Jamani ndg zangu wakenya mimi ni mtanzania mkristo huwa namfuatilia sana pastor Ndacha pls naomba namba yako pastor Ndacha ninahaja sana na wewe iwe kwa whatsup fb hata istagram tafadhali ila waislamu hawana hoja hao milele.
Wewe wacha kukufuru Mungu kamuumba hoyo jehova pamoja na we we hivi na akiliyako yote kbl ya huyo jehova kuzaliwa hii dunia nani alikua akiiendesha Kama siubwege huu ulionao yehova hawezi kuwa Mungu hata nusu sekunde jaribu kusoma bibilia kiumakini ujue utofauti wa Mungu na jehova wacha kusomewa na kutafsiriwa ndivyo sivyo
Waislamu wamefundishwa kumtetea mungu wao kwa upanga hata kwa uongo, hapo naona huyo shehe anajitahidi kutafuta namna ya kutetea dini ya uislamu na mungu wao, huku ameshindwa kujibu hoja za ndacha.
@@nassorsharifu9837 acha nikupashe mwenzangu,niko ngome kuu ya uislamu macca,yanayoendelea huku ni uovu na ubatili mtupu☹😖,sanduku jeusi ndo lazungukwa mara saba kisha busu,,saitan,how can you bow and worship a dead thing and hakuna siku litafufuka🙄🤷♀️,nonsense,ebu fungukeni macho na muokoke na mtangaze is injili ya kweli,Arabs wenye mnakufia ni roho ngumu na wauwaji,majini kwao lazima,ebu muache kua watumwa kwa dini msilolijua😳
@@user-rm1os9bm8i endelea kuamini unachoamini acha nami niamini ninachoamini. Ni nani alikuambia kuwa waislamu wanategemea kuwa kuna siku hilo unaloliita sanduku jeusi litafufuka. Kwao hiyo ni alama tu ya dini wala hulazimishwi wewe kuwa muislamu wala wewe si wa mwanzo kupinga, kama watu walipigana ili kuuzima wakashindwa utaweza wewe kwa maneno? Allah ndie mjuzi zaidi anasema " Hakika waliokufuru ni sawa tu ukiwaonya ama usiwaonye wao hawataamini" Al Quran 2:6
@@nassorsharifu9837 good,acha mi na wakristo wenzangu tuendelee kumwabudu mungu aliye hai ambapo katika yeye kuna uzima wa milele🙏,ibaada za marehemu Muhammad zishindwe katika Jina la Yesu kristo
@@omarmukhutar6847 Bibilia ya Mwafrica uk 2216) Tazama A.L.L.H ni jina la Mwenyezi-Mungu. Naomba uniambie hizo spering zilivyokaa zina ashiria nn? Yahwe, Y.H.W) Yehova) Y.H.V)
Eti MUNGU wa bibilia sio wa kweli 😢😢😢😢😢🙆🙆🙆 chunga kauli yako Anwar wewe uko gizani,Sio rahisi kuelewa bibilia bila Roho mtakatifu hauwezi elewa chochote. Mungu wa Quran sio wa kweli ni jiwe jeusi.
Huyo wa pili kuchangia alipewa mda mwingi, mda wake uliisha mapema na akapewa muda wa ziada, lakini Francis Ndacha alizuiliwa kuendelea, this was not fair, the time keeper hakuwa mwaminifu.
Congratulations Mwalimu Ndacha.Wape elimu....Lakini kumbuka jina la muumba ni Yahweh sio Jehova/Yehova.Aidha jina la mwana sio Yesu bali Yahshua...Fanya utafiti utajua ukweli
Ndata ni mapepo wanamsumbua haelewi Kit.moyo wake umejaa maovu nachuki nahasad nyingi kuuchukia uislam .kwakua ndio dini yahaki.kama kweli ndacha ziko dini nyingi za kikafiri kama za kina baniani nenda ukaseme nao hizo dini zenu ni za uongo. .lkn hzo hmuzisemi kwakuwa nidini zakishetan kama ukirsto ndio hamuna vita nazo..uislam tu ndio inaeasumbua mashetan wakubwa ninyi.ndio bblia ikasema kiti cha enzi chashetan kimewekwa kanisani. .ndacha mungu wenu si yesu mungu wenu nishetan mumemuacha kanisani Ameeka makao yake.nawatto wake.Tumewajua wakirsto wanaabudu shetan kanisani .nabii yesu Hakuenda kanisani...kwann ninyi munaviherehere zamakanisa kama cishetan kumfuata...wakirsto mungu wao nishetan nimejua kwa huyu ndacha mapepo sayote hoja zake mpka Amtaje shetan..ndacha unalaani ww shetan Amekufikisha pabaya ww umeshanunua viza yajahnnam.kwahzo kufru nyingi...
