THE CLASSIC MCHIZI MOX:MIKASI ULIKUA WANGU/MAJANI HAKUNIKUBALI/MJ ALIKUBAL/WATU KIBAO/TULIZAMIA SAUZ

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ม.ค. 2024
  • Moja ya Rappers wa muda mrefu Mchizi Mox anasifika zaidi kwa sauti ya kipekee nchini alifika kwenye meza ya The Classic mwaka 2021 na kupiga stories kadhaa kuhusu yeye,Wateule na kadhalika,Je wajua kua wimbo wa mikasi ulikua wake na alimpatia rafiki yake Ngwea?tazama sehemu hii fupi ya mahojiano yetu.

ความคิดเห็น • 59

  • @GodlistenAlen
    @GodlistenAlen หลายเดือนก่อน +5

    Sema mchz ni mchz kweli. Ujambazi mwingi. Eti Tonny Akili Mbaya.

  • @user-gf9pb5jz9j
    @user-gf9pb5jz9j 6 หลายเดือนก่อน +13

    Yaani mimi hawa ndio huwa nawasikilizaga sio hao wa sasa hivi

    • @westcijosh
      @westcijosh 4 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mpka leo kuna jamaa yangu anaitwa mchiz mox

  • @user-kb3mi2ws8h
    @user-kb3mi2ws8h 6 หลายเดือนก่อน +8

    Wasanii wazamani walikua vizuri sana kwenye kila kitu, tunzi, interviews yani wanajua wanachozungumza

    • @bernardfrank5654
      @bernardfrank5654 หลายเดือนก่อน

      Wangekua hawa vijana wa saivi ungekuta ameshaongelea anatumia gari ghani, sijui saloon bei ghani.. yani interview nzima hamna kitu..

  • @owenchimela4527
    @owenchimela4527 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mchizi mox ana vingi vya kusimulia sisi madogo wa zamani tunafaidi vingi sana

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam7971 6 หลายเดือนก่อน +6

    Graveyard, Makumbusho. That's what am talking about bro

  • @pauljosephtarimo2279
    @pauljosephtarimo2279 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo 2005 fiesta Arusha
    Uzinduzi wa Album ya Ferooz ulitisha sana pale tripple A

  • @FaridiIbrahim-ix6hb
    @FaridiIbrahim-ix6hb 19 วันที่ผ่านมา

    Nawakubali sana hamna baya

  • @mrambathomas9529
    @mrambathomas9529 10 วันที่ผ่านมา

    Dah! Mwamba ise sio poa yaani burudani mwanzo mwisho.

  • @kyannickk2be
    @kyannickk2be 4 หลายเดือนก่อน +2

    hizi nzuri sana tunapata kufahamu mengine hatukufaamu tukiwa shule enzi hizo sasa watu wazima, ina inspire hii..

  • @danieldavid4733
    @danieldavid4733 20 วันที่ผ่านมา

    Wenye roho safi

  • @TheMastertz
    @TheMastertz 7 วันที่ผ่านมา

    Mchizi ana sauti inaitwa Gruff, ama Rough and Grimy😂...kama sikosei Busta ndo alirap haya maneno!! Jamaa mtu poa SANA.

  • @qimlaw6723
    @qimlaw6723 6 หลายเดือนก่อน +3

    Salute kwako sauti ya zege .

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 5 หลายเดือนก่อน +4

    Bro tulete ROHO 7 kamuombe Jeshi akiwa likizo ufanye naye interview
    Lkn
    HARD MAD mtafute huyu jamaa muhimu sana mlete hapo mjengoni

  • @maufijose2294
    @maufijose2294 3 หลายเดือนก่อน +1

    Vipaji Halisi Vya Muziki 🙏

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti 6 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda classics za kuvifacts zinavyonipa feeling za zama zile

  • @GoodluckLameck-nh9tq
    @GoodluckLameck-nh9tq 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wasanii wa zamani nilipenda kazi zao

  • @jumakabota8277
    @jumakabota8277 6 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah fupi sana hii

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 6 หลายเดือนก่อน +1

    Legend🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @KingMuta
    @KingMuta 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mchizi Mox × Darassa × Ben Poul na Mdada mmoja.

