Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA
Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka
Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up
Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka
Asante Sana kwa ujumbe huu Naamini nimeupata kwa wakati maalumu Naahidi kupitia Video hii utakuwa ni ushuhuda mkubwa Sana Ahsante Mungu akupe Baraka na Maarifa zaidi nimejifunza Mambo mengi kwa kina God First ....🙏🙏
Kuna jinsi naanza kukuelewa , nahisi Kuna hatua napiga ndani ya mind, japo physically sijaona mabadiriko Ila akili iko distance, nipe mwaka huu na mwakani nahisi ntakwambia kitu, Mm ni kijana nilie kua nasoma Ila matokeo yangu yakaharibiwa na walimu wa chuo, nikukata tamaa kwa miaka Sasa, hila, roho inanisukuma kwenda chuo Tena kusoma make ndoto yangu ni kua Dr,
My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother
Kua maskini ni chaguo la mtu🙌🏽🙌🏽
Asante mwalim wangu umenigusa kwakiasi kikubwa ....
Nipo WA Kwanza Leo kumeza doze ya Kaka Joel!!!😀
“Mafanikio yakweli yanatakiwa yakusogeze karibu na Mungu nasio kukutoa kwa Mungu”🙏.
Asante baba kwa somo lako
Jaman jaman ubalikiwe ili somo limekuja kwa ajili langu Mungu akupe maisha marefu
AMEN in JESUS NAME, I believe in this message, God bless you sir ❤🙏
Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA
Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka
Aisee hili somo bhana ni powerful sana natamani kila kijana angeliskia...
Mungu akubariki sana kaka Joel...
Good massage
Casto...umeongea kama ninavotamanigi siku zote nikiona ujumbe mzuri natamani vijana au watu wote wausikie 👍
Mungu ni mwema ❤
Pamoja sana kaka, natumia Mb, zangu kwa usahihi kabisa
Only "VISION" Ahsante sanaaaa
Brother unatupa maarifa makubwa sana, Yesu akutunze
Great talk, great learning bro
Elimu hii ni muhim sana,vijana tutilie maanan kwani ni taa kwetu iwakayo kwa mwanga mzur!ubarikiwe sana mtoa somo!
Naitwa siffah nipo oman hakika asante sana Joel umenifanya niwe na maono madhbuti
Mungu amekupa kipawa kikubwa kaka ubarikiwe sana napenda kukufuatilia ktk mafundisho yako ubarikiwe sana.
Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up
Joe is Annointed..powerful.. Mungu akutunze kila siku.
God blessing us
Asante my brother,Mungu azidi kukutumia na kukubariki,This is what I needed to hear
Nataka niwe mwanafunzi wako ,nitumie Contact.
Mafanikio ya kwel yanatoka katika Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Hatujaja duniani, kuzurura, nimeipenda hiyo!
Mungu akubarik mtumish vipindi vyako vimekuwa faraja kwangu sana
Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka
MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua daima hili somo limenigusa sana sana naamini ipo siku ntayafikia maono yangu
Brother , nahisi kama Mungu alikuinua kwa ajili yengu mimi. Ubarikiwe sana.
Naitwa Richard Gilbert mpagaze Nina dreams ya kuwa muombaje mzuli wakubadisha watu na kuwa najili nuzuli naitaji ushauli.
Praise be to God, may God add u more strength to do this
Hakika 100% najifunza vingi sana kwako keep moving we are together brooo
Man of God,Keep it up.
God bless you!
Yes Pastor. God bless you!
Nimejifunza Kuchuja taharifa!!
MashaAllah mungu akuzidishie kaka,,, nimejiona mtu mtofauti kwa nasaha zako..... Mob love from kenya
Mungu akubariki sana
Hakika!
Mungu na azidi kukutumia Kwa VIWANGO vya kwake❤
Wish you all the best brother. Kupitia wewe Umebadilisha Lifestyle yangu%
Thenkyou!
Nabarikwa sana na mafundisho yako
Mungu akuweke brother hili somo limenigusa na hakika sitoacha kukufatilia
amen much blessing
Mngu akubaliki sana akuongeze cku zakuishi ,kwahili tutasongambele❤
This speaker is on another level...Kenyans who are here he's the Benjamin zulu of Tanzania
Barikiwa sana Joel unanivusha sehemu kubwa saana ninapokea
Alright Joel...🕺🕺🕺 wewe ni UNSTOPPABLE.