@@sulehassanshall6140 ebu nijibu mtume wenu Mohammed alioa Aisha akiwa na miaka ngapi?miaka ya Mohammed na Aisha.....Tena uislamu unakuwaje dini ya haki ilhali Babu kamnajisi mtoto wa miaka9???🤦🤦🤦ati ni Bibi yake!Hata shetani na mabaya yake yote haezi oa mtoto wa miaka6!!!🤭🤭🤭
Mungu awasamehe waslamu kwa kumfukuru Mungu kwa kutumia maandiko vipaya niulize mbona kwenu mmesema kuwa kusema kukula nyama c nyama za watu ni kusengenya alafu umesoma hapo isaya 54 eti ni Mungu tasa😭😭😭 hapo mbona ukutumia mfano nikumanisha duniani hatuna watu hawazai ambao utengwa na jamii juu ya kutozaa eti zaburi 91:4 eti Mungu ana manyoya Mungu awasamehe kwakutoelewa maandiko
Bibilia inatwambia kizazi cha yesu ni mwana wa daudi na ibrahimu Mathayo 1:1 [1] Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu . Sasa hapa chini tunashangaa yesu asema kabla ya ebraham kuweko yeye alikuweko Yohana 8:58 [58]Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Soma Yohana sura ya kwanza. Yesu alizaliwa kimwili baada ya Ibrahim lakini haimaanishi kwamba hakuwepo. Yohana anatueleza kwamba alifanyika mwili na akakaa kwetu lakini alikuwepo kwa Mungu na akawa Mungu tangu mwanzo.
@@ushahidifilms2011 Kwa muujibu wa maandiko yesu hakuwepo ni mngu peke yake Waebrania 6:13 [13]Kwa maana Mungu, alipompa Ibrahimu ahadi, kwa sababu alikuwa hana mkubwa kuliko yeye mwenyewe wa kumwapa, aliapa kwa nafsi yake,
Ndacha mnachekesha ati Allah wa kibharu,😂😂😂 ukristo kweli ni jia ya uzima, waabie kabiza wajue ukweli, hao waislaamu, Mimi uku Saudia niliwazoea, bure kabiza
🤠🤠🤠 ..........Biblia inamaneno magum saana ambayo kwa kweli watu wasio kuwa na elimu ya roho hawatakuja kukielewa milele. Yani ni vituko tu ........ Yani anatumia biblia kusema Mungu wa biblia sio Mungu, afu anatumia anatumia biblia hiyo hiyo kumtetea Mungu wa Quran 🤠
Pia ww Anwari acha kashfa "Eti Ndacha anaongea kama kameza sidi' hata hivyo hiyo ni dhahiri kwmb ulishazidiwa tangu hapo awali. Na hayo majina 99 ya Allah wenu Mungu awafungue sana macho maana ni jambo LA hatari sana kujua
No allah ni jini wako pekee yako don't say eti ni mungu wa wote hata sio mungu in the first place and muhamad that confused element is the false prophet of all ona jinsi alivyo waacha kama mumechanganyikiwa
biblia na uislam kipi kilitangulia, uislam umeanzishwa tayari biblia imeshaandikwa kitambo ndo maan quran imeandikwa kupinginga biblia na pia qurani inatambua biblia na dini ya ukristu na wayaudi lakini uwezi kukuta uislamu au quruan ndan ya biblia maana hizo zilikuja mbele ya biblia soma maandiko ndugu yangu kuwa muelewa usiwe mshabiki bila kuelewa
@@beatricelyimo8307 sikulaumu.ww ni mtu ambae hujui uislamu ni nini,pili hujui vitabu vya mungu.Bibilia ni kitabu cha kuandikwa na kilikua kitabu cha wana waisrael si ww paka..unaonekana hata bibilia yako hujuii.bibilia ni corrupted book.ww nende ukasome vizuri ujue uislamu ulianza tangu adam ile quran haikuleta uislamu bali ulianzwa na nabii adam kumwabudu munguu pekee sio bwana wa mungu na sio yesu
