MREMBO WA "NAMBA UNAYOPIGA HAIPATIKANI" AFUNGUKA, PESA ALIZOLIPWA “WANADAI NIMEVUNJA NDOA ZA WATU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • ‪@millardayoTZA‬

ความคิดเห็น • 885

  • @msigwa1
    @msigwa1 3 หลายเดือนก่อน +48

    Dada Yuko smart , confidence %100 well explanation, anaadabu zote anaonekana mcha Mungu....🔥🔥❤️👏👏👏👏👏👏👏👏👏

    • @denisyohana8104
      @denisyohana8104 3 หลายเดือนก่อน +3

      afu ni mrembo

    • @AzizNgitu-wk3ey
      @AzizNgitu-wk3ey 3 หลายเดือนก่อน +2

      Weee

    • @ronaldchambasi7493
      @ronaldchambasi7493 3 หลายเดือนก่อน +3

      Hakika ..umeona kama mimi 💪🏾

    • @msigwa1
      @msigwa1 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@denisyohana8104 😀😀🤣🤣 kabisaaaa jicho lako linaona vizuriiii

    • @msigwa1
      @msigwa1 3 หลายเดือนก่อน

      @@ronaldchambasi7493 kabisaa

  • @jrgongo6348
    @jrgongo6348 3 หลายเดือนก่อน +19

    Uyo Mrembo Anaeleweka sana, Ni bonge la Mrembo Msomi. Anamatamshi mazuri ya kuvutia, katika lugha Zote mbili! Kwa Kiswahili na kingereza, Sauti yako ni tamu kwenye mtandao wa Tigo, Huwa natamani nipigage simu mda wote niskilizage Sauti yako nzuri. ok Mungu Akuinue zaidi ya hapo.

    • @davidoscooper237
      @davidoscooper237 3 หลายเดือนก่อน +1

      Njoo mtaan kwetu umuonekabisa ikiwezekan upge nae story Hana majigamboo

  • @AnnaMoshi-wm4kg
    @AnnaMoshi-wm4kg 3 หลายเดือนก่อน +15

    Nimekupenda bure wewe dada you are so talented acha upewe maua yako🎉🎉🎉

  • @TausiHasheem
    @TausiHasheem 3 หลายเดือนก่อน +11


    God first....Dada anamtanguliza Mungu Sana ndio maana anakutangulia❤❤

  • @theresiamanyanda1125
    @theresiamanyanda1125 3 หลายเดือนก่อน +5

    Interview irudiwe i know the sister mrembo usiye ringa your very talented naona kuna kitu kikubwa waweza kufanya...hata kurudi kwenye Ndege huko...!Be blessed more🎉🎉🎉❤

  • @jovinmutakumwa9611
    @jovinmutakumwa9611 3 หลายเดือนก่อน +30

    Haya maojiano angeyafanya kama kikeke hivi au Millard mwenyewe ingekuwa poa sana. Sema mpaka hapo kajitaidi sana big respect ✊

  • @NeemaJuma-dj2bx
    @NeemaJuma-dj2bx 3 หลายเดือนก่อน +23

    Daah!!! Yaan mama yangu akijibiwa haipatikani, naye anajibu akipatikana mwambiye namtafuta.😆😆😆😆😆

    • @ElishaSolomoni-kc4zk
      @ElishaSolomoni-kc4zk 3 หลายเดือนก่อน

      UMETISHA

    • @esthermalamsha2847
      @esthermalamsha2847 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @BrunoNamanga
      @BrunoNamanga 3 หลายเดือนก่อน

      Wenye wivu hawampendi huyu dada.😂😂😂
      Mama yako katisha 😅😅😅😅😅

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 หลายเดือนก่อน +22

    Unafaa kuwa Mtangazaji huko Mbele..nimependa una Hofu ya Mungu na Mungu akubariki sana..Mdogo wangu...Nadhani Tigo wanapaswa kukulipa zaidi

