HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ย. 2018
- Rais Magufuli ambaye yuko ziarani mkoani Mwanza amezungumza na wananchi wa Nansio wilayani Ukerewe katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja Ukuta Mmoja ambapo amesema Serikali imedhamiria kutekeleza dhamira ya Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ya kukiendeleza kisiwa cha Ukerewe kwa kuhakikisha inajenga miundombinu ya barabara ya uhakika, inaimarisha huduma za elimu, maji, umeme na afya, na hivyo amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa Serikali katika utekelezaji wa dhamira hiyo.
Ameongeza kuwa sambamba na juhudi hizo Serikali ya Awamu ya Tano imechukua hatua madhubuti za kusimamia rasilimali za umma ikiwemo kudhibiti wizi, ufisadi na rushwa pamoja na kutekeleza miradi mikubwa ikiwemo kuongeza uzalishaji wa umeme utakaoiwezesha nchi kuwa na umeme wa gharama nafuu kwa ajili ya maendeleo ya viwanda.
Kuhusu uvuvi, Rais Magufuli amempongeza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina kwa juhudi zake za kukabiliana na uvuvi haramu ambazo sasa zimeanza kuzaa matunda kwa samaki kuongezeka katika ziwa Victoria huku akibainisha kuwa uvuvi haramu uliokuwepo umesababisha viwanda vingi vya samaki kufa, ajira kupotea na samaki kupungua kwa kiasi kikubwa kutokana uharibifu mkubwa wa mazalia na uvuvi wa samaki wadogo.
Wakati unagombea uraisi, uripokua unafanya kampeni urikuta ccm ni mbovu sana pia warikususa baadhi ya viongozi uripita kuomba kura mikoani peke yako na uripopita ccm ikawa juu, magufuri roho yako ipumzike kwa amani, mahari pema peponi AMIN
Mfalme lala salama from Kenya lakini nlikupenda xna mtetenzi wawanyonge hutawahi sahaolika Africa nzima Mungu umrehemu
Hata hasomi speech huyu mzee
Mungu muweke pema peponi
Yani nafikili mm peke yangu kumbe wengi tunaye msitajabia baba huyu😭😭😭😭😭 TUMEPOTEZA KICHWA
Huyu hakuwa mtu was kawaida alikua kashushwa na mungu daah 😭😭😭😭
Ulikuwa kipenzi cha watu.ukisema unafanya.mungu akuepushe na moto wajehanamu.makazi yako yawe peponi ukutani na mahulilain wa peponi🙏
Inna lilahi wa Ina ilaihi rajiun mungu ailaze Mahali pema peponi roho yake Insha_allah
Kafiri makazi yKee motoni tuu kwani hujuii ww
hii ndo speech saf ya mkuu wa nch Mungu akubaliki
We really miss you so much our beloved Dad. Tutamkumbuka daima shujaa wetu
Oh thank you dia
Mwenyenzi Mungu tunakuomba utuandalie mwingine mwenye upeo mpana , juhudi ,uzalendo na siasa za kweli ili aje aendeleze haya yenye manufaa kwa wananchi
mungu akuweke mahali pema baba yetu magu uku duniani mafisadi wanatunyanyasa wanajua watakula izo hela milele awajui Kama ipo siku nao watakufa
Mwamba umelala baba Mungu yupo nawe na kama kuna ubaya atakulipia kama alikuita upumzike kwa amani
Kiongozi wa kwanza duniani mwenye hekima na msimamo wake dhabiti,, kongole Mzee,, safiri salama,, Nakupenda toka Kenya kakamega
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Kazi ulio fanya iko myoyoni kweli ushuja ume onyesha hata kosa mtu fulani ata ufwata mfano wako baba 👏🏾👏🏾👏🏾
Rip rais wetu wa mda ote hayat magufuli
Umetuacha yatima mzee wetu.. Asante kwa mema yote uliyotufanyia.. daima utaishi mioyoni mwetu.. I’m missing you 😞.. may your soul rest in eternal glory.. 🙏🏾
Ni maneno ya kiongozi shujaa. Haya yote yanabaki kwenye mioyo yetu daima.
That was man of action those who remains in ccm ni vigeugeu they don't want poor anymore JPM were are you father we miss you papa God send someone to comfort the machinga and the orphans in Tanzanian am Kelvin from l s k Zambia
Tanzania tulipata Rais. Pumzika milele kwa amani. Mimi mungu akijalia nikiwa Rais ntakua kama wewe
Nchi yetu ingefika mbali sana,tungekuwa nchi ya mfano
Hapa Kazi tu! Asante JPM! Keep the tune, tutaelewa tu ambao vichwa vigumu.
