Kachara haibiwi

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 117

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah kachara mungu akuongezee ujuzi na kheri wafunze vijana hao wanaotafuta vyarahisi vijana chapeni kazi mupate riksi zenu musiuwe wezenu umuri shukra kachara bin mambo funika lakini usiyafunike yafunue tuyaone kama hayo big job

  • @ngendakumanasimeon92
    @ngendakumanasimeon92 4 ปีที่แล้ว +2

    Vzr sana nilikuwa nimekumbuka sana lugha tamu kiswahili mozambique hapa

  • @kassimfundi8690
    @kassimfundi8690 4 ปีที่แล้ว +5

    Pemba iko juu kw vipaji kachara lete mafunz kw ajili ya allah

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kaka Salim Abdalla kutoka Tanga tunasema Kachara haibiwi.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 4 ปีที่แล้ว

    Mzr sana na inamafunzo sana mungu akubariki sana mzee kachara😁😁😁😁😁😘

  • @suleimanhamad839
    @suleimanhamad839 4 ปีที่แล้ว

    Nakukubali Amii endeleza vipaji👍👍👍👍

  • @PEMBANKWETU7
    @PEMBANKWETU7 4 ปีที่แล้ว +1

    Good job Salim abdallah seif

  • @SamiraameirSamira-qt9yn
    @SamiraameirSamira-qt9yn 5 หลายเดือนก่อน

    Ukiona kambeba polo 😂😂😂

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 4 ปีที่แล้ว

    Hahahahaha iyo ndokiboko ya washenz nimeipenda sana

  • @hjhj6230
    @hjhj6230 4 ปีที่แล้ว +1

    😃😃Kachara sio kwa masizi hayo na vifuu hivyooo 😃😃😃😃

  • @abdulbastadam7985
    @abdulbastadam7985 4 ปีที่แล้ว

    Hhhhhha big up ila iwe ni funzo kwa kufuat mazuri tuu na mabaya kuyaacha

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 ปีที่แล้ว +1

    Daah wizi mbaya aibu 😂👍

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 4 ปีที่แล้ว +11

    The best performance and imagination on the film production for the need of the audience. Big up brother. I am Handhal watching your channel from Konde.

  • @yussraseef4039
    @yussraseef4039 4 ปีที่แล้ว +1

    Bismillahi mashaallah, good job

  • @abuujureyjkhaniy.5520
    @abuujureyjkhaniy.5520 4 ปีที่แล้ว +1

    Yaakhee kacharaa hana elfu hamsini asingeiba mahindi machangaa mhaamehee 😄😄😄😄😄

  • @sulaimanead8060
    @sulaimanead8060 4 ปีที่แล้ว

    Nguvungwa . duh kachara na kiswahili cha zamani

  • @Alikidu
    @Alikidu 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice location

  • @a.856
    @a.856 4 ปีที่แล้ว +1

    Masheli mazuri 😀

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot 4 ปีที่แล้ว

    Nataka unizike leo kesho nikija nikifa uje uondee uvundo
    Sema
    #najivunia kuwa mzanzibar weweeeeee

  • @zully756
    @zully756 3 ปีที่แล้ว

    Beauty of swahili so sweet

  • @hemedabdalla2189
    @hemedabdalla2189 4 ปีที่แล้ว

    Kachara bora mwizi wenge mgandisha polo la kichwa

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 4 ปีที่แล้ว +1

    kAchara nakukubali mie yuleee DR mabio,kutok mexico apa sasa

  • @estamaiko4776
    @estamaiko4776 2 ปีที่แล้ว

    Napenda Sana Kazi za Hawa watu

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 ปีที่แล้ว +1

    Heee huyu si mwizi ni hasidi anavuna kama shamba lake

  • @mrmagambomagambo1761
    @mrmagambomagambo1761 4 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂 hunaushahidi

  • @aishanatamaniningekuepoktk5062
    @aishanatamaniningekuepoktk5062 4 ปีที่แล้ว +7

    Mwizi avuna km shamba lake😁😁

  • @AbdullaAbdulla-pw5nd
    @AbdullaAbdulla-pw5nd 4 ปีที่แล้ว

    Asante kachara kazi nzuri

    • @ashamohd61
      @ashamohd61 4 ปีที่แล้ว

      Asanten vyote nimeipenda filam

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂mwizi kapatikana

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 ปีที่แล้ว

    Hahahaha hahahaha mmenichekesha nyinyi

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 4 ปีที่แล้ว +1

    Methali amazing

  • @bakarhamadbakar-ue1rh
    @bakarhamadbakar-ue1rh ปีที่แล้ว

    'M PROUD FOR MY PEMBANIAN

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 3 ปีที่แล้ว

    Best ever my brother. Hongera sana.

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 3 ปีที่แล้ว

    Haibipo tena kwa kilichonkuta.

  • @thierryt7689
    @thierryt7689 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu aliyeiba mahindi alikukataza wewe kuiba futari..Leo kaja kuiba yeye😂

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 3 ปีที่แล้ว

    Hiyo ya kupigiwa vifuu nnaipenda kake.