    • @mmassfashiondodomatz
      @mmassfashiondodomatz 3 หลายเดือนก่อน +1

      Umejuwaje kati ya ww na yeye nani mkubwa

  • @kajimadaud7163
    @kajimadaud7163 3 หลายเดือนก่อน +6

    Communication Skills to the highest level. Hongera Dada

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz 3 หลายเดือนก่อน +11

    Nimempenda Muhojiwa.... Ana-smile mda wote. Congrats Mary 🎉🎉

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Ahsante e😊

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 3 หลายเดือนก่อน +16

    Kwaiy na wew ukimpigia mtu sim akiwa hapatikan unajisikia sauti yako 😂😂

  • @zitongwang6278
    @zitongwang6278 3 หลายเดือนก่อน +14

    Dada Ako na bashasha balaaa , live long my sister , I real enjoy ur voice in tigo customer service , bakari yupo kikazi zaidi , Sura ya KAZI ✌️🌹😻🌹

  • @bahatimkemi4309
    @bahatimkemi4309 3 หลายเดือนก่อน +8

    Dada hongera nimekupenda Bure kwa hicho kipaji ulichonacho

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 3 หลายเดือนก่อน +40

    Beautiful with brain❤congratulations 🎊 our girl..keep the sprit burning 🔥 inatia moyo sana kuona unavyobarikiwa kutokana na kipaji chako❤

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Amina Nampa Mungu utukufu Kwa Kuni wezesha kwakweli. Kipaji changu kimekuja na faida kubwa saana katika maisha yangu. 😊

    • @rachelbundala934
      @rachelbundala934 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@marychizi3353rubean chizii ni ndugu yako

    • @asantenashukuru1390
      @asantenashukuru1390 3 หลายเดือนก่อน

      Kai njema dada. MUNGU akubariki aidi

    • @asantenashukuru1390
      @asantenashukuru1390 3 หลายเดือนก่อน

      Kazi njema mno dada. Namuomba MUNGU akuwezeshe zaidi.

  • @upendokiza6061
    @upendokiza6061 3 หลายเดือนก่อน +25

    Hongera sana dada Mary, Mungu akufanyie wepesi katika kazi yako.

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน +1

      Thank you 😊

    • @aishamamy
      @aishamamy 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@marychizi3353it's you..?

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 3 หลายเดือนก่อน +85

    Sauti nzuri sana. Na akiongea kimombo Maneno yanasikika na kueleweka

  • @musaambonisye6046
    @musaambonisye6046 3 หลายเดือนก่อน +31

    Muulizaji aliharbu interview, dada yupo energetic lkn jamaa kapoa alaaa😂😂😂😂

  • @mapendoglory16
    @mapendoglory16 3 หลายเดือนก่อน +33

    Yes!!!! We need people like you, who think globally but act locally. You have not allowed modernity to model with you.❤❤❤❤

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน +3

      Amen ahsante saana 🙏🙏

    • @FaustiniKalyembe
      @FaustiniKalyembe 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@marychizi3353umeolewa???

  • @stephennyagonde637
    @stephennyagonde637 3 หลายเดือนก่อน +132

    Hongera sana Mary, nilipata kumfahamu marehemu mzee wako Eng. Paul Chizi alinisaidia sana kuingia kwenye biashara ya consultancies. Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani. Sikuwahi kujua kama aliye tangaza tangazo hilo.

    • @daudimaniseli759
      @daudimaniseli759 3 หลายเดือนก่อน +9

      Mwanadamu Bora niyule anae lipa shukrani,,Kwa Dua au Kwa fedha itafute familiar yake...

    • @damianmodestomuguta5086
      @damianmodestomuguta5086 3 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@daudimaniseli759ahhahahaah. Usikute yeye ndio hana hela alafu unataka akafanye nn au unataka akajidhalilishe

    • @abeljames8081
      @abeljames8081 3 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana,.​@@damianmodestomuguta5086

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 3 หลายเดือนก่อน +3

      Chizi au Chiziii?

    • @jastinkimambo2812
      @jastinkimambo2812 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hii ni faida ya kusomesha watoto.
      Hongera kwa boss Chizi RIP

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 3 หลายเดือนก่อน +16

    Wow,confidence is beauty ❤

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 3 หลายเดือนก่อน +64

    Mimi namshukuru Mungu kwa ajili yako, huna majivuno, kiswahili kimenyooka, hongera.