Anwari na shehe wake wamepata dose mpya leo kilicho ni shangaza ni kwamba Quran inangongana yenyewe hadithi wamekata ,anwari amesima jina Allah niya mungu mwenyezi haliitwi mwingine:amepewa adiko Allah ameitwa mungu mwingine waislamu hamna mungu
Mmmh waisilam kwakuongea wapo vzr ila yesu nijbu na ndo njia ya kufika kwa mungu ubakiwe mchungaj na mbalkiwe mashee tumejifuza nazani maostazi wa mekuelewa
Kweri setani simchache...kageuza mengi nakuonekana kaa ukweri lkni neno lamungu hatawahi ishinda kamwe namuishowe atatiwa motoni nauwezo na nguvu zake bwana mungu
Hakika nasikia raha wahadhiri wetu wa kisilamu wanajituma kweli yani sisi waisilamu tumepewa neema ya kila kitu na ndio maana dini yetu inakuwa kwa kasi mno yani tunasilimisha makafiri kwa kuwapea hoja silizo wazi,
Mnamkejeli Mwal Ndacha kwa vimaneno vyenu vya hapa na pale kwasababu kiukweli ninyi waislam hamna hoja. Tena hicho kitabu chenu mnachokikataa kinaitwa Ukweli Mwaminifu. Basi kama ni hivyo vyote vingine bakini na Quran tu. Hata hivyo Giza haliwezi kuishinda Nuru kamwe!
Ni KWELI ALLAH SIO MUNGU MAANA KTK TAFSIRI YA KIARABU HAKUNA MAANA YA ALLAH AKAWA MUNGU #ALLAH ATABAKI ALLAH SUBHANA .. #NA MUNGU ATABAKI KUWA MZUNGU..HATA LIYESU LA KWENYE MOVIE LINAONEKANA NI LIZUNGU.. ILA IYSA BIN MARIAM(yesu) hakuwa mzungu
Eti wakristo wanasema mungu n yule aliyepigiliwa msalaban, lile n sanamu la wazungu kuwapotosha watu afu tena unaenda kulipigia magoti sanamu lililochongwa hahahahaaaaaa!
Mashaa ullah mashekh wetu Allah akuzidishieni inshaallah.hawa wakristo hawana Elim ya dini wala hawajui Lugha ya dini zaidi wanatizama masilaha tu wala msiwaachie na Allah awafedheheshe inshaallah.
Elim ya waislamu ni elim ya majini ya kumpinga Yesu kristo ndiomana wakisoma biblia wali soma nusu nusu ili wapoteze watu wasiosoma biblia ama wafunuliwe sili ya Yesu kwa maana Yesu ni sili ya mungu, ndomaana kwasababu Yesu alikuwa sili ya mungu ndiosababu waislam hawamujui kwasababu banaongozwa n'a majini lusifa mukuu wa majini.
Allah si mungu wa kweli, Ni baali , waislamu mushinde kuimba "Allah ni mungu" musituampie anataka nini kwetu Mungu wakorani akwampii utoke Kwa dhambi , Fanya mingi maovu, Allah,ata kukliza.
Kaka ww mwongoza mada hapo naona unacheka kwa kujikaza na unajaribu kuupindisha ukweli kwa kuwasapoti wenzako zaidi: lkn unajua wazi kwmb Yesu anakupenda sana pamoja na hao wenzako. Ukweli ndio huo
Mwalimu ndacha nakupongeze sana Jehovah akupe nguvu ln Jesus Christ Name
Ndacha ww unakipawa chaaje dah Ndacha mwenyezi mungu akubaliki
Waislam wamefundishwa na wakafundishika ila wanaona aibu tu lakini uweli wameujua,UBARIKIWE PASTA FRANCIS NDACHA
Waislamu hamna hoja kamwe...
FRANCIS NDACHA . ubarikiwe sanaaaa haujawahi kutuangusha
Jamani waislam hamna hoja! Mwalimu ndacha mungu akuzidishie hekima ya kujadili.
Jamani ndg zangu wakenya mimi ni mtanzania mkristo huwa namfuatilia sana pastor Ndacha pls naomba namba yako pastor Ndacha ninahaja sana na wewe iwe kwa whatsup fb hata istagram tafadhali ila waislamu hawana hoja hao milele.
