Mungu akubariki sana, kwa maana unatusaidia vijana wengi sana kwa masomo yako japo hatujitokezi na kushukuru, binafsi umenisaidia sana katika swala la kujiali, kitabu chako cha Timiza malengo yako kimenisaidia sana nakumbuka mwaka 2017 nilikua natamani kufanya kitu changu mwenyewe lakini nilikua nimenasa kwenye office za watu na nilikua sielewi natokaje, baada tu yakusoma Timiza malengo yako hakika nilipata ujasili na atimaye mwak 2019 nikaanza kujitegemea na kufanya kazi yangu mwenyewe aiseee Mungu akutunze sana kaka yangu.
Joel Joel saa 12; kamili ndo naamka nakutana na hii click🙏Jana nimepata cop ya Cheri changu Cha ndoa,Cheti kilipotea,Mme wangu alinikimbia na watot wetu wawili akawatelekeza,ameoa na amezaa na mwanamk kamuwek kwenye nyumba niliyojenga nae,nataka anipe tarak lakini Nina Hofu Sana Asante Sana,
Mwaka Jana nilinunua vifaranga wa kuku wa mayai 300 nimepambana kuwakuza kwa gharama kubwa mwisho nimekuza kuku 50 tu ninao sasa, na hao pia had I sasa hawajtaga, nikikumbuks pesa nyingi sana nimepotezs kuku niliopata ni wachache sana pia hata hao had sasa hawajataga naendelra kuealisha tu, nataka niwauze nianzishe biashara mpya
18,40,60. Kbl y kuielewa kanuni hii ilikuwa ni changamoto kwangu lkn kuna siku nlikuskia ukielezea nikawa responsible nayo na Leo umeirudia tn nazidi kuwa imara..KWA KWELI UBARIKIWE sana MR. JOEL NANAUKA.
Hapa nimepambana nimepata pesa kias fulan sasa nswaza ninunue chakula cha kuku kutagisha kama watu wanavyonishauli au nianzishe biashara mpya, nashindwa kuamua niendee su nibadili muelekeo maana niliishi hali ngumu sana so hii hela niliyopa naogopa isije ikapotea kama mwanzo
Asante kaka joel Umenitibuleo kaka
Ubarikiwe sana mtumishi
Mungu akubariki sana, kwa maana unatusaidia vijana wengi sana kwa masomo yako japo hatujitokezi na kushukuru, binafsi umenisaidia sana katika swala la kujiali, kitabu chako cha Timiza malengo yako kimenisaidia sana nakumbuka mwaka 2017 nilikua natamani kufanya kitu changu mwenyewe lakini nilikua nimenasa kwenye office za watu na nilikua sielewi natokaje, baada tu yakusoma Timiza malengo yako hakika nilipata ujasili na atimaye mwak 2019 nikaanza kujitegemea na kufanya kazi yangu mwenyewe aiseee Mungu akutunze sana kaka yangu.
Barikiwa mtumishi
❤❤ umenitoa mbali sana Mungu akubariki
Mungu anisaidie nipone na nitoke kwenye mambo ya hofu na nijipe mouo
Kaka ubarikiwe sana wewe ni life kocha wangu kila siku unanimotivate kusonga mbele
Amen, Mwalimu Dr Joel nanauka ubarikiwe sana nakufuatilia upo vizuri sn
Kaka kwakweli umekua mwalim mzuli na umekua sehem yabalaka kwawengi masomo yako yamesaidia wengi balikiwa sana kaka
Wewe ni daktar tosha mungu akubariki🙏
Kaka mungu akubariki Sana...kuna mengi nimefanya Kwa mafunzo yako na nimekaa sawa sasa kaka
🎉ni kwel kuishi kwa kuhofia watu ni hatari sana kwenye maisha ya kila cku,barkiwa sana mtumishi
sijutiiii mbs zangu zikiisha kwa kujifunza kwa kutizama video zako life coach
Ahsante sana kaka,nimejifunza mengi na naendelea kujifunza Mwenyezi Mungu azid kukubariki
Petro alizama kwasababu ya hofu Asante kwa ujumbe mzuri siku haipiti bila kusikia ujumbe wako
BARIKIWA Joel, MUNGU Akulinde na Kukutunza uzidi kutuelimisha.
Hofu ni kikwazo katika kuanza jambo nisahihi kabisa mungu nitie ujasili kwajuhudi ninazozifanya kuondondokana na tatizo hili naweza🇹🇿🙏.
Hongela Sana kaka Make nine elewa vitu vingi kwako na nimejitambua palefu sana hatali
Mungubazidi kukutumia zaid juu ya watu wake mungu akulinde sana kaka wengi bado tunakuitaji
Asante sana kaka yangu kwa kuniokoa maan na hofu ya kuanza upya kwasababu nimejiestablish kwenye eneo moja mda mrefu
Big up m2 wangu
Kwa sasa naishi kwenye furaha baada ya Kujua kusudi langu hapa duniani ahsante sana na nabii *+ Joel nanauka
Kabisaa kaka unaongea vitu muhimu sana kwenye maisha
Hofu ndio inatufanya tushindwe hata kutimiza malengo yetu ila hongera sana Mr kwa somo Zur endelea kubalikiwa
Ukweli mtupu hofu ni mbaya , 🎙️
Joel Joel saa 12; kamili ndo naamka nakutana na hii click🙏Jana nimepata cop ya Cheri changu Cha ndoa,Cheti kilipotea,Mme wangu alinikimbia na watot wetu wawili akawatelekeza,ameoa na amezaa na mwanamk kamuwek kwenye nyumba niliyojenga nae,nataka anipe tarak lakini Nina Hofu Sana Asante Sana,
Badoo najifunza mwnyezi mungu akuwekee tuzd kupata elim kaka
Aise Leo umeniamsha kwenye usingz mzito Mungu akubariki akupe afya njema uzidi kutufungua
Asante Kaka mungu akupe maalifazaidi usikate tamaa unatuelimisha
Hofu nyngine inatokana na maisha waliyoishi kuanzia walipokuwa watot inatesa sana
Kaka nakushukuru sana niliweza kuzishinda hofu za kuanza muda mrefu sana nilivoanza kukufatilia
Hiyo nzuri San
Hofu ilinikuta lkn alhamdulillah nipo out of my contry na life linasonga mwanzo nilipata shida mungu akubariki
Huu ni Mwalimu wangu pia tangu naanza kufuata mafundisho yake yamenijenga sana .