    • @jadetoto
      @jadetoto 3 หลายเดือนก่อน +4

      Acha hizo kwani mtu mtu akiongea kingereza ndo dharau bwana kama hujui kingee nyamaza

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ahsante saana ❤

  • @DenisDastan-y7e
    @DenisDastan-y7e 3 หลายเดือนก่อน +31

    Uyu angeojiwa na millard mwenyewe ingetisha 😮😮 nawakilisha tu🎉

    • @shabaninjaidi1490
      @shabaninjaidi1490 3 หลายเดือนก่อน +2

      SURE JAMAA KAMA HAKUJIPANGA VILE

    • @MageleCharles
      @MageleCharles 3 หลายเดือนก่อน +2

      Umenena jamaa kapoa saaana

    • @janemsamati6700
      @janemsamati6700 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nilikuwa nawaza kama wewe

    • @Mrp_manguluwe
      @Mrp_manguluwe 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @jaytv5079
    @jaytv5079 3 หลายเดือนก่อน +15

    Her English slang is fantastic.. it sound like AI 😊

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Thank you very much

  • @milimathias
    @milimathias 3 หลายเดือนก่อน +2

    Appreciation to you Mary , you are the woman with a lot of confidence.

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Thank you very much 🙏

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 3 หลายเดือนก่อน +25

    Hongera Sana Mary,kazi nzuri Sana Mungu azidi kukubariki kwa kipaji chako na vingine.

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Ahsante saana

    • @MlangomaAdo
      @MlangomaAdo 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@marychizi3353hongera sana

  • @MarynessRugaimukamu-u7s
    @MarynessRugaimukamu-u7s หลายเดือนก่อน

    Hongera wajina huyo dada anajianini kwa anachkifanya anatufundisha tujiamini kwa vipaji vyetu❤🎉

  • @boazmasonga7772
    @boazmasonga7772 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Dada, sura yako inazungumza vingi, Itoshe kusema Mungu akuweke muda mrefu na ufanikishe malengo yako
    26:30

  • @laxmajor
    @laxmajor 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nomaa sanaa 😍

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 3 หลายเดือนก่อน +31

    Sisterhood is so proud of you.

    • @GibsonMamba
      @GibsonMamba 3 หลายเดือนก่อน

      Good benefits 0f out education

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Thank you 😊

    • @godlovephilemon5626
      @godlovephilemon5626 3 หลายเดือนก่อน

      Congratulations

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 3 หลายเดือนก่อน +116

    Hizi ndio interview za kuangalia na kujifunza sio kutiletea mahojiano ya nani bwana yake nani, Watanzania tubadilike tutumie mitandao kwa kujifunza mambo mazuri Kama haya kutoka kwa Watanzania wenzetu

    • @jacksonjack3076
      @jacksonjack3076 3 หลายเดือนก่อน +11

      Hakika pia imenifunza kitu hii interview

    • @dihm907
      @dihm907 3 หลายเดือนก่อน +4

      Ubinfsi huo. Kila mtu ana interests zake. Acha kila mmoja apewe nini anapenda as long as sio lazima.

    • @BenedictaMagantg
      @BenedictaMagantg 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ha ha ha ha. Umenichekesha ila umesema ukweli.

    • @lucybatista2631
      @lucybatista2631 3 หลายเดือนก่อน

      Dada hongera sana...mimi naomba kazi ya matangazo. Niliwahi kufanya kazi integrated ilikuwaga pale Morocco. Nilikuwa customer care pia seller's and marketing

    • @ShedrackDamiani
      @ShedrackDamiani 3 หลายเดือนก่อน

      🎉🎉mauwa yako

  • @simbahussein4416
    @simbahussein4416 3 หลายเดือนก่อน +4

    MY SISTER YOUR SOUND IT'S BEAUTIFUL AM FROM AUSTRALIA ❤❤

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน +1

      Thank you 😊

  • @ImaniBalankwaya
    @ImaniBalankwaya 3 หลายเดือนก่อน +44

    ❤dah jamni kwanza huna mashauzi huna makucha ya kishetani wanaoweka machangudoa unajiheshim unanidham yakazi so cacophonic joy mungu akujalie nawish nkusilimishe

    • @joppagraphix2868
      @joppagraphix2868 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wakati huo huo unatumia masimu ya kisherani hujaliii😂😂😂

    • @WallaceWaweru-ob7jz
      @WallaceWaweru-ob7jz 3 หลายเดือนก่อน +3

      Uliona shetani kucha zake au 😅nauku ulisimuliwa ili uogope Ku focus ukawa maskini mwenye nyege wivu 😅😅😅

    • @CostanciaSimon
      @CostanciaSimon 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@WallaceWaweru-ob7jzKwan mbona umechukua hivyo??