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 4 ปีที่แล้ว

    Usaniii kazi jamani sio mchezo

  • @habibyusuf1755
    @habibyusuf1755 4 ปีที่แล้ว

    Hahaaa nom sna

  • @saidmohd5090
    @saidmohd5090 4 ปีที่แล้ว

    Kachara huyu mzee anaweza kwasababu kwanza hatetemeki lapili haangaliyi kamera

  • @mudy4604
    @mudy4604 4 ปีที่แล้ว +2

    Ukiona kanbeba polooo9

  • @mjombavuma679
    @mjombavuma679 2 ปีที่แล้ว

    👍safi

  • @mrmagambomagambo1761
    @mrmagambomagambo1761 4 ปีที่แล้ว +1

    mwinzi kumbe hajaiba kwa fujoo ananjaaa tuu😏

  • @aliykhamis2038
    @aliykhamis2038 3 ปีที่แล้ว

    Wabongo hawajui kuigiza kma hivi I love you Pemba

  • @mzeevuai
    @mzeevuai 4 ปีที่แล้ว +7

    😀😀 script nzuri sana na imepigwa katika ubora mkubwa mim nimeona kosa moja tu pale shambani mda wa kuweka dawa haikua na haja ya kuonesha dawa zote 4 ili kufupisha urefu wa video usio wa lazima .ila hii stori nimecheka kweli

    • @shemsaally6051
      @shemsaally6051 4 ปีที่แล้ว +1

      Kibogaaaa

    • @jumasimba8862
      @jumasimba8862 4 ปีที่แล้ว +1

      Seif usemayo ni kweli..angeonyesha vijiti vinne, akazika kimoja na cha mwisho. Shots zake nzuri , bridges nzuri transition na continuity njema.

  • @suleimanmuhammad8766
    @suleimanmuhammad8766 3 ปีที่แล้ว

    Ukiona kambeba polo nyimbo mzur san

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 4 ปีที่แล้ว +1

    unaweza kacha

    • @sharowoter1441
      @sharowoter1441 4 ปีที่แล้ว

      Kazi mzuri sana Masha Allah tena ni yenyekufundisha na kuelimisha vilivyo .

  • @hafidhshebo8078
    @hafidhshebo8078 4 ปีที่แล้ว

    Ataka nitia ufu kara hahaha

  • @AlkafaaMarket
    @AlkafaaMarket 10 วันที่ผ่านมา

    Huku sikuiba avuna huyu km yake

  • @yahyathabit979
    @yahyathabit979 4 ปีที่แล้ว

    Kachara kwa masinzi tena😂😂😂😂

  • @mranzuann7950
    @mranzuann7950 3 ปีที่แล้ว

    kyefulee wee

  • @sleimanali2871
    @sleimanali2871 4 ปีที่แล้ว

    Mackini weee

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 ปีที่แล้ว +1

    Kureshi

  • @yussufghalib9843
    @yussufghalib9843 4 ปีที่แล้ว +2

    Kacahara

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 4 ปีที่แล้ว

    hapa baada ya kukabidhiwa mwizi kwanza kachara angekwenda zake ndani akakaa mpaka wakaja watu wakamuombe radhi kwake baada ya kuteseka.lkn hapa mmebugi kidogo

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 2 ปีที่แล้ว

    Kake wayaweza mwizi saizi yako huyo.

  • @slumwaalid5274
    @slumwaalid5274 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwana kuli find mwana kuli get

  • @jumahassan5434
    @jumahassan5434 4 ปีที่แล้ว

    Wataka nitia hasara

  • @ahmedsalim5232
    @ahmedsalim5232 4 ปีที่แล้ว +2

    Haaaaa haaa aa ! Eti tia mkono hapo .
    Kunakuwa khali kama vifungo vya seruni . Aaaaah kongole wazee .

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 3 ปีที่แล้ว

    Kachara waroqa shamba

  • @mdungially2342
    @mdungially2342 3 ปีที่แล้ว

    Jaman huyu kaonesha 3 au 4, maana huenda mm nnamatatixo ya uwono kwa mm nimeona 4lkn wao wanasema 3

  • @jumahassan5434
    @jumahassan5434 4 ปีที่แล้ว

    Mbona mwizi anacheka

  • @rashidbakari6436
    @rashidbakari6436 4 ปีที่แล้ว

    😂👍

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 4 ปีที่แล้ว

    Ucje ukawa tumbili ukatiwa kamba ya nyonga badala ya kwenda mbele warudishwa nyuma.