Subhannallah Hawa makafiti wamemyimwa akili jamani hivi mmekuwa majuha Hadi hamjielewi kabisa ni hasara kubwa
Kumbe waislam Hawasomi vitabu vyao Jamaa Huyo aliyekaa karibu na ndacha Kastuka Kusikia majina ya muhamadi Kufanana na Allah,
Hatari sana allah
Noma sana
Jamaa anamwangalia sana ndacha kwa asila
Mungu wa waislamu ni kiumbe cha JEHOVA
Wewe wacha kukufuru Mungu kamuumba hoyo jehova pamoja na we we hivi na akiliyako yote kbl ya huyo jehova kuzaliwa hii dunia nani alikua akiiendesha Kama siubwege huu ulionao yehova hawezi kuwa Mungu hata nusu sekunde jaribu kusoma bibilia kiumakini ujue utofauti wa Mungu na jehova wacha kusomewa na kutafsiriwa ndivyo sivyo
Amen mtumishi ndacha nimebarikiwa
Mwalimu Ndacha, hoiyee. May Jehovah uphold you. you are indeed our East African Christian Prince (CP)
1:23:05 allah alikuwa mgonjwa macho malaika wakamtembelea.
🤣🤣🤣🤣🤣wapi Allah alikuwa mgonjwa wa macho
@@mwanashagladys4581 sikiza hio story hapo
Mungu ni mkubwa,asanteni sana walimu kwa elimu.🙏🙏🙏
Mimi nawaonea uruma mkuje kwa Yesu kursto aliye ahi kwenda kumuinamia mtu alikufa zamani akusaidie
Pastor Ndacha amepeleka hao jamaa mpaka wanamwangalia kwa uoga sidhan kama siku ingine atawah mwita
Allah hajaumba hata panya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌
Ndio maana wakirsto hawana dini
@fatima Waislamu mko na bidii na dini kweli 🤣🤣🤣tokeni gizani hebu,sisi walokole wacha tuzidi kuutafuta uzima wa milele
Hata nzi
😂🤣😂🤣😂
Bwana Yesu ni njia kweli na uzima
Ant Christi namuona ndani ya uislam ndacha umeongea ukweli
Ndacha elimisha mandugu na madada zetu waliopoteya njia
Duh waislamu wamepigwa na chuma kizito saana hapa!
Amina ndacha Mungu atumie
Ati aliruka fence.Ata mwenyekiti amekubali. 😂😂Hawajui vitabu zao. Hongera Dasha ❤
Waisilamu wakubali yesu
Allah ni lile jiwe jeusi la Maka(Al Kaaba) wanalolibusu,na Malaika zake ni majini!!Takbir!
HAPA NIMEAMINI WAISLAM NI MAKAFIRI KABISA,WAISLAM WAMEVURUGWA NA KUGALAGAZWA KABISA MPAKA WAMEPANIKI NA WAMEKASIRIKA SASA WANALETA MIPASHO
Eeh mipasho ndio kazi yao kubwa ambayo huifanya kwa ajili ya kulinda Uongo wao, kujitetea dini yao ya Giza
God bless you beyond repair SIR Ndasha for sensing this and May every soul here be blessed beyond human understanding by this Episode
Why do Muslims ☪️faith and other man made faith do talking 👄to 😈Demons spiritism?
ALLAH NI SHETANI
Hii ni kali
Kwer
Pastor ndacha fanya kazi ya mungu, wacha mungu akubariki,
Ndacha umejaliwa hekima njopo la waisilamu wasomi hawakuwezi hoja zao nidhaifu mno.
NDACHA MUNGU AKUBARIKI KAZI NZURI
Yesu ni bwana
Bwanake nani na hajaoa
Jibuni hoja za Ndacha siko porojo
WAISLAM WAMEPAGAWA HATARI HAWAJITAMBUI
Ndacha nikiboko cha waisilamu kweli
Waislamu wamefundishwa kumtetea mungu wao kwa upanga hata kwa uongo, hapo naona huyo shehe anajitahidi kutafuta namna ya kutetea dini ya uislamu na mungu wao, huku ameshindwa kujibu hoja za ndacha.