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@joppagraphix2868simu sio shetan

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 3 หลายเดือนก่อน +1

    Very sensive ❤to here to listen i like in totally 🎉🎉keep it up

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Thank you 😊

  • @deusgervas4676
    @deusgervas4676 3 หลายเดือนก่อน +11

    Inatoshaaa kusemaaa Marry umeni push kwa mazungumzooo hayaa MUNGU Akubarikii sanaaa

  • @kamugishaevodius8943
    @kamugishaevodius8943 3 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana dada Mwenyezi Mungu, amekukilimia hicho kipawa. Mungu akupiganie

  • @sophiamsangi9763
    @sophiamsangi9763 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kwa kipaji chako endelea kubarikiwa na kuinuliwa katika mafanikio makubwa unayofanya mungu ni mwema

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 3 หลายเดือนก่อน +15

    Hapa ndo ulimwengu tujue kuwa Mungu umpa atakaye na uamua Kwa nyakati zake mtu awe

  • @issakisalu9237
    @issakisalu9237 3 หลายเดือนก่อน +25

    Angehojiwa na Mirad ingekuwa bonge la show this man is very serious na huwa kama hajali sana

    • @roberttagaya9098
      @roberttagaya9098 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa. Huyu jamaa hawezi kabisa kuhoji. Kwanza hata ukaaji wake sio mzuri. Ana hoji kama ana dharau vile.

    • @matildalossenmsokwa4037
      @matildalossenmsokwa4037 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@roberttagaya9098anaonekana mvivu mvivu anaboa

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 3 หลายเดือนก่อน +2

      Mtangazaji naye yuko Vizuri ana Sauti nzuri

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 3 หลายเดือนก่อน

      Bakar chijumba yupo poa tu pia

    • @amirisaid6341
      @amirisaid6341 3 หลายเดือนก่อน

      Hana time 😅

  • @SalimKiembaemba
    @SalimKiembaemba 3 หลายเดือนก่อน +40

    Waliojaribu kupiga tena namba za tigo ambazo hazipatikani ili kuskia tena hii sauti like humu.

    • @calistanyimbo5225
      @calistanyimbo5225 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Mrp_manguluwe
      @Mrp_manguluwe 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 3 หลายเดือนก่อน +1

    Job well done ma sister,Niko Jozi umetuheshimisha huku wazulu wanakufatilia,keep going,may Allah bless,guide n protect u,in shaa Allah

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Hahahaha yeah God is good all the time 😊

  • @GoodluckGodfreyNgomuo
    @GoodluckGodfreyNgomuo 3 หลายเดือนก่อน +2

    🌹🍁☘️🥦🥦🥀🌻🌼💐🌺kumbe wewe ndoo ulinifanya nipende tigo be bless my sister

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph2733 3 หลายเดือนก่อน +5

    Daah wewe dada wewe sikumoja uliniudhi mimi nilizania nachitiwa kumbe cm iko hewani 😂😂😂nilichangamka moyoni kumbe ilikuwa mtandao tu.🤝❤️💯

  • @MarynessRugaimukamu-u7s
    @MarynessRugaimukamu-u7s หลายเดือนก่อน

    Asante sana unampenda Mungu ndo maana unapata ushindi victory

  • @farmerissa
    @farmerissa 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi mkenya, na huyu mdada anaweza. ❤

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊😊 i appreciate that thank you 😊

  • @ewaldkiria4031
    @ewaldkiria4031 3 หลายเดือนก่อน +25

    Anaehoji hayupo focused, Anahangaika alafu hasikilizi kwa kumaanisha, Ila Dada Upo vizuri