  • @vicentelias491
    @vicentelias491 3 ปีที่แล้ว

    Teyari tena ushanichomokea pale pale😂😂😂

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 4 ปีที่แล้ว

    🤣👍🏻

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 4 ปีที่แล้ว

    Misemo atarii

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 4 ปีที่แล้ว

    Kachara ile filamu bendi moja mbona haina part 2

  • @hamadsuleiman3391
    @hamadsuleiman3391 3 ปีที่แล้ว

    Hii part ya mwizi ilikua awe kitatange

  • @jumafarid816
    @jumafarid816 4 ปีที่แล้ว

    Kama lke shamba

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 4 ปีที่แล้ว +1

    Mm nataka hayo masheli nichemshe

  • @khadijahamadi9030
    @khadijahamadi9030 4 ปีที่แล้ว

    Huyu mwizi katisha .kwa polo?

  • @fatmayahya6272
    @fatmayahya6272 4 ปีที่แล้ว

    Wizkid

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 4 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂kachara wewe unaniuwa mbavu mie siku za kuishi nyingi ukweli kachara wewe kiboko

  • @allymasoud4846
    @allymasoud4846 3 ปีที่แล้ว

    Ata wwe ulikuwa mzizi wafutar

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 3 ปีที่แล้ว

    Kake ama kweli huibiwi!

  • @rukiyarukiya8005
    @rukiyarukiya8005 3 ปีที่แล้ว

    🤦‍♀️🤣🤣🤣😂😂😳😳😳🙆‍♀️

  • @rukiyarukiya8005
    @rukiyarukiya8005 3 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @al-hilalijuma8779
    @al-hilalijuma8779 4 ปีที่แล้ว

    Kamani tupeni mwendelezo wake

  • @salmaelhinai833
    @salmaelhinai833 4 ปีที่แล้ว

    Welewe baaa huyo

  • @salummkubwa
    @salummkubwa 4 ปีที่แล้ว +3

    Kongole kwa Introsoft media kwa hii kazi iliyokamilika kiufundi, nilikua naangaza nani katengeneza hii filamu nimeoana mwisho jina.
    Kazi kwenu wizara ya habari, sanaa utamaduni na michezo kama mtakallia mikono ama kupongeza kazi kama hizi za kuelimisha jamii, inavyotakiwa kwa mwaka kufanyika event ya wasanii wa fialmu katika kumbi apatikane mwigizaji bora, script bora nk na vijizawadi alau wahisi basi thamani yao katika jamii.
    Wafanyabishara hizi ni fursa pia ku dhamini kazi kama hizi, ni faida katika kuitangaza biashara yako.
    Hii filamu kuanzia script, location, background soundtrack, video quality sijaona kosa, ila huyu mwizi ilikua gunia la mahindi limgande mgongoni hadi kwa Kachara😊
    Hongereni sana na tusapoti hizi kazi basi alau kwa ku share, like na subscribe tuone views hapo zikiwa ni nyingi mno.

    • @kacharabinmambofunika5956
      @kacharabinmambofunika5956 4 ปีที่แล้ว

      Inamaanisha nn hapo

    • @kacharabinmambofunika5956
      @kacharabinmambofunika5956 4 ปีที่แล้ว

      Oh sasa nimefaham nashkuru Sana kwa muongozo

    • @IntroSoftProductions
      @IntroSoftProductions 4 ปีที่แล้ว

      Shukran sana yakheee.. Tusaidieni kusambaza kazi zetu ili zifike kwa wahusika.

    • @salummkubwa
      @salummkubwa 4 ปีที่แล้ว

      Kwanza tukusalimu mzee wetu Kachara, ni fahari kubwa kuulizwa nawe, salaamalaykum.
      Lengo letu sisi ni kuona vipaji tulivyonavyo vinathaminiwa na tunajua iwapo vipaji tulivyonavyo vitathamiminiwa na kuwa promoted basi faida itapatikana kwa wasanii na nchi kwa ujumla.
      Kazi imefanyika kwa ubunifu na ufundi mkubwa, kwa wenzetu hizi ni kazi za thamani na wafanyabiashara huwa ni fursa pia kwao kujitangaza kupitia sanaa hizi za maigizo.
      Events za kila mwaka kutambua mchango wao hufanyika, na katika award events hizo pia huwa ni nafasi ya ku network , ama kupata mahusiano zaidi na mashirika, wafanya biashara na wadau waliomo katika sanaa.
      Tunaomba dua kazi zenu zithaminiwe nasi upande wetu tutajitajidi pale tutapoweza kuzitangaza na kusapoti kwa njia moja ama nyengine, hata kwa mawazo.

    • @lamjanesululu5945
      @lamjanesululu5945 4 ปีที่แล้ว

      Kwer

  • @zully756
    @zully756 3 ปีที่แล้ว

    Genius

  • @bilubala3018
    @bilubala3018 4 ปีที่แล้ว

    Boire

  • @lauraabass1077
    @lauraabass1077 4 ปีที่แล้ว +1

    Chezea watu wee

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 4 ปีที่แล้ว +1

    tuleteeni muendelezo

  • @mussaidrissa1385
    @mussaidrissa1385 3 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣

  • @hamadkhamis6010
    @hamadkhamis6010 3 ปีที่แล้ว +1

    Ppp👍

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 ปีที่แล้ว

    Daah wizi mbaya aibu 😂👍