Yesu ndio njia kweli na uzima , ipo siku watajua ukweli kwamba Yesu ni nani .maana wanajua ukweli ila wanadanganya watu bule sababu watu wao hawajui maandiko
@@AbasHabimana Toa Hoja zenye mantiki unasema Tunadanganywa na hujaeleza tunadanganywa nini..!! Au unataka tumuamini mtume aliyemuoa mtoto wa miaka 6 na kumvunja Bikira akiwa na miaka 9...🧐
Kuna Aya za Quran anazozisoma Ndacha, Waislamu hawazirudii Wala kukanusha. Lkn wao wakitumia Aya za Biblia kimakosa Ndacha anawarekebisha na wanatulia. Hii inaonesha Ndacha ni Mwalimu mzuri. Honestly Ndacha is heading to be a real servant of God. Ndacha Mungu azidi kukupa hekima, ili ukapate rehema siku Ile.
Halafu wanabebana na makaratasi kama sijui nini😂😂 hamuoni mwenzenu ndacha anatumiwa na roho mtakatifu ila nyie makaratasi mengi hamna tofauti na wanafunzi wanaoingia darasani na vibomu inaashiria kichwani hamna kitu
Wewe hujitambui kabisa,unazungumzia kitabu gani ambacho akisemi kuwa Mtume Mohammad hakupewa Kitabu?Kisha nipe ayah katika Bibilia nani alipewa Bibilia au Ni Mtume gani alipewa Bibilia?
Pastor Ndacha Roho wa Bwana Yu juu Yako elimisha wapotevu hao wanaomwamini Mhamadi aliyewahi kuoa ka Binti ka miaka 6.waislam hatuwatukani ila vitabu vyenu.
@@mhogomchungu7168 Issac ni mtume panorama na kwamba unadanganya na Rebeka aliolewa na miaka mingapi au nikupe usome hapo mpokee Yesu wewe mwenyew pa kukupeleka
Hao wanajua ila shetani amewafunga ufahamu wao , kama mtu wao anaingiliwa na shetani na vitabu vyao vimeandikwa, kwahyo waislamu wanapingana na vitabu vyao
kati ya yesu na muhammad.. yesu hakuoa muhammad akanyaganya mpaka mtoto wake bb..yesu akafukuza mapepo muhammad alisalimisha majini..yesu hakua muhammad akaua..kati ya hao unaweza fùata nani??
Shekh umedanganya soma Joshua 7mstari wa kwanza mpaka 12 utakuta sababu ya mungu kusema hivyo Akani aliiba vitu vitakatifu Acha kukatisha maandiko shekh unadanganya
Yesu mwenyewe ni mwisilamu. Sisi waisilamu tunampenda Yesu na kumwamini kabisa. Wewe mkristo Yesu hakujui, wala hajui Ukristo kabisa. Utabaki nyuma ushangae 😂😂😂
Ndasha hatumiwi na Muuba bali ni mjumbe wa Shetani kama WaIslamu tu. Alifukuzwa SDA baada ya kukataa trinity .Saa hii anahubiria waIsilamu awapeleke wapi ?
Jesus was no Christian and didn't go to church.The uncircumcised Greco Roman paganism people made the Jewish Carpenter son of God or God instead of God the Creator.
Ndacha 😢kwani ww na kaka yako mlolaziwa tumbo moja munatabia moja?munafanana mambo munayofanya?sasa unauliza yesu na muhammad hawako sawa hujui km wao kila mtu amekuja kwa mda wake na kila mmoja anachukua magizo alotumwa na mungu aje kutekeleza,sasa unakosea kimaongez halafu unasema hujajakufanya komed wakat masual yako hayana kichwa wala miguu.
Wakati anazaliwa alizaliwa na shetani tena akaja kuwasilimishaa majini yawe waislamu tena kuna Aya mtu akitoka kwenye uislamu Muhammad anasema anafaa mtu huyo akatwe kichwa. Tena Muhammad anasema yesu ndie atahukumu tena Muhammad anasema yeye siku ya mwisho hajui kama ataebda peponi au motoni kiukwelii MUNGU aendelee kuwafunulia labda siku moja wataelewa kwelii na kwelii itawawekaa HURU.