    • @overplantv21
      @overplantv21 3 หลายเดือนก่อน +2

      huyo kesharidhika na Hela za Mirad Ayo au basi atakuwa anawinda ukuu WA wilaya Huyo...😅😂😂😂so Kwa suti hizo

    • @jackytuyi8899
      @jackytuyi8899 3 หลายเดือนก่อน +2

      True

    • @saulamachumi8320
      @saulamachumi8320 3 หลายเดือนก่อน +4

      Hata mimi nimeona hilo anaboa. Yaani unamhoji mtu kwanini akili yako isitulie ukamsikiliza vzr. Halafu kuna muda anashika simu kabisa dada anaona wazi jamaa hamzingatii😏😏😏

    • @cath._rynee8584
      @cath._rynee8584 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yaaaniiiii

    • @JohaDomi-bg5yh
      @JohaDomi-bg5yh 3 หลายเดือนก่อน

      Maskini kaonesha sana ushiriano mchangamfu ila mtangazaji sio kabisa

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 3 หลายเดือนก่อน +16

    Babu yangu alisema akija mwambie nimempingia😂😂😂😂😂😂nilicheka hatar😊

  • @rosegodlove1956
    @rosegodlove1956 3 หลายเดือนก่อน +15

    Ni mrembo na yuko simple sana no makeup wala nn ❤❤❤

    • @HappyJohn-h8q
      @HappyJohn-h8q 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisa urembo bila make up safiiii sanaaaaa

    • @jasonchanzi1023
      @jasonchanzi1023 3 หลายเดือนก่อน

      Sanaaa

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana8088 3 หลายเดือนก่อน +24

    AYO TV tafuta mike ya kuchomeka kwa nguo hiyo ya kuhamihamisha inasumbua muongeaji

  • @DeborahSichone-b9c
    @DeborahSichone-b9c 3 หลายเดือนก่อน +9

    Wahooo nimekupenda ila mtangazaji simuelewi na maswali yake dada yupo vizuri

    • @MaryNdondole
      @MaryNdondole 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mmi mwwnyewe huyu hara simuelewagi

    • @MaryNdondole
      @MaryNdondole 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mtangazaji anapandia panda maneno

  • @kwayayamtakatifuscholastic9132
    @kwayayamtakatifuscholastic9132 3 หลายเดือนก่อน +1

    The best voice over artist ❤

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 3 หลายเดือนก่อน +66

    Dada umefanikiwa kwa sababu umemuweka mungu mbele nimekuchunguza dada kila ukiongeya unamtaja mungu sana hiyo ndo siri ya mafanikio magu rip alimtaja mungu kila mda

    • @princehancesam9892
      @princehancesam9892 3 หลายเดือนก่อน +1

      Uko sahihi nimependa comment yko

    • @theresiarutagwaba
      @theresiarutagwaba 3 หลายเดือนก่อน

      Yes

    • @aliciagenius7779
      @aliciagenius7779 2 หลายเดือนก่อน

      Siyo mungu kipenzi ni MUNGU.... Tena ni MUNGU wa miungu

  • @KhalidiMsuya-h6o
    @KhalidiMsuya-h6o 3 หลายเดือนก่อน +2

    Angekua kasoma chuo udom ungesikia akisema mimi cjui kiswahili vizuri

  • @gladnessshola2718
    @gladnessshola2718 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mtangazaji hatulii yani posture yake haiko pow, nimempenda huyo dada

  • @Meil_77
    @Meil_77 3 หลายเดือนก่อน

    Nimempendaaaa bureee i watch this video almost ninavoingia utube 🥰

  • @thomasluhumbika9986
    @thomasluhumbika9986 3 หลายเดือนก่อน +1

    Very smart woman katika angle zote. Big up

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      😊😊thank you very much 🙏

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 3 หลายเดือนก่อน +5

    Mary you nailed the interview! Keep going.