Anwar acha kupoteza wenzako,Ndacha endelea kutuonyesha ukweli
Kweli wakristo mna akili za kushikiwa. Ivi huoni ndacha anawapoteza
@@nassorsharifu9837 acha nikupashe mwenzangu,niko ngome kuu ya uislamu macca,yanayoendelea huku ni uovu na ubatili mtupu☹😖,sanduku jeusi ndo lazungukwa mara saba kisha busu,,saitan,how can you bow and worship a dead thing and hakuna siku litafufuka🙄🤷♀️,nonsense,ebu fungukeni macho na muokoke na mtangaze is injili ya kweli,Arabs wenye mnakufia ni roho ngumu na wauwaji,majini kwao lazima,ebu muache kua watumwa kwa dini msilolijua😳
@@user-rm1os9bm8i endelea kuamini unachoamini acha nami niamini ninachoamini. Ni nani alikuambia kuwa waislamu wanategemea kuwa kuna siku hilo unaloliita sanduku jeusi litafufuka. Kwao hiyo ni alama tu ya dini wala hulazimishwi wewe kuwa muislamu wala wewe si wa mwanzo kupinga, kama watu walipigana ili kuuzima wakashindwa utaweza wewe kwa maneno? Allah ndie mjuzi zaidi anasema " Hakika waliokufuru ni sawa tu ukiwaonya ama usiwaonye wao hawataamini" Al Quran 2:6
@@nassorsharifu9837 good,acha mi na wakristo wenzangu tuendelee kumwabudu mungu aliye hai ambapo katika yeye kuna uzima wa milele🙏,ibaada za marehemu Muhammad zishindwe katika Jina la Yesu kristo
Zishindwe na zilegee katika jina la yesu
Ww mwongoza Mada sijakupenda.
Hujui kusimamia Mada, sababu unapendelea upande wako tu.
SHETANI AMEWAFUNGA MUISILAMU MACHO.
Waaa walipoteya
nampenda sana anwar but hapa yuko kwa kona ..vichaka zote za kujificha zimeteketezwa na ndacha
Amen mungu akulinde.. wamekunjwa USO juu ya ukweli mungu wa wakristo ni mungu muumba
Mashehe wamefundishwa kweli hadi Mwalimu akitoa hoja wanashtuka ni kama wako kwa ndoto wa nashangaa ni kama hawasomi hadithi vizuri au vipi
ما شاءالله تبارك الله شيخ انور
Anwar penda usipende allah sio mungu wa kweli ,ni nilile jiwe jeusi lililoko ndani ya kaaba.
Bibilia Mwafrica uk 2216) Soma
@@khalfanifarsy8216 so kuna dini ya kiafrika?
@@khalfanifarsy8216 waafrika hawajawahi andika bibilia ni watu tu wasio mpenda yesu wanaandika kisha ju yake wanaandika eti afrikan bible
@@khalfanifarsy8216 basi niambie panasemaje ?
@@omarmukhutar6847 Bibilia ya Mwafrica uk 2216) Tazama A.L.L.H ni jina la Mwenyezi-Mungu. Naomba uniambie hizo spering zilivyokaa zina ashiria nn? Yahwe, Y.H.W) Yehova) Y.H.V)
Yan Mungu alianza kwa kuumba kalamu? ...........🤠🤠🤠. Asanteni sana
Wamepotea waislamu karamu ndo aliumba hawezi allah kutuumba wanadamu sababu ni jini.
Wow, iyo Manda ilikua poa sana, 😂😂😂😂mlinichekesha, ata awajui mke wa Ibrahim anaita nan, iyo ni🔥🔥🔥🔥🔥
Tunashangaa
waislamu wanashida na Imani yao. wasiwe na aibu kuenda kwa ukristo kwani walimwegu wamefunguka macho.
Eti MUNGU wa bibilia sio wa kweli 😢😢😢😢😢🙆🙆🙆 chunga kauli yako Anwar wewe uko gizani,Sio rahisi kuelewa bibilia bila Roho mtakatifu hauwezi elewa chochote.
Mungu wa Quran sio wa kweli ni jiwe jeusi.
Huyo wa pili kuchangia alipewa mda mwingi, mda wake uliisha mapema na akapewa muda wa ziada, lakini Francis Ndacha alizuiliwa kuendelea, this was not fair, the time keeper hakuwa mwaminifu.
Allah aliumba kalamu wash hii ni kali
Congratulations Mwalimu Ndacha.Wape elimu....Lakini kumbuka jina la muumba ni Yahweh sio Jehova/Yehova.Aidha jina la mwana sio Yesu bali Yahshua...Fanya utafiti utajua ukweli
NDACHA Hana elimu ya dini wala kumjua Allah labda kuchekesha watu
Huyo jamaa anaumwa kweli kweli, ukweli unauma
Pastor Ndacha umajaliwa hekima iliyotoka juu kwa Baba!