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanangu MCHIZ MOX

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena128 วันที่ผ่านมา

    Yani bonge la idea kuwaleta malegendary sehemu kama hizi

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 6 หลายเดือนก่อน +2

    Oiii✊🏽

  • @MOJAPROMO
    @MOJAPROMO 6 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥🔥

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 6 หลายเดือนก่อน +1

    Long life 🌄

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 3 วันที่ผ่านมา

    Mi niache nifanye vitu vyangu😂😂😂

  • @ramadhaniali1102
    @ramadhaniali1102 2 หลายเดือนก่อน

    Bro jabir unajua sanaa kaka

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  2 หลายเดือนก่อน

      Asante sana fam

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kipindiii bomba ila muda wake hautoshiii

  • @stangebo177
    @stangebo177 6 หลายเดือนก่อน +1

    OLD SCHOOL BOY

  • @mzadomwongozo3671
    @mzadomwongozo3671 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mtoto analaana😂😂
    RIP Ngwair

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu sauti mpaka sura kama darasa mbona

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaaa wa shat ya njano kaongea kihisia watoto wa makumbusho walikua wanakula bata

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 6 หลายเดือนก่อน +2

    Muulize Nay Ile style yake mbona kama ya Ibra upupu wa fagio la chuma

    • @hassanmaliki2260
      @hassanmaliki2260 2 หลายเดือนก่อน +1

      Upupu ile style yake ni kwere mzeya nay anafit lakn bado kwa yule mtoto

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mlete Jose mtambo

  • @meshackdauda4315
    @meshackdauda4315 2 หลายเดือนก่อน

    WALIKUA siyo WANAFIKI ,na KAZ walifanya kubwa san

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 2 หลายเดือนก่อน

    Haina part2?

  • @BwaxyWaMichano
    @BwaxyWaMichano 6 หลายเดือนก่อน +3

    After hii tuletee Bahati wa mikasi brother

    • @francistadayo1569
      @francistadayo1569 6 หลายเดือนก่อน +2

      Hayupo bongo huyo Raa! P...yuko USA 🇺🇸

    • @tumpemsyani-io7pv
      @tumpemsyani-io7pv 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@francistadayo1569daa aisee kweli nakumbuka

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 5 หลายเดือนก่อน +1

    Inaonekana kuna kipande mmekikata majani alikuwa kapewa zake hapo

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hakika Ali taikun hakopeshi

  • @user-ef7ef4bv8t
    @user-ef7ef4bv8t 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kuva interview za kibaba zote zinaingia robo robo nn mbaya

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  6 หลายเดือนก่อน +5

      Brother pole hizi interview tulifanya miaka 2 iliopita bahati mbaya Channel ilifutwa so hivi ndo vipande tumebaki navyo tu kaka

    • @kulishaandry5730
      @kulishaandry5730 5 หลายเดือนก่อน

      Pole sn , ila mnatisha mbaya ​@@KuviFacts

  • @KINGDOWN-rx8sy
    @KINGDOWN-rx8sy 4 หลายเดือนก่อน

    p

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ 6 หลายเดือนก่อน

    Big kwann unavaa unavaa mask wakati wote?

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  6 หลายเดือนก่อน +4

      Kipindi hiko nlitoka kuumwa Covid mkuu

    • @bongomastory791
      @bongomastory791 5 หลายเดือนก่อน

      Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile

    • @bongomastory791
      @bongomastory791 5 หลายเดือนก่อน

      Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile

  • @prosperndelwa4560
    @prosperndelwa4560 4 หลายเดือนก่อน

    𝐨𝐥𝐝 𝐢𝐬 𝐠𝐨𝐥𝐝