Ndugu yako kutoka Konde. Tupo pamoja sana. Siye twaita Skuli hilo la shule sio asili yetu kaka. Mashallah kaka, ninakukubali mno. Kuna tofauti kati ya kupenda kusoma na kupenda kwenda skuli. Pole sana kaka kwa kupata mtihani wa maradhi. Pole kwa elimu kukatika ingawa ulikuwa unapenda kusoma. Hongera kwa elimu za amali ulizojaaliwa pia ubunifu mkubwa ulionao.
Mashallah shukran kaka mtangazaji na shukran za dhati zende kwa kaka etu Salim Abdallah leo nimemjua jina lake sahihi Allah akufanyie wepesi katika shughuli zako
Ni wajna wangu kumbee hahaha na Sefu na babu yangu hahaha na abdalla na binamu yangu haha kachara hongera Ila ukienda chake chake maeneo ya muemben ktk ofis moja ivi ya idara ya ujenz nais nais Kuna mtu c mgen machon mwako anaitwa suleiman seif khalfan nisalimie kachara chonde chonde
Vipindi kama hivi vinahitajika sana, tusisubiri hadi washatutoka ndio tutafute picha za kumbukumbu zao kutengezea vipindi. Kipindi kimetengenezwa vizuri na sauti ya kuatilizia ya muziki inayoendana na maudhui.
Nawapenda nyote kwa ajili ya Allah mana michezo yenu inazingatia maadili km ya kiunguja. Mnafurahisha haswa na napenda kuwaangalieni mana sipendi kuangalia michezo ya kusikitisha.
Km unamkbl kchara gong like yak hapa by haomy jeylan
Historiya yako tunafanana Kaka Mimi naitwa Salim kwetu nipandani nikomkoani pwani mkuranga mahasidi ndiokazi yao kuwarudisha watunyuma lakini ikosiku mungu anajua
Mashallahu kaka kachara mungu akupe wepes ktk maisha yako nakupenda sana mpemba nwezangu
Jomba weeeeee
Pemba ni pepo ya Dunia lakini utawala siwo.
Kachara upo vzr sana nisalimie Bi Sada wa pemben
Jmn 😭 rafiki ako seif darwesh mm mjomba angu 😭😭😭 Mungu amrehemu kaburini aliko
Mimi niko komoro nakukubali sanaa mzee wanguu kazi mzurii
Hongera salmin chapa kazii kaka
Dah pole sana kwa maradhi
Am a Kenyan watching from Saudi Arabia. Am a big fan of Kachara.
Barabara ni SKULI hongera Kachara Bin Mambofunika
Ni mtu ambae nakukubali sana from DRC🇨🇩
Ndugu yako kutoka Konde. Tupo pamoja sana. Siye twaita Skuli hilo la shule sio asili yetu kaka. Mashallah kaka, ninakukubali mno. Kuna tofauti kati ya kupenda kusoma na kupenda kwenda skuli. Pole sana kaka kwa kupata mtihani wa maradhi. Pole kwa elimu kukatika ingawa ulikuwa unapenda kusoma. Hongera kwa elimu za amali ulizojaaliwa pia ubunifu mkubwa ulionao.
Mm nlkua npenda kwnda skuli co kusom saiv waswahil wnasema majuto n mjukuu najuta
@@teefahbaby2811 usijute ndugu yangu yote majaaliwa 😔 Alhamdollah kwa kila tukio Alhamdollah
Mashallah shukran kaka mtangazaji na shukran za dhati zende kwa kaka etu Salim Abdallah leo nimemjua jina lake sahihi Allah akufanyie wepesi katika shughuli zako
Mashallah nmeipenda interview hongera mtngazaj na kachara pia
Ahsante
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatouh Pole Sana Baba Salim Seif Salim ndio Dunia ni Matatizo
Kachara bin mambo Funika
Mpenda mm kachara Allah amuhifadhi
We very happy to know your story
Kacharaaaa limenenepa iloo
Waoo!!Amazing!! Go ahead epsd 2
Unapoteza mda sana
Leo ndo nimekujua vizur sana😁😁😁
Safi sana hata kwembe hao wanaburudisha
Kazi nzurii bin Mamboooo
😃😃😃😃
Kazinzuri kachara
Salim uko juu
Nami pia Naja Pemba kuntafuta Salim Abdallah...Eid Mubarak In Shaa Allah
Ni wajna wangu kumbee hahaha na Sefu na babu yangu hahaha na abdalla na binamu yangu haha kachara hongera Ila ukienda chake chake maeneo ya muemben ktk ofis moja ivi ya idara ya ujenz nais nais Kuna mtu c mgen machon mwako anaitwa suleiman seif khalfan nisalimie kachara chonde chonde
Vipindi kama hivi vinahitajika sana, tusisubiri hadi washatutoka ndio tutafute picha za kumbukumbu zao kutengezea vipindi.
Kipindi kimetengenezwa vizuri na sauti ya kuatilizia ya muziki inayoendana na maudhui.
Shukran
Pole sana kachara kwa mitihani yote iliyokukuta Mimi nimefurahi kuisikia story yako imeniskitisha kiasi fulani nipo pamoja Na wewe mpaka mwishoo!!!!!!
good
MashaAllah! Soud Abdallah Toum alikuwa ni mwalim wangu CCK
Pemba ama Cck unguja?
@@ujenzizone3075 pemba mzee baba maana huyo mwalim sudi anaishi konde wilaya micheweni pba
Dunia ina mambo
WASHAKUPIGA MPAKA KWENYE MAZIWA
very good
🤗🤗🤗👏👏👏
Pole tupu haingii kidondani..
Kachara umenikumbusha huwooo ubebaji ulokuwa ukibwebwa hapo shingon na mama etuu😆😆😆😆
chuchuli, mwiku, jivulini, yani wazungunza kipemba Cha ndani nakukubali mie kwetu kengeja Kama wakujua endelea kupiga kazi mkuu
Namie pia ni kwetu kengeja
🙏
Asalam alaykum jman me hamu yangu nje Pemba ntafte mke me npo unguja Huku ila ndo Sina connection yyte ya uko Pemba mtansaidiaje ndgu zangu wa pemba
Salmini una kitumbo Kama Cha Jusba😂😂😂😂😂😂😂😂
hahahahahahaha
Kachara ulikua mtundu kokea uko mdogo
uko vzr salim abdallah mungu akueke
Wahi wahi kw kachra
ifuate ya mwinyi mpeku
Pole sana usichoke Allah swt kwa uwezo wake atazidi kukunyanyuwa na kukulinda zaid . Amiyn amiyn thumma amiyn yaarabbal aalamiyna
Kachara mwambie ukweli huyo mwandishi km ww ni TISS
Sina comement leo nasalimia tu asalaamghalaykum kachara
Episode 2 please loading...
ako
Nice
mungu amrehemu bimaryam alikumuhodar
Unachekesha sana na mwinyi mpeku lkn sipendi acting ya kama sijakosea jina kiswabi na kitatange. Kwa nn mnawaektisha kibwegebwege mpaka mwendo?
Nawapenda nyote kwa ajili ya Allah mana michezo yenu inazingatia maadili km ya kiunguja. Mnafurahisha haswa na napenda kuwaangalieni mana sipendi kuangalia michezo ya kusikitisha.
Pemba na unguja Kuba tafauti
Gani???
Unguja uzungu ushakuwa mwingi
Ndizi na kuku unguja hakuna kama pemba
Pemba hatupendi urojo
@@fifo262 😂😂
@@salumseif1005, Mh kakwambia nani sema labda Unguja si kwenu so huna shamba