INAUMA! MUME AMCHINJA MKEWE MBELE YA MTOTO WAO MCHANGA USIKU WA EID...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ก.ค. 2021
  • INAUMA! MUME AMCHINJA MKEWE MBELE YA MTOTO WAO MCHANGA USIKU WA EID...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY: shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 659

  • @annahpsimon1156
    @annahpsimon1156 2 ปีที่แล้ว +80

    Mungu simama na taifa la Tanzania cjui tunaelekea wapi jamn 😭😭😭😭

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 2 ปีที่แล้ว +1

      Subhanna Allah sijui tunaelelea wali Tanzania ile nnayoijua mimi nguvu zimeniisha

    • @leticiakomba6695
      @leticiakomba6695 2 ปีที่แล้ว +2

      Magufuli weeeeee Baba upo wapi?

    • @mamjubran774
      @mamjubran774 2 ปีที่แล้ว +1

      Ila asilimia kubwa ya wabongo ni watu wakatili sana sijawai ona wabongo ni sawa na wa south afrika kuua watu ni mambo ya kawaida sana na sio hatari Mwenyezi Mungu badilisha roho za majitu haya wawe watu wema.

    • @irenewile
      @irenewile 2 ปีที่แล้ว +1

      @@mamjubran774 wewe wabongo sio Kama south Africa..uwongo mtu ,,kila mtu na roho yake ..Kama wewe katili peke yako..mbona watz hawana matumie Kama waafrica wengine,,tembea uyaone

    • @abdulmacho2571
      @abdulmacho2571 2 ปีที่แล้ว

      @@shamilahussein5294 12³4

  • @aishaswalehe6848
    @aishaswalehe6848 2 ปีที่แล้ว +17

    Daaaa skia kwa mwenzako yasikukuteee daaaa hinauma😭😭😭 mwenyezi mungu awafanyiee wepes😭😭

  • @khayratmhina3735
    @khayratmhina3735 2 ปีที่แล้ว +20

    Yah Allah tunaomba simamia Tanzania 🇹🇿 yetu

    • @superbillionairea5987
      @superbillionairea5987 2 ปีที่แล้ว

      Hudhun yatanda mswaha mazikon. Pole kwa mama kadaya na familia nzima.

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 2 ปีที่แล้ว +5

    Muandishi wa habari maswali mengine hayafai eti mtoto mchanga saaii ata fanya nn Allah yuko nae In Sha Allah atakakuwa kwa nguvu za mungu

  • @mwanamisakulembwa1147
    @mwanamisakulembwa1147 2 ปีที่แล้ว +18

    R.i.p. Poleni xana wafiwa mungu aifanyie wepesi familia

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 2 ปีที่แล้ว +29

    Innalilahi wa inailaihi rajiun...mkishindwana achaneni jmn isifike huko 😭

  • @habibatyntosso1436
    @habibatyntosso1436 2 ปีที่แล้ว +11

    Magufuli I miss you baba mbona toka uondoke mambo hayaeleweki eeh mungu tunusur na haya

    • @jacklinejohn222
      @jacklinejohn222 2 ปีที่แล้ว

      Nihatari mno kama laana jamani

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว +1

      Mungu anawaona waliomuondoa laana inaitesa nchi na tunaoteseka ni sisi as if shetani ndo anatawala Tanzania

    • @nicholauslaurent6775
      @nicholauslaurent6775 2 ปีที่แล้ว +1

      Tatizo.sio magufulu kuondoka bhna

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 2 ปีที่แล้ว +7

    Subhannah Allah 😭😭😭yani Mbona binaadamu wamekuwa wanyama hivi😭😭😭 Allah ampe kauli thabiti na amsamehe makosa yake ya siri na dhahiri

  • @gililwise
    @gililwise 2 ปีที่แล้ว +2

    Binadamu hawana tena hofu ya Mungu.Mungu atusaidie atupe roho ya huruma kwa binadamu mwenzetu.