@@0badiaMwasongwe-rt1wr aya za kufanyia Sarakasi jukwaani achekeshe watu, hata wewe kwa ni mwalimu ukiona umeshindwa na hoja ukitaka watu wasijue kama umeshindwa unapopanda jukwaani anza sarakasi ya kuchekesha watu huo ndio mchezo na mbinu za ndacha anavyofanya ili nyinyi musifahamu kwashindwa na hoja
Quran haina shaka ndani yake wala hawawezi kushindwa na yesu pia niwetu someni mujue ilimu shafii na wote walokaa wako naelimu sio kama ndata mpiga kelele kwa mikate yenu
@@abdallahdoka9173 dini ya vichesho mara mungu huyo huyo yesu amelala hana habari mashua inazama baharini mpaka yuwamshwa na viumbe vyake, mara yuwaomba chakula kipande cha mkate kwa viumbe vyake, tungelipata mungu kama huyo yesu tungelikuwa hatuko Duniani kutoka kitambo na Dunia ishapotea. Yaani eti nimfwate mungu wa kulala lala na wa kuomba omba chakula kama masikini hii haingi akilini
Mchungaji ndacha mungu akubariki wafundishe
Yesu ndio njia kweli na uzima , ipo siku watajua ukweli kwamba Yesu ni nani .maana wanajua ukweli ila wanadanganya watu bule sababu watu wao hawajui maandiko
Mchungaji ndacha Mungu akubariki sana
Barikiwa sana Mwinjilisti Ndacha ❤
Ndacha hana lolote hoja zinamshinda wakristo mbona mnapenda kudanganywa kueni makini sana nahao wachungaji wenu huyo Ndacha anawapoteza kwa maslai yake
@@AbasHabimanaunajua nyani halioni la kudule
Mnadanganywa nyie mnao abudu jiwe
@@AbasHabimana Toa Hoja zenye mantiki unasema Tunadanganywa na hujaeleza tunadanganywa nini..!!
Au unataka tumuamini mtume aliyemuoa mtoto wa miaka 6 na kumvunja Bikira akiwa na miaka 9...🧐
@@robertgeofrey4118 Kua na Adabu ww kafiri unamtukana mtume kweli kafiri mkubwa ww ungali unakwenda namakaratasi chooni
Ndacha unafundisha vizuri sana Mungu akulinde
God bless you Ndacha, teach them Muslims why don’t you understand really??
Que Dieu tout-puissant vous augmentez la sagesse tu es vraiment docteur messieu ndacha
Ndacha ukweli ubaki ukweli 🙏💯
Mchungaji ndacha nabarikiwa sana na mafundisho yako Yani napenda sana mafundisho yako yani nakuombea uahi zaidi mwalimu ndacha mungu akulinde .
Mungu akubariki sana mwalimu ndacha
Mwalimu Ndacha,mungu azidi kukubariki zaidi na kukupenda.
Asante yesu wakristo wenzetu gonga like twende sambamba
Ndacha mungu akubariki Kwa kutufunza ukweli
🔥🔥🔥ndacha genius
contunue teaching
Asant sheikh!! AWO WAMELAANIWA TUU
Ndacha waonee huruma utawatoa udenda hawana wanachojua hao
Barikiwa sana ndacha hulinifanya nikaokoka juma from kenya
@@melvoLedin-cs6mr umepotea
Njia ya kweli uzima wa milele ni Bwana wetu yesu kristo, njooni kwake.
Kuna Aya za Quran anazozisoma Ndacha, Waislamu hawazirudii Wala kukanusha. Lkn wao wakitumia Aya za Biblia kimakosa Ndacha anawarekebisha na wanatulia. Hii inaonesha Ndacha ni Mwalimu mzuri. Honestly Ndacha is heading to be a real servant of God. Ndacha Mungu azidi kukupa hekima, ili ukapate rehema siku Ile.
@@PeterJackson-uh2ik Kama aya zipi waislamu hawaziludii Wala kukanusha..
Taja aya moja tu? Haijatolewa ufanunuzi
Joshua 7:12 waisrael wamelaaniwa hivi hili andiko kwenye biblia ndacha aligusa?!😃😃
Mungu ni mwaminifu
Wamekiraba kweli kweli..Yesu ni bigwa wa mhitaji wa majinni!
Halafu wanabebana na makaratasi kama sijui nini😂😂 hamuoni mwenzenu ndacha anatumiwa na roho mtakatifu ila nyie makaratasi mengi hamna tofauti na wanafunzi wanaoingia darasani na vibomu inaashiria kichwani hamna kitu
Mtume waIslamu nimajanga alierogwa akapata wazimu miaka 2 akajaribu kujinyonga kwakujirusha juu yamlima namwishowe akafa kwakula nyama yenye sumu Alaah hakumutaarifu akala nakuugua uchungu alisema ooh Aisha sumu inanikata utumbo. Muhammad alimchukua Zainabu mke wa Mwanawe Zaid kwajina Zainabu . Huyu ndie Nabii waIslamu hatarisana
😢waislamu mnazingua kwa hiyo Muhammad atawapeleka watu wake
Barikiwasana muzeendaca tunakuitaji burundi
Amen mtumishi
Kweli abarikiwe ndacha
Aminà
Hatuwezi kuwa na Mungu alietahiriwa kama mm.
