Mapacha wa Huba: Watoto, Wachumba wetu wanatuchanganya, tunabadilishana nafasi na watu HAWAJUI - PT2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ค. 2024
- Christina na Regina Mroni ni mapacha wanaofanana sana (identical twins) na maisha yao tangu wakiwa watoto yamekuwa ni kuchanganya watu wengi. Wanasimulia maisha yao na jinsi ambavyo maisha yao yapo tofauti na watu wengine. Wanasimulia pia maisha yao ya sanaa ya uigizaji na pia urembo hasa kwa Regina aliyeshiriki Miss Tanzania 2006
#ChillnaSky #Part2
Mapacha raha jaman... Mungu katujalia na ss tupo Pacha.... Kama unatamani pacha gonga like hapa twende pamoja
E Mwenyezi Mungu Nami naomba siku nikiolewa uje unijalie mapacha 🙏🙏
Ameen thumma Ameen
Ameeen
ucombe best sema upate kizazi chema mie nilikua nasema km ww nikambiwa km ivyo nilivyokwambia mn ucone pacha wako apo wanaongea saiv sio kazi rahic best wng mwanamke mwenzetu yaani mama kapambana sana haswaaa
Amen
Aamiin
Poleni kwakufiwa na mzazi wenu😭ivi angeona raha yenu ManshaAllah
Wamebarikiwa hekima,Busara na kujielewa..ustaharabu Kama woote..daah nataman niwe Kama hawa
Ma'am Lissa acha kutamani sas afu anza kuwa
Muko vzr mashaAllah ruki na rani naomba Allah anijaalie na mm mapacha hata wa3 na wafanane wana raha sanaa
Amiin yarabb amiin
Eeeeeh mwenyenz mungu Naomba unipe Twice jaman,,,Amen
Samaani nadhani kama ulimanisha twins 👯♀️ Apana twice right?
Kumbe ww ni kama mm jaman nawapenda hatari
Ameen nami pia nawatamani twins
I love u guys. .natamani nami Mungu anibariki siku moja nipate twins maana napenda sana watoto mapacha
Poleni sana kwa kufiwa na mama yenu mpendwa.R.I.P Mama yetu.
Eee mwenyezi mungu nijalie nami kizazi changu nipate mapacha wakike kama hawa yaraab
Mashaallah na mm pia namwomba Allah anijalie nije kupata mapacha wanaofanan
Amiin insha allah
Mungu azidi kuwabariki Sana.nimewapendeza jinsi mnavyoishi Kwa upendo,furaha na amani, nyie ni mfano kwa jamii
adi raha na wanakipaji cha kufanana ,wote mafundi na ngozi yawo ninzuri na hawana mambo mengi❤❤❤❤
EE MWENYEZ MUNGU NAOMB UNIPATIE KIZAZI CHA MAPACHA AMEN
Hata mimi Mungu anibariki na mapacha wasichana kama nyinyi.
Kumbe kila mtu Ana watoto wa wili wa wili hongereni sana my twins
Watoto mapacha wanaraha yake km Mungu nijalie na mm nipate km hawa 🤲🙏 nimewapenda buree
Sana
Amen mi pia
Atujalie sote. I love twins so much.
th-cam.com/channels/Iei0c0l73F8pmbT4IbrC-g.html
Napenda kweli kiswahili chetu mawapenda sn❤❤❤😍❤❤
I just love them😘😘
Nawapenda sana, naomba Mungu nipate pacha kama nyie yani wanichanganye mpk nichanganyike
Mapacha wazuri kama watoto wangu GRESY na Regina mungu awalinde wote
Aiseee ahsante sky sikuwah kujua kama kweli hawa ni mapacha siku zote nilikuwa nadhani mtu mmoja anacheza part mbili
Nawapenda sana hawa wadada twins mungu anijaalie namimi nipate twins kama wao😍😘😘🙏
Ahsante pacha wangu
Nawapendaaaa😙
Wacheshi Sana muda wote wanafuraha ❤❤❤💕🌺🌺
Mapacha wangu ❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥asanteni sns family
Nawapenda sana ❤❤😘😘
So beautiful
Most adorable identical twins , black beauty 🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Nawapenda sana
So beautiful ❤️💕
Nawapenda sana jamani, mungu awape wepesi ktk kila hitaji la moyo wenu.
Nawapenda sanaa
Jamani mapaca❤❤❤❤❤❤❤🇧🇮
Wow ..! This is very interesting story 🤗🤝
Wow ♥️❤️
Ongeleni mungu mzuri Sana.amewaimba vizuri nawapenda San as a na😘😘
Ooh they are so cute 😁😁
Nawapenda sana haswa kwa wa jina wangu
Waooh nice interview I like it big up Rani and Ruki wa hubaaaa!!!