Hotuba ya Rais Dkt John Pombe Maguli ni yaukweli yenye Siasa na Katiba kama inavyotakia alitimiza Miradi aliyowaahidi Wananchi wongozi wake ni wakipekee Mungu alimchagua kutumikia Watanzania asante Mungu
Hata salaam yako tu ilinipa furaha na amani
😢😭😭
JPM ntakulilia daima😪😪😪
Gr
Post
Om
Magufuli kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania 🇹🇿 RIP 🙏, nakuangalia mzee wangu 3.7.2024 tunaseka uku mzee wangu 😢
Hotuba hii ya kutoka kwa Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Maguli ya mwaka 2018 September ni Hotuba yenye Katiba na Uchumi wa kujenga Nchi anayoifahamu Uongozi si kazi rahisi nikilingani Tansania na Nchi zenye maendeleo ndio maana asisahulike tumpe shukrani milele na milele
RIP tutakukumbuka daima Kambarage namba 2
Kipenzi cha WATANZANIA REST IN PEACE SHUJAA WETU MAGUFULI 😭😭😭❤💔
Tunakukumbuka jpm, baba raisi wa dunia uliye teuliwa na mungu, mungu alitoa na mungu alitwaaa jina lake lihimidiwe,
Kweli Magufuli alikuwa Raisi wa Dunia tumepoteza jembe kweli kweli
Salaam zako zenyewe zina hamasa , lala baba tutakukumbuka daima
Shimbonyi. Mae. Shimbonyi mmbe. Magufuli kweli we nomaa.
Melanga Chikubati nimefurahi sana kumuona raisi yupo kwetu ukerewe
Tutakkumbuka daima.
Pumzika kwa amani baba.
R.I.P Papaa we missed you🤲🤲
Daah,🙆😭😭
@@exaverymakoye6026 1111111111111111
TUNAKUKUMBUKA.BABA.MUNGU ATUPATIE TENA WA.AINA YAKO MAPEMAAA.EEE MUNGU
Amakweli ulikuwa ukimcha mungu siyokama uliotuachia hatakulitamka jina la mungu Hakuna kwakuwa hofu ya mungu haipo ndani yao hatutafika zaidi yakuyumbishwa na kunyanyaswa
Kodi yaatanzania ndio inajenga nchi na matrilion kuibiwa na mafisadi na wengi wapo CCM .uzuri ilijuwa kilakitu ..lala
Salama
Baba
BADO VILIO VIMETANDA !!! NIMELIA SANA 😭😭😭👆
Pole sana mungu yupo
Mwamba nimekuerewa, Hakika machozi hajaisha mioyoni mwetu,
YANI JAPO ALIKUA NA MABAYA YAKE ILA SALAMU TU UNAJUWA KAMA HUYU RAISI
Rest in paradise Papa.....love you
Mm n mkerewe daaah nimeumia san hutuba hiiii
I miss my president so much! RIP 😞
Hotuba hizi zulitutia moyo, wananchi walihamasika kuja kumwona na kumsikiliza kiongozi wao, leo hii nchi imepoa kabisa.
tonge tam haifiki mdomoni lala pema peponi amiin
Pumzika kwa amani chumaa Dr John pombe magufuli hakika ww ulikua mtumishi wetu na sio rais wetu
Tutakukumbuka daima
Mungu wangu sijui kama tutamsahau huyu
Pumzika kwa amani baba tulikupenda sana Mungu amekupenda zaidi
Kupata Rais kama huyu huenda atoke kanda yaziwa
Sidhani
nakuelewa sn rais wangu mungu akutangulie kwa maendeleo unayo tuonyesha
Hakika mungu mpunzisha kwa amani mtu huyu amina
Tutakukumbuka daima sasa hivi umetutoka yamerudi tena Yale Yale inchi imepoa sana bei bidhaa mafisadi wanatamba mambo ,upande Wa madini hawayasemei kwa nguvu tena ili kuyasimamia vizuri sasa hivi kimya duh Mungu atusaidie 2025 tupate rais Mwenye maona kama magufuli
HAPA KAZI TUU MH MAGUFULI
Nimekubali na nimependa sana najivunia nyumban ukerewe
Hapa kazi tu... na siyo uhuru na kazi
Mweee Baba RUDI...Baba J.P.M Unatuliza....Mungu turudishie mtu huyu mweee.😭😭😭
Chuma in my heart will live for ever
upup
@@zachariamagwasa42 ÀÀAaa
@@zachariamagwasa42 aaaàaA
aaàaaaààÀaaÀaaaaaaaàAAAAAA
Babetu Magufuli umebaki mioyoni mwetu daima. Tuombee kwa Mungu aliyekuwa msaidizi wako ndiye yupo madarakani Sasa anatusulubusha kwa machanjo yao hovyo hovyo uliyoyakataa. Du! Baba tunatendewa Kama kuku wa kuchinjwa, hatuna mahali pa kukimbilia Tanzania Ni pana ila kwa Sasa imekuwa finyu. Pumzika kwa amani mwana mpendwa na mzalendo wa kweli wa Afrika!
