BREAKING: JPM Afanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini DSM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- BREAKING: JPM Afanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini DSM
Rais Dkt John Magufuli lei Mei 15, 2018 amefanya ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam na kukagua matanki ya mafuta ambayo yana utata mkubwa unaosababisha bidhaa hiyo kuadimika na kupanda bei.
Baada ya kufanya ukaguzi huo, Rais Magufuli amekuta madudu na udanganyifu mkubwa ambapo amefanya maamuzi ya kuwapiga faini waliokutwa na udanganyifu huo na kutoa agizo la mafuta yaliyokutwa ni Cruddle na Semi-refund yatolewe leo na yaanze kutumika kwa wananchi.
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
TUJUWANE JAMANI WASHABIKI WA MAGUFULI .RAIS HODARI MCHAPA KAZI ASIYE CHOKA.MASHAALLAH
Excellent. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
Kiukweli itachukua miaka milongo mingi sana kumpata rais kama huyu..Mungu akusimamie katika kazi zako baba nasi tupo nyuma yako tukuunga mkono..Mungu ibariki Tanzania, mungu mbariki rais wetu
The best speech ever
Namwona mzungu kila akijaribu kutupia neno anatulizwa na kamanda wetu, apa ni mwendo wa kazi na sio siasa na majembe. Hongera sana mkuu wa nchi, asante kwa kuja.
Kama unamkubali jpm gonga like
Thats why you have been chosen my neighbour Magufuli May the allmighty Jah be with you in every step you took
Baba kwa kweli umeshushwa kwa ajili ya ukombozi wetu piga kazi mkuu and you are in good in chemistry!
I real proud with my presedent! God bless u
Mungu akulinde Rais wetu Magufuli mtetezi wa wanyoge
Asante sana Mr Presidaa
Mungu akulinde zaidi my prsdnt.
I wish sikumoja tu Rais wa SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR akaibia hii style, sio mbaya japo kwa sikumoja tu pale Zanzibar Airport
Mungu akutangulie muheshimiwa Rais wetu mpendwa
Yaan Mungu katupatia Raisi anajua vitu zaid ya 95% kila idara yeye ni Mwamba..Nitamshukuru sana Mungu Rais wetu JPM siku akiwa wakudumu ..nahili swala la kuwa Rais wakudumu Kunawatu wanaliogopa kwasababu ya benefit zao binafsi na sio kwa maslahi makubwa ya Inchi yetu The Great Nation TANZANIA..God help us
Pumzika kwa Amani Baba, Mzalendo wetu wa kweli Daima hatutakusahau katika kuisimamia nchi na kuiongoza nchi yako
Aisee, JPK Umeni impress sana kwa Speech yako ya Kitaaluma...
Yaan, umekuwa kama Lecturer ukishusha Madini kwa theatre flani...HV...
..Bravo JPM you are more than a president for this country....
#MzalendowaKweli..!
watanzania mnataka Rais wa aina gani nyie awafanyie nini Jpm ili mrizike . nawashangaa sana wanaompiga Jpm
Very Detailed President
Ahsante Baba mkemia , Nakumbuka bango mojawapo wakati wa uchaguzi liliandikwa "Magufuli ni Mfuatiliaji" Go ahead God Bless you! sikukuchagua ila next time nitakuchagua na wengine wote I mean Diwani na Mbunge
Aaaa JPM. Kipenzi cha Watanzaniaaa. Mungu Akubariki Ututumikie Miaka 20 Jemedari Wetu Mpendwa. Penda Sana Rais Wangu
Tulikusubiri miaka mingi sasa Mungu kakuleta. Lonnie's taifa lako Baba mamilioni ya watanzania wamesha iyelewa dhamira yako njema na uwezo ulionao kwa taifa Lako na Hakika unaonyesha kwavitendo uzalendo wako uliotukuka kwa taifa lako ulipendalo Mungu akubariki sana.
huyu ndie rais tuliekuomba eeeh Mungu wetu asante sana kwa kujibu maombi yetu sawasawa na tulivyokuomba
tunalokuomba sasa ni afya na uzima wake na amani ya nchi yetu naamini hivi vyote viko mikononi kwako Mungu wwtu
KURA YANGU IKO VIZURI
Jaman watanzania tumuombee huyuu rais magufuli aishi muda mrefu na awe na afya njema. Maan mungu katuona watanzania kutushushia rais mtukufu magufuli.asante mungu kwa kutupa rais huyuu.aendelee namadaraka paka 3000
Dah!!!! MH:Rais yupo vizur sana kwenye Sayansi amebobea huwezi kumdanganya kitu.