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Thank you very much 🙏

  • @AidaKajala
    @AidaKajala 3 หลายเดือนก่อน +204

    Kasomea Kwa madiba kakulia Kwa madiba bado anaongea Kiswahili ila ngekua ma Dada wa bongo njooni mjifunze kitu

    • @kodackdeblack7982
      @kodackdeblack7982 3 หลายเดือนก่อน +31

      Wamesoma feza tu apo wanajikutk km wako Harvard 😂😂😂😂

    • @lucasmlowezi9214
      @lucasmlowezi9214 3 หลายเดือนก่อน +13

      Dah uko sahihi

    • @rashidisaidi8535
      @rashidisaidi8535 3 หลายเดือนก่อน +9

      Upo sahihi

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 3 หลายเดือนก่อน +15

      Malizia bongo movie😅😅

    • @annakbunga8377
      @annakbunga8377 3 หลายเดือนก่อน +11

      ​@@kodackdeblack7982 huyu ni mtoto wa mzee chizi baba yake alikuwa anafanya kazi serekalini wa kishuwa amesoma kweli south kweli

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 3 หลายเดือนก่อน +4

    Akili nyingi sana uyo dada 🎉tatizo ameolewa ningejaribu kumwambia isia zangu juu ya sauti yake ❤

    • @miaduana
      @miaduana 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @AlexJohn-pt5sp
      @AlexJohn-pt5sp 3 หลายเดือนก่อน +2

      Dah u nataka kumuoa

    • @Boniphaceshayo5
      @Boniphaceshayo5 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@AlexJohn-pt5sp yes kwani dhambi

    • @gracebwambale5032
      @gracebwambale5032 3 หลายเดือนก่อน

      Apana si dambi​@@Boniphaceshayo5

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน +1

      😊😊😊😊

  • @nyanginyamhoza1106
    @nyanginyamhoza1106 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mary your so cute and good in voice congrats dear na wala huringi ❤

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 2 หลายเดือนก่อน

    Ni hakika sauti yake ni nzuri mno unavumia kuickia inavyo tiririka sikioni,
    Hongera yake sana

  • @husseinabdallah4766
    @husseinabdallah4766 2 หลายเดือนก่อน

    She is very pretty 😍 anamacho mazuri chukua maua yako🎉🎉❤

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 3 หลายเดือนก่อน +7

    Dada sauti yako ni nzuri na unaeleweka vizuri. Jina lako hiyo chizi ndo umenitisha. Ila sauti hiyo ni ya kumtia kichaa mtu. SAUTI YA PEKEE.

  • @jacksonbiswalo8360
    @jacksonbiswalo8360 3 หลายเดือนก่อน +2

    Dada mrembo sana hf hata haringi ❤❤❤

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada Yuko vizuri sana

  • @MussaAthumani-hk5qm
    @MussaAthumani-hk5qm 3 หลายเดือนก่อน +1

    I wish you good work congratulations

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaaalah,namba isopatikana,mdada,

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 3 หลายเดือนก่อน +2

    Yote haya mzr yaliyo fanywa na kampuni ya tigo,halafu ana tokea jamaa mmoja anajiita tundu lisu anataka kuichafua kwa muda mfupi huyu mtu hafai ktk maendeleo kwa taifa letu.

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 3 หลายเดือนก่อน +13

    Mm nilifikii ni Computer Kwa kweli, Duuuuuue hongera.

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Ni Mimi sio computer

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Ni Mimi sio computer

    • @GoodluckGodfreyNgomuo
      @GoodluckGodfreyNgomuo 3 หลายเดือนก่อน

      My sister your so good be bless🙏 ​@@marychizi3353

  • @ChainesBoufee
    @ChainesBoufee 3 หลายเดือนก่อน +14

    Nmekupenda mama huna pozi kabisa mung akubarik sana.

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 3 หลายเดือนก่อน +72

    Mtoto wa kishua lakini Hana mambo ya kishetani hajaweka makucha bandia,kope na vitu vingine ni malezi Bora sana

    • @MariaDamson-u8r
      @MariaDamson-u8r 3 หลายเดือนก่อน

      Una wazimu ww kwahy malezi bora ni hayoo😅😅😅 au una makasiriko yakoo hata hilo wigi kwa wengn n ushetan hapo vipi km huna hela ya kumtunza mtu tulia ushetan wa nyokwee

    • @nassoromfumya7319
      @nassoromfumya7319 3 หลายเดือนก่อน

      😂​@@MariaDamson-u8r

    • @elishajilungu1055
      @elishajilungu1055 3 หลายเดือนก่อน +2

      Umepiga kwenye utosi watu

    • @ThomasAlute
      @ThomasAlute 3 หลายเดือนก่อน

      @@elishajilungu1055 Asante sana

    • @Theironrod9373
      @Theironrod9373 3 หลายเดือนก่อน +2

      Naona kuna mtu umemkuna hapa!!

