimepotezs kuku niliopata ni wachache sana pia hata hao had sasa hawajataga naendelra kuealisha tu, nataka niwauze nianzishe biashara mpya

  • @macksemuyango6108
    @macksemuyango6108 ปีที่แล้ว

    Ewe Mwenyezi Mungu naomba unitie nguvu katika nyakati hizi ninazopitia ili nyakati hizo ninazopitia nizishinde!!!

    • @user-lu4lj5sy2x
      @user-lu4lj5sy2x 9 หลายเดือนก่อน

      Amin yarab n mimi pia

  • @RamadhanMtaki-sw1gx
    @RamadhanMtaki-sw1gx 9 หลายเดือนก่อน

    Shukrani mkubwa mungu hawe nawe

  • @shukuranirebecca4877
    @shukuranirebecca4877 ปีที่แล้ว

    Thank you kwa mafunzo mazuri

  • @user-gy1lb9fo2b
    @user-gy1lb9fo2b 10 หลายเดือนก่อน

    Sawa kabisa Joel

  • @pleasethank2962
    @pleasethank2962 ปีที่แล้ว

    18,40,60. Kbl y kuielewa kanuni hii ilikuwa ni changamoto kwangu lkn kuna siku nlikuskia ukielezea nikawa responsible nayo na Leo umeirudia tn nazidi kuwa imara..KWA KWELI UBARIKIWE sana MR. JOEL NANAUKA.

    • @richardmartin6429
      @richardmartin6429 ปีที่แล้ว

      Sina chakuongeza zaidi yakusema Ubarikiwe.

  • @user-ig8kf5rx8s
    @user-ig8kf5rx8s 9 หลายเดือนก่อน

    ❤ umeelewek doctor

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 4 หลายเดือนก่อน

    You're correct my brother, don't compare with another person ❤❤

  • @chirwaellace1093
    @chirwaellace1093 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nimefanya maamuzi yakuacha kazi mda wowote, watu wananiuliza kwanini unaacha kazi kabla haujapata ingine. Kiukweri hii kazi Sina amani nao

    • @tengarashid4703
      @tengarashid4703 8 หลายเดือนก่อน

      Huna Aman nayo??? Bila shaka uko chini ya mtu

  • @brendamunuo6844
    @brendamunuo6844 8 หลายเดือนก่อน

    Nashukuru kaka❤❤

  • @gracelaizerkisyoki7279
    @gracelaizerkisyoki7279 ปีที่แล้ว

    Barikiwa kaka

  • @FrolaJoram-eg1ng
    @FrolaJoram-eg1ng ปีที่แล้ว

    Asante kaka Joel

  • @Mamoshbizekampuni-qt1fg
    @Mamoshbizekampuni-qt1fg ปีที่แล้ว

    Hapa nimepambana nimepata pesa kias fulan sasa nswaza ninunue chakula cha kuku kutagisha kama watu wanavyonishauli au nianzishe biashara mpya, nashindwa kuamua niendee su nibadili muelekeo maana niliishi hali ngumu sana so hii hela niliyopa naogopa isije ikapotea kama mwanzo

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 11 หลายเดือนก่อน

    UBARIKIWE

  • @hassanomary7353
    @hassanomary7353 ปีที่แล้ว

    Shukran tunakuelewa

  • @deboralaiton-ge8mf
    @deboralaiton-ge8mf ปีที่แล้ว +1

    Amina mungu akutie nguvu ya kutusaidia

  • @nduhe_victor
    @nduhe_victor 8 หลายเดือนก่อน +1

  • @amazingnecla
    @amazingnecla ปีที่แล้ว

    Blessed with a great

  • @user-qd6sd9iw6m
    @user-qd6sd9iw6m 3 หลายเดือนก่อน

    Good advice

  • @CharlesMabula-lg1fl
    @CharlesMabula-lg1fl 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nawezaje kujua kama mungu amesema namimi katika jambo flan?

