Hello Mr Joel nafurahia sana masomo yako yameniprlekea kufungua biashara ndogo mjasiriamali kwa mtaji Mdogo lkn naitaji msaada wako kufikia kuwa na kampuni kwa kile nilichoanzisha msaada tafadhali Mr joel
Ninapo Fanya kazu kunamfanya kazi mwenzangu nimemkopesha lakini nikimdai atakikunilipa ananiletea ubabe namimi sipendi ugomvi wala kukwazana na MTU.je!nifanye nni ili anilipe?
huyo wa kwanza yupo yani huwa ananikwaza aisee ukifika tu ofcn anaanza kukupa habari za watu za siasa mpaka nilishamwambia sipendi lakini hakomi mwingine ni huyu wa mwisho yani na yeye bendera fuata upepo hanaga msimamo kila unachomwambia hakatai mpaka huwa namshangaa lakini pia niligundua ni mnafiki sana Asante kaka endelea kutufunza tuelimike
Joel Nanauka Ndiyo yani huwa namkwepa sana kila akija namwambia aniache kwanza nifanye kazi now ameshajitambua amekuwa hanifuatilii Kabisa ila mwanzoni alikuwa ananikera sana
Habari kaka Joel ,Mi ninao hapa kazini Namba 1,3,Na 5, wapo watu wengi wana tabia za hivyo,yani hata nikijaribu kuwaepuka bado wananifata tu..naomba msaada wako ..
yupo anataka mashindano wakati we we upendi biashara yamashindano ukinunua Iki nayeye ananunua ukiacha nayeye anaacha kiukwelii natamani niamishe biashara yangu
Haaahaaaaa. Wote ninao namimi kuna kasehemu nipo hapo kwenye The Gossip hasa habari za siasa ila niliposoma kitabu cha ISHINDE TABIA YA KUGHAIRISHA MAMBO nimebadilika kidogo ila bado nahitaji tiba. 2.Jinsi ya kuishi nao hao wote watu wa aina 5 kaka Asante. JAMANI TUNAWAKUMBUSHA KUJIUNGA NA DARASA LETU LA #A. S.A COLL. TUNAJIFUNZA MENGI SANA KARIBUNI WANA FIKRA. #SEEYOUATTHETOP
Thanx much bro Joel kwa elimu nzuri sana unayotoa. Ila kwenye hili nina swali moja; Je, watu wote makazini wako kwenye hayo makundi matano? Hakuna watu ambao wao ni wema na wanapaswa kuigwa?
kazin KwAngu yupo wa kuzunguka mlago wa nyuma naonekana sifai nakati mimi ambaye niko nae Mda wt namjua alivyo akiwa na mm mazungumzo ni mazuri lkn nikitoka ananisema vby
duuh kaka kweli mada ya aina 5 za watu ktk eneo la kazi inanihusu kbs. mm nk nje ya nchi ningependa nimeona utanisaidia sana sana naomba namba yk niweze kuchat na we whatsup pls pls
Daa kweli bro hawa watu ni shida sana ninao kazini kwangu hasa hawa namba 1 paka natamani nikifk ofsn nijifungie Sehemu nifanye kazi zangu nachukia sana story muda wa kazi.
Hapa ofisini tunaye mfanyakazi mwenzetu anazo tabia hizo mbili ya over achiever yaan muda wote yupo bze lakini pia ni good blemer yaan hata akikosea yeye hakubali kosa kila anapokosea anawabebesha wafanyakazi wenzie makosa yake hadi anakera
Hawa watu namba nne wananisumbua Sana kazin unajikuta unafanya kazi kwa uaminifu afu wao wanaharibu au wanafanya udokozi afu unasingiziwa wewe na some time wewe Ndio unasimamia eneo hilo afu mbaya zaidi wanakuwa na undugu au ukaribu na Maboss ni shida!!!!