Nilimpenda huyu rais na nitaendelea kumpenda. Ni mtu wa wa vitendo
Jamani,siku hizi simkii Ndalichako.sijui kazi zote anafanya ummy
Kweli
Amepotea kabisa.
Hii nchi tumechezewa sana, watu wa hovyo wameharibu sana nchi hii, sikutegemea jpm anaweza kufa kifo cha utata kiasi kile, naumia moyoni, najiona nimekosea kutomlinda akiwa hai , kiukweli wote tulijua wapo downpressers wa haki za watu wa nchi hii waliomchukia sana na walikuwanaye karibu na kumbe behind dem try to eliminate em.
Jah protect you bro Jpm. 😪😪😪
Habakuki 3:2
[2]Ee BWANA, nimesikia habari zako, nami naogopa;
Ee BWANA, fufua kazi yako katikati ya miaka;
Katikati ya miaka tangaza habari yake;
Katika ghadhabu kumbuka rehema.
O LORD, I have heard thy speech, and was afraid: O LORD, revive thy work in the midst of the years, in the midst of the years make known; in wrath remember mercy.R.I.P JPM
Maombolezo 5:1
[1]Ee BWANA, kumbuka yaliyotupata;
Utazame na kuiona aibu yetu.
Remember, O LORD, what is come upon us: consider, and behold our reproach.R.I.P CHUMA 😭😭
Tubaki kuyaishi maisha yake katika nafasi zetu tulzonazo, pengne ni mpango wa Mungu kutuletea JPM. JPM alitufundsha Uzalendo na Uongozi bora na ametufunulia ukweli wa baadhi ya mambo tuliyokuwa hatujui. Mungu ampokee Mzalendo wetu JPM.
@@adammwita3150 moja wapo ni kuhusu kuvunja mikataba tuliyoambiwa ni yamiaka 100 na haivunjikagi ....yeye alivunja bila hata kusikilizia labda kunakitu kitatokea hahahaha kweli Chuma kweli kweli
@@loner_wolf huyu mzee akuwa peke yake MUNGU ALIAMUA KUMTUMIA AWEZE KUTUONYESHA NAMNA TULVYO CHEZEA NA VIONGOZI WETU.
Aliye muuwa this man alani we e
Ulikuwa unanikosha sana mzee wetu. Hata wasipokuenzi kitafa tutakuenzi kwenye mioyo yetu.
Baba tunakukumbuka Sana. Tunalia Sana kwa ulio tufanyia.tuombee unafuu was maisha kwa mungu.nasi tunakuombea.mungu akupokee
Dady we missed you.
R.I.P MZEE MAKUFULI
Rest in Peace mwamba wa Afrika
Mimi nazani Tanzania hatuhitaji maendeleo ya nchi bali tunahitaji tudidimizane ila mungu yupo anawaona. Magu wangu ntakueka moyoni milele
Baba umeondoka lakini utabaki kuwa ndani ya mioyo ya watanzania. RIP Baba.
Magufuli....no words !!!
You missed by us Tanzanians
kwel ww ni raise wa wa2
Tanzania,Afrika na,Dunia nzima tumekupoteza, lakini Mwenyezi Mungu hajakupoteza kamwe. Uko mbinguni kama .Masikini Razalo, ukiwatizama adui zako ng'ambo ya pili, yenye hatima mbaya kwao;kama yule tajiri dharimu dhidi ya Masikini Razaro. Tumepoteza sura yako tu,lakini maneno yako ya busara na hekima yanaendelea kutujenga kupitia hotuba zako mbalimbali."RIP our DaDy"
Jamaa kilikuwa kichwa kweli kweli 🙏
Hakika Magufuli angelipeleka Tanzania pazuri. Mimi nilimpenda huyu raisi.
Mim nilimpenda huyu rais
sasa hiv umpendi kwa sababu amekufa au vp
Tutakukumbuka Sana baba,yanayo endelea kwasasa ni vioja tu
Dah! Rest in power my hero!