  • @asiamsemo6172
    @asiamsemo6172 5 หลายเดือนก่อน

    Mmm hta mimi naogopa sana bt nashkuru kusikiliza hii i am doin it want i want to do now .

  • @user-oq3so2no8y
    @user-oq3so2no8y 6 หลายเดือนก่อน

    Hifu inatutesa wengii kaka...

  • @user-kj1yo8rl5p
    @user-kj1yo8rl5p 10 หลายเดือนก่อน

    Joel nanauka!!? Tafadhar naomba tuwasiliane

  • @gerraldgready8051
    @gerraldgready8051 ปีที่แล้ว

    Nateseka na hofu ya kupoteza kila mara

  • @EnosMark-jk6xf
    @EnosMark-jk6xf 10 หลายเดือนก่อน

    Shukulan sana

  • @almightymapp
    @almightymapp ปีที่แล้ว

    My name is UShinde I am from america

  • @mashikudeus-hh2jv
    @mashikudeus-hh2jv ปีที่แล้ว

    Exactly 💯

  • @user-op2mo8wt3q
    @user-op2mo8wt3q ปีที่แล้ว

    Nice speech

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 ปีที่แล้ว

    Nimejifinza kopoteza ilinipighe hatuwa nanifanikiwe

  • @reganimushi8062
    @reganimushi8062 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    🔥❤️🙏

  • @jonasebuela8975
    @jonasebuela8975 ปีที่แล้ว +1

    Sasa kaka tutajuwa je kama Mungu anasena tuhanze kitu kipya?

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    📝🙌🏿

  • @ZulfaIsike
    @ZulfaIsike ปีที่แล้ว

    Tukikuhtaji tunakupataje

  • @farijanibakari9018
    @farijanibakari9018 ปีที่แล้ว

    Nahitaji kitabu kaka

  • @deborasimon422
    @deborasimon422 9 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @ZulfaIsike
    @ZulfaIsike ปีที่แล้ว

    Ninashida ya wewe nafanyaje

  • @baboudeira9249
    @baboudeira9249 ปีที่แล้ว

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @shadrickmukumba9562
    @shadrickmukumba9562 ปีที่แล้ว

    HOFU NI KIKWAZO KIKUBWA SANA. NA HATA WATU WENGINE UNAPO WAELEZA MPANGO WAKO WANAKUTIA HOFU TU

  • @ChristianMkea-mb1cr
    @ChristianMkea-mb1cr ปีที่แล้ว

    0 please

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 ปีที่แล้ว

    ASANTE KWASOMO ZURI

  • @imahsumaye2765
    @imahsumaye2765 ปีที่แล้ว

    Samahani mwalimu ,,,,, nitajuaje kuwa MUNGU ndo ameniambia nisirizike??? Au nitajuaje siyo kusudi la MUNGU kuwepo nilipo???

  • @salumally0601
    @salumally0601 ปีที่แล้ว

    Hakika hofu ni tatizo kubwa sana

  • @frankjoshua6869
    @frankjoshua6869 ปีที่แล้ว

    Njia gani nitumie ili kupata mwekezaji kwenye kazi ninayo fanya, maana natamani ila sielewi naweza kumpata vipi.

  • @daudkanyelele2017
    @daudkanyelele2017 ปีที่แล้ว

    Jamn mm nahitaji hard copy za vitabu ...pia na ushauli kaka joeli naomba na mm unipe mda wako wakzngumza na ww hata dk tatu tu upofu. Na hofu zitaisha

  • @nkambamadata603
    @nkambamadata603 ปีที่แล้ว

    Amen, mtumishi

  • @karimomary8089
    @karimomary8089 8 หลายเดือนก่อน

    Kaka elimu yako binafsi inanisaidia pakubwa pia nawaza namna ya kupata vtabu vyiako navpta vp me nipo shinyanga

  • @brendamunuo6844
    @brendamunuo6844 8 หลายเดือนก่อน