Ndata ni mapepo wanamsumbua haelewi Kit.moyo wake umejaa maovu nachuki nahasad nyingi kuuchukia uislam .kwakua ndio dini yahaki.kama kweli ndacha ziko dini nyingi za kikafiri kama za kina baniani nenda ukaseme nao hizo dini zenu ni za uongo. .lkn hzo hmuzisemi kwakuwa nidini zakishetan kama ukirsto ndio hamuna vita nazo..uislam tu ndio inaeasumbua mashetan wakubwa ninyi.ndio bblia ikasema kiti cha enzi chashetan kimewekwa kanisani. .ndacha mungu wenu si yesu mungu wenu nishetan mumemuacha kanisani Ameeka makao yake.nawatto wake.Tumewajua wakirsto wanaabudu shetan kanisani .nabii yesu Hakuenda kanisani...kwann ninyi munaviherehere zamakanisa kama cishetan kumfuata...wakirsto mungu wao nishetan nimejua kwa huyu ndacha mapepo sayote hoja zake mpka Amtaje shetan..ndacha unalaani ww shetan Amekufikisha pabaya ww umeshanunua viza yajahnnam.kwahzo kufru nyingi...
@@sulehassanshall6140 ebu nijibu mtume wenu Mohammed alioa Aisha akiwa na miaka ngapi?miaka ya Mohammed na Aisha.....Tena uislamu unakuwaje dini ya haki ilhali Babu kamnajisi mtoto wa miaka9???🤦🤦🤦ati ni Bibi yake!Hata shetani na mabaya yake yote haezi oa mtoto wa miaka6!!!🤭🤭🤭
Hivi kwanini waislamu wanapenda kufuatia sii kuanza ktk maada nyingi za mijadala, mfn hapa ni Allah si mungu ilitakiwa wao ndio watueleze who is Allah
Hiyo ni ukweli Allah si MUNGU
Mungu awasamehe waslamu kwa kumfukuru Mungu kwa kutumia maandiko vipaya niulize mbona kwenu mmesema kuwa kusema kukula nyama c nyama za watu ni kusengenya alafu umesoma hapo isaya 54 eti ni Mungu tasa😭😭😭 hapo mbona ukutumia mfano nikumanisha duniani hatuna watu hawazai ambao utengwa na jamii juu ya kutozaa eti zaburi 91:4 eti Mungu ana manyoya Mungu awasamehe kwakutoelewa maandiko
Bibilia inatwambia kizazi cha yesu ni mwana wa daudi na ibrahimu
Mathayo 1:1
[1]
Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu
.
Sasa hapa chini tunashangaa yesu asema kabla ya ebraham kuweko yeye alikuweko
Yohana 8:58
[58]Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Soma Yohana sura ya kwanza. Yesu alizaliwa kimwili baada ya Ibrahim lakini haimaanishi kwamba hakuwepo. Yohana anatueleza kwamba alifanyika mwili na akakaa kwetu lakini alikuwepo kwa Mungu na akawa Mungu tangu mwanzo.
Waebrania 6:13
[13]Kwa maana Mungu, alipompa Ibrahimu ahadi, kwa sababu alikuwa hana mkubwa kuliko yeye mwenyewe wa kumwapa, aliapa kwa nafsi yake,
@@ushahidifilms2011 Kwa muujibu wa maandiko yesu hakuwepo ni mngu peke yake
Waebrania 6:13
[13]Kwa maana Mungu, alipompa Ibrahimu ahadi, kwa sababu alikuwa hana mkubwa kuliko yeye mwenyewe wa kumwapa, aliapa kwa nafsi yake,
Ndacha mnachekesha ati
Allah wa kibharu,😂😂😂 ukristo kweli ni jia ya uzima, waabie kabiza wajue ukweli, hao waislaamu, Mimi uku Saudia niliwazoea, bure kabiza
@@omaratik2778 Hapa inasema kwamba Yesu hakuwepo? Au inasema tu kwamba hapakuwa na mkubwa kuliko Mungu?
Hawa jamaa hata uwafundishe mwaka mzima kitu hicho hicho hawawezi kuelewa kwa sababu wameamua kutoelewa. Ndio maana hata majini ni waumini wenzao.