This kind of leader happen only when God wishes
asante baba kazi tu 20/20 mbele kwa mbele baba
Rais wangu unatupenda sana, kumbe ndio maana nguvu za kiume zinapungua tunakula mavitu yasio eleweka
mungu atakulinda kwa kazi nzuri ya kulinda taifa lako
Pongez mh Rais wa Wanyonge Mungu akutangulie aamn
Hii ni faida kubwa ya kuwa na raisi anayetumia wasomi wetu. Elimu and wasomi walikuwa wamedharirishwa mno kiasi cha kwamba kila mmoja alikuwa anataka awe mwanasiasa. Hongera sana Raisi kuwatambua watu wetu.
Mungu nakushukuru, kwa kunipa rais mwenye hekima ya mungu. Hakika sikukosea kuchagu wala sikupoteza mda kukaa foleni. Mungu Akubaliki sanaaaa baba wa Tnz
💃💃💃baba angu yupo kazini kifimbo cheza na ........ baba mungu akutangulie
Great Leader! Fact ziwe wazi. Muhimu ni uhuni wa wafanyabiashara wanaotaka waaminike.
Mimi huu ni msimu wa pili nipo shamba nalima nilijua tu kwa huyu Mzee town hapakaliki
nikweli mama g màkanya
i 'm proud with you my president
Good job Mr president .
kaz nzuri mzee magu allah akuujalie umri mrefu
In all fairness, you can question or doubt the competency of this man of the land... his intent and vision, too. God bless him
rahaaa sana J.p.m.upo vzr
mwenyezi mungu akupe miaka mingi amina
Hongera sana Mh. Rais Dr. John Joseph Magufuli. This is very amazing. Ningefurahi sana mheshimiwa hawa wanotuibia kila wakati wao wanatajirika sisi tunateseka wapate haki yao. I don't see to why some of your officials hawana maelezo ya kutosheleza. They were supposed to give exact report siyo wanasoma taarifa as if wao hawakufanya analysis ya hizo sample
long live president Magufuli
We trust you..
Perfect president
asante Jpm kwa kutupenda waislaama na ramadhan yetu mungu akubarki sana
mh rais natamani uongoze hadi 2050,tutafika mbali sana,miaka kumi ni kidogo sana na haitoshi,pia makonda MPE uwaziri mambo yataenda sana kwan yule jamaa uwezo wake ni mkubwa sana,salute to u hon.magufuli my president!
Mungu anatembea na watu wanaojiamini kama mh.Magufuli.Mungu alipomwambia musa dondasha fimbo yako ikageuka nyoka,musa hahukimbia maana alikuwa jasiri kisha aliiokota.Baba Raising kamata nyoka na nge usiigope.Mungu amekutuma OK!
sijakosea kumchagua magufuli nasikia raha sana
Big up!
Jamni rais wetu si uje Serengeti
Safi tata
That's a good bodyguard ohoooo
Nakupenda sn jpm
Sijawahigi kujua kama kuna siku wazungu wataongea kwa adabu kama huyu heshima kubwa kwa awamu ya tano.
Nakushuru rais wangu endelea kuchapa kazi naomba matenki ya Mafuta ya nje yawe mbali na tunayo tumia
sikupoteza kura yangu kwako chapa kazi mkuu na sisi wadogo zako tunachapa kazi,wababaishaji ondoa mkuu sio serekali ya ubabaishaji hii.
So interesting,, huyu ndiye rais anayehitajika Afrika
Ngosha umeshaaaaaa,,BigUp
mungu akulinde sana
mr president thanks so much for your good decision
Mr. President..The chemist. Talking some clever.
wameingia anga za mkemia leo show wanayo
Mungu akutunze Rais wetu
Hongera sana mkuu tupo pamoja
jpm, jpm asante mungu
Rais ni mwalimu mzuri sana. Hata mm nisiesoma science nimeelewa!!!!
hongera
I'm proudly of having u president, thank u God,
Aliemuua huyu kamanda.ipo siku mungu atamuumbuwa tuuu inshaall 😢😢😢😢
May our lord give you Mr president strength and wisdom as well as humility and good health, we all see your good intentions towards our people however the people around you needs to be disciplined.