  • @HappyRenatus-bu2hk
    @HappyRenatus-bu2hk 3 หลายเดือนก่อน +15

    Yaaan kuna watu wana hela hafu wa somi hafu wamekaa out of the country, lkn hawana masheuz kama vijitu vingine, kusoma tu kidoho bwebwe kibao,Dear marry MUNGU akuinue zaid ya hapoooo watu kama nyie huwa mnaishi maisha marefu

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน +4

      Amina ahsante

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@marychizi3353nimejivunia wewe sikuwahi kujua au kufikiria kama ni wewe

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re 3 หลายเดือนก่อน +29

    EBANA FURSA IPO SGR WAPELEKEE VOICE YAKO KIDOGO TUTABURUDIKA

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nitawacheck aaaise kweli itapendeza 😊

  • @GoodluckGodfreyNgomuo
    @GoodluckGodfreyNgomuo 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu humbariki mtu kipaji mungu akubariki sanaaaaaa🙏

  • @IbrahMoyo
    @IbrahMoyo 3 หลายเดือนก่อน +18

    Brilliant sister I love you..........

    • @wambukashungu4789
      @wambukashungu4789 3 หลายเดือนก่อน +2

      Anaju kingerza bt anaongea kiswahil fasaha❤❤❤❤

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Thanks guys❤

  • @savemeallah5180
    @savemeallah5180 3 หลายเดือนก่อน +6

    Naipenda sautiyako nitamusana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @scopy0428
    @scopy0428 3 หลายเดือนก่อน +16

    Familia ya kisomi madam anaongea kisomi sana hana mashauz wala mapozi ya ajabu ajabu

    • @JohaDomi-bg5yh
      @JohaDomi-bg5yh 3 หลายเดือนก่อน

      Mchangamfu ila anayemuhoji anaboa

  • @rosemilingi7860
    @rosemilingi7860 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kipenzi ipo vzr mno

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 3 หลายเดือนก่อน +3

    Aliyehoji sauti si ya amzing ..ilitakiwa ahojiwe na ayoo

  • @MerinaMihayo
    @MerinaMihayo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera ❤❤dada

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 3 หลายเดือนก่อน +14

    Vikomwe tuko vzuri you're voice 🔥🔥🔥🔥🙌

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna aina za makomwe sio yote 😂😂 kuna komwe kama panki la polisi wa kizamani hao hamna kitu

    • @AishaSaid-yg1ou
      @AishaSaid-yg1ou 3 หลายเดือนก่อน +2

      Komwe wote wanajiamini..❤

    • @AishaSaid-yg1ou
      @AishaSaid-yg1ou 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@AllyMaya-yj3xd😂😂😂😂

    • @denismugisha2
      @denismugisha2 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂yani ghafla tu umetafuta jinsi ya kuhusiana nae

    • @KhamisAli-r1w
      @KhamisAli-r1w 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe mbona unakaanga mihogo!!!! Au kikomwe chako cha sehem gan!!.??.

  • @JordanBegumisa
    @JordanBegumisa 3 หลายเดือนก่อน +14

    Serikali imchukue impeleke air 🇹🇿 Tanzania anafaaa sana kama hostes

    • @bdkexecutive
      @bdkexecutive 3 หลายเดือนก่อน +4

      😂 did you mean serikali imchukue au yeye aichukue serikali?
      Nadhani yuko beyond being kwenye hiyo position.

    • @lucasmangora23
      @lucasmangora23 3 หลายเดือนก่อน +1

      Si amesema amefanya mpaka British Airways

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona huyo jamaa anayehoji km anamuogopa huyo dada,maana hatulii kwenye kitu huku anatazamia kwa kuibia km anaona aibu😂

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 3 หลายเดือนก่อน +1

    Congratulations 👏🌹 uc tupange tena tuki call tumpate muhusika🤣🤣

  • @TheMsangi
    @TheMsangi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu anahoji anaboa sana. Hii interview ni nzuri ila jamaa kaharibu. Yaani mi nafikiri hajasomea hii kazi yaani.

