THE CLASSIC MIKE TEE 1: MASTER J ALINITIMUA STUDIO/MIAKA 26 KWENYE GAME/BEEF NA ADILI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Moja ya Rappers waliopata mafaniko makubwa Bongo ni Mike Tee ambae alikua na style ya kipekee kabisa,lakini nyuma ya mafanikio yake kuna hadithi za kusisimua,hii ni sehemu fupi ya maisha yake.

ความคิดเห็น • 82

  • @osiahstimah
    @osiahstimah 21 วันที่ผ่านมา

    Elimu nzuri ilimsaidia mike tee

  • @benjaminolubuyi3353
    @benjaminolubuyi3353 4 หลายเดือนก่อน +2

    That's true you are legend who brought bongo flavour to limelight your number one fun from Kenya since 2000

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586 3 วันที่ผ่านมา

    Ameuwa SANAAAA uyu jamaa

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 6 หลายเดือนก่อน +5

    Yuko smart sana ...#Wanyalu tunavyoishi#🎶
    P.Funk ni mwongozaji mzuri tangu mpk Sasa....Jamaa ana sound kama One the incredible

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 6 หลายเดือนก่อน +8

    Mike Mwakatundu classmate wangu wewe ni LEGEND katika Tasnia hii and I'm Proud of you. 🙏🙏🙏🙏

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 6 หลายเดือนก่อน +4

    Kamwene mnogage wewe❤❤❤❤🎉🎉🎉mnyaru

  • @ericktona3638
    @ericktona3638 6 หลายเดือนก่อน +7

    Back in the Days Mikocheni kwa Nyerere 2003 or 2004 nilikua nakaa nae karibu Aisee nilikua nikimuona anatoka anatembea kwenda Dukani Nilikua namshangaa sanaaa 😂😂😂

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 6 หลายเดือนก่อน

      Ulikuwa mshamba wewe

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mike Mwakatundu home boy🎉🎉🎉🎉🎉

  • @casablancastudioarusha775
    @casablancastudioarusha775 5 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana Mike T
    #Since nimekujua mwamba kweli unajua
    Bonge la msanii

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 6 หลายเดือนก่อน +13

    Wana malenga wanalia machozi wakihofia
    Muda wa mabadiliko umewadia
    Mnyaru kutengana na nduguze kisa Mali
    Kujiona fahari Apitapo kila maali

  • @johnmwaisunga2339
    @johnmwaisunga2339 6 หลายเดือนก่อน +2

    Albamu yangu ya kununua ilikuwa ya MiKe Tee, tukichanga hela tukiwa shule olevel na kwenda mtoto mmoja alikuwa wakichua sana kwenda kusikiliza.

  • @emmakiwaya4607
    @emmakiwaya4607 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mike Tee, smart!

  • @daniellewiskubojakuboja7427
    @daniellewiskubojakuboja7427 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mnyama sana MikeT

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti 6 หลายเดือนก่อน +3

    🇰🇪Nilipenda sana lyrics za Mike Tee. Asante kumleta. Naomba sana kumcheck pia D knob nilipenda different style yake ya flow

    • @francismboma6839
      @francismboma6839 6 หลายเดือนก่อน +2

      D knob alikwsha okoka na hajiusishi na miziki

    • @VisualsByEnokaOti
      @VisualsByEnokaOti 6 หลายเดือนก่อน

      @@francismboma6839 Asante kwa taarifa hii

    • @SleepyBooks-oj3gu
      @SleepyBooks-oj3gu 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ila sio zambi aje tu tumsikie d knob elim ya mtaaa

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@SleepyBooks-oj3gutayari alishakuja itafute interview yake

  • @echagwhy4442
    @echagwhy4442 6 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥🔥 kubwa kuliko

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 6 หลายเดือนก่อน +1

    ni kweli mike tee alikua moto ssna enzi zile

  • @kamuogo
    @kamuogo 5 หลายเดือนก่อน

    Namkubali sana uyu jamaa

  • @guelordmuyenga8365
    @guelordmuyenga8365 3 หลายเดือนก่อน

    Mike ❤

  • @user-oq6hp4rd1f
    @user-oq6hp4rd1f 6 หลายเดือนก่อน +1

    Unazingua bro weka interview nzima

  • @abushiridachie6865
    @abushiridachie6865 6 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ni ya muda sana, JPM in there

  • @albartdastani3412
    @albartdastani3412 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mnyarooo