Love sana papaaa RIP
Hapa kazi tu tunakukumbuka sana
Cna lakuandika zaid ya kukuombea kwa Mungu akupe pepo ktk maisha y huko akhera, naumia sana kw kfo chako.
Mko powa sana azam TV hongereni sana
Pumzika Kwa Amani shujaa wa Africa mtetezi wawanyonge nivigumu kukusahau lala salama mtetezi wawanyonge pumzika Kwa Amani shujaa wetu
My lovely country Tanzania
Wangapi mpaka leo wakitazama video zake wanaisi bado yupo hai gonga like hapa
R.I.P Mwamba
Continue resting in piece or presdaa
Hapa kazi tu..
Rest in peace mwamba
Allah akuweke apendapo milele amin
Yani huyu jpm alikuwa rahisi Wa dunia. Aliwekwa na mungu kwenye madalaka yake kafanya kazi vizuri.
Upo sahihi 100% Mungu alitupa na cyo kura..ila amin mdugu tanzania ingekuwa ulaya ma umaskini story..kaa ukijuwa viongozi wanalipwa na wazungu kurudi nyuma .haji tokea kama huyu..matibabu bure pesa Zinaenda wapi
Last in peace fother😭😭😭😭tutakukumbuka daima milele.
Maguful lala Salam
TATIZO ulikuwa unatoa ELIMU kwa WASIO ELIMU. HAKIKA ULIKUWA MKWELI
ukerewe oyeeee!
Rest in Peace Baba JPM hakika bila Mashaka ninakupenda sanaa sanaa Pasinakifani japo umelala
Go Papa Go.... Maneno na vitendo vyako vinaishi mioyoni mwa-watanzania tu sio hao waliobaki madarakan 😭😭
Joh
Kweli, ndo maana unaona mpaka leo kuna watu bado wanapambana na kivuli chake bado hawaamini kama ameondoka.
N kweli kazi hiyo ilianza na daraja pale Lugezi linajengwa. RIP son of Tanzania.
Magufuli you are still staying in my heart 😭😭
Your the best.. Leo mwezi wa 11 uwiii
Ila kama kuna mtu aliusika?Mungu atamwona tunazidi kudondosha machozi
Machozi ya watanzania kamwe hawez kuyabeba
Ewe mwenyezi MUNGU mkuu
Jpm my presdent
Kweli tutakukumbuka JPM
Mungu amlaze mahala pema pepon
Apumzike salama mkombozi wa wanyonge
Tulimpoteza Raisi wa maana
Umetuacha yatima haturingi tena mzazi wetu umetuacha. Pumzika Baba kazi uliifanya na njia ulituonyesha kwa kutumia kanuni ya TANU binadamu wote ni sawa. Kuzaliwa ni suna kufa ni faradhi, umetangulia nasi tunafuata. Pumzika kwa AMANI
Great leader for great country
Njoo uone walevi wa gongo wamewaludisha wafanyakazi wenye vyet feki wote,eti uzarendo,wakati no wizi tupu,
Bila kubagua vyama !!!!!!
Maneno ya uwazi, maamuzi magumu, yataishi katika vizazi vya leo na vitakavyoendelea. Utasimuliwa kwa mema na wachache watasimulia Yao mabaya. Sijui Ni Magufuli gani atakuja kupatikana tena katika hii nchi ya Tanzania.🙆🙆🙆😭😭🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Hatariiiiiiii sn huyu mzeee nampenda sn jmn daaaaa??
Tumuamini mungu atawapa kiongozi mwingne
@@calvinbakari6016 pole sana bro mungu yupo
@@josephwambua5874 Duuuuuuiuuuu! Si rahisi kwa sasa, washauri muhimu wote wametangulia mbele ya Haki. Tuko kipindi kigumu kuliko Wakati wa kutafuta Uhuru. Dereva aliyeko nyuma ya mwanafunzi huwa ana KIU isiyoelezeka. Ila Sitaki nimukufuru Mungu kwani anajua kusudi lake 🙏🏼🙏🏼😭😭
Rip baba Diana tutakukumbuka, yan sichoki kuangalia hotuba zake daima jembe langu ,Mungu aweke Nuru kwenye nyumba yako ya milele😭😭😭
Hii ilikua inatosha
Speech ya un
Nawagetuelewa duniani
😃😃😃 kabisa na ingepigwa kiswahili hawataki waache
Tunakukumbuka Sana
RIP JPM, MENGI ULITUFUNDISHA
Kati ya Watanzania ambao elimu waliipata na kuitendea haki Ni huyu mwamba JPM
hongera.makufuli
Nimekumis kipenzi changu