Jaman tajiri naona hana hata time yakuoa wake 2 kuhofia mali zake kufirisika sasa ww mwanamke utakaye subilia tajili hadi aje kukuoa utasubili xn hadi ufanane na wazazi wako hpo hme
Yapo maelewano lakini wanaume hawajui kufuata sunna inavo takiwa kwann wasimuombe mwanamke ruhusa kabla ya uchumba mpyaa lazima uyo mke ataumia atahisi kadharauliwa sana ndio mana ugomvi unatokea
Kuongeza mke sio kwamba mke ana kasoro laaa . Wala mke usimuulize mume eti anakosa Nini kwako. Laiti mungu angewafikiria nyinyi basi tusingeongeza. Ila alitufikiria si wanaume kwanza je tutaweza kukaa na mke mmoja wakati nje wapo wengi na matamanio yetu
uweze uadilifu tu . maana wengi wenu sunna munayoijua ni kuoa wake wengi tu hakuna sunna nyengine waijuayo . badala yakupata thawabu ni kuchimba dhambi tu
Nashanga alafu pesa anazo vo mbona anaenda kulipa kitanda na godoro kwakua kaona vitamsaidia kwenye ile burudani yake haraka haka aenda toa mmh mitihani
@@kacharamedia alooo mm naomba jaman yule mrembo kipofu ninashida Naye namjuwa natunajuana ikiwezekana umwambie seif mdg wake mbarouk marehem atakua amenielewa kachara sipo Tanzania kwa sababu pls nijibu kachara media
@Ali Ali kumbe nishajua nia uloikudia ni nyinyi wanaume kujiridhisha nafsi huku mkiwaacha wanawake wanasononeka mioyo yao huyo wa kachara kaamua kuondoka lakini wengine wanawafikiria sana watoto pia sheria ya mtume kudai talaka dhambi sasa huyu mvumilivu ndio hapo atashika adabu atanyanyasika vibaya allah atunusuru kwakweli ndoa za sasa 💩
@Ali Ali mimi siogopi lakini kwa hali iyo siutaki ukewenza abadani abadani raha ya ndoa iko wapi apo munawafunza nini wasoingia ndoa bora ni ile yenye mfano mzur kwa wengine habibiy lakini si ivo aibu tupu
@Ali Ali choo chako mwenyewe wenda koga usiku kuhofia watu wasikuone au unakoga mabega na kichwa chaonekana hee stara ya mwanamke iko wapi musivamie mambo tu nyinyi wanaume kama wewe ni maskini kasome sheria zote ndipo uoee halikadhalika tajir mutaona watu watazigombania ndoa watataka waolewe watatuwatatu au wanne
Napend san kuangalia movies zako kacahra
Congratulations
Haya kachara mambo mengine punguza wapenda wake ww mjomba angu hahahaaaaa
Huyu dda mke wa kachara kiukweli anaweza
Big up kachara so pemba tunaweza
🤣🤣🤣🤣🤣 Jamani hiyo tosi ilivyo ngumu si ulimuumiza mzee wa watu we dada.Shukran sana.
😁 😁 😁 Wanawake ni shiiiiiida..... Mi sikitakiiiii 😀😀😀😀mi nakutakaaa
Hapo patamu
😄🤣😂😆😄🤣😂kachara anajenga nyumba kwa mdomo
Kachara njoo uniowe na mimi huku tuwe watatu😂
Kachara ebwana unajua sana kaka
Mbona mfupii jamani tutoleeni full move
Kacharaaaaaaaa bin mambo funika
Kazi mzuri sana kachara
Kaka inapaswa iwe na mwendelezo hyo
Kacharaaaaa bwaana nakukubaliii
Mwanamme anaengeza mke anasahau alipotoka, anamsamini sana mke wa pili kuliko wa kwanza ✅
Huwa yanatokezea ila sio maisha yote
Muhim tuwe na subra tu
@@omarmhmammed216 hakika lkn subra inamipaka
Naam.... Na ndio maana malipo yake yanakuwa na fadhila kubwa,
Ndio mana wanawake tunakataaa
@Ali Ali akili huna ww ndio mungu aliamrisha hivyo??