  • @Chemba67
    @Chemba67 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kuvi tuletee SOS -B aliyekua anawakilisha Mabaibo[MABIBO]😃😃😃

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 6 หลายเดือนก่อน

    Mike T unaongea sana mzee subiria masuali bhana ah

  • @managergoa6798
    @managergoa6798 6 หลายเดือนก่อน

    Noumaa sana

  • @user-up1li4hl9u
    @user-up1li4hl9u 6 หลายเดือนก่อน

  • @anoldnicholaus5271
    @anoldnicholaus5271 6 หลายเดือนก่อน

    Hapo Hyati Magufuli sijajelewa ......interview inaonekana ya kitambo sanaaaa daaaah sio poa

    • @smarty1064
      @smarty1064 6 หลายเดือนก่อน

      ilkua kwenye album naona wameamua kuiacha

  • @simonsonelo1467
    @simonsonelo1467 6 หลายเดือนก่อน

    The Legendary mwenyewe mzee wa Manow Seminary

  • @alfavahaye4102
    @alfavahaye4102 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ane na p mawenge

  • @chire4574
    @chire4574 6 หลายเดือนก่อน

    Anarap sana uyu jamaa

  • @ahmedsa3374
    @ahmedsa3374 6 หลายเดือนก่อน +1

    💥💥💥

  • @wazirihamdu6106
    @wazirihamdu6106 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hao ndoo walikua wasanii sasa

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 6 หลายเดือนก่อน

    mimi mwenyewe nilifika kwake master j kwenye studio yake pembeni kurikua na kontena masaki kwao mastar j arinipoteza ira mpaka leo naandika music master kuma sana

  • @hashimuliloto8017
    @hashimuliloto8017 6 หลายเดือนก่อน

    Nimekaa NAYE kata moja......kamwenee be

  • @johnsilomba902
    @johnsilomba902 6 หลายเดือนก่อน

    Master Jay Kawaida Yake Kudhalau Watu Kumbuka Hata Harmonizer Alimfanyia Hivi Hivi

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 6 หลายเดือนก่อน

    Kipindi hiko kingereza kukikuta kwenye lyrics ya kibongo ni kama imegency tu......bado CIO issue hata makocho sio wengi kama SAA hii.

  • @newbillionaire701
    @newbillionaire701 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mlete juma nature bana 😢😢😢

  • @zachariafrancis
    @zachariafrancis 6 หลายเดือนก่อน

    Ukimuona Master J mwambie kamwene mnogage

  • @John-ky4cx
    @John-ky4cx 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mike Tee Mnyalu, kitambo sana

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 6 หลายเดือนก่อน

    Master jay anaziguaga sana hanaga subra c unaona ata kw Jeshi na saii Jeshi amekua mkubwa

  • @MackameHassani
    @MackameHassani 4 หลายเดือนก่อน

    Master-j kavu kwl yaaani😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 6 หลายเดือนก่อน +1

    namkumbuka mike tee cbe..mtu poa sana...alikua na demu wake eva..alikua anajisikia balaa eva ss hv mlevi mbwa morogoro😢

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 6 หลายเดือนก่อน

      Hahaaa uyo eva karingia watu kashindwa kuiringia pombe😂😂😂

    • @arlonmwaka8077
      @arlonmwaka8077 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @abubakarkassanura3515
      @abubakarkassanura3515 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @hasanoshohilali10
    @hasanoshohilali10 5 หลายเดือนก่อน

    Kama,,,tunaitaji video

  • @josephk90
    @josephk90 6 หลายเดือนก่อน +2

    Interview ya mwaka gani hii Mike anataka kukutana na Rais JPM?😮

    • @haidarykufakunoga8869
      @haidarykufakunoga8869 6 หลายเดือนก่อน

      Nadhani hii INTERVIEW ni ya Kitambo saana ila haikuwa Aired kwa sababu Mbalimbali. But all in all bado ujumbe umefika AU? 🙏🙏🙏

  • @user-ti7nf4jc8g
    @user-ti7nf4jc8g 5 หลายเดือนก่อน

    Tafadhali mlete pigi black

  • @user-zp7ky7lj1m
    @user-zp7ky7lj1m 6 หลายเดือนก่อน

    Wanamalenga Wanalia Machozi ya Kuhofia Wakidai Mda wao WA Mabadiriko umewadia Mnyalu kutengana Na Nduguze kisa Mali kujiona Tahari apitapo kila Mahari Baba mama maswali mpenzi naye Maswali😂😂😂😂😂Ilikuwa Pambe Sana Kamwene Mnyaluu

  • @alvinsamir2013
    @alvinsamir2013 6 หลายเดือนก่อน

    #KUVI na #WASIKILIZAJI na #WATAZAMAJI kama Mimi ukisikiliza #WASANII wengi utagundua #PFUNK ni Mtu aliwasaidia na kuwatoa #WASANII wengi sana . ..