Nitaitetea ndoto yangu hadi itimie.
Amen nimejifunza zaidi,Mungu akubariki sana
Barikiwa kwa somo zuri.pia hongera kwa Kazi ya graphics
Joel unanipa maarifa Hadi nashindwa nikuambie nn mungu akubariki zaidi🙏
Mwenyezi Mungu akubariki sana.najifunza mengi kupitia elimu unayotoa.🙏🙏🙏🙏🙏
In every pain there is a purpose in it...✍️
Asante sana KK mungu. akubariki na kukupa maisha marefu
Asante Mungu kwa ajili ya Joel.
Amina baba balikiwa
Ubarikiwe sana kaka Joel, unasaidia wengi
nashukuru Sana Kaka umenifanya nisikate tamaa na ninaweza na nitafika mbali mungu akubariki Sana
Vzuri sana,nimekuelewa na naona maisha mazuri mbele yangu
Asante kwa huu ujumbe umenijenga sana
My best motivational speaker ever #JOELNANAUKA thanks sana kwa maarifa yako
Kaka big up mungu azidi kukutumia mda wote
Amina
Kuna tofauti kagi Kati ya Vision na Focus! Joel umenifanya niwe na maisha tofaut sana
Safi sana kijana mwenzangu na mwenyezi mungu akufikishe mbali zaidi kwa kutuelimisha
Thank you bro
Tunashukuru saaana kwakuona namashahuri unayo tupa,Mungu akuongezeye Siku zakuhishi m'pendwa professa.🙏🙏🙏
Amina Kaka nimeelewa hii Kitu (Vision )
God bless you brother Joel Nanauka 🙏
Long live brother Joel you have added the value to my vision one day I will be a great at a God's right time
INSPIRE's me more sir Joel
Asante Sana kwa ujumbe huu Naamini nimeupata kwa wakati maalumu Naahidi kupitia Video hii utakuwa ni ushuhuda mkubwa Sana Ahsante Mungu akupe Baraka na Maarifa zaidi nimejifunza Mambo mengi kwa kina God First ....🙏🙏
Amina Kubwa, nakupenda sana ❤ Mungu akuweke kwa ajili yetu🙏
Kuna jinsi naanza kukuelewa , nahisi Kuna hatua napiga ndani ya mind, japo physically sijaona mabadiriko Ila akili iko distance, nipe mwaka huu na mwakani nahisi ntakwambia kitu,
Mm ni kijana nilie kua nasoma Ila matokeo yangu yakaharibiwa na walimu wa chuo, nikukata tamaa kwa miaka Sasa, hila, roho inanisukuma kwenda chuo Tena kusoma make ndoto yangu ni kua Dr,
Amina kaka nimekuelewa maana nilikua nachelewa Mungu akubariki
God bless you
barikiwa Brother salute kwako,
Mungu awe msimamizi wako karibu sana dodoma
Barikiwa kwa ujumbe.
Asante Sana mchungaji
Amina sana mwamba anguh mungu ni mwema sana
Ahsante kaka kwa madini yako 🙏🙏🙏🙏🙏
Yes, nimekuelewa nimekukubali uko vizuri.
Good preaching
Asante sana
❤kaka mafundisho yaka yamenijenga na ya nikumbusha maisha yangu niliyo pitia
Amina nimekukumbuka mwl ,, bila shaka ulisha wahi kuja Nzega kkkt kwa ajili ya semina
Amina umeamsha ndoto yangu mungu akubariki sana
Asante kwaushauri
My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother
Asante kaka unanikuza kiakili, mungu akubariki na akulinde bro 🙏
asante sana kaka...unanitia moyo sana...
Asante saaan
Ubarikiwe kaka Nanauka Joel
I’m very excited for your training, I hope we will be successful according to your knowledge bro!
A Powerful speech
MUNGU akuinue zaidi
Broh Asante sana
Mungu akubaliki🙏
Go on brother you are here for us
One of your best speeches
Thank you
Ahsante
Nahitaji. VISION
Asante.
Dah umenibadilisha sana kwenye haya maisha💪👏
Ahsante kwa elimu hii kaka joeli
Wew baba Kwanza mungu akubariki unanigusa Mimi wazir haa umupita mure mure dar