SIFA HIZI ZINATOSHA KUMTULIZA MUME

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ม.ค. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 101

  • @user-no7fg8kh9y
    @user-no7fg8kh9y 4 หลายเดือนก่อน +4

    Darsa nzuri masha Allah, lakn wanaume wengi hawajui maana ya mwanamke kujipamba

  • @user-pk2km5nj3f
    @user-pk2km5nj3f 6 หลายเดือนก่อน +7

    Anty fatma wanaume wengine hawabebeki wewe mumewako km nimuelewa nirizkiyako nabahati mshukuru mungu usione wewe niuhodari nibahati umrpata kutoka kwamungu tunaweza natunafanya lkn imeshindikana uwe unazungumza wanawake tu nawanaume watupatisha dhambi

  • @bintiomarmohammed2377
    @bintiomarmohammed2377 5 หลายเดือนก่อน +3

    Wàllahi mimi huwa napenda sana kusifiwa ninapo fanya jambo na mume wangu alikuwa hana hiyo tabia basi niliumia sana lkn kwa sasa amebadilika nikifanya jambo ananisifia alhamdulilah Allah amuongoze

  • @SalmaThabiti-jd5dk
    @SalmaThabiti-jd5dk 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ukty fatmah km mumeo anakutwii na kukusikiliza mshukur mungu wenzio wanalia uku kwanza waume walio wengi hawana elim ya dini

  • @user-we3os7cx7h
    @user-we3os7cx7h 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sijaolewa ila nimependa sana haya maneno.... Maa shaa Allah ❤❤❤❤❤❤❤

  • @MeswalehShaban-mg5kk
    @MeswalehShaban-mg5kk 5 หลายเดือนก่อน +5

    Mashallah mashallah ❤...kupitia kwako mama najifunza mengi sna...Allah akujalie utajir w afya njema daima ili uzidi kutufunza yaliyomema ...

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 4 หลายเดือนก่อน +4

    Subhanaallah jamani vidole vyetu haviko sawa sawa kuna wanaume wengine hata ufanye yote hayo bado anakuona huna lolote

    • @BMboss108
      @BMboss108 4 หลายเดือนก่อน

      Ata nashangaa coz wanawake kila siku lawama ni zetu

    • @user-ef3ku6sw8k
      @user-ef3ku6sw8k หลายเดือนก่อน

      Nikwasababu hauna utii kwake iyondo funguo mwanamke lazma awe mtii kwa mumewe

  • @user-bq4pn5wd7f
    @user-bq4pn5wd7f 5 หลายเดือนก่อน +2

    MA SHA ALLAH..huyu ukhty namtaka IN SHA ALLAH akuje kenya..ntampataje

  • @user-up9yl7lm1m
    @user-up9yl7lm1m 5 หลายเดือนก่อน +1

    Darsa Iko vzuri ma Sha Allah ila unaweza kujitahidi kubadilisha badilisha katika kila sekta ndani ya nyumba ila nahisi hao wanaume wengine watakua hawajui kabisa ivyooo kusifia labda wanaona cjui ni kujishusha au hata sielewi

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah kipindi kizuri hakika nafarijika snaa kukiangalia , Allah akulipeni kheri kuanzia ukhti na ah Rashid

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 6 หลายเดือนก่อน +3

    Jazakallahu kheiran

  • @MansourMohdhaji
    @MansourMohdhaji 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jazaakumullahu khaira

  • @mwantumswalehe2300
    @mwantumswalehe2300 6 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran jazaqallah kheiry ❤

  • @user-nw3dw7ol9k
    @user-nw3dw7ol9k 5 หลายเดือนก่อน +2

    Muaerekeze hawo wanaume

  • @faiahmed469
    @faiahmed469 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ughut Fatma unaweza kuwa unafnya Kila kitu kumridhisha mume lakin.ikiwa mume kunavitu anavipnda kama hizo nguo bas awe anavinunua avilete but ww unafnya na yy hajavpnda Wala hajasfu bas na afanye bidii yakuvileta anavyo ipnda