  • @aicsengeremachoir909
    @aicsengeremachoir909 2 ปีที่แล้ว +19

    E mwenyez mungu tusaidie tulinde sisi wanao na taifa kwa ujumla

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 ปีที่แล้ว +13

    Allah ape kauli thabit marehemu na awatie nguvu wafiwa malipo duniani damu ya mtu haiendi bure

  • @najma3268
    @najma3268 2 ปีที่แล้ว +5

    Wewe kijana ni jasiri sana😭😭pole sana mdogowangu Na umeachiwa familia naamini wewe kwa kuona tukio , utakuwa umejifunza Na utawalea wadogo zako, mungu wetu ni mwema halali wala hasinzii, pele kijana Na familia kwa ujumla

    • @mwana4599
      @mwana4599 2 ปีที่แล้ว

      Yaani nalia hapa. Walikuwa na familia nzuri jamani. Binti Kazan Moyo endelea mgahawa wa Mama yako jamani hawana Mama Mdogo au mkubwa wa kumsaidia kutunza mtoto. Poleni sana

  • @levinabyamungu8453
    @levinabyamungu8453 2 ปีที่แล้ว +15

    Poleni Sana wafiwa,Rip

  • @upendonzovu2027
    @upendonzovu2027 2 ปีที่แล้ว +24

    Jamani mume wa kwanza mkishindana tutulie tulee watoto

    • @ameenaameena1224
      @ameenaameena1224 2 ปีที่แล้ว

      Nimejifunza kitu😭😭😭😭😭🤲🤲🤲

    • @aronpaul2331
      @aronpaul2331 2 ปีที่แล้ว

      Mmesahau kuwa mlimchoma moto zunguu auu

    • @nooroman2535
      @nooroman2535 2 ปีที่แล้ว

      Inalilai walnalilai rajiuni Mwenyezi Mungu hamsamei makosa yake

    • @lucyhusein4043
      @lucyhusein4043 2 ปีที่แล้ว

      Jomon pole mtoto wangu bora hajawazuru maana analaana huyo pepo aende kuzimu nawivu wake

  • @missmrs829
    @missmrs829 2 ปีที่แล้ว +30

    Mbona mauwaji yamezidi Tanzania?? RIP kipenzi Magufuli yote yalikoma

    • @kishingokishingo1840
      @kishingokishingo1840 2 ปีที่แล้ว +1

      Wacha ujinga ww au umenunuwa simu utawala wa samia mbona hajajizuia yy kufa ?

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว

      @@kishingokishingo1840 shetani yuko kazini

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว

      Mungu tunusuru

    • @tabumpate9762
      @tabumpate9762 2 ปีที่แล้ว +1

      ACHA KUSEMA HIVYO MBONA NAPO WALIKUA WANAKUFA WENGI NA WATU WASIOJURIKANA

    • @zuhuzuli.5150
      @zuhuzuli.5150 2 ปีที่แล้ว

      @@kishingokishingo1840 ndio ushangae imebidi nicheke🤔

  • @afandechanel1507
    @afandechanel1507 2 ปีที่แล้ว +7

    Raisi mwenyewe sijui ana kazi gani RIP Magufuli

    • @marychami1700
      @marychami1700 2 ปีที่แล้ว

      Acha hizo,Rais wetu Hana shida,acha lawama za ujinga

    • @magretkijanga6038
      @magretkijanga6038 2 ปีที่แล้ว

      Mfuate magu mjinga wewe mnakera km nini RaisRais ulitakaje ndoa za watu anajuaje yanayotokea

    • @nasratanzania1690
      @nasratanzania1690 2 ปีที่แล้ว +1

      @@marychami1700 yn amaanishi hv jmn matukio mengi halafu watuhumiwa hawashughulikiwi kama raisi ni wajibu wake kuhakikisha kila yupo.salama

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 ปีที่แล้ว +10

    Poleni sana nimeumia jamani 😭😭

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 ปีที่แล้ว +4

    Subhanaallah mungu wangu wa tanzania kumekuwa nini duniani yaarabi kuuwana kama kuku kweli 🤔💔mungu wangu tusaidie jamani 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kiri5807
    @kiri5807 2 ปีที่แล้ว +11

    jamani kawadhulumu watoto mama yao mtoto mchanga hivyo hakumuonea huruma . Allah ajaaliye apatikane husda mkubwa .