Mzungu kapata wakat mgumu sana kutoka kwa bodyguard kila saa anasukumwa pembeni ila rais anamwita tena. Kuna bodyguard mwingine yule atatolewa kwenye duty muda si mrefu maana amekuwa mnene sana. Kwenye events hizi huwa napenda sana kuangalia bodyguards wanavyofanya kazi zao very interesting.
hawajui kama we mkemia bora Africa Hongera baba kwa ufuatiliaji huu kweli tutasonga mbele
safi saana yaan rais wetu....apo wanavyoogopa ata ukiwaambia wajambe wanajamba
huhuhuuu Majoveneeeeee balaaaa
Rest in Power JPM
Umetangulia mbele za haki ila kazi uliyoifanya inaonekana sana tutaienzi daima
Mungu akupe maisha marefu
kwa hiyo TRA walikuwa waongo bwana!
hakika we ni mfano wa kuigwa rais wetu
Msukuma kamzidi elim mkwere, ona msukuma anavyotema madini aliyopata darasani.
Rais ikibidi waadhibu hao wahindi wamezoea sana kutuibia wanakuja masikini wa kutupa baada ya mda matirionea walaze hata segerea mwz 6 wajifunze
For all African countries to develop this should be done! We shall do the Democracy Nonsense after! All developed countries first pit the Democracy shenanigans aside... They won't tell you because they don't want you to develop
R.i.p shujaa
Good Mr,president this how you suppose to be, we really depend on you.
for sure our country is heading some where under your leadership. Be of good COURAGE Mr President!!
Unaweza raisi wetu
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoz raisi wetu
Rais msomi hadanganywi kizembezembe
KAZI KAZI HONGERA
Sasa nimekuelewa mheshimiwa Raisi, nakuunga mkono kwa asilimia 100 na nipo pamoja na wewe.
Asante raisi wa wanyonge
Muheshimiwa Rais huyoooo!!!! Aaah Ubarikiwe sanaa na Mungu akuongezee akili , na hekima zaidi ili usidanganywe na hao majambazi wasiotumia siraha. Maana hao ni hatari zaidi kwa maendeleo yetu kuliko hata wale wanaotumi siraha. Tena wabane hasa ,hata wakisema we ni Dikteta usijarli WaTanzania wengi wao wapo pamoja na wewe na hasa sisi wanawake (kinamama).Na tunajua mipango yao ya kukupakazia kuwa eti wewe ni DIKTETA ili Mataifa ya nnje ya Kuhukumu. Ni Mungu Tuu ndo anaweza kukuhukumu.
Faida ya kutosafir sana nje ndio hii sasa....
duuh mbona atamchosha rais wetu
Mungu akulinde Raisi wetu hakika mapepari watashindwa tu maana maombi ya wanyonge unaowatetea yatasaidia kukujaza ubunifu na busara zaidi
najivunia sikukosea kukupa kura yangu
VIVA MAGUFULI VIVA.
#Mambo ni fayaaaaaa
akitoka magufuli aingie mwingine wa kuendeleza mambo kama haya ili Tanzania tuache kushika Mkia. Long Life Mr. Magufuli.
Uyo bodyguard alie valia koti yuko makin kinom macho hayatuliee
yule ni usalama wa taifa so lazima awe makini na mawasiliano na wenzake
Ndio maana tunaugua magonjwa ya ajabu
Kati ya ciku ulizonifurahisha mheshimiwa Rais ni Leo hakika wamejua we we ni mwanasayansi
Najivunia kura yangu
Japo hatua hii ni sahihi lakini ni ishara kuwa Mawaziri na watendaji wengine hawakutekeleza majukumu yao ipasavyo. Haikupaswa mkuu wa nchi afanye kazi hii badala ya Mawaziri. Atafanya mangapi kwa nchi yetu ilivyo kubwa? Kama wahusika wangetekeleza wajibu wao inavyostahili, hali isingefikia hapa ilipo. Watendaji wajiongeze.
Hivi kila jambo mpaka mheshimwa Rais aende? Mbona mtamchosha tuu baba wa watu? Je baada ya bunge kuhoji mawaziri waliwahi kufika hapo?
Stephen Massawe Yaani mimi mpaka napata kichefuchefu na hawa wapewa madaraka. Namhurumia sana Rais Magufuli. Kichwa kimoja tuuuuuuuu, wamezoea dili.
Stephen Massawe hongera
mheshimiwa nakuomba umpe uwaziri, mheshimiwa Paul makonda akusaidie kazi, jamaa anaweza sana yule. naona asilimia kubwa ya mawaziri wengi ni vilaza
unawaza kama mimi
naungana nawe JAMAA rais wanamchosha sana ,HV rais hebu changua mawaziri kama kina makonda wakusaidie kazi wengine wanakuhujumu tu mheshimiwa.
Hugo mzungu VP hebu atulie bana
David Emanuel point
David Emanuel 😂😂😂
Dah rais tulipata
Muwache makamba na watu wake warambe asali ipo siku tu hiyo asali itageuka na kua shubiei inshaall