Nakubal Sana akaka
Barikiwa sana kaka najifunz vingi kupitia Chanel yako 🙏🙏katika safari ya kila mmoja anakaratasi yake ya mtihani
Allah AKULIPE KHERI,darsa tamu
Kweli hofu ni ugonjwa unaonisumbua mungu nisaidie
Shukrani sana, ubarikiwe
Hii imenigusa sana kaka barikiwa
Asante kaka nanauka
Umensaidia Sana kwasababu ninamtaji lakini naogopa kuanza
Asantee🥰🥰🥰🥰🥰
Mwaka Jana nilinunua vifaranga wa kuku wa mayai 300 nimepambana kuwakuza kwa gharama kubwa mwisho nimekuza kuku 50 tu ninao sasa, na hao pia had I sasa hawajtaga, nikikumbuks pesa nyingi sana nimepotezs kuku niliopata ni wachache sana pia hata hao had sasa hawajataga naendelra kuealisha tu, nataka niwauze nianzishe biashara mpya
Ewe Mwenyezi Mungu naomba unitie nguvu katika nyakati hizi ninazopitia ili nyakati hizo ninazopitia nizishinde!!!
Amin yarab n mimi pia
Shukrani mkubwa mungu hawe nawe
Thank you kwa mafunzo mazuri
Sawa kabisa Joel
18,40,60. Kbl y kuielewa kanuni hii ilikuwa ni changamoto kwangu lkn kuna siku nlikuskia ukielezea nikawa responsible nayo na Leo umeirudia tn nazidi kuwa imara..KWA KWELI UBARIKIWE sana MR. JOEL NANAUKA.
Sina chakuongeza zaidi yakusema Ubarikiwe.
❤ umeelewek doctor
You're correct my brother, don't compare with another person ❤❤
Nimefanya maamuzi yakuacha kazi mda wowote, watu wananiuliza kwanini unaacha kazi kabla haujapata ingine. Kiukweri hii kazi Sina amani nao
Huna Aman nayo??? Bila shaka uko chini ya mtu
Nashukuru kaka❤❤
Barikiwa kaka
Asante kaka Joel
Hapa nimepambana nimepata pesa kias fulan sasa nswaza ninunue chakula cha kuku kutagisha kama watu wanavyonishauli au nianzishe biashara mpya, nashindwa kuamua niendee su nibadili muelekeo maana niliishi hali ngumu sana so hii hela niliyopa naogopa isije ikapotea kama mwanzo
UBARIKIWE
Shukran tunakuelewa
Amina mungu akutie nguvu ya kutusaidia
❤
Blessed with a great
Good advice
Nawezaje kujua kama mungu amesema namimi katika jambo flan?
Mmm hta mimi naogopa sana bt nashkuru kusikiliza hii i am doin it want i want to do now .
Hifu inatutesa wengii kaka...
Joel nanauka!!? Tafadhar naomba tuwasiliane
Nateseka na hofu ya kupoteza kila mara
Shukulan sana
My name is UShinde I am from america
Exactly 💯
Nice speech
Asante sana
Salaam za pongezi toka mwanza 🐟
Nimejifinza kopoteza ilinipighe hatuwa nanifanikiwe
Amen 🙏
🔥❤️🙏
Sasa kaka tutajuwa je kama Mungu anasena tuhanze kitu kipya?
📝🙌🏿
Tukikuhtaji tunakupataje
Nahitaji kitabu kaka
Amen
Ninashida ya wewe nafanyaje
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
HOFU NI KIKWAZO KIKUBWA SANA. NA HATA WATU WENGINE UNAPO WAELEZA MPANGO WAKO WANAKUTIA HOFU TU
😂😂
0 please
ASANTE KWASOMO ZURI
#SeeYouAtTheTop
Samahani mwalimu ,,,,, nitajuaje kuwa MUNGU ndo ameniambia nisirizike??? Au nitajuaje siyo kusudi la MUNGU kuwepo nilipo???
Hakika hofu ni tatizo kubwa sana
Njia gani nitumie ili kupata mwekezaji kwenye kazi ninayo fanya, maana natamani ila sielewi naweza kumpata vipi.
Mwekezaji si wewe apo
Jamn mm nahitaji hard copy za vitabu ...pia na ushauli kaka joeli naomba na mm unipe mda wako wakzngumza na ww hata dk tatu tu upofu. Na hofu zitaisha
Amen, mtumishi
Kaka elimu yako binafsi inanisaidia pakubwa pia nawaza namna ya kupata vtabu vyiako navpta vp me nipo shinyanga
❤