  • @bintiomarmohammed2377
    @bintiomarmohammed2377 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikaa miaka kumi na mume wangu lkn sikujua anapenda chakula gani haswaa mpaka nilikua nashangaa lkn juzi tu niligundua ana penda sa chapati laini na maharagwe

  • @Eleonora-ei6yx
    @Eleonora-ei6yx 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo mambo ya wanaume hayana formula.Wanaume wanataka wanawake tuwe 100%,sisi ni binadamu haitowezekana

  • @subralugege7019
    @subralugege7019 6 หลายเดือนก่อน +5

    Walasio kamahawajui ni ujeuri tu wa wanaume nakujisikia sana tu

    • @user-qv8uo3bc6o
      @user-qv8uo3bc6o 6 หลายเดือนก่อน

      Yaani mume mungine una Fanya yoote lakini yupo busy na wanawake wa kwenye simu michepuko mtihani mtupu

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 6 หลายเดือนก่อน +10

    Hapo pa kusema hhuenda hajalelewa hivyo nakubali tcha.mimi mume wangu hakulelewa na baba nikimaanisha babaye alifariki mapema saana.mimi nimelelewa na wazazii wote wawili.Bas najionea tofauti saana.wakati mwinge namwuuliza mbona baba yangu hufanya 1,2,3 kwa mama yangu lakini hata haelewi.kwa mfano hata upike nini hutasikia akikusifia.najiuliza kwa miaka yote 10 jamani hakuna siku nilipika kitamu?

  • @NijebarikoMoise
    @NijebarikoMoise 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh kuna Wayne wengin awanafica sana

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maaaashaaaallaah kwakwel Raha jaman Rahaaaa 😂😂😂😂

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 6 หลายเดือนก่อน +1

    Maashaallah hukty Fatma

  • @user-jh1vr1vt2k
    @user-jh1vr1vt2k 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah ila miye nipo nnjee naombeni ushauri

  • @juhudiyaislamiya2660
    @juhudiyaislamiya2660 4 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah ukhti fatma

  • @citykibonge2999
    @citykibonge2999 6 หลายเดือนก่อน +2

    Maa Shaa Allah Tabaraka Allah❤ shukran ukthy kwa hili darsa.Nmejifunza mambo mengi.

  • @user-lr9zc1yx2t
    @user-lr9zc1yx2t 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kwakweli wanaume wanatuchosha majumbani

  • @user-ky7uu2uv2f
    @user-ky7uu2uv2f 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sanaaaa ukhty fatma

  • @bikombosalum665
    @bikombosalum665 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaallh tupe darsa dada

  • @AbdallahAlhabsy-lu7zb
    @AbdallahAlhabsy-lu7zb 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sana ukhuty fatma

  • @FatumaHusseni-bp3fk
    @FatumaHusseni-bp3fk 6 หลายเดือนก่อน

    Amn duaa nimeipenda Sana

  • @TausiAbdully
    @TausiAbdully 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallha nimejifuza san

  • @user-ms5qu3dl7n
    @user-ms5qu3dl7n 5 หลายเดือนก่อน

    😮mh mtihani kwakweli ndowa zetu mungu atupe wpes t

  • @user-ox7fl5kp2m
    @user-ox7fl5kp2m 6 หลายเดือนก่อน +2

    Assalam alaykum hapo nmeelewa lakini wenginne waume zetu hawasemi wanapenda nn nadhan akisema anapenda nn sidhani kama ninawezakushindwa kumpikia au kukifanya kitu anachokitaka

  • @khairatsaleh-se5is
    @khairatsaleh-se5is 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallh

  • @oman7710
    @oman7710 6 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadhi ukhty

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimejifunza ❤❤❤❤❤vingi❤❤❤

  • @user-ej9kv1ol2g
    @user-ej9kv1ol2g 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah👏👏