Hhhhh bwana harusi bwana kupendwa hhhhh
Hali hio kachara alooo wenda 😂😂😂😂😂😂😂
Jaman tajiri naona hana hata time yakuoa wake 2 kuhofia mali zake kufirisika sasa ww mwanamke utakaye subilia tajili hadi aje kukuoa utasubili xn hadi ufanane na wazazi wako hpo hme
Mimi naona ajabu kwa nini mnaharibu lugha nzuri ya Kiswahili?? L na R hamuandiki sawa 🤔🙄
Unajuwa wanaume wengi wazanzibar huowa wake 2 ama watatu km sifa wakat mtu hn hata kitega uchumi wallah ni shida inasikitisha wallah
Bwana haruc! Bwana kutakwaaa! hahahahahaha!
au kushapata mtu akutia vijiti vya mashikio 😄😄😄😄😄😄😄😄
fanya utuletee short film naamini unaweza sana kaka
Hahahaa kachara keshapendwa
Ukeweza sio masiara hhhhh mm napendekeza ivii pindi mkipendana mke na mume mume usimpe uhakika mkeo yakua hutopenda mwanamke mwengin yyt man nahisi ii promis ya uongo ndo tatz ikawa mke akiskia uke weza maelewano hamna teeen
Yapo maelewano lakini wanaume hawajui kufuata sunna inavo takiwa kwann wasimuombe mwanamke ruhusa kabla ya uchumba mpyaa lazima uyo mke ataumia atahisi kadharauliwa sana ndio mana ugomvi unatokea
@@halimaabdulaziz5143 na wanaume wakisha oa mke mwengine wanabase mke mpya wendi wao ndio hivyo wanawatupa mke wa mwanzo na watoto.
Huyu dada anaweza sana
Bwana harusi, bwana kutakwa
Hhhhhhhh
Huyu Mama ni noma sana,
Mzuri 👍🏾
Kuongeza mke sio kwamba mke ana kasoro laaa . Wala mke usimuulize mume eti anakosa Nini kwako. Laiti mungu angewafikiria nyinyi basi tusingeongeza. Ila alitufikiria si wanaume kwanza je tutaweza kukaa na mke mmoja wakati nje wapo wengi na matamanio yetu
Hata kwa dini Mungu akusema umwoe wake wengi Kama huna uwezo
wengine wapeleka kijio kule endako zamu huku ana mke na watoto 7 hajui walacho .
Nimependa kwa vile unazipitia comment zetu na unazifanyia kaz saut leo inasikika vzur bado kwaliti ya video tu ila kidogo kidog tutafanikiwa
Nyumbani ni nyumbani 🤣🤣💯
Of course dear
Kunambiwa nnani Ufisadi huo😅😅
Huyu dada mahiri wa kuigiza , kapandisha pressure utafikiri kweli !
Hahahaaa kachara wacha mikwala
Kachara ww kidume hongera mm niozeshe mwanao niwe mkweoooio
Hahaha kachara hashindwi
Kwli sisi tunalazimisha kuoa bila ya hekmaa
good movie
Mashallah
Nimeipenda hii move
leamtoto mwenyewe mbona unashindwa kacharaaa
Bwana harusi, bwana kutakwa, bwana kupendwa.
😂😂😂
Towen full movies
Kachara hujengi tena saiv
Kachara😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥
Mapenzi ya utu uzima kopa kiganjani
Bwana harusi bwana kutakwa bwana pupendwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakika
Hhh hatr kwelii
hiii nimeikubal kwel mana mii mwenyewe nataka kuengeza mke
uweze uadilifu tu . maana wengi wenu sunna munayoijua ni kuoa wake wengi tu hakuna sunna nyengine waijuayo . badala yakupata thawabu ni kuchimba dhambi tu
Kachara bhana......😆
Huu mchezo wallah unasisimua naona kama yalonikuta mm
Umekutwa nanini ghanima ghanima
Pole habibty mi mshirika wakoo
Tupo wengi
Pole kwa yaliokukuta dada
Hongereni mnaweza
Leicester uk 😃😃😃
Aloooo nakwambia mbaaa
Mke wakachara mkubwa yuko juuu sn.unaweza hasaaa tukupe sifa zko
hahahahaha htr...
Sabuni ya kufua imekushinda utaweza mke
Nashanga alafu pesa anazo vo mbona anaenda kulipa kitanda na godoro kwakua kaona vitamsaidia kwenye ile burudani yake haraka haka aenda toa mmh mitihani
@@halimaabdulaziz5143 😅😅 vitamsaidia wp?
We bb punguza presha uke wenza c maradh
Mama simamia msimamo wako kachara asimchukuwe mama waweza
😂😂
@@kacharamedia alooo mm naomba jaman yule mrembo kipofu ninashida Naye namjuwa natunajuana ikiwezekana umwambie seif mdg wake mbarouk marehem atakua amenielewa kachara sipo Tanzania kwa sababu pls nijibu kachara media
Hahah kachara visa
Yeah ndo inavotakiwa hivo mke akija juu ww mtu mume shuka chin ten haimaanish kuwa ww ni dhaifu
Pemba ndo home
Bwana kutakwa tmz sunna
Nihatary jamani
Big up
Hahaha kachara
good job kachara
Tukio la mwanzo umeweka kati na la kati umeweka mwanzo mbona
wengine Wenda mwituni
🔥🔥🔥🔥😁😁😁
Kaonkosa kopa kiganjani hutii
Jamani hii ndio sheria nisaidieni apo allah (sw ) ndivo alivo tuamrisha ivoo
@Ali Ali sawa ali lakini na ile sheria inayosema kwa mwenye kuweza kuoa wawili na aongeze imemaanishwa nini yaani uwezo ulotajwa pale ndo upi
@Ali Ali kumbe nishajua nia uloikudia ni nyinyi wanaume kujiridhisha nafsi huku mkiwaacha wanawake wanasononeka mioyo yao huyo wa kachara kaamua kuondoka lakini wengine wanawafikiria sana watoto pia sheria ya mtume kudai talaka dhambi sasa huyu mvumilivu ndio hapo atashika adabu atanyanyasika vibaya allah atunusuru kwakweli ndoa za sasa 💩
@Ali Ali mimi siogopi lakini kwa hali iyo siutaki ukewenza abadani abadani raha ya ndoa iko wapi apo munawafunza nini wasoingia ndoa bora ni ile yenye mfano mzur kwa wengine habibiy lakini si ivo aibu tupu
@Ali Ali choo chako mwenyewe wenda koga usiku kuhofia watu wasikuone au unakoga mabega na kichwa chaonekana hee stara ya mwanamke iko wapi musivamie mambo tu nyinyi wanaume kama wewe ni maskini kasome sheria zote ndipo uoee halikadhalika tajir mutaona watu watazigombania ndoa watataka waolewe watatuwatatu au wanne
@Ali Ali mie ukewenza si utaki
IPO poa
Maishaa kama halafu wenda ongeza mke abaaa Aloooo
Wengine waenda nje Wengine waenda mwituni
Haha
Antaka owaa!!
Raha ya ukewenza kila mmoja akae peke yake isiyo pamoja
Hahahaaa huyu nomaaa
Nishidaa
Heee
Hahahaaaaaaaa
Filamu kama kweli duhhh ??!!!!Nyote muko vizuri zaidi yao ni mke wako kachara na ww mwenyewe
Shida waume sio wahadilifu
Fatuma Masudi Umeelewa iyo aya lkn uadilifu ni nn palivyokusudiwa ??
Badala yaraha sasa mambo no faya jamani hatary kuliko
Yani kwa kwel huu ukewenza wakua ata mke mkubwa kumtosheleza maitaji uwezi...si kutafuta kua chizi tu
Mwashasha Said Kuwa makini na pigs staghfirullah Mara 30
Mwashasha Said Unapinga hadithi ya Mtume
@@azizially1917 kwani kasem anapinga ? C katoa mawazo yake
@@azizially1917 kwani kasem anapinga ? C katoa mawazo yake
kitatage,midam
kama kunkuja nacho kashakula
Kachara ebwana unajua sana kaka
Hahahaha
Kachara ebwana unajua sana kaka