Kila atakae like hii comment atakuwa ananikumbusha kwamba natakiwa kurudi hapa tena na tena kumsifu na kumshukuru Mungu ❤😊🎉💃💃💃
Mimi wa pili toka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania wapi like za chilambo weka hapa zote sijawahi. Weka like hapa zote za chilambo
Kama unaamini unapendwa na mungu gonga likes za kutosha hapaaa
Kama umebarikiwa basi ngonga apa 😢😢😢
Mie wa tatu kuiona hii wanao mkubari Cholambo tujuane hapa
Aaah jamn Ata like moja tu ntakosa kwel
Your biggest fan from +254..nasubiri kwa hamu😊
AMEEEN ,naamini ninachakwangu kwa ujumbe huo
Napend kaz zako♥️♥️♥️
Ubarikiwe sana mwana wa Mungu
Glory to Glory Mungu wangu hashindwiii
Gonna like hapa kwa ajili ya huu wimbo 🎉🎉🎉🎉
Mimi pia sijawahi ona Mungu kama wewe wallahi Mungu ananipenda!! Nyimbo zako hunitia moyo sana walter 💪💪# your biggest fan from +254
Asante sana kupenda mungu Walter naeatakupenda daima
Bonge la wimbo binafsi nimebarikiwa sana sijawahi ona Mungu kama wewe! Mungu wa namna hii
Mimi toka kongo napenda nyimbo zako saaana
Nakumbali sana utendaji wa kazi wa chilmbao,mimi ni wa kwanza kutoka Congo 🇨🇩, nampenda sana
Jamani nimekimbulia uku chap niusikilize wote😂😂 kumbe bado
sijawai ona
❤❤❤❤❤❤❤pokea mapenzi kutoka Kenya
Fundi wangu mwalim wangu lolomodo wangu ctochoka kujifunza kwa fundi wangu laiki ako apa my brother 💌💯🔥🔥🔥✈️
Kazi nzuri,my broo,Mungu akubariki
Dah kipaji chako kikubwa sana, Mungu azidi kukupaisha viwango vya juu
Nice song I like ut❤❤❤
Mimi na Mungu tunajambo letu💪🙏🙌 God bless you bro
Broo!! Unajua sana
Nakupenda sana walter chilambo hakika unanikumbusha umuhimu wa Mungu kwangu
Jah Bless Bro,Namuona marioo kwa sauti yako wenda nayee atapata neema ya kuimba injili siku zijazo
Ubarikiwe kaka 🙏
Nice song 🙌🙌🙌
Kazi nzuri anko wa Samrina Mungu aendelea kubariki kazi zako
Walter Nyimbo zako huaga za nitia moyo .....me nachekwa huku mtaani kwa sababu me ni mrefu ...najua mungu ataniheshimisha siku moja❤😊
I'm so excited Mtu wa Mungu. Release it soon
Yes the Marioo vibe in praise...God bless you MOG.I love the song🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Baba unajuwa heshima yako 10000
From luyha land am ohangala gospel rhumba kazi safi piga likes tukifuatana
Kazi nzuri bro... Mungu anakupenda. More grace
Kazin yako ni nzur bro God bless you
Waouuw🎉nyimbo nzuri sana😍courage kbx na ubarikiwe sana🙏
wakwanza Leo naombeni 20 likes zangu 🙏🏼🙏🏼📖📖🙏🏼🔥🔥🔥 God bless you my brother
Wakwanza like zenu wapendwa
🎉🎉🎉🎉🎉Halleluyah Amen...sijawai ona mimj
Powa sana uko vizuri sana
MUNGU akubariki sana kakaaa,,, hakika sijawahi ona
Wimbo wa baraka sana
Umetisha Sana 👏
Nyimbo nzuri tumeipokea vyema hapa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Walter giving the Marioo vibes ♥️😌
Nabarikiwa sana kaka nanyimbozako
Kaka umetisha sana 🔥🔥🔥🔥
Sijawahi ona, imekuwa km remix ya ule wimbo wa sijaona kama wewe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
akisema nakubariki hakuna wa kuzuia🔥
Nyimbo flan hiv nice gospel and inspirational song
Ubarikiwe sana kaka...naisubiri kwa hamu pia video ya "Yesu nakupenda"🤤
Nakukubl San broo unanibariki San hususan wimbo wako wa only you..❤❤
Pamoja kaka.... 😊😊
wakati napo sikihya nyimbo zake nakuwaka najukuta sana kupata na fasi yakusema na Mungu wangu, bro kuwa sana nipate wakati ya ku furahi kila wakati Aksante brother.