  • @magechuwa804
    @magechuwa804 2 ปีที่แล้ว +5

    Shetani yupo kazini tumwombe mungu majaribio haya yapite katika jina la yesu kristo

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 2 ปีที่แล้ว

      Amina 🙏🙏😢😢😭😭😭

    • @sumimarco933
      @sumimarco933 2 ปีที่แล้ว

      Amina , dah!! Mungu awatie nguvu sana

  • @roseurio2139
    @roseurio2139 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani tuwe na hofu ya Mungu ndani yetu maana haya matukio yamezidi 😭 poleni sana kwa msiba 😭😭😭😭😭😭

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 ปีที่แล้ว +1

    Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu. poleni sana ndugu na jamaa. Allah amuhukumu aliyekatisha uhai wa mwenziye.😭😭

  • @rukiaabdallah1132
    @rukiaabdallah1132 2 ปีที่แล้ว +29

    Mwisho wa Dunia ndo huu sema siku bado haijajulikanaa😭😭 maana kila ukifungua TH-cam kama hujaona watu kuchinjana utaonaaa magonjwa ya ajabu kwa mtu dah MUNGU simama

    • @activestudios.
      @activestudios. 2 ปีที่แล้ว

      Mwisho wa dunia bado sanaaaaaa UNGEBAHATIKA KUISHI IRAQ ndio ungeona maajabu yakutisha

    • @edimundelfazi5049
      @edimundelfazi5049 2 ปีที่แล้ว +2

      @@activestudios. wew nimpingaj kwamaana hiyo unamaanisha siyo siku za mwisho? kila eneo linachangamoto zake ilani au iraki haiwezi kufanana na Tanzania au kenya point yangu nikwamba kiufup tunatembea katika siku za mwisho imebakia tu siku yamwisho yakuhukumu waliohai na waliokufa

    • @rogermomodesty3568
      @rogermomodesty3568 2 ปีที่แล้ว +1

      @@edimundelfazi5049 una huakika gani au upo ndoyoni unaota

    • @tatotato506
      @tatotato506 2 ปีที่แล้ว

      @@rogermomodesty3568 kweli kiama kinakalibia

    • @activestudios.
      @activestudios. 2 ปีที่แล้ว

      @@edimundelfazi5049 sawa tutaona iyo siku ya mwisho unayoisemea AMINI USIAMINI bado hujaona mambo ya kustaajabisha na hapa tulipo NDIO KWANZA DUNIA MPYAAAAAAA yani utakaa mpaka utazeeka utaachia wajukuu zako dunia nawao watafanya hivyo hivyo.

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah4876 2 ปีที่แล้ว +13

    Maskin dunia inaelekea wp jmn😭😭😭😭Innalillah wainna ilayhi rajioun 😢🥺

    • @aronpaul2331
      @aronpaul2331 2 ปีที่แล้ว

      Ok 👌 🆗️ 🙆‍♀️ 👍 🆒️ 🙆‍♂️ 👌 🆗️

  • @robbemanase9051
    @robbemanase9051 2 ปีที่แล้ว +29

    Waandishi kwanini hamtaji jina la mtuhumiwa na kuweka picha yake viUri ili mtu aweze mtambua huko mitaani alipo jificha ?

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 2 ปีที่แล้ว +2

      Jina si kalitaja jinalake Nassib napicha niyo apo inaonesha sikiliza mwanzo utasikia jina nassib Napicha nihiyo hao ya mwanaume

    • @sidratybinkhamis2837
      @sidratybinkhamis2837 2 ปีที่แล้ว

      Wakwe jina

  • @AMI-ip1lx
    @AMI-ip1lx 2 ปีที่แล้ว +1

    Daaaaah Aya Matukio ya Mauwaji Yanazidi Kunitisha Mpaka Naokopa Tanzania 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @AMI-ip1lx
      @AMI-ip1lx 2 ปีที่แล้ว

      Kwakweli Nikuomba kweli

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini645 2 ปีที่แล้ว +7

    Tatizo kutokumjua mungu imani imepungua watu hawamuofu tena mungu mimi mwenyewe nilicho fanyiwa na binti mmoja toka tanga alafu anajiita more fire 🔥 unategemea mwanamke kama uyo unamfanyaje

  • @pendopendo7427
    @pendopendo7427 2 ปีที่แล้ว +3

    Hawa wanaume wnatuhuwa sna jamn 😪😪😪😪😪😥 ila damu ya mtu inatembea malipo ni hapa hapa duniani damu ilomwagika atailipa polen sna wadog zangu Mungu yupo nanyi😥😥😥

  • @user-cf5li5mf9o
    @user-cf5li5mf9o หลายเดือนก่อน

    Eeee mwenyezi tunakuomba utunusuru waja wako na madhira ya dunia 😭😭😭🙏

  • @rehemaezekia8214
    @rehemaezekia8214 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole mama g umekufa vibaya Ndungu yang ila malipo ni hapahap duniani baba g atalipa kwa hili damu ya mtu haindag bule

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 ปีที่แล้ว +6

    😭😭😭😭 Sina neno Zaid ya kusema Ee Mungu Tusaidie ss waja wako ambao hatujui kesho yetu..Inahuxunish mno binadamu wa leo

    • @mwantumukawambwa8701
      @mwantumukawambwa8701 2 ปีที่แล้ว

      Mm naon tume yaka nyaga

    • @mariamsamson8167
      @mariamsamson8167 2 ปีที่แล้ว +1

      Daah inauma kweli had choz limenitoka eee mungu tusadie ss wanao jaman dunia inakwenda wap mahas yazid polen Sana Wana familiya

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 ปีที่แล้ว +5

    Inna lillahi wainna ilayhi raajiuun

  • @tarifsarahoman7047
    @tarifsarahoman7047 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭Poleni ndugu zangu Allah awape moyo wa uvumilivu Allah ata waekea penzi ndugu zangu yatapita tu

  • @winfridagama5832
    @winfridagama5832 2 ปีที่แล้ว +4

    Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie ushetani huu uishe

  • @upendonzovu2027
    @upendonzovu2027 2 ปีที่แล้ว +7

    Sasa hv matukio ni mwendo mmoja, kuua imekuwa jambo la kawaida.Mungu tusaidie.

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 2 ปีที่แล้ว +1

    Daah 😭😭😭😭😭😭Jmn mungu tu nahitaji neema yako Tanzania

  • @fsaad5116
    @fsaad5116 2 ปีที่แล้ว +3

    Subhhannah Allah Allahu akbar Allahu akbar

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani dunia ya kuuana tu!! 😭😭😭😭😭 Mauaji mengi !! Poleni sana wafiwa! Inasikitisha!

  • @benedictmbelwa2385
    @benedictmbelwa2385 2 ปีที่แล้ว

    Poleni sana kufiwa wote, Mungu mwenyewe ajionyeshe kwenye maji hayo mazito

  • @joookahjokah8430
    @joookahjokah8430 2 ปีที่แล้ว +6

    Innalillah Wainairah rajiun

  • @khadijamambi4467
    @khadijamambi4467 2 ปีที่แล้ว +4

    Innallillah Wainailayhi rajiuun

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭😭Mungu ampumzishe kwa amani poleni sana familia Mungu awatie nguvu

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika4493 2 ปีที่แล้ว

    Ee Mungu,tutetee hizi ndoa zimekuwa vita mpka inafikia hatua shetani anamuingia mtu mpka kumuua mwezi wake bila huruma,tupiganie Mungu wetu

  • @lucyisrael6121
    @lucyisrael6121 2 ปีที่แล้ว

    Kila kukicha ni matukio ya kutisha eeeh mwenyezi mungu tusamehe waja wako ingilia kati juu ya haya yanayotendeka,shetani anafanya kazi yake, Mungu tulinde Tz mauaji yamezidi uuuwiiiii!!!

  • @crepinakatundu1831
    @crepinakatundu1831 2 ปีที่แล้ว +10

    R.I.P.Marehemu.Poleni Wafiwa.

  • @yusuphchakupewa7273
    @yusuphchakupewa7273 2 ปีที่แล้ว

    Mungu isimamie tanzania mbn matukio ya mauwaji yanazidi kila kukicha mungu atusimamie huyu shetani azidikushindwa

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 2 ปีที่แล้ว +9

    Mwezi wa 7 umekua na matukio yamauwaji mengi TZ...poleni sana ndugu Inasikitisha 🤦‍♂️poleni xna frm 🇰🇪

    • @aishaukuthymwanachahaya4511
      @aishaukuthymwanachahaya4511 2 ปีที่แล้ว

      Sn Plen sn ndug zng

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 2 ปีที่แล้ว

      Na nyie pia Kenya nasikia kuna magaidi wameingia huko

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 2 ปีที่แล้ว

      Na nyie poleni sana ndugu zetu wakenya

    • @kamaratsalimsafari8838
      @kamaratsalimsafari8838 2 ปีที่แล้ว

      @@sukariyao6537 Asanti ndugu, 🤲Mungu atuepushie mabaya naatupe imani ktk nafsi zetu inshaallah

  • @francinenahimana7289
    @francinenahimana7289 2 ปีที่แล้ว +1

    wana tamani kutajilika kwa damu zawenzie mungu anawaona

  • @mwamvuakibenga9788
    @mwamvuakibenga9788 2 ปีที่แล้ว +4

    Pole sana baba yangu

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 2 ปีที่แล้ว +2

    Mke na mume mkiishi kama marafiki unainjoy sana kama mm na mke wangu kama marafiki

  • @gaudenceharerimana7743
    @gaudenceharerimana7743 2 ปีที่แล้ว

    Mungu unilinde nami natafutwa na bwana wangu eti aniuwe kilasiku anafungwa anafunfuliwa yaani muniombee sikumoja asinikute mahali hakuna watu aniuwe 😭😭😭😭 from Amerika

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 ปีที่แล้ว +6

    43yrs masikini katolewa uhai bila sababu jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭yani mtu anaeza juta kuolewa mara pili lkn nivile mtu hajui nn kitamkuta mbele

    • @salmadhiab2693
      @salmadhiab2693 2 ปีที่แล้ว

      Mhh unasema uolewe usitirike na kulea watoto wako kumbe ndio umauti unakuita jamani binadamu tumekua kama wanyama ukitazama wanyama kwakweli wanasaidiana siosisi ukija kwa wanawake wakizaa wanatupa watoto huku watu wanachomana moto bilauoga wanauwana kwarisasi kama kawaida mauwaji yamekua jambo lakawaida mara watoto wabakwe vikongwe wabakwe ukatili ukatili tu tumuogope mungu jamani kunahukum huko duh

  • @galary8688
    @galary8688 2 ปีที่แล้ว +20

    Mbona mauwaji n MENGI jaman mtaacha sie wenye atujaolewa tuogope jmn juu uwez jua mzur n yup na mbaya n Nan jaman moyo WA m2 msitu jaman

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 2 ปีที่แล้ว +2

      Hutajua endapo maisha Yako niya hovyo kwamfano mwaume kakutongoza umesha mvulia nguo lakini kama utaishi maisha ya kumcha mungu kabisa achana nahawa washikika dini tuu lakini mioyo Yao imeoza Sasa wewe ukajitoa Kwa mungu waukweli nakujitunza anakupa mume wamzuli au mke mzuri nihayo tuu

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 2 ปีที่แล้ว

      Mi ctak kuolewa looh

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 2 ปีที่แล้ว

      @@jescajulius8023 iyo ndio faida yakuchepuka ali yakuwa unamumeo au mkeo.tulieni kwenye ndoa zenu duh😭😭😭

    • @hasinarashid5059
      @hasinarashid5059 2 ปีที่แล้ว +1

      Yaan wew kama bdo hujaolewaa tu tulia tu ndoa zinawaka moto huku.

    • @elipidiusrushema1759
      @elipidiusrushema1759 2 ปีที่แล้ว

      @@hasinarashid5059 mbn nyie mnatuchoma moto hatujaacha kuwaoa!!😂😂😂

  • @jaliaotien.o6995
    @jaliaotien.o6995 2 ปีที่แล้ว

    Jamani Mungu atunusuru na majanga dunia imefika mwisho poleni kwa msiba

  • @shufaamohammed5357
    @shufaamohammed5357 2 ปีที่แล้ว +1

    Subhana allah poleni sana ndugi zangu

  • @justinemfilinge9874
    @justinemfilinge9874 2 ปีที่แล้ว

    Poleni sana ndg wa marehemu kwa mcba huu wa kusikitisha

  • @jamilaezekiel6174
    @jamilaezekiel6174 2 ปีที่แล้ว +4

    Jamani inauma sana kwann kwann tumekosann 😭😭😭🙏🙏🙏mungu awatie nguvu wanangu

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 ปีที่แล้ว +8

    Watoto wanatia huruma 😰😰

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 2 ปีที่แล้ว +4

    Subhanallah

  • @mrmindboom2058
    @mrmindboom2058 2 ปีที่แล้ว +4

    Mtaala wa mahusiano uwekwe kwenye sehemu ya masomo kwanzia msingi hadi chuo kikuu maana hii imezidi cyo kwa mihemko hii

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 2 ปีที่แล้ว

    Asante mungu umeniepusha maana hata mm ningezid kuvumilia yangenikuta haya polen sana familia

  • @bernadethayoel5855
    @bernadethayoel5855 2 ปีที่แล้ว +2

    Tz machafuko yamekua mengi sana toka magufuli aondoke nchi imegeuka kwa damu Rip auncle Magu tutakukumbuka daima

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo1030 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana Baba yangu Mungu akutie nguvu

  • @user-su9lf4lb2v
    @user-su9lf4lb2v 10 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana mungu awapesubra

  • @maryammasito6243
    @maryammasito6243 2 ปีที่แล้ว

    Mungu awazidishie subra,wakti wenu huu mgumu

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 2 ปีที่แล้ว

    Ugumu wa maisha ukizidi watu Iman zinapotea

  • @furahakonde4921
    @furahakonde4921 2 ปีที่แล้ว

    Mungu anamuona

  • @yunismahanga2871
    @yunismahanga2871 2 ปีที่แล้ว +8

    Mimi mpaka naogopa kuishi na mwenzagu silali nawaza haya matukio Hadi napatwa na hofu 😭😭😭😭 maana moyo wa mtu kichaka akiludi hujui anawaza nn

    • @jujuwaida8790
      @jujuwaida8790 2 ปีที่แล้ว

      Lala na mtungi wa gesi kitandani maan saiv hakueleweki😂😂😂

    • @hawamabira1499
      @hawamabira1499 2 ปีที่แล้ว

      Ety moyo wa m2 kichaka😂😂😂 nacheka kama mazuri

    • @kapilimaibra2540
      @kapilimaibra2540 2 ปีที่แล้ว +1

      Cna Amani kabisa kwakweli binaadam anatoa uhai wa mwenzake kama anachinga kuku!!m/mungu tunusuru yarrab,

    • @sukariyao6537
      @sukariyao6537 2 ปีที่แล้ว

      😳🤣🤣🤣🤣 jamani hii comment nimecheka sana kma mazuri vile ndio muache sasa umalaya wenu

    • @yunismahanga2871
      @yunismahanga2871 2 ปีที่แล้ว +1

      @@sukariyao6537 mwambie mungu akusame sizani wanaokufa kikatili ni umalaya ko nayule wa msoma alie uwa mtoto wa mwaka alikuwa anafanya umaraya shetani yupo kazin kama hujui nikuomba Sana

  • @mzalendowaasili1727
    @mzalendowaasili1727 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu tusaidie

  • @saidisalabi7693
    @saidisalabi7693 2 ปีที่แล้ว +1

    INNALILAH WAINNA LILAH RAJIUN.

  • @coolwaveac7659
    @coolwaveac7659 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah😭😭😭😭😭haya matutukio mpaka lini jamani Eee Mungu tusaidie waja wako 😭

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb5 2 ปีที่แล้ว +1

    Innalilah wainna ilahi lajihun

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 2 ปีที่แล้ว +1

    Watanzania tulio hai tujifunze kusamehe alaka ukiona yamekushika shingoni basi yapotezee kuliko kufanya yasiyo pendeza katika jamii na kwa MWENYEZI MUNGU ,najua ugumu wa maisha unaweza kuchangia kwa kiasi Fulani lkn ,ndugu kijana umepewa moyo mlaini na kichwa cha kutafakali kwanini uyashike Matendo ya uovu na kikatili ,, jamani Watanzania wote tuludi kumuomba Mungu msamaa wanaume kwa wanawake mimi nafikili hii ndio njia sahihi ya kuludisha AMANI Tusimbebeshe mzigo huuu Mweshimiwa rais Suruhu Hassan kwani yeye anatuombea Watanzania wote tuishi kwa utulivu ,,,,mimi yangu ni hayo tumekaa mbali na MWENYEZI MUNGU ,tumezifuata njia zetu wenyewe..🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @joyceraphael6631
    @joyceraphael6631 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi niriondoka kwamume wangu baada yavipigo kero ugomvi usiokwisha nikarudi kwetu kipindi icho nikiwa namwanangu mdogo akiwa namiezi 9 nawasihii wanawake wezangu dunia imearibika binadamu wamegeuka kuwa maiziraeli watowa roho za watu ndoa ikikushinda Rudi nyumbani iwe kijijini iwe dar iwe porini rudini makwenu msivumirie vipigo msivumirie manyanyaso kwani maisha kokote pare 😭😭😭😭😭 Rip pumzika kwaamani 🙏

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 ปีที่แล้ว

    Jmn watanzani..ukimalz hbari hii kwaj nyengin zoth mauwaji...ilaa polen sn wanafamilia..mwenda zake Allah amstri mahala pema penye wema peponi

  • @shantprashar7197
    @shantprashar7197 2 ปีที่แล้ว +3

    subhanallah

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 2 ปีที่แล้ว

    Ee Mungu Baba tusaidie 🙏

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว +3

    subhanallah subhanallah Inalillah wainaillah rajiun

    • @asha.mwambamwamba1774
      @asha.mwambamwamba1774 2 ปีที่แล้ว

      Bora.tukukaabila.mume

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว

      dah mwanaume kukaa bila awezi na mwanamke bila mme hawezi tatizo la watu siku hizi iman imetoweka

    • @ramakassimu7733
      @ramakassimu7733 2 ปีที่แล้ว

      @@asha.mwambamwamba1774 mi nakutaka sasa...!

  • @clarajapheth8804
    @clarajapheth8804 2 ปีที่แล้ว

    Mungu tujalie mwisho mwema. Dunia ina mambo mengi machungu sana.

  • @aminasuleiman6402
    @aminasuleiman6402 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamaniii kuna nn Tanzania mbona kila kukicha mauaji tuu😭😭😭

  • @noelamtesigwa6819
    @noelamtesigwa6819 2 ปีที่แล้ว +3

    Watoto wameniumiza moyoo..😢😢😭😭😭wamama achen vibenten..

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 2 ปีที่แล้ว +13

    Subuhanallah mbon inakuahiv??🤦‍♀️😔

  • @momobakari1225
    @momobakari1225 2 ปีที่แล้ว +6

    SUBHANALLAH, Kuna ibilisi gani huko daressalam Jmni, maana mara watu wachomana ndani ya nyumba, mara watu kudungana visu naona hivi visa yazidi tu jmni

  • @christinakisojo7269
    @christinakisojo7269 2 ปีที่แล้ว

    Mungu tunaomba Toba kwa ajili ya nchi ya Tanzania

  • @smsalama6540
    @smsalama6540 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaah hiii dunia inapoelekea mungu ndo anajua 😔😔😔😭😭😭

  • @veronicasulle1849
    @veronicasulle1849 2 ปีที่แล้ว

    Mungu simama na sisi matukio mabaya kila kukicha

  • @unicenyale7953
    @unicenyale7953 2 ปีที่แล้ว

    Daaa polen sana ndungu zangu inauma lkin tumuachien mungu

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay5974 2 ปีที่แล้ว

    Inalilarajiun mungu wangu Tanzania kwani tunaelekea wapi jmn maana kilasiku mambo ya kuuwana jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭 naogopa sana jmn kuuwana kila siku jmn mungu tulinde 😭😭😭😭

  • @carolcamilla2662
    @carolcamilla2662 2 ปีที่แล้ว

    Inauma Sana,kama unaona huwezi kukaa na mke,mrudishe kwao kuliko kumkatishia uhai wake.

  • @saniajuma5103
    @saniajuma5103 2 ปีที่แล้ว

    Poleni Sana wafiwa jamani yaani mpka tunaogopa kuolewa jamani mauaji yamezidi jamani innallila wainna illah rajun mungu akulaze mahala pema peponi dada yetu 😭😭Dunia imehalibika jamani mala kuchomana moto mala kuchomana visu mala kupigana risasi mungu tunusuru walai binadam tumekuwa wanyama

  • @zuhuzuli.5150
    @zuhuzuli.5150 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atunusuru jaman dunia imeishaa😭😭😭

  • @muhammedomer9256
    @muhammedomer9256 2 ปีที่แล้ว

    Innalilahi wainaileyhi rajiun

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 ปีที่แล้ว

    Huyo siyo mume katili mungu anisuru na mume huyo katili mshenzi mungu alani atakapokufa mungu atiye motoni maisha dhalim huyo

  • @rehemarichard8548
    @rehemarichard8548 2 ปีที่แล้ว

    Mungu wangu.

  • @ummyremmy1797
    @ummyremmy1797 2 ปีที่แล้ว

    Subhannallah

  • @radiusbakashaya2801
    @radiusbakashaya2801 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana

  • @jacklinejohn222
    @jacklinejohn222 2 ปีที่แล้ว

    Kiatu alicho kivaa huyu mtoto hakimtoshi anajikaza sana jamani where is my Tanzania 😭😭😭😭 tunaenda wapi tukowapi sisi

  • @omanseeb3642
    @omanseeb3642 2 ปีที่แล้ว

    Poleni Allah awape subra

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 2 ปีที่แล้ว

    Innahillahih wainnalillah rajhun poleni sana wafiliwa mola awape subra

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 2 ปีที่แล้ว

    Innalilahi waila lillahi rajiun.