  • @agustinopaulo8416
    @agustinopaulo8416 6 หลายเดือนก่อน

    Kama 😂😂😂

  • @user-tt3nz7yv5f
    @user-tt3nz7yv5f 6 หลายเดือนก่อน

    KuviFacts naomba ttuleetee na FEROOZ-KIZEE

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  6 หลายเดือนก่อน

      Pitia interview za nyuma Ndio ya kwanza Kbs kwenye hii channel

  • @kelvinkurgat7005
    @kelvinkurgat7005 4 หลายเดือนก่อน

    Hata kama myalu nasikika kwenye tv

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 6 หลายเดือนก่อน

    Mike T mnyalu

  • @francismwakalile2310
    @francismwakalile2310 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jabil apa amebaki D Knob

    • @MrishoMohamed-ey5zf
      @MrishoMohamed-ey5zf 6 หลายเดือนก่อน

      Bado wengi kaka suma g vituko uswahilini

  • @dicksonabdon656
    @dicksonabdon656 6 หลายเดือนก่อน +3

    kaka unatunyima haki za msingi interview siku hizi zinakuwa nusu nusu tunaomba tuangalie kwa jicho la tatu

  • @user-cu4er9oy2q
    @user-cu4er9oy2q 6 หลายเดือนก่อน

    Kuishi na wanyalu inahitaji moyo mugumu moyo paka kama huwezi unaweza kunywa sumu,

    • @stevenmbosa99
      @stevenmbosa99 6 หลายเดือนก่อน

      Kwanini unasema hivo?

    • @frankkinyaiya.8217
      @frankkinyaiya.8217 4 หลายเดือนก่อน

      Huo n moja wa mstari uliopo kweny nyimbo yake ya HALI HALISI aliomshirikisha mkongwe mwanadada LADY JAY DEE

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 6 หลายเดือนก่อน

    Interview za wasanii wa zamani ziko poa, hawa wa sahvi vichwa vibovu

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kuvi big up show yako ni fascinating ila hakikisha unauliza na sasa msanii yuko wapi na anafanya nini

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  6 หลายเดือนก่อน

      Nadhani muwe mnawafautilia tu hawa wasanii Kama mnawapenda sababu Mike ni kiongozi wa juu wa Chama cha muziki wa kizazi kipya (TUMA) na tunashare mengi so kwa hapo nkimuulzia yuko wapi nadhani haikawi sawa sababu watu wake wananjua anachofanya kwa sasa ndugu

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 6 หลายเดือนก่อน

      Daaah! We presenter unazingua sasa, Sasa tutawafatilia wapi kama sio kwenye vipindi kama hivi?

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 6 หลายเดือนก่อน

      @@KuviFacts no bro mi ni die hard fan wa vipindi vyako sizungumzi Mike t anejulikana yuko wapi vipi kina pig black na wengine wengi ulowahoji ambao hatujui wanafanya nini sasa nasema hivyo coz iyo ni observation yangu hao watu tumekua tangu wadogo tukiwapenda so bado tunataka hata kujua recently nini wanafanya apart from music ambao pretty much Hawako tena kwenye spot light.

    • @Isy9146
      @Isy9146 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@fahadfaraj6474 hayo ni maisha binafsi brother so wengine hawapendi izo mambo

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 6 หลายเดือนก่อน

      @@Isy9146 kumuuliza mtu sasa unajishughulisha na nini na akajibu nalima au nafuga kuku nayo ni shida?

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 6 หลายเดือนก่อน

    Hii interview ya lini Jabir naona anatajwa Hayati Magufuli

    • @SebastianDaniel-es4rf
      @SebastianDaniel-es4rf 6 หลายเดือนก่อน

      Sikiliza madin achan n usinich huo hata ukiambiwa y leo itakusaidia nn

    • @amoskagika8884
      @amoskagika8884 6 หลายเดือนก่อน

      @@SebastianDaniel-es4rf duuuh ndugu yangu mbona makasiriko