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 6 หลายเดือนก่อน

    Alhamdhulillah nimejifunza jambo ❤❤🎉🎉

  • @user-up7lr3fe5j
    @user-up7lr3fe5j 5 หลายเดือนก่อน

    Asanteni saaana🎉🎉🎉❤❤❤

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ongea na wanaume ndo wanatuangusha"Sasa mme yupo tu Kama gunia asifu"akosoi hashauri" uji kipi anapenda kipi apendi duh"" Bora license tu

  • @AbdallahAlhabsy-lu7zb
    @AbdallahAlhabsy-lu7zb 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanamke awe na heshima kwa mumewe na kwa watu wa mume na kwa wazazi wa mume ndio mke ana pendeza na pia ajue mapishi ndio navutia kwa mume

  • @HalimaKatotoally200-bw6xj
    @HalimaKatotoally200-bw6xj 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asalaam aleykum warahmatullah wablatuh dada me nakupataj

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @user-ur7gr9nh9b
    @user-ur7gr9nh9b 6 หลายเดือนก่อน +1

    Allah atakulipa kilalaqher

  • @user-up3pc6uu7w
    @user-up3pc6uu7w 5 หลายเดือนก่อน

    Asanteeee

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 6 หลายเดือนก่อน +41

    Ukitaka mwanammke avae zile nguo za harusini apendeze basi mpe nafasi asiwe anatumika mno ktk nyumba...unakuta mwanammke km punda ndani kila kitu yy ..hana likizo wala mapumziko unadhani atajipamba saa ngapi...mke ana wtt 4 wadogo tokea asubuhi mpk jioni hana msaidizi...bwana hana usaidizi ndani unadhani atajipamba saa ngapi??unadhani nae hataki kupendeza??hapana lazima wanaume pia wajiangalie .ukitaka hayo lazima mkeo apate nafasi ya mapumziko pia.

    • @user-pw2dv9fr6r
      @user-pw2dv9fr6r 6 หลายเดือนก่อน +5

      Hakika ungakuwa karibu yangu ningekununulia soda ukanywa bureee umeongea maneno mazuri sana I wish wanaume wote wangeyaona ,huna mda wa kujipaka mafuta tu ya Nazi mwilini kila kitu unafanya Kwa haraka haraka Kwa ulezi

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya 6 หลายเดือนก่อน +2

      ❤❤❤nimependa comment yako ni kama ulikuwa unaniona mimi.Yani ungekuwa upokaribu yangu Shamsa ningekupa zawadi yako

    • @user-pk2km5nj3f
      @user-pk2km5nj3f 6 หลายเดือนก่อน +1

      Wallah Umesema kweli tupu wanaume watuzeesha watuchukuwa majumbani kwetu wazuri wajatufuja Mimi nishachoka nakaa tu nalea wanangu

    • @HajiKahema-tw5to
      @HajiKahema-tw5to 5 หลายเดือนก่อน +1

      Apo umeongea

    • @user-nw3dw7ol9k
      @user-nw3dw7ol9k 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mashallah

  • @fatumakombo84
    @fatumakombo84 5 หลายเดือนก่อน +1

    Jmani naombeni kuuliza je km mume jeuri kuna daw au kisomo cha kupunguz jeuri

  • @user-sz4kq9hl5k
    @user-sz4kq9hl5k 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asalamu aleikumu warahmatulha wabarakatuh.naomba namba ya dadayetu Fatma jamani ❤❤❤

  • @AshaAthuman-ju6vu
    @AshaAthuman-ju6vu 3 หลายเดือนก่อน

    ❤🎉

  • @SaidsalehMohd
    @SaidsalehMohd 2 หลายเดือนก่อน

    Wanaume wengine hawajuw thamani ya mke ata ujipambe

  • @MamAdam-pm5du
    @MamAdam-pm5du 2 หลายเดือนก่อน

    1:06

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 6 หลายเดือนก่อน +3

    Asalaam alaayikum warahumatulah wabarakatuh shukuran ukhuty fatuma

  • @VeronicaWilliam-hz2tl
    @VeronicaWilliam-hz2tl 6 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaykum mume wangu kila ninalo lifanya kwake sioni Kama anailifura hiya najitaidi Sana naomba ushauri