Wooow their are charming😍😘😘😘😘
Mimi nia pacha wangu namwomba mungu anijalie mume Bora na baba Bora then mungu ndipo aruhusu mapacha wa kufanana kila kitu
Mungu azidi kuwatangulia jaman, nimewapenda bule mnavopendana, Regina na Tina
Wadada wazuuuri Sana na wanafanana Sana.Hongereni
Nawapenda mno jamani uwiiiii nyie niwarembo mno mpo vizuri sana
Jameni warembo nawapenda sana 💋♥️🇹🇿
Mko vizuri mnapendeza sana
Eee Mwenyezi Mungu naomba nijahalie nipate mapacha
Dah nawapenda sana mungu awape maisha marefu
Wow
Nimeipenda ngozi zetu zinavutia kwa kweli hongereni
Munafurahisha sanaa
Hongereni sn jmn Mungu azidi kuwatunza napenda sn scene zenu kwenye filam ya huba...nawapenda💖💖💖
Mungu awalinde jamani wazuri mno adiraha mungu ni jalie mapaca 🙏
I love you guys so cute girl 😘❤
Wanamuchanganya Sky adi anakosa maswali yakuwahuliza😂😂😂nimewapenda
Nawapenda sana mko vizuri
Nimefurahi sana leo 💃🤗🤗🤗🤗
Amaizing
Nawapenda sana Hawa wadada
Nawapenda
Sky amechanganyikiwa aki.....there life is funny🤣🤣🤣🤣
Mungu awabariki sana
Na wapenda bure wadada...wazuri mungu awa bariki sana tu
So lovely
Nawapenda bur 💗💗maa sha allah
Polen sana kwa kuondokewa na mama Mungu awapeni furaha.
Mtangazaji bwana uko wa baridi sana
MashAllah mumefanana sanaa
Ongereni sana kwa kazi hiyo
Wao safi Sana mungu anipe nami
nawapendaa hawa sanaa wadada wako vyemaa sana
Nlikua naangali huba nikawaza kama washafanyiwa interviews Hawa madada.. Kushika simu tu nakutana na hii interview. Big up sky nikama ulikua kichwani mwangu vile ukanipa chenye nilikisubiria kwa mda
Sky huwa hukosei napenda maswali yako sana Mungu akubariki sana
Mungu awabariki muendelee kupendana mpaka mwisho wa maisha ye
Mashallah wamefanana sana adi raha
Mungu awabariki napenda mapacha sana
Poleni Sana kwa kufiwa na Mama mzazi RIP
Nawapenda sana hawa mapacha
Pole sana Kwa kumpoteza mama yenu kipenzi Mungu baba awasaidie sana.
Poleni sana kwa kumpoteza mama duuh poleni sana
Wow you are looking so beautiful nina pacha pia lakini sidhani kama tuko this copy right big love for both you from Kenya💝💝
jmn nyie warembo htr mnafanana balaa
Noma mazee
Pendeza saana mungu azidi kuwatunza
Penda sana nyie twins Gina na Tina...mnatupa raha sana kwenye huba... 😘
Nawapenda sana jamani😍😍
very interesting
Mashallah
Nawapenda sana mungu awalinde
Wako sawa kabisa
Hata mamangu walizaliwa watatu wakiwa pamoja huwezi jua yupi ni yupi
A trick: you can watch movies on Flixzone. Been using them for watching lots of of movies recently.
@Calvin Ruben Definitely, I have been using flixzone} for since december myself :D
@Calvin Ruben yup, I've been watching on Flixzone} for since november myself =)
Nawapenda na ninawakubali sana mapacha wenzangu
Raha sana maisha kwakweli na upendo wao walionao
Poleni kwa kufiwa na MAMA chacha Mm MAMA bocko
Nawapenda bure MUNGU nijalie nami nipate mapacha
Waoo mpaka raha eee mungu nami nikuzie wakwangu
KWANINI ULIKUFA KWA HUBA JAMANI? HADI NIKAACHA KUWATCH HUBA. I LOVED THE BOTH OF YOU. MUCH LOVE FROM KENYA.
Kumbe nawe uliacha jm!! Yan imewakumba weng😒.pole
I like your spirit
Mungu nibariki nipate pacha kama hawa
Mnapendeza mapacha
Mnapendeza
Lovely twins😘
Beautiful gals!!! Black is Beautiful kwa kweli... Yani wakati naanza kuwaona kwenye Huba nilijuwa ni mtu mmoja...😅
Ata mm
Ata mim
@@asia9930 Na
😄😄😄mapacha
Hhhhh hata mm
Hongereni sana twices
Mwenyezi mung awape maisha maref
Poleni sana kwa msiba wapendwa