Hahahahahahaah......kuna watu ofisini hawataki kabisa linapotokea kosa wao waonekane au wawajibike, muda wote wanataka wawe wasafi, hata kuripoti issue yoyote iliyokwenda wrong utaambiwa wewe uripot kwa boss, ila jambo lolote litakalokuwa limeenda sawa, utasikia wakisema.....Ahhh ngoja niripoti hii kitru, we fanya kazi nyingine...........Kwa kifupi, Matokeo yoyote mabaya, utaambiwa wewe ndio ufikishie ujumbe boss, ila matokeo yoyote mazuri wanataka wao ndio wamfikishie ujumbe boss.....wananiboa sana watu hawa wanaokwepa majukumu
Wewe kaka nakupenda sana walahii unasema kweliii
Masomo yako yananifumbua macho , ahsante
ubarikiwe kaka Joel Nanauka,
Hawa watu wapo, Hasa hiki kipindi cha Kombe la Dunia Gosping n wengi wanashawishi kweli uendane nao ,
SEE ME AT THE TOP
Paul Shadrack ah ah ah kwa kweli
hiyo aina ya 4 inaniandama mno
kaka asante kwa kunifungua,yaani kama vile ulikuja kazini kwangu.
Imposers are very dangerous to the work place
Ahsante sana (JN)
SEE YOU AT THE TOP⏫⬆
Nzurii iyoo kakaa
Waoooo nimeipenda sana hiii
Asaantheeee broo tunao ofisini aisee
Safi sana somo zuri
du! namba moja kaka na unafiki ukiwemo
Mamba 1 wananihusu.mungu anisaidie.
Kaka utazani unashidaga kzn kwangu Asante sana tena sana kwamusada mukubwa kama huu
We kaka ndio unajua kitu kizuri chakutuletea kwenye hii mitandao, kuna wengine kila Siku ni udaku tu wanaleta hata usioeleweka
thanks bro ,nmepata vitu vizuri.
Uko sawa, kaka...ila hujatoa uzuri wa kila kundi.nashauri next move iwe ya kutoka uzuri wao.
Hello Mr Joel nafurahia sana masomo yako yameniprlekea kufungua biashara ndogo mjasiriamali kwa mtaji Mdogo lkn naitaji msaada wako kufikia kuwa na kampuni kwa kile nilichoanzisha msaada tafadhali Mr joel
Namba moja
Good bro
nzuriii Kaka nabarikiwa sana
Kaka hongera sana na mungu akubaliki unanijenga kifikra kupitia video zako asante mno
Nimeipenda hii bro
kaka asante sana nimewaona wengi katika sehemu ya kazi naomba unisaidie jinsi ya kuepukana nao
Thank u mr
Baba wapo baba wote Wapo.
Ninapo Fanya kazu kunamfanya kazi mwenzangu nimemkopesha lakini nikimdai atakikunilipa ananiletea ubabe namimi sipendi ugomvi wala kukwazana na MTU.je!nifanye nni ili anilipe?
Aina zote hz zipo ofsin kwangu, ahsante kwa kunijenga
huyo wa kwanza yupo yani huwa ananikwaza aisee ukifika tu ofcn anaanza kukupa habari za watu za siasa mpaka nilishamwambia sipendi lakini hakomi
mwingine ni huyu wa mwisho yani na yeye bendera fuata upepo hanaga msimamo kila unachomwambia hakatai mpaka huwa namshangaa lakini pia niligundua ni mnafiki sana
Asante kaka endelea kutufunza tuelimike
Johari Juma duuh kazi ipo ila umeshajua namna ya kudeal nao
Joel Nanauka Ndiyo yani huwa namkwepa sana kila akija namwambia aniache kwanza nifanye kazi now ameshajitambua amekuwa hanifuatilii Kabisa ila mwanzoni alikuwa ananikera sana
Asante
Habari kaka Joel ,Mi ninao hapa kazini Namba 1,3,Na 5, wapo watu wengi wana tabia za hivyo,yani hata nikijaribu kuwaepuka bado wananifata tu..naomba msaada wako ..
Tunao sana namba 4 inanikumbusha majonz ndg
Nimejifunza.. Kitu
barikiwa kaka... ni kweli kabisa
yupo anataka mashindano wakati we we upendi biashara yamashindano ukinunua Iki nayeye ananunua ukiacha nayeye anaacha kiukwelii natamani niamishe biashara yangu
asantee San kak Joel Arthur nanauka aina hizo zipo zote kwenye office yang
Haaahaaaaa.
Wote ninao namimi kuna kasehemu nipo hapo kwenye The Gossip hasa habari za siasa ila niliposoma kitabu cha ISHINDE TABIA YA KUGHAIRISHA MAMBO nimebadilika kidogo ila bado nahitaji tiba.
2.Jinsi ya kuishi nao hao wote watu wa aina 5 kaka
Asante. JAMANI TUNAWAKUMBUSHA KUJIUNGA NA DARASA LETU LA #A. S.A COLL. TUNAJIFUNZA MENGI SANA KARIBUNI WANA FIKRA.
#SEEYOUATTHETOP
Justine Mmbando safi sana Justine nafurahia jinsi unavyofuatilia kwa umakini na kujifunza
Hopo.mwisho.umeningusa
asant kwa mafnzo nimeyapenda kwa kwel
Thanx much bro Joel kwa elimu nzuri sana unayotoa. Ila kwenye hili nina swali moja; Je, watu wote makazini wako kwenye hayo makundi matano? Hakuna watu ambao wao ni wema na wanapaswa kuigwa?
#SeeUatTheTop
Mi ninakutana na gossip group na High achievers
Jamani hao wote ninafanyanao kwenye ofisi yangu
Duwa kila wakati
Kwako
Umegusa penyewe kaka, nimeielewa hii
Duh! Mimi kwangu wapo 4 pia nawa 5
kazin KwAngu yupo wa kuzunguka mlago wa nyuma naonekana sifai nakati mimi ambaye niko nae Mda wt namjua alivyo akiwa na mm mazungumzo ni mazuri lkn nikitoka ananisema vby
Passive, yani wanafiki hatareee, na hiyo nadhani ni kwenye ofisi nyingi ipo
duuh kaka kweli mada ya aina 5 za watu ktk eneo la kazi inanihusu kbs. mm nk nje ya nchi ningependa nimeona utanisaidia sana sana naomba namba yk niweze kuchat na we whatsup pls pls
Passive nimekutana naee na niko nae kazini
aina hizo zipo kazin kwangu yaan hujakosea mpendw
mimi niko mtwara masasi naweza kupata kitabu chako
Daa kweli bro hawa watu ni shida sana ninao kazini kwangu hasa hawa namba 1 paka natamani nikifk ofsn nijifungie Sehemu nifanye kazi zangu nachukia sana story muda wa kazi.
Issack Elias pole sana Issack najua umepata njia chache za kushughulika nao
Ninamtu mmoja anafanya kazi Overtime 22/7 hours....... Huwa Hana weekend wala holidays
GeoDesigner duuh hatari sanaa
Wako kweli hujakosea
Aiseee wote wapo kwa office yangu .nafanyaje ss
Nilikuwa sijui kumbe mtu mwema anakuwa mnafiki
Mimi nimemuona namba nne ila na mm nimejiona kama ni namba tano waga sipend kuonekana mbaya,,,,,ila mm sio mnafiki
impoosers sio watu wazur
Kaka apa kazini kwetu wapo adi wanafanya mtu unaona kazi ngumu ina bidi mda wote uweke earphones kwasababu Kila unacho fanya kwao siosahii
me nawapenda wambea Na passive
uko na points nzuri sana lakini hakuna solution how to deal with them
The Gossip hao hapa Job ni nouma bt see me at the Top
Kabisa,see you at the Top,usikubali wakukwamishe
Nashukuru sana kaka ila nilikuwa nataka kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO nielekeze kinapatkana Duka gani me nipo Tabata
Wote wapo kaka
hawa watu kweli wapo
Naamini umeshajua namna ya kushughulika nao
The gossip wamezidi Bongo
Wapo wengi
Broo hao watu wote niko nao mpka n mm najikuta tabia zote naziadopt duu!! Nifanyaje nijikwamue n hly?