So, what I get is... Waislamu wanaandika vitabu lakini hadithi ni za uongo... What a joke!!
Hawajibu HOJA, wanazunguka tu
🤠🤠🤠 ..........Biblia inamaneno magum saana ambayo kwa kweli watu wasio kuwa na elimu ya roho hawatakuja kukielewa milele. Yani ni vituko tu ........
Yani anatumia biblia kusema Mungu wa biblia sio Mungu, afu anatumia anatumia biblia hiyo hiyo kumtetea Mungu wa Quran 🤠
Na Enjoy sana from Tanzania,Uislam ni dini ya Kichawi
Pia ww Anwari acha kashfa "Eti Ndacha anaongea kama kameza sidi' hata hivyo hiyo ni dhahiri kwmb ulishazidiwa tangu hapo awali.
Na hayo majina 99 ya Allah wenu Mungu awafungue sana macho maana ni jambo LA hatari sana kujua
Uyo balagashia anakela
Tatu bila ya waisilim😂😂e😂
Nyie mwatuchanganya kweli
Aisee
Anwari ameoba wapi MUNGU WA BIBLIA NI MWENYE HAKI,,mimi nampa azakuhesabu:SOMA TORATI 32:4 EZRA:9:15 ZABURI:116:5 ISAYA:45:21: someni waislamu :anwari anawapoteza jia
comedians
Aibu imewashika waislamu wameshindwa kusilimu kwa sababu ya viapo na vitisho vyao
Isa wakirsto atumjua
Sauti ktk video hii iko chini sana
Allah ndio Mwenyezi Mungu wetu sote binadamu na Muhammad ndiye mtume wetu sisi wote
No allah ni jini wako pekee yako don't say eti ni mungu wa wote hata sio mungu in the first place and muhamad that confused element is the false prophet of all ona jinsi alivyo waacha kama mumechanganyikiwa
Allah sio Mungu
Huyo mwanyekiti anavyo mwangalia mwalimu wangu Ndacha🤣🤣
Yeah anacho ongea kina mchoma😅
Hata mimi nmeshangaa kabisaa hee injili ilikuwa moto🙌
Bibilia sio ya wakristo...bibilia ni ya waislamuu..
biblia na uislam kipi kilitangulia, uislam umeanzishwa tayari biblia imeshaandikwa kitambo ndo maan quran imeandikwa kupinginga biblia na pia qurani inatambua biblia na dini ya ukristu na wayaudi lakini uwezi kukuta uislamu au quruan ndan ya biblia maana hizo zilikuja mbele ya biblia soma maandiko ndugu yangu kuwa muelewa usiwe mshabiki bila kuelewa
@@beatricelyimo8307 sikulaumu.ww ni mtu ambae hujui uislamu ni nini,pili hujui vitabu vya mungu.Bibilia ni kitabu cha kuandikwa na kilikua kitabu cha wana waisrael si ww paka..unaonekana hata bibilia yako hujuii.bibilia ni corrupted book.ww nende ukasome vizuri ujue uislamu ulianza tangu adam ile quran haikuleta uislamu bali ulianzwa na nabii adam kumwabudu munguu pekee sio bwana wa mungu na sio yesu
Anwari na shehe wake wamepata dose mpya leo kilicho ni shangaza ni kwamba Quran inangongana yenyewe hadithi wamekata ,anwari amesima jina Allah niya mungu mwenyezi haliitwi mwingine:amepewa adiko Allah ameitwa mungu mwingine waislamu hamna mungu
Mmmh waisilam kwakuongea wapo vzr ila yesu nijbu na ndo njia ya kufika kwa mungu ubakiwe mchungaj na mbalkiwe mashee tumejifuza nazani maostazi wa mekuelewa
True niko Bahrain nasikiliza niukweli apa penye nafanya kazi kuna msichana anaitwa Allah😂😂
MMEMUUA HUYO HAELEWI KABISA, asalaam aleykum ndancha
#MWAMBIENI NDACHAA UFAHAM WA HADIYTH HATOPATA TAZKIYYA WA WEREDI SAHIHI
#NAAM ABAKI NA VIJITABU VYAKE.VYA UCHOCHORONI ALIKOVIAZIMA MWISHO VIMEMZIMAA.