  • @user-nr7jq4ib7x
    @user-nr7jq4ib7x 6 หลายเดือนก่อน

    Asalam ghalaykm jamanini asanteni kwanasaha nzuri imenifunza jambo

  • @mwajumasaid7306
    @mwajumasaid7306 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @SalmaThabiti-jd5dk
    @SalmaThabiti-jd5dk 4 หลายเดือนก่อน

    Mi apo kwenye malofa wanamipango sibishi kbs yaaani mipango km mipango

  • @rabiahaji
    @rabiahaji 6 หลายเดือนก่อน

    Mash Allah darsa nzr N taam ila sie wengine waume hatuna vp sheikh Rashid nafas 4 zote zishajaa?? 😢

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju 6 หลายเดือนก่อน

    Ukhti wakati mwengine mume hakusifu kwa sababu ni ubakhili, kwahio hakukigharimia hicho unachojipambia. Akikusifu atajisuta nafsi yake

  • @mwanaedashekue7304
    @mwanaedashekue7304 6 หลายเดือนก่อน

    😢😢

  • @user-ur7gr9nh9b
    @user-ur7gr9nh9b 6 หลายเดือนก่อน +2

    mm kwakweli nimefaidik san had naskiya uroho wandoa

  • @user-jk2qg7ur9l
    @user-jk2qg7ur9l 5 หลายเดือนก่อน

    Sadata

  • @ahmedsalehe9489
    @ahmedsalehe9489 6 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaykum
    Ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 31, natafuta mwanamke wa kuoa, awe na dini na tabia nzuri, alio kua kiakili na hofu ya Allah

    • @MariamObotte
      @MariamObotte 6 หลายเดือนก่อน

      Wewe dini unayo?, sifa unazo taka uwe nazo kwanza ww!!!!

    • @ahmedsalehe9489
      @ahmedsalehe9489 6 หลายเดือนก่อน

      @@MariamObotte alhamdulillah nnazo kadri Allah alivyo nijalia.

    • @MariamObotte
      @MariamObotte 6 หลายเดือนก่อน

      Enderea kutafuta, utapata tu!!!!!

    • @ahmedsalehe9489
      @ahmedsalehe9489 6 หลายเดือนก่อน

      Kama wewe hujaolewa nambie

    • @MariamObotte
      @MariamObotte 6 หลายเดือนก่อน

      Nimewahiwa!!!, tafuta wengine!!

  • @NOORMOHAMED-sg9lo
    @NOORMOHAMED-sg9lo 5 หลายเดือนก่อน

    Ngariba ni bora kuliko nyie mabaradhuli hamna wala hamjui maana ya yote munayoongea

  • @user-sg3lr1lc8k
    @user-sg3lr1lc8k 6 หลายเดือนก่อน

    M

  • @RamlaNunguli-do1hw
    @RamlaNunguli-do1hw 6 หลายเดือนก่อน

    Mm wifi zangu walinipaka mapoda ile tumerudi nyumbani kutoka ukumbini nikaenda kuoga narudi chumbani mme wangu ananambia laah huyu sasa ndio mke wangu😂😂😂😂😂

    • @user-rn6rr8cw5v
      @user-rn6rr8cw5v 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @RamlaNunguli-do1hw
      @RamlaNunguli-do1hw 6 หลายเดือนก่อน

      @@user-rn6rr8cw5v hatarii😂😂😂

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat 6 หลายเดือนก่อน

      Mume amezoea jinsi ulivyo😂😂😂 bila makeup

    • @RamlaNunguli-do1hw
      @RamlaNunguli-do1hw 6 หลายเดือนก่อน

      @@Zainab_salat nilicheka aliongea kwa msisitizo😂😂😂 alinikumbusha kuwa hapendi makeup kwa kweli

  • @husnashariff2237
    @husnashariff2237 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba number ya ukti fatma

  • @Qatar-vh5ff
    @Qatar-vh5ff 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah