Wewe unakaa mwanafunzi wa Mwankemwa ambaye anaongea vitu hata hakuna kwa maandiko. Ati Alifunza Dasha😂😂😂 Hakuna kitu mwalimu wa jumapili anaweza funza mtu
Jambo pasta , Nilisikia andiko ya quoran : inasema je? Nimufanye Mola wangu asikuwa mwenyezi mungu. Kwahiyo Mola wa Muhammad si mungu . Kwa sababu Mola wangu asikuwa mwenyezi mungu.
@@michaelthobias9967 simpingi ila cku ipo utafumbuliwa macho Kuna mambo engine Yuko sawa mengine apana aja kukubaliana nayeyr kwa kila ki2 , anasoma maandiko lakini kuelewa kwake aaha na asidhani yeye ndiye anajua sanaa apana simpinngi ajunguze ukweli ndipo arushie myandao, pengine umeanza kumckiza majuzi ndio maama unapingana nami
Ndacha uelewa wako upochini ambacho huelewi nini wakristo wanasubiri uoneshe andiko yesu anasema ni mkrist Huwezipata sababu kristo ni cheo diniyake ni ipi?
Ukisema wakristo maana yake ni wafuasi wa yesu kristo watu wanao mfuata yesu din haimpeleki mtu peponi yesu anasema ajidhaniae anayo dini anajidanganya
@@GodblessKihupina Dini maana yake ni njia na YESU ANASEMA MIMI NDIMI NJIA YA KWELII NA UZIMA. SHIDAA WENZETU MAMBO YA ROHONI HAWAELEWII HATA UONGEE MIAKA ELF
@@0badiaMwasongwe-rt1wr din ni mpango wa mwanadamu kumtafuta mungu sio mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu ila mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu kwa njia ya yesu tuuu wala sio dini yesu anasema mimi ndimi njia ya kweli na uzima mtu haji kwa baba bila kupitia njia yangu
Mud mtume wa waislam aliye eneza dini yake kwa upanga na kuoa katoto kadogo na kama maandiko yasemavyo mshahara wa dhambi ni mauti mwisho wa siku alikufa kifo kibaya sana kwa kulishwa sumu na mdada wa kiyahudi
UISLAMU NI MATENDO KWA MFANO BW. YESU ANASEMA WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE NA YESU ULIYEMTUMA...HUO NDIO UISLAMU..KUAMINI KWAMBA BW YESU ALITUMWA NA MUNGU..NA KUAMINI MUNGU NI WA PEKEE... KINYUME CHAKE WAKRISTO AWAAMINI HAYO MANENO YA YESU KWAMBA ALITUMWA NA MUNGU BALI WAKRISTO WANAAMINI KWAMBA NA BW YESU NAYE NI SEHEMU YA UUNGU WA MUNGU
Yesu ni muislam sefania 2-3 matayo 11-29 yesu anafundisha unyenyekevu kwa kiarabu (uislam) unaposema muhammadi amesilim maanayake amenyenyekea kwa mungu
@@henrychiriba9354yaan hawa akili hata ya kawaida ya kufikilia hawana kitabu cha Quran kinasema kabisaa uislamu umekuja nyuma miaka hiyo ya elfu 4 haikuwepo lkn hawaelewiii hata kidogo😂😂😂
Hii dini ya marehemu Muhammad ni balaa kabisa. Majini na shetani walisilimu. Kwahiyo Islam ni dini ya majini na shetani na Quran ni kitabu ya shetani na majini.
@@BonfaceWawire-k6p Mbona unapinga uislamu wenu? Nyinyi mnasema malaika Jibril ni roho mtakatifu... Ebu Nipe andiko ndani ya Quran inayosema maji ni roho mtakatifu. Sitaki maneno ya mdomo wako
Mungu ni wangapi ndacha anajibu mmoja baba Ukimuuliza yesu ni mungu anasema ndio Je mungu wangapi anasema mmoja Yesu ndio baba ? anasema ni tofauti sasa mgongano kama huo hlf mnasema mna dini nyie
Sasa kama wewe una injili ya Yesu lete andiko alishahadia. Hamna injili ya Yesu waislamu na ninani aliyewaambia nyie waislam Yesu ni muislam na injili yake hamna? Mlijuaje na hamna injili yake kama hamdanganywi?
Hujui hata unachoandika. Waislamu mwende shule! Kwani uislamu ulianzishwa wapi? Mohamad aliiishi wapi? Kuna nchi nyingind duniani ulikoanzishwa uislamu?
Waislamu bana.....nawaonea huruma sana.....ubishi wao ni kijinga sana .....nyie endeleeni kujifanya wabishi kuelewa.....Yesu anasema ukinikana mbele za watu.....na mimi nitakukana mbele ya baba angu......take it or leave it
Kweli kabissa, Mungu Akutunze
Mchungji..ndacha..mungu .akusaidie..sana...wew..uko.. vizuri...🏦⛪
Mada ya Sabato na utatu Mwalimu Daniel Mwankemwa alikufundisha vizuri kwenye mdahalo mliofanya hapo Bunju.
Wewe unakaa mwanafunzi wa Mwankemwa ambaye anaongea vitu hata hakuna kwa maandiko. Ati Alifunza Dasha😂😂😂
Hakuna kitu mwalimu wa jumapili anaweza funza mtu
@@moshantojKweli kabs Mtumishi.
Huyu si msabato ni mwislam b
Mchungji..ndacha..uko..vizuri..sana.
Jambo pasta ,
Nilisikia andiko ya quoran : inasema je? Nimufanye Mola wangu asikuwa mwenyezi mungu.
Kwahiyo Mola wa Muhammad si mungu .
Kwa sababu Mola wangu asikuwa mwenyezi mungu.
Ndacha hana mpinzani
Ndacha hapo pa Mungubaba, Mungumwana, Mungurohomtakatifu nasiku yakuabudu hapo hueleweki hapo enda kalakala, hapo skubaliani nawewe
Hatuna mungu mwana ila tuna mwana wa mungu ...na mungu baba na roho wake
Wewe ndo husikii mafundisho ya Ndacha.
Hakuna siku Ndacha amehubiri Mungu baba Mungu mwana Mungu roho.
Kwa nini kushuhudia uongo ndugu yangu?😮
Hulazimishwi ndugu mana sisi tunadili na mandiko
@@michaelthobias9967 simpingi ila cku ipo utafumbuliwa macho Kuna mambo engine Yuko sawa mengine apana aja kukubaliana nayeyr kwa kila ki2 , anasoma maandiko lakini kuelewa kwake aaha na asidhani yeye ndiye anajua sanaa apana simpinngi ajunguze ukweli ndipo arushie myandao, pengine umeanza kumckiza majuzi ndio maama unapingana nami
Hallelujah
𝑯𝒂𝒉𝒂𝒉𝒂 𝒘𝒂𝒌𝒂𝒕𝒊 𝒖𝒊𝒔𝒍𝒂𝒎 𝒖𝒎𝒆𝒌𝒖𝒋𝒂 𝒋𝒖𝒛𝒊.........
Mimi..Niko..Zambia..
ukweli kabsa
Kila pastar anaogea ki vyake nyinyi mko wapi
Aca kukuwa na challenge uislamu, haezi ziba nuru ya uislamu, haezi puliza nuru ya Jua.
Isilm kiswahil ni unyenyekevu kwaio waislam mnaposema manabii wote ni waislam mtufafanulie vizul
Ndacha uelewa wako upochini ambacho huelewi nini wakristo wanasubiri uoneshe andiko yesu anasema ni mkrist
Huwezipata sababu kristo ni cheo diniyake ni ipi?
Ukisema wakristo maana yake ni wafuasi wa yesu kristo watu wanao mfuata yesu din haimpeleki mtu peponi yesu anasema ajidhaniae anayo dini anajidanganya
Kunya ulale
@@GodblessKihupina Dini maana yake ni njia na YESU ANASEMA MIMI NDIMI NJIA YA KWELII NA UZIMA. SHIDAA WENZETU MAMBO YA ROHONI HAWAELEWII HATA UONGEE MIAKA ELF
@@henrychiriba9354 kuma wewe kafie mbele
@@0badiaMwasongwe-rt1wr din ni mpango wa mwanadamu kumtafuta mungu sio mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu ila mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu kwa njia ya yesu tuuu wala sio dini yesu anasema mimi ndimi njia ya kweli na uzima mtu haji kwa baba bila kupitia njia yangu
Mud mtume wa waislam aliye eneza dini yake kwa upanga na kuoa katoto kadogo na kama maandiko yasemavyo mshahara wa dhambi ni mauti mwisho wa siku alikufa kifo kibaya sana kwa kulishwa sumu na mdada wa kiyahudi
😂
Kwan nani aliye waambia waislamu ninyi kuwa kanisa ni jengo kanisa si jengo bali ni watu au wafuasi
UISLAMU NI MATENDO KWA MFANO BW. YESU ANASEMA WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE NA YESU ULIYEMTUMA...HUO NDIO UISLAMU..KUAMINI KWAMBA BW YESU ALITUMWA NA MUNGU..NA KUAMINI MUNGU NI WA PEKEE... KINYUME CHAKE WAKRISTO AWAAMINI HAYO MANENO YA YESU KWAMBA ALITUMWA NA MUNGU BALI WAKRISTO WANAAMINI KWAMBA NA BW YESU NAYE NI SEHEMU YA UUNGU WA MUNGU
Hauwezi ulizwa kwa sababu hauna majibu, biako ni bia bongo.
Unaposema muhammad amesilim kwa kiswahili amenyenyekea kwa mungu wake
Muhammad alisilimu kwa shahada gani?
@@daudimichael7338 Si ndiyo sasa akwa wa kwanza katika hao wenye kunyenyekea
Yesu ni muislam sefania 2-3 matayo 11-29 yesu anafundisha unyenyekevu kwa kiarabu (uislam) unaposema muhammadi amesilim maanayake amenyenyekea kwa mungu
sasa inawezekanake aje yesu kawa mwislamu na Mohamed mwenyewe ndio kaanzisha dini la kiislam
😂😂😂😂😂😂
Kwaiyo mtu akiongea tu kiarabu yeye huwa ni Muislamu basi kama ni hivyo dini ya kiislamu niya waarabu
@@henrychiriba9354yaan hawa akili hata ya kawaida ya kufikilia hawana kitabu cha Quran kinasema kabisaa uislamu umekuja nyuma miaka hiyo ya elfu 4 haikuwepo lkn hawaelewiii hata kidogo😂😂😂
Hakuna bibilia ya kweli hio ndio hujui
kwani ukafilia kitabu cha muhamed ni cha kweli? Tangu lini
Quran ambayo unaikuta hata kwa wagangaa wa kienyejii wakilogea ndicho kitabu cha kwelii?????😂😂
Hii dini ya marehemu Muhammad ni balaa kabisa. Majini na shetani walisilimu. Kwahiyo Islam ni dini ya majini na shetani na Quran ni kitabu ya shetani na majini.
@@bustedislam3578 unaona nini kaka maji Kwa waisilamu nikaa roho mtakatifu kwa wakristo
@@BonfaceWawire-k6p Mbona unapinga uislamu wenu? Nyinyi mnasema malaika Jibril ni roho mtakatifu... Ebu Nipe andiko ndani ya Quran inayosema maji ni roho mtakatifu. Sitaki maneno ya mdomo wako
Acha upumbavu ,fala ww
We ndacha kama hujielewi kupotosha watu
@@MwijakaSwalehe-dg4hw Kwa hoja gani?
Mungu ni wangapi ndacha anajibu mmoja baba
Ukimuuliza yesu ni mungu anasema ndio
Je mungu wangapi anasema mmoja
Yesu ndio baba ? anasema ni tofauti sasa mgongano kama huo hlf mnasema mna dini nyie
Ndacha hauna elimu mbona unafanya pekeyako hujatualika WAISRAMU unafanya mdaalo nanani
Sio Kila siku ni midahalo Kuna mafundisho na midahalo
ℕ𝕚𝕟𝕒 𝕨𝕒𝕗𝕒𝕥𝕒 𝕥𝕠𝕜𝕒𝕚𝕟𝕔𝕙𝕚𝕟𝕚 𝕞𝕨𝕒 𝕔𝕠𝕟𝕘𝕠 𝕞𝕚𝕞𝕚 𝕟𝕚 𝕒𝕝𝕖𝕩 𝕟𝕒 𝕨𝕒𝕡𝕖𝕟𝕕𝕒 𝕤𝕒𝕟𝕒
@@TiergieEmir karibu sana mtu wa Mungu
Asate kwamada iyo 10:00
Hiyo taurati unayo ilete uone letu injili ya yesu uona kama siyo muislamu
Sasa kama wewe una injili ya Yesu lete andiko alishahadia. Hamna injili ya Yesu waislamu na ninani aliyewaambia nyie waislam Yesu ni muislam na injili yake hamna? Mlijuaje na hamna injili yake kama hamdanganywi?
Ndacha hauna hoja,kwa mfano ndacha ni wamwanzo kua msabato kenya,kwa hiyo ww utakua umeanzisha huo usabato,mbona haitaki kutumia nguvu
Hujui hata unachoandika. Waislamu mwende shule! Kwani uislamu ulianzishwa wapi? Mohamad aliiishi wapi? Kuna nchi nyingind duniani ulikoanzishwa uislamu?
@@leonceuwandameno6378 kwa vile haujui mandiko ya Quran ikutoshe kua uislamu alikujanao nabii Adam sawa
Watuambie ni kanisa lipi hawa manabii washawai ingia Kama kweli walikua wakristo
Walikuwa wanaaabudu siku ya sabato
Wachana na uislamu tu maana sio dini maana imejaa majini
Akili yako ni ndogo@@henrychiriba9354
Huna hoja😂😂
Uislamu ulikuwepo kabla ya mtume Adam kama Ndacha unataka mdahalo mie nipo tayari
Verce ipi hiyo😂
😅
Wewe uko upande gani
Wapi yesu kajenga kabisa?
Ukristo sio dini ya Mungu, akuna nabii wa Mungu aliekuwa mukristo. Sababu ha muna ata ushaidi.
Hakuna nabii aliyetoka kwa waarabu @@RAMATHANI-eu5dk
Ogopa moto wa jeenamu, kuwa mcaMungu.
Jibu maswali hayo
@@FridayMwassawaislamu ni mapimbi mwanangu 😂😂😂😂😂 we acha tu
Waislamu bana.....nawaonea huruma sana.....ubishi wao ni kijinga sana .....nyie endeleeni kujifanya wabishi kuelewa.....Yesu anasema ukinikana mbele za watu.....na mimi nitakukana mbele ya baba angu......take it or leave it
Kila pastar anaogea ki vyake nyinyi mko wapi
Kila pastar anaogea ki vyake nyinyi mko wapi