#ALLAH AMUONGOZE PENGINE LINAWEZA KUSILIM
Kweri setani simchache...kageuza mengi nakuonekana kaa ukweri lkni neno lamungu hatawahi ishinda kamwe namuishowe atatiwa motoni nauwezo na nguvu zake bwana mungu
Mohamed anaswaliwa? Anaswaliwa ili aweje?
Hahahaha, one of my favorite videos ever posted by BND, hahaha allah created a pen?!! Hahahah
Hakika nasikia raha wahadhiri wetu wa kisilamu wanajituma kweli yani sisi waisilamu tumepewa neema ya kila kitu na ndio maana dini yetu inakuwa kwa kasi mno yani tunasilimisha makafiri kwa kuwapea hoja silizo wazi,
JAmila shisia that's true my
Mkienda jehanam
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌hapo kwa motooo jikoni waislamu muokoke
@@janenjenga5639 wamekuwa wengi ili wakaungue vzr😂😂😂
At aliluka geti Yani laha sana
Yani huyu anwar.. "nitoe.. nisitoe..." ati ni kujichocha.. This guy is the biggest coward
Hoja Anwar hakuna kitu, wanakataa maandiko
Wakristo hakirii
Mnamkejeli Mwal Ndacha kwa vimaneno vyenu vya hapa na pale kwasababu kiukweli ninyi waislam hamna hoja. Tena hicho kitabu chenu mnachokikataa kinaitwa Ukweli Mwaminifu. Basi kama ni hivyo vyote vingine bakini na Quran tu. Hata hivyo Giza haliwezi kuishinda Nuru kamwe!
Wewe Ndacha kwa ujumla una tafuta ukweli ili Usilimu kwa hiyo una jaribu pata uhakika tu.
Ndacha una skill kweli hata ya kunywea uji ???
Anwari leo umechemuka
Ni KWELI ALLAH SIO MUNGU
MAANA KTK TAFSIRI YA KIARABU HAKUNA MAANA YA ALLAH AKAWA MUNGU
#ALLAH ATABAKI ALLAH SUBHANA ..
#NA MUNGU ATABAKI KUWA MZUNGU..HATA LIYESU LA KWENYE MOVIE LINAONEKANA NI LIZUNGU..
ILA IYSA BIN MARIAM(yesu) hakuwa mzungu
Biblia imeshinda
Eti wakristo wanasema mungu n yule aliyepigiliwa msalaban, lile n sanamu la wazungu kuwapotosha watu afu tena unaenda kulipigia magoti sanamu lililochongwa hahahahaaaaaa!
Mashaa ullah mashekh wetu Allah akuzidishieni inshaallah.hawa wakristo hawana Elim ya dini wala hawajui Lugha ya dini zaidi wanatizama masilaha tu wala msiwaachie na Allah awafedheheshe inshaallah.
Elim ya waislamu ni elim ya majini ya kumpinga Yesu kristo ndiomana wakisoma biblia wali soma nusu nusu ili wapoteze watu wasiosoma biblia ama wafunuliwe sili ya Yesu kwa maana Yesu ni sili ya mungu, ndomaana kwasababu Yesu alikuwa sili ya mungu ndiosababu waislam hawamujui kwasababu banaongozwa n'a majini lusifa mukuu wa majini.
Allah si mungu wa kweli,
Ni baali , waislamu mushinde kuimba "Allah ni mungu" musituampie anataka nini kwetu
Mungu wakorani akwampii utoke Kwa dhambi , Fanya mingi maovu, Allah,ata kukliza.
Ndacha yani umetoa inje haibu yko pole rudi class usome vizuri
Hahahahaha pastor mkorofi etii
Kama kukula nyama ya watu Ni kusengenya,Ina maana mungu wenyu pia anamafumbo lakini yesu akitumia mafumbo Ni makosa?
Kaka ww mwongoza mada hapo naona unacheka kwa kujikaza na unajaribu kuupindisha ukweli kwa kuwasapoti wenzako zaidi: lkn unajua wazi kwmb Yesu anakupenda sana pamoja na hao wenzako. Ukweli ndio huo
Huyu mwenyekiti simpendi. Anakaa mtu wa fujo
Ukweli ni uchungu sana anaskia kulambisha Kofi ndacha😂
Mwenyezi Mungu amekupa ujasiri kweli, ni kweli biblia imeandikwa kwa fumbo kama hauna roho mtakatifu huwezi kuelewa wambie waislam waelewe jamani
Ndacha utakuja kuchekea Jahanam