kwa upande wangu ni imposer ndo walionizunguka yn unafanya kazi vzr lakn mafanikio anatak apewe yeye anashindwa kutambua thamani yk
Meshack Gardiel pole sana ili jifunze kushughulika nao
Watu kua bize na kaz mpaka wanatoka naww unaonekana kama ufanyi kaz
yupo mkuu wangu ni blamer tabia yake ni kuamisha matatizo
Iyo ya tano mmmmh
naomba njia za kuishi na watu aina ya imposer maana wanashindwa hata ku motivate mtuu japoo unawafanyia kazi nyingi
Hapa ofisini tunaye mfanyakazi mwenzetu anazo tabia hizo mbili ya over achiever yaan muda wote yupo bze lakini pia ni good blemer yaan hata akikosea yeye hakubali kosa kila anapokosea anawabebesha wafanyakazi wenzie makosa yake hadi anakera
kwa apo mi wapo kama wote utanisaidia vipi??
habar kaka mm nipo daresalaam nnahitaji vitabu vyako ntvipata wap
Mtu wa nne
gossip na blames ndio Wengi Ziadi ofsn kwangu
masomo yako yamenifanya niwafamu watu kiundani zaidi
Yupo. nisaidie nimuepuke vp mtu huyu
Na nne ni ya kwangu nilishawahi kukutana nalo
🤣🤣🤣🤣
Aisee nina the gossip mmoja.
Imposer moja.
Blamers wawili.
Passive mmoja..,🤣🤣🤣
Taifa linapenda gossip ndio maana hata huku ni wachache ila kwenye udaku wamejaa
Nimekuelewa sana,tuendelee kufanya juhudi kuleta mabadiliko
Awo, Niwengi
Sana Kazi nikwangu
Very true @raginauthor!
Nnao ainazote hao naomba msaada wako
Hawa watu makazini hawakosekani
Ni vema zaidi ikiwa utatutolea video ya aina tano vilevile yakutumia ilikuepukana na hao kazini.Kwani katika enzi zote duniani hao wameshajaa pote.
Kuna watu au mtu anakuwa na tabia zote hizo kwa nyakati tofauti tofauti je kwanini?
Imposers, awo ndo tatizo nililo nalo,,,, na ata cjui nifanye nn ili niachane nawo.
Ase wote ninao kbsaa Kaka cjui ntafanyaje
Sikiliza tena video nimeelekeza namna ya kushughulika nao
Hawa watu namba nne wananisumbua Sana kazin unajikuta unafanya kazi kwa uaminifu afu wao wanaharibu au wanafanya udokozi afu unasingiziwa wewe na some time wewe Ndio unasimamia eneo hilo afu mbaya zaidi wanakuwa na undugu au ukaribu na Maboss ni shida!!!!
Niko na the gossip kila wakati habari ambazo hata hazinihusu
Najua umeshajifunza namna ya kuwakabili
Ndio! asante
Hahahahahahaah......kuna watu ofisini hawataki kabisa linapotokea kosa wao waonekane au wawajibike, muda wote wanataka wawe wasafi, hata kuripoti issue yoyote iliyokwenda wrong utaambiwa wewe uripot kwa boss, ila jambo lolote litakalokuwa limeenda sawa, utasikia wakisema.....Ahhh ngoja niripoti hii kitru, we fanya kazi nyingine...........Kwa kifupi, Matokeo yoyote mabaya, utaambiwa wewe ndio ufikishie ujumbe boss, ila matokeo yoyote mazuri wanataka wao ndio wamfikishie ujumbe boss.....wananiboa sana watu hawa wanaokwepa majukumu
Naitaji vitabu vyako#0717211738
kaka naomba madini zaidi kwa hao "over achievers" na nini faida na hasara zake.
kaka shikamoo nakukubali sana
Mimi nataka vitabu vyako 0757010979
Asante
The gossip wamezidi Bongo
We kaka ndio unajua kitu kizuri chakutuletea kwenye hii mitandao, kuna wengine kila Siku ni udaku tu wanaleta hata usioeleweka
Kuna watu au mtu anakuwa na tabia zote hizo kwa nyakati tofauti tofauti je kwanini?
picha za x