Suala la upande wa kiuchumi vipi sanaa inawalipa limenigusa zaidi. Binafsi nahisi wasanii wetu hawajapata watu wa kuwasimamia kazi zao zikawa zinathaminiwa na hapa nitupe lawama kidogo upande wa wasanii wetu kutojipanga kutafuta ubunifu wa kujitangaza, media za binafsi zipo nyingi wala hawaringi mfano, tayarisha siku ya ufunguzi wa film, alika media tofauti mfano ktv, alfatah, zinjibartv nk. Hio ni siku ya kuonekana maalum ama kujitangaza, amini hakuna biashara ambayo inafana bila kujitangaza. Kazi ya msanii ni bidhaa kamili pamoja na yeye mwenyewe, ni product kama ilivyo product yeyote bila ubunifu wa kuitangaza hainogi. Msanii tokea anaanza kubuni kazi mpaka inatolewa inahitajika kazi hiyo kutayarishwa na kutangazwa vyema ikikosekana hatua za mwanzo basi alau hatua ya mwisho kabla ya kutoka kuwe na kitu kinaitwa film launch ama uzinduzi wa filamu utaodhaminiwa na kampuni fulani. Ni kazi ya media tofauti kuipamba film launch na hapo ndipo fursa za kiuchumi huzaliwa. ubunifu ndio unaozaa fursa, hivyo tungetegemea kuona film launch kabla ya kazi zenu kutoka na amini ukiachia video ya sherehe ya ufunguzi wa filamu youtube watu wataangalia na mawazo yatazaliwa zaidi. Shukran kwa mwandishi kwa kazi nzuri, Kachara bin Mambofunika ni kipaji adhimu alichonacho.
Ulituahidi, kutwambia kazi ya Kachara ukiwachilia mbali sanaaa! Nime fatilia sehemu zote tatu. Bali sija sikia Kachara haswa kazi yake ni ipi na anafanya nini?!
❤❤❤
Umetoka mbali san kaka, never give up kachara
Kachara apo umempatia bi kidude kweli kweli sauti km yy mwenyewe bi kidude
Mashallah mtangazaji uko vizuri Allah akupe afya njema uzidi kutuhabarisha na Allah akusaidie katika kazi zako
Mashllah kachara
mashallah kaka kachara uko vizuri sna mwenyezi mungu akupe hitaji lako unalo lipigania inshallah
Napenda kazi za kachara lini itatoka hio baada ya skukuu ipi
Kiukweli ndani yake kuna mafunzo na elimu kubwa Wallah, Allah akuhifadhini nyote mliofanikisha segment hii na Allah ndio mlipaji.
Anajitahidi sana
Asante
Nakubl kazz bro
Mambo mazuri
Nakukubali sana Kachara
Na utakubali zaidi inshaallah kwa yajayo
Hongera
Vp kachara
Ok.sawa Niko mbali ila nakufuwatilia
Asante kwa uzalendo
eti kachara eeehh !
eeehh ! hebu kunyweni soda apo nitalipia .
Shikamoo bro
Marhaba
nimekuelewa kachara
Shukurani
muandishi unajua kuhoji na umetulia
sasa hapo ni wapi
Tayar naitaka kifo akionjjjjjjjj
Fundi nakukubal ila ww ni TISS
Asanteni🙏
Suala la upande wa kiuchumi vipi sanaa inawalipa limenigusa zaidi. Binafsi nahisi wasanii wetu hawajapata watu wa kuwasimamia kazi zao zikawa zinathaminiwa na hapa nitupe lawama kidogo upande wa wasanii wetu kutojipanga kutafuta ubunifu wa kujitangaza, media za binafsi zipo nyingi wala hawaringi mfano, tayarisha siku ya ufunguzi wa film, alika media tofauti mfano ktv, alfatah, zinjibartv nk.
Hio ni siku ya kuonekana maalum ama kujitangaza, amini hakuna biashara ambayo inafana bila kujitangaza.
Kazi ya msanii ni bidhaa kamili pamoja na yeye mwenyewe, ni product kama ilivyo product yeyote bila ubunifu wa kuitangaza hainogi.
Msanii tokea anaanza kubuni kazi mpaka inatolewa inahitajika kazi hiyo kutayarishwa na kutangazwa vyema ikikosekana hatua za mwanzo basi alau hatua ya mwisho kabla ya kutoka kuwe na kitu kinaitwa film launch ama uzinduzi wa filamu utaodhaminiwa na kampuni fulani. Ni kazi ya media tofauti kuipamba film launch na hapo ndipo fursa za kiuchumi huzaliwa.
ubunifu ndio unaozaa fursa, hivyo tungetegemea kuona film launch kabla ya kazi zenu kutoka na amini ukiachia video ya sherehe ya ufunguzi wa filamu youtube watu wataangalia na mawazo yatazaliwa zaidi.
Shukran kwa mwandishi kwa kazi nzuri, Kachara bin Mambofunika ni kipaji adhimu alichonacho.
Ushauri mzuri sana
Kachara naomba namba yako please
Ulituahidi, kutwambia kazi ya Kachara ukiwachilia mbali sanaaa! Nime fatilia sehemu zote tatu. Bali sija sikia Kachara haswa kazi yake ni ipi na anafanya nini?!
Sawa lkn c mambo yote amabayo yanatakiwa kuwa bayana
Nadhani umenielewa ukihitaji zaidi njoo privet
Naona upo kmya sana!
kaajiriwa ni fundi wa magari wizara ya mawasiliano