Yesu ni Greek goddess of healing.(The scriptures bible , foot note).
Jesus ni kuabudu shetani.
Yahshua Messiah is the true saviour.
@@shkaladdintv1896 sijakupata is there different btn yehua sheghua and Jesus
Ubarikiwe
Muhammad ni kwa waarabu tu siyo kwa wanadamu wote. Hao waarabu hawakuwa na muonyaji. Yesu ndiye njia...na mtu haendi kwa baba ila kwa YOHANA. 14:1-3
soma Muhammad nimtume wa mwisho wakati wa yesu kilikuwa hakuna mtu mweusi kabisaaa ni waisrail tu ulizia ujue ilimu
Yesu ni Mtume wa Wanaezraeil soma vizuri Bibilia yako
Ndacha ni kiboko ya waislamu
Ndacha ww. Ninoma
Ndacha ni kiboko ya wafuga Majini hata hicho kitabu cha waarabu Kurohan hamkijuwi poleni
Kwakweli kabisa
Akuna sehemu mungu kasema
Ametoa kitabu kwa muamed mmerogua
Wewe hujitambui kabisa,unazungumzia kitabu gani ambacho akisemi kuwa Mtume Mohammad hakupewa Kitabu?Kisha nipe ayah katika Bibilia nani alipewa Bibilia au Ni Mtume gani alipewa Bibilia?
Teach them
Mungu A akupemaisha maelfu ndacha uzidi kutoa elimu wataelewa ao waslam😂😂😂
Ndacha hamna quality uluolizwa ulijibu...mtupu
Pastor Ndacha Roho wa Bwana Yu juu Yako elimisha wapotevu hao wanaomwamini Mhamadi aliyewahi kuoa ka Binti ka miaka 6.waislam hatuwatukani ila vitabu vyenu.
Issac alioa Rebecca akiwa na miaka mitatu na ndio mnajifahari nae au hamjui hilo ?
@@mhogomchungu7168 Issac ni mtume panorama na kwamba unadanganya na Rebeka aliolewa na miaka mingapi au nikupe usome hapo mpokee Yesu wewe mwenyew pa kukupeleka
@@NicodemBarantanda-ud7qy toa ushahidi , hio issue hata marabai wa kiyahudi hawakatai na ukitype TU TH-cam wayahudi wenyewe utaona wanaelezea
Nikwel ndacha hao waislam yan wavyokuag wanajib kuikwel ni commed tu awako serious
Duuu kumbe Mohamad alifanyiwa mpaka operation, akatolewa shetani Ndo kabisaaa mnataka eti nimfuate Mohamad nooo noooo
Waisilamu hawasikii hakidogo
Ndacha Bora ww ungekuwa ndio Allah Mana unajua kuliko Allah mwenyewe
@@walesjulius5493 ☠️
Acha kufananisha Allah na wapumbavu wako ukome shetani ww ukome tena ukome
Kwakweli
Haina haja ya lugha Kali kama hiyo jamani
Jmn Kawaida ya kafiri hawez Kuwa na akili timam kwahyo acha waendelee kukufuru tu
Muandae hoja na nabii isa na Yes KAZI zao na namna watakavyo kuja
Wakristo mkifungua mioyo kuelewa😢😢😢
Hamtapotea
Kwako commed waislam ndo zao utaskia tu takibhiiliii ndo imeisha hyo
Halafu walimu wa kikristo wanapokezana...ila MCH.NDACHA YUPO PEKE YAKE....WAMEMCHANGANIA LAKINI KAWASHINDA.....
@@ernestbensonmwamengo1642 sasa sms yako umekiongea nini au umekula mavi na wewe
Ndacha hana kikaratasi yote yanatoka kwa uongozi wa ROHO mtakatifu....wale waislamu wanatukaratasi... mmmmh 💊💊
Ahsante Kwa kufuatilia ndacha hana kibomu Ila wazee wa Kazu vibomu vya kutosha
Kama ww ni Muislamu na Unataka Kuuacha Uislamu Soma Quran
Lete vitu sheikh maulana???