Kaka mkubwa kwa hiki unacho kifanya sisi wa congo tunakuona na mungu asilale kwako 🙏🙏❤️🥁🥁
🔥🔥🔥🔥🔥
Oh my goodness! Walter hii imeweza sana! Praise God from Tennessee, USA😭😭😭
Ngoma kalii snaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ubarikiwe bro
god bless you kwa kweli Mungu sili yako anaijuwa yeye 👍👍👍
Nakukubali 100%
Nyimbo traaaaaamu sana hii hongera mtumishi wa Mungu
Brother unajua hundred percent
Huu ujumbe wako umenifanya nikosane na majirani sababu ñimeupiga sku tatu mfululizo bila kubadilisha nyimbo nyingne Ubarikiwe Sana mtumishi
Sijawahi ona
Kitu safi clean message, my G uko juu sana kama mligotii
🙏🙏🙏Hakika Mungu wangu halali,Be blessed Brother
Kweli mwanzo nimeshituka nikajuwa ni marioo😂❤
Nimeipenda,kazi safi sana,mungu akuongezee
Kaka hizi ndio level zako sasa ubarikiwe sana
Kaka umetishaaa
@walterchilambo ni fanye je ili Siku moja ni ku one ata uso tu. Ndito yangu ni kwamba Siku moja ni imbe kama wewe.
Walter ..walter...walter...nimekuita mara ngapi??? Iv been your biggest supporter since day one ....big up broo
Walter chilambo ni mmoja tu
Hivi hivi nilivyo Mungu ananipenda
❤❤ makopa kopa kwako my brother God bless you
Unanibariki sana kaka Mungu akutunzee zaidi 🎧
Sign hapa 👇⬇️ Kama unamkubali Walter Chilambo kuwa mtunzi bora
Ubarikiwe
Huyu ndye walter Safi sana bro
Napendwa jamani, hivi hivi nilivyoooo
Love you so much its my first time watching ur music and am so blessed.Ur music is such a blessing from kenya
Kaka ulisema nitafute 20 uniagizie tishet Sasa nimepata pesa unasema kigoma nimbari auagizi kweli sijapenda
Amen Mungu akubaliki kaka nakubali🙏🙏🙏
Mungu ana nipend
Arabik and Qaswida kama unaamin jamaa anajua weka like zako hapa
Amazing song 🎶 😢 glory be to God🙏🇷🇼🇷🇼🇷🇼🙏
@walter chilambo songs always on 🔥..my favourite
Be blessed mtumishi wa Mungu🙏
❤❤❤❤May Jesus Christ bless us all
I love it ❤
Asante sana for the english translation🙏
Mungu akubariki🙏
Mungu akubariki sana I do love your songs broo
Nyimbo nzuri chilambo
Unatuchelewesha sasa
I testify to his faithfulness... All praise and glory be to this wonderful God. I love him... Declare it in truth
Kama Unausubiri kwa hamu weka like na comments hapa
❤❤❤❤ yan aukoseagi kak mungu azidi kukutumia zaidi
nakusubili Kwa ham,naomba pamoja namapungufu yanguuuh oooh napendwaaah hatamkiniachaaaah,siogopi ananiliiindaaah,haujawah kunichokaaaah,ananipendaaah. voko inapanda. wasaliti Niweeengiiih ila yeye hakuniaaachaaah.weeeeh ebu Lete huo wimbo nimeikubali Sana Sana big up Kaz nzur
Ubarikiwe
Wimbo mtamu sana you're blessed bro
Good music ❤