MWANAMKE HANA MSAADA BILA MAHABA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ธ.ค. 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 9

  • @user-rq6gf4uc1v
    @user-rq6gf4uc1v 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Allah akulipe kheri tokea nimeanza kukufatilia nimejifunza nashkuru mungu.

  • @user-ce9zj2nn3d
    @user-ce9zj2nn3d 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 7 หลายเดือนก่อน +2

    Maa shaa Allah

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 7 หลายเดือนก่อน +1

    mashallah mashallah mashallah ukhty allah akulipe kheri kwa darsa unazozitoa akuzidishie elim na barka katika katika maisha yako. tunaomba alfatah muendelee kumpa nafasi ili tuendelee kufaidi mengi kutoka kwake

  • @SamiathMohammed-mb4jk
    @SamiathMohammed-mb4jk 7 หลายเดือนก่อน +1

    MashaaAllah 😍 Allah awalipe wema

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 7 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah shukran kwavipind vizuri tuna faidika zaid❤

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah bi Fatma ameongea ukweli kabisa kupika ni tatizo kwetu vijana wa sasa na elimu inatupa vibur na wazazi saivi hawatuulizi na kubwa unafundisha kupika wali na muhogo wa kuchemsha so inakua ukikutana na vyakula vyengine ni tabu sana kula na kuvipika hahaha najitolea mfano mwenyewe nimekaa boarding na chuoni na now nimekuepo nje ya Africa pia nasoma ila kupika nasumbuka sana nimejaa alama za kuungua. Namshukuru Mungu waturuki na wahindi wananifundisha kupika kidogo niko vizur 😇

  • @elizabethshiguta7438
    @elizabethshiguta7438 6 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 7 หลายเดือนก่อน

    😢mimi mume wangu akitoka kazini ananipitia na mimi tunarudi wote nyumbani imenigusa ila ndoo maisha ❤