Yesu ni njia kweli na uzima yesu wasamehe waislamu mara wanakukua mara wanakukana Hawa jamaa wamepotea
Mbona mnamficha Shafii... shida nini
Waislamu wanasema katumwa na Mungu lakini hakuna aya katika qur an Allah anasema "nimekutuma muhammad uwe mtume" Hakuna andiko hilo.kama lipo toeni
Hao wanajua ila shetani amewafunga ufahamu wao , kama mtu wao anaingiliwa na shetani na vitabu vyao vimeandikwa, kwahyo waislamu wanapingana na vitabu vyao
Comment zote mbona kuna upande una hasira sana
😂😂 Maulana hana la kushindana na Mwalimu Ndacha.
Mtume wenu anangojea vile hatakavyo fanywa
Hivi uislam ni siasa au ni dini na kweli mmefumbwa macho au kibuli tu cha binadamu
Na huyo msomaje anapataje vitabu that fast?
Uislam unamipasho et kama hamtaki uislam mkaweke vitanzi mjinyonge😂😂😂
hyo kuruan au hadija kopa??????
Hapa kishwahili kimemchenga mwalimu wetu. 😂
Kusubiri- kungojea kitu
Kusubiri- kufanya subra (to be patient) 👍🏽
kati ya yesu na muhammad..
yesu hakuoa muhammad akanyaganya mpaka mtoto wake bb..yesu akafukuza mapepo muhammad alisalimisha majini..yesu hakua muhammad akaua..kati ya hao unaweza fùata nani??
Uzuri wa uislam uwezi kudanganya watu kila kitu kiko wazi siyo kila siku watu wanajiita manabii wanawauzia udongo maji kukosa akili
Hayo ni mambo binafsi sisi tunaongea kitabu
Kunavitabu waislamu wameomba visitumike du nimecheka
😂😂😂😂
Hii mbona ilijibiwa vizuri
Mmeikata ngoja mjipe moyo
Yesu hakuendesha vita ya jihadi ila yesu NDIYE mpole na mnyenyekevu mathayo 11:28-29
HII CAMERA IKO VIZURI... PIA SAUTI TUNAIPATA VIZURI
Shekh umedanganya soma Joshua 7mstari wa kwanza mpaka 12 utakuta sababu ya mungu kusema hivyo Akani aliiba vitu vitakatifu Acha kukatisha maandiko shekh unadanganya
Eti walio laaniwa😂
Ndacha quran 10:112 unapotosha huongei ukweli unapotosha
Sisi ndio tunaosikia ila Mwalimu NDACHA tumemuelewa ktk mafundisho yake yupo vizuri anafundisha mpka tumemuelewa
Waislam mkijua tu vyote vilivyoandikwa kwenye Quran mtaondoka mumfate Yesu
Wapii bibilia yenu inatosha ku wachapa nayo wenyewe 😂😂😂
Nani amfate mwizi
Yesu mwenyewe ni mwisilamu. Sisi waisilamu tunampenda Yesu na kumwamini kabisa. Wewe mkristo Yesu hakujui, wala hajui Ukristo kabisa. Utabaki nyuma ushangae 😂😂😂
Ukristo ni upagani
Safi mwalimu
😅😢😂 maulana wewe ni mwongo, hakusema hivyo. Hakuna mwalimu wa kiislam anaweza hoja za wakristo.
Mleteni mazinge,hao hawamwezi ndacha, coz hata mazinge huwa anashindwa sasa hao wataweza kweli.
Ujube umefika SAWA na swari
Ndacha acha sifa unaweza kumbatiza Nani
Ndasha hatumiwi na Muuba bali ni mjumbe wa Shetani kama WaIslamu tu. Alifukuzwa SDA baada ya kukataa trinity .Saa hii anahubiria waIsilamu awapeleke wapi ?
Hii sio hoja mbona
Nabii Ayoub aliguswa na shetani😂😂😂
Hawa waislamu wacha siku ya mwisho watakipata Yesu atakaporudi
Wewe ni msomi na mtu Jasiri
😂😂😂😂😂 waisilamu njoooo kwa yesuuuuuu anawapenda sana
Skiza Qur'an ulivyo pendeza sana na kutulia
wewe yesu hata hakujui
Jesus was no Christian and didn't go to church.The uncircumcised Greco Roman paganism people made the Jewish Carpenter son of God or God instead of God the Creator.
Tena huyo Sheikh Shafii ndio alokukaranga alichapa mpaka hujielewi wasema nini
Eti kapasuliwa nakutolewa shetani😅😅😅😅😅😅
qur'an tafsiri ya hamadia ukurasa wa 16 ndio quran gani hiyo maana nlitegemea aseme quran sura kadhaa na aya kadhaa mbona kama kuna vitu mnavipindisha
Ndacha 😢kwani ww na kaka yako mlolaziwa tumbo moja munatabia moja?munafanana mambo munayofanya?sasa unauliza yesu na muhammad hawako sawa hujui km wao kila mtu amekuja kwa mda wake na kila mmoja anachukua magizo alotumwa na mungu aje kutekeleza,sasa unakosea kimaongez halafu unasema hujajakufanya komed wakat masual yako hayana kichwa wala miguu.
Wakristo wanaelewa sana tu bali wanajitoa tu ufamu , ifateni dini ya haki
Siku mtaishia jehanamu ndiyo mtafahamu
Joshua 7:12 waisrael wamelaaniwa hili andiko ndacha hakulisikia ??😀😀 hajagusa
😂😂😂😂😂😂😂😂naona wakristo wanajifarij ktk comment,hv mmeusikiliza mdaharo mwanzo mwisho....????mmepigwa kila kona
Muslims understand, why don’t you really understand like me? Turn to Jesus Christ his the only way to heaven
Wakati anazaliwa alizaliwa na shetani tena akaja kuwasilimishaa majini yawe waislamu tena kuna Aya mtu akitoka kwenye uislamu Muhammad anasema anafaa mtu huyo akatwe kichwa. Tena Muhammad anasema yesu ndie atahukumu tena Muhammad anasema yeye siku ya mwisho hajui kama ataebda peponi au motoni kiukwelii MUNGU aendelee kuwafunulia labda siku moja wataelewa kwelii na kwelii itawawekaa HURU.
Wewe haya maneno umetowa wapi muogo mtupu
@@abubakaromar6101 sikilizaa zinatokaa na Aya kabisaaa
@@abubakaromar6101 sikilizaa zinatokaa na Aya kabisaaa
@@0badiaMwasongwe-rt1wr aya za kufanyia Sarakasi jukwaani achekeshe watu, hata wewe kwa ni mwalimu ukiona umeshindwa na hoja ukitaka watu wasijue kama umeshindwa unapopanda jukwaani anza sarakasi ya kuchekesha watu huo ndio mchezo na mbinu za ndacha anavyofanya ili nyinyi musifahamu kwashindwa na hoja
Hivi huyu kinyogor amepewa sh, ngapi ili amkatae yesu,
Quran haina shaka ndani yake wala hawawezi kushindwa na yesu pia niwetu someni mujue ilimu shafii na wote walokaa wako naelimu sio kama ndata mpiga kelele kwa mikate yenu
Wakisto wote msilimu wallah mmepotea
Wapi YESU, Ibrahim, Adam, Daudi walisilimu, zaidi ujanja wa mud kuwanasibisha na uislam
@@FridayMwassa nice point,hawawezi jibu hiyo
Haiwezekani moto ukose makafiri, Hawa lazima wachomwe kama watakufa ktk Hali hii.
@@FridayMwassakwani walikuwa wakristo???? Kwani ukristo ameanzisha nani??
Mimi nimfate malehemu😂😂😂😂 Bwana YESU ndiye uzima teleeeeee
Kwahiyo mudi ni mwalimu wa kufundisha kuoa watoto wadogo na jihad ya vita 😂😂😂
Natamani ndugu zetu waislamu waache ushabiki watafute ukwel,nafsi zao zitaokoka
Nyinyi wakiristo ndio muwache ushabiki na kudanganywa hapa Duniani ni kutafuta sio kuokoka, kuokoka ni siku ya mwisho ya kuhesabiwa
Vipy tuache dini ya mungu tuje kwenye ukafiri eti mungu watatu mara mungu kafaa msalabani😂😂 mara kwa siku yane akatahiriwa na wanaadamu😢😢
@@abdallahdoka9173 dini ya vichesho mara mungu huyo huyo yesu amelala hana habari mashua inazama baharini mpaka yuwamshwa na viumbe vyake, mara yuwaomba chakula kipande cha mkate kwa viumbe vyake, tungelipata mungu kama huyo yesu tungelikuwa hatuko Duniani kutoka kitambo na Dunia ishapotea. Yaani eti nimfwate mungu wa kulala lala na wa kuomba omba chakula kama masikini hii haingi akilini
@@abdallahdoka9173 hakuna unalolijua
Yuko wapi Robin Kesi
Njoo wewe😂😂😂
@user-fy4op1sw2f what does it mean to you
Hawa waislam hawana lolote kabisa😂😂😂😂😂😂
Waislamu nyie mnajua vita vya kujitolea muhanga tu