    • @AnithaMakambala-mg5qn
      @AnithaMakambala-mg5qn 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisa Yani hamuachi mtu amalize kuongea kashadakia, mara yupo busy na Simu mi ananiboa kweli

  • @allyashakasha1268
    @allyashakasha1268 3 หลายเดือนก่อน +4

    Dada hapendi Sifa kabisa yeye yupo na mungu tu

  • @EliaPundugu
    @EliaPundugu 3 หลายเดือนก่อน +5

    Uko vizur sister angu mungu akubariki

  • @sammychansa1797
    @sammychansa1797 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mtangazaji umepoa bn ,bora angemhoji Millard nd tungefaid

  • @samuellubunga
    @samuellubunga 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umemakinika sana
    Upewe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HeadFundi
    @HeadFundi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Waoooh🎉🎉🎉abarikiwe hatamimialiniambiahivo❤❤❤

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera dada ngoja tukukete air Tanzania now tuwe na watu wazur zaidi

  • @EvaFuraha
    @EvaFuraha 3 หลายเดือนก่อน +2

    Be blessed.

  • @BrightKikungwe
    @BrightKikungwe 3 หลายเดือนก่อน +2

    ila uache kutuambia tuongeze salio kama hatuna ujiongeze😂😂😂😂😂

  • @Kaankaraz
    @Kaankaraz 3 หลายเดือนก่อน +20

    Mtangazaji acha upuuzi tabia ya kuchezea simu wakati wa mahojiano haifai

    • @andreamandari7089
      @andreamandari7089 3 หลายเดือนก่อน +3

      Anahangaika sana na suti yake

    • @issarajabu5696
      @issarajabu5696 3 หลายเดือนก่อน +1

      Jamaa kazingua sana kama hayuko serious hiv😅

    • @RhonMaree
      @RhonMaree 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yan hayupo serious kbs😂😂

    • @salimmussa999
      @salimmussa999 3 หลายเดือนก่อน +1

      hii kweli haijakaa poa

    • @germangleon9274
      @germangleon9274 3 หลายเดือนก่อน +2

      nyie hamjui hizi kazi, anakuwa anasoma masuali

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 3 หลายเดือนก่อน

    So beautiful so Smart so confident and so intelligence

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Sooo overwhelmed by your comment. I highly appreciate it 🙏

  • @mhagamacuthbert9204
    @mhagamacuthbert9204 3 หลายเดือนก่อน +5

    Better kuongeza mic nyingine badala ya kuamisha hamisha

  • @MaryThomas-h6e
    @MaryThomas-h6e 3 หลายเดือนก่อน +4

    Mary dada Mungu akutunze tu somo angu,,,!

  • @ShaabanRamadhanShaaban
    @ShaabanRamadhanShaaban 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dada upo vizur big up sana👍

  • @albertnyamwanji8890
    @albertnyamwanji8890 3 หลายเดือนก่อน +1

    Millard Ayo mimi ni fan wako na napenda sana nakukuombea always uendelee kufanikiwa lakini shida huyu jamaa sijaangalia interview zake hana urulivu wakuhoji mtu vizuri anakatishakatisha mtu kuongea anashika mic ovyo hafai kufanya interview za aina hii mana out fit yake na anavyobehave kwenye kuongea hafai kwa interview official kama hzo. Kama ni mara ya kwanza ajirekebishe.
    NOT HATE JUST ADVICE.

  • @annaamsi9463
    @annaamsi9463 3 หลายเดือนก่อน +19

    Beautiful with brain hongera sana❤

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน

      Thank you 😊

  • @robertmwakingili4255
    @robertmwakingili4255 3 หลายเดือนก่อน +6

    Dada Mary, sauti yako ni ya kuzungumza na kumwimbia Mungu!!

    • @marychizi3353
      @marychizi3353 3 หลายเดือนก่อน +2

      Amina nafanya ivyo